You are on page 1of 166

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]


!!!
OLE WAKE! KILA MZUSHI MWENYE DHAMBI!

Majibu dhidi ya Uongo wa Mu-ibadhi!!! JUZUU YA KWANZA

MWANDISHI: ABUL-FADHLI KASSIM IBN MAFUTA IBN KASSIM IBN UTH'MANI.

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Haki zote za kunakili zimehifadhiwa na mwandishi kitabu hiki.

Chapa ya Kwanza 21. Shaaban 1433 H = 11. 07. 2012 AD.

KIMETOLEWA NA KUSAMBAZWA NA: MARKAZ SHEIKHIL-ISLAMI IBN TAYMIYYAH PONGWE, P.O.BOX 398 TANGA, BARUA PEPE: kassimafuta@yahoo.com

PONGWE-TANGA TANZANIA.

ii

OLE WAKE KILA MZUSHI

][MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI

. . . . , , , , , , , . .

iii

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

UTANGULIZI...............vii kumtakia Swala na Salaam kipenzi chake na Mtume wake Muhammad Ibn Abdillahi
swalla llaahu alayhi waalihi wasallam na jamaa zake pamoja na Maswahaba zake wote. Kitabu hiki..............ix

Ama baada ya kumuhimidi Allah Sub'haanahu wa Ta'alaa na kumsifia pamoja na

UTANGULIZI YALIYOMO

Sababu ya kuandika kitabu hiki...........xvi yangu na ndugu wa ki-Ibadhi Bwana Juma Mohd Rashid Al-Mazrui kuhusiana na kadhia
ya kuwa: je waumini watamuona Allah kwa macho akhera au laa.

Ninaitumia fursa hii adhimu kuzungumza machache kuhusiana na mjadala uliopo baina

mbali mbali zinazofungamana na mambo ya kiitikadi. Na asili ya mjadala huu ni kadhia Neno la Shukrani..........xix

SURA YA KWANZA...........1 Chanzo cha kujitokeza mjadala huu ni baada ya mimi kukijibu kitabu chake alichokiita
hicho chenye kurasa 339, ndugu Juma amedhamiria kwa makusudi kuwachafua waislamu

"Hoja zenye nguvu juu ya kutoonekana Mwenyezi Mungu kwa macho". Katika kitabu Kukimbia Mijadala...................3

Kukukosoana na kukiri makosa...............7 wa madhehebu ya Ahlu Sunna wal-Jamaa, na itikadi zao pamoja na wanachuoni wao kwa
tuhumaYA mbali mbali za uongo. Huku akiwebeza kwa jina la Uwahabi na kuziita itikadi SURA PILI.................................16 zao kuwa ni itikadi za ki-Wahabi pamoja na kwamba suala la waumini kumuona Allah Ahlu Sunna wal-Jamaa tangu hapo zamani kuanzia zama za Maswahaba hadi leo. Uongo wake dhidi yawote, Al-Ahwaaz.....30

Uongo wake dhidi ya Ibn Batta.....18 kwa macho Akhera si itikadi ya hao wanaoitwa Mawahabi peke yao, bali ndiyo itikadi ya Uongo wake dhidi ya Ibn Taymiyya...........................35 kumjibu japo kwa karatasi chache, ndipo nikaandika kijitabu kidogo chenye kurasa 175
akhera, majibu na maelezo". Kutokana na ubabaishaji alioufanya nikaona kuwa kuna haja na umuhimu mkubwa wa

nilichokiita zenye nguvu katika kuthibitisha kuonekana Allah kwa macho huko Juma afuata"Hoja nyayo za Ibn Batuta................37

Uongo wake dhidi ya Ibnul-Qayyim.............45 Pamoja na kuwa kitabu hicho ndiyo kitabu changu cha mwanzo katika uandishi wangu,
lakini kimewavutia wengi wenye kupenda haki. Na kwa hakika hasa Uongo wake dhidi yawatu Ibn Baz...50

Uongo wake dhidi ya Ahlu Sunna kwa ujumla.................54 mwingi aliourundika kwenye kitabu chake. Na kwa sababu hiyo hakuweza kuvumilia,
naye akajibu kwa kitabu chake kiovu alichokiita "Fimbo ya Musa" chenye kurasa 492. SURA YA TATU....58 Katika kitabu chake hicho pamoja na ukubwa wake, lakini kiasi kikubwa ameikwepa hii kwenye juzuu ya nne, ikiwa hii ni juzuu yake ya kwanza! SURA YA NNE...............................82

kimemfedhesha ndugu Juma kwa kiasi kikubwa kwa kuwa kimeufichua uongo wake

Uongo wa Juma dhidi ya Al-Bani...............................59 maudhui ya msingi ya kuonekana Allah, kwa madai ya kwamba ataizungumzia maudhui Khiyana za Sagaaf...........................83 Al-Qannubi ni Mtukanaji tu.........................
Baada ya kukidurusu kitabu chake "Fimbo ya Musa" kwa utulivu na umakini wa hali ya juu, nikabainikiwa na haya yafuatayo:

Al-Qanuubi na kitabu chake Saiful-Haadi................93 Baadhi ya makosa ya Al-Qannubi........93 kuwachafua Ahlu Sunna wal-Jamaa kwa tuhuma za uongo nyuma ya Pazia la Uwahabi. Baina ya Al-Qannubi na Ar-Raajihiy..............102

Mosi: Kitabu chake 'Fimbo ya Musa' hakitofautiani sana na vitabu vyake vingine vilivyotangulia, kwa sababu bado lengo lake ni lile lile la kuendeleza matusi, kashfa na

Matusi ya Al-Qannubi .............................106 kuwa ni itikadi ya Kiwahabi ambao wanamfanya Allah kuwa ni Mungu-mtu Allah Kukufurisha bila ya haki...................................111
kikijulikana kwa jina la Hashawiyya.

Pili: Katika kitabu hicho ameifanyia hujuma kubwa itikadi ya Ahlu Sunna, kwa kuifanya

atukinge na laana hii-. Na Mawahabi -kwa mtazamo wa Juma- ni kikundi kidogo cha SURA YA TANO..............110
Mushabbiha na Mujassima kilichozalikana kutokana na fikra za baadhi ya wanachuoni wa ki-Hanbali na baadhi ya wanachuoni wa Hadithi kama vile Ibn Batta, Abu Ya'laa, As-

Msimamo wa Ahlukama Sunna juu ya Khuzaima. kukufurisha ya kuwa haki............................111 Sijiziy na wengineo kina Ibn Na bila akadai kikundi hicho kilikuwa iv 4

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Uongo na Ghushi za Khalfani Tiwani..................114 UTANGULIZI Msimamo Bukhari juuSub'haanahu ya kuumbwa Qur-ani......116 Ama baadawa ya Imamu kumuhimidi Allah wa Ta'alaa na kumsifia pamoja na
kumtakia Swala Salaam kipenzi chake na Mtume wake Muhammad Ibn Abdillahi Makundi yenye na tabia ya kukufurisha Waislamu bila ya haki.............123

Fatawa za Maibadhi dhidi ya Waislamumachache wengine....................125 Ninaitumia fursa hii adhimu kuzungumza kuhusiana na mjadala uliopo baina
yangu na ndugu wa ki-Ibadhi Juma Mohd Rashid Al-Mazrui kuhusiana na kadhia Mwanzo wa kudhihiri bida Bwana ya kukufurisha.........................135

swalla llaahu alayhi waalihi wasallam na jamaa zake pamoja na Maswahaba zake wote.

Msimamo Ibadhi dhidi ya Maimamu........142 ya kuwa: je wa waumini watamuona Allah kwa macho akhera au laa.
Chanzo vya cha marejeo.....................................................146 kujitokeza mjadala huu ni baada ya mimi kukijibu kitabu chake alichokiita Vitabu

mbali mbali zinazofungamana na mambo ya kiitikadi. Na asili ya mjadala huu ni kadhia

Vitabu vya ibadhi, shia..................................147 hicho chenye kurasa sufi 339, na ndugu Juma amedhamiria kwa makusudi kuwachafua waislamu

"Hoja zenye nguvu juu ya kutoonekana Mwenyezi Mungu kwa macho". Katika kitabu

wa madhehebu ya Ahlu Sunna wal-Jamaa, na itikadi zao pamoja na wanachuoni wao kwa tuhuma mbali mbali za uongo. Huku akiwebeza kwa jina la Uwahabi na kuziita itikadi zao kuwa ni itikadi za ki-Wahabi pamoja na kwamba suala la waumini kumuona Allah kwa macho Akhera si itikadi ya hao wanaoitwa Mawahabi peke yao, bali ndiyo itikadi ya Ahlu Sunna wal-Jamaa wote, tangu hapo zamani kuanzia zama za Maswahaba hadi leo. Kutokana na ubabaishaji alioufanya nikaona kuwa kuna haja na umuhimu mkubwa wa kumjibu japo kwa karatasi chache, ndipo nikaandika kijitabu kidogo chenye kurasa 175 nilichokiita "Hoja zenye nguvu katika kuthibitisha kuonekana Allah kwa macho huko akhera, majibu na maelezo". Pamoja na kuwa kitabu hicho ndiyo kitabu changu cha mwanzo katika uandishi wangu, lakini kimewavutia watu wengi wenye kupenda haki. Na kwa hakika hasa kimemfedhesha ndugu Juma kwa kiasi kikubwa kwa kuwa kimeufichua uongo wake mwingi aliourundika kwenye kitabu chake. Na kwa sababu hiyo hakuweza kuvumilia, naye akajibu kwa kitabu chake kiovu alichokiita "Fimbo ya Musa" chenye kurasa 492. Katika kitabu chake hicho pamoja na ukubwa wake, lakini kiasi kikubwa ameikwepa maudhui ya msingi ya kuonekana Allah, kwa madai ya kwamba ataizungumzia maudhui hii kwenye juzuu ya nne, ikiwa hii ni juzuu yake ya kwanza! Baada ya kukidurusu kitabu chake "Fimbo ya Musa" kwa utulivu na umakini wa hali ya juu, nikabainikiwa na haya yafuatayo: Mosi: Kitabu chake 'Fimbo ya Musa' hakitofautiani sana na vitabu vyake vingine vilivyotangulia, kwa sababu bado lengo lake ni lile lile la kuendeleza matusi, kashfa na kuwachafua Ahlu Sunna wal-Jamaa kwa tuhuma za uongo nyuma ya Pazia la Uwahabi. Pili: Katika kitabu hicho ameifanyia hujuma kubwa itikadi ya Ahlu Sunna, kwa kuifanya kuwa ni itikadi ya Kiwahabi ambao wanamfanya Allah kuwa ni Mungu-mtu Allah

atukinge na laana hii-. Na Mawahabi -kwa mtazamo wa Juma- ni kikundi kidogo cha
Mushabbiha na Mujassima kilichozalikana kutokana na fikra za baadhi ya wanachuoni wa ki-Hanbali na baadhi ya wanachuoni wa Hadithi kama vile Ibn Batta, Abu Ya'laa, AsSijiziy na wengineo kama kina Ibn Khuzaima. Na akadai kuwa kikundi hicho kilikuwa kikijulikana kwa jina la Hashawiyya.

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

vilivyotangulia, kwa sababu bado lengo lake ni lile lile la kuendeleza matusi, kashfa na kuwachafua Ahlu Sunna wal-Jamaa kwa tuhuma za uongo nyuma ya Pazia la Uwahabi.

ukinge na laana hii-. Na Mawahabi -kwa mtazamo wa Juma- ni kikundi kidogo cha
Mushabbiha na Mujassima kilichozalikana kutokana na fikra za baadhi ya wanachuoni wa ki-Hanbali na baadhi ya wanachuoni wa Hadithi kama vile Ibn Batta, Abu Ya'laa, AsSijiziy na wengineo kama kina Ibn Khuzaima. Na akadai kuwa kikundi hicho kilikuwa kikijulikana kwa jina la Hashawiyya.

vi 4

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

UTANGULIZI
Ama baada ya kumuhimidi Allah Sub'haanahu wa Ta'alaa na kumsifia pamoja na kumtakia Swala na Salaam kipenzi chake na Mtume wake Muhammad Ibn Abdillahi swalla llaahu alayhi waalihi wasallam na jamaa zake pamoja na Maswahaba zake wote. Ninaitumia fursa hii adhimu kuzungumza machache kuhusiana na mjadala uliopo baina yangu na ndugu wa ki-Ibadhi Bwana Juma Mohd Rashid Al-Mazrui kuhusiana na kadhia mbali mbali zinazofungamana na mambo ya kiitikadi. Na asili ya mjadala huu ni kadhia ya kuwa: je waumini watamuona Allah kwa macho akhera au laa. Chanzo cha kujitokeza mjadala huu ni baada ya mimi kukijibu kitabu chake alichokiita "Hoja zenye nguvu juu ya kutoonekana Mwenyezi Mungu kwa macho". Katika kitabu hicho chenye kurasa 339, ndugu Juma amedhamiria kwa makusudi kuwachafua waislamu wa madhehebu ya Ahlu Sunna wal-Jamaa, na itikadi zao pamoja na wanachuoni wao kwa tuhuma mbali mbali za uongo. Huku akiwebeza kwa jina la Uwahabi na kuziita itikadi zao kuwa ni itikadi za ki-Wahabi pamoja na kwamba suala la waumini kumuona Allah kwa macho Akhera si itikadi ya hao wanaoitwa Mawahabi peke yao, bali ndiyo itikadi ya Ahlu Sunna wal-Jamaa wote, tangu hapo zamani kuanzia zama za Maswahaba hadi leo. Kutokana na ubabaishaji alioufanya nikaona kuwa kuna haja na umuhimu mkubwa wa kumjibu japo kwa karatasi chache, ndipo nikaandika kijitabu kidogo chenye kurasa 175 nilichokiita "Hoja zenye nguvu katika kuthibitisha kuonekana Allah kwa macho huko akhera, majibu na maelezo". Pamoja na kuwa kitabu hicho ndiyo kitabu changu cha mwanzo katika uandishi wangu, lakini kimewavutia watu wengi wenye kupenda haki. Na kwa hakika hasa kimemfedhesha ndugu Juma kwa kiasi kikubwa kwa kuwa kimeufichua uongo wake mwingi aliourundika kwenye kitabu chake. Na kwa sababu hiyo hakuweza kuvumilia, naye akajibu kwa kitabu chake kiovu alichokiita "Fimbo ya Musa" chenye kurasa 492. Katika kitabu chake hicho pamoja na ukubwa wake, lakini kiasi kikubwa ameikwepa maudhui ya msingi ya kuonekana Allah, kwa madai ya kwamba ataizungumzia maudhui hii kwenye juzuu ya nne, ikiwa hii ni juzuu yake ya kwanza! Baada ya kukidurusu kitabu chake "Fimbo ya Musa" kwa utulivu na umakini wa hali ya juu, nikabainikiwa na haya yafuatayo: Mosi: Kitabu chake 'Fimbo ya Musa' hakitofautiani sana na vitabu vyake vingine vilivyotangulia, kwa sababu bado lengo lake ni lile lile la kuendeleza matusi, kashfa na kuwachafua Ahlu Sunna wal-Jamaa kwa tuhuma za uongo nyuma ya Pazia la Uwahabi. Pili: Katika kitabu hicho ameifanyia hujuma kubwa itikadi ya Ahlu Sunna, kwa kuifanya kuwa ni itikadi ya Kiwahabi ambao wanamfanya Allah kuwa ni Mungu-mtu Allah

atukinge na laana hii-. Na Mawahabi -kwa mtazamo wa Juma- ni kikundi kidogo cha
Mushabbiha na Mujassima kilichozalikana kutokana na fikra za baadhi ya wanachuoni wa ki-Hanbali na baadhi ya wanachuoni wa Hadithi kama vile Ibn Batta, Abu Ya'laa, AsSijiziy na wengineo kama kina Ibn Khuzaima. Na akadai kuwa kikundi hicho kilikuwa kikijulikana kwa jina la Hashawiyya.

vii4

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Tatu: Pia amewakashifu Ahlu Sunna wal-Jamaa na kuwavisha majina ya kuchukiza, lengo lake ni kuwepesisha kazi ya kuibomoa itikadi ya Ahlu Sunna na wanachuoni wao. Ndipo akawabeza Ahlu Sunna kwa majina ya yuenye kinyaa kama vile; Mawahabi, Hashawiyyah, Mujassima na Mushabbiha. Na ukweli ni kwamba hizo itikadi anazozishambulia ndizo itikadi zile zile za Salaf Swaalih/Ahlu Sunna wal-Jamaa. Kama vile itikadi ya kuonekana Allah, itikadi ya kuwa Qur-ani haikuumbwa, Ukafiri wa Jahmiyya n.k. Nne: Dhamira kuu ya kitabu hicho ni kuelimisha jamii kuwa asili ya madhehebu ya Ahlu Sunna/Mawahabi ni mchanganyiko wa fikra za ki-Yahudi na mila nyingine potofu, mchanganyiko ambao umezalikana na riwaya za kutunga, ufahamu duni na dhana potofu zilizotokana na Manhaj mbovu ya kutaamali na maandiko. Tano: Kwa lengo la kuwakimbiza watu na kuwaweka mbali na itikadi sahihi ya Salaf Swalihi, amewadhihirisha wafuasi wa madhehebu hii na wanazuoni wao kuwa ni watu wanaopenda fujo, mabedui wasio na ufahamu juu ya ulimwengu, watu wasioweza kuishi vizuri na watu! Ni watu wasioweza fani za mijadala, na kutokana na udhaifu wao huo wanakimbia mijadala na wala hawako tayari kujadiliana na mtu yeyote juu ya itikadi zao. Sita: Pia amejitahidi kufarikisha baina ya hao anaowaita Mawahabi na Ahlu Sunna walJamaa kwa madai ya kuwa Ahlu Sunna wal-Jamaa ni wafuasi wa madhehebu za Ash'ariyya na Maaturidiyya peke yao. Saba: Pamoja na juhudi zake za kuwakashifu na kuwazulia uongo Ahlu Sunna, ndugu huyu ametoa juhudi kubwa ya kujitetea yeye na Masheikh zake na kujitakasa na makosa waliyoyafanya. Kwa ufupi ninathubutu kusema; madai mengi aliyoyaleta ndugu Juma kwenye kitabu chake "Fimbo ya Mussa" si madai ya kweli kwa kuwa ametumia hoja nyingi dhaifu, lakini pamoja na udhaifu wa hoja zake pia amekijaza kitabu chake maneno mengi ya uongo, ulaghai, na maneno yenye ishara ya wazi kuwa ni mtu anayeandika kwa msukumo wa watu wenye chuki na uadui dhidi ya Waislamu wa madhehebu ya Ahlu Sunna wal-Jamaa na Maulamaa wao. Kutokana na haya tuliyoyataja nikaona ni vyema nimjibu kwa kitabu hiki kilichopo mikononi mwako tulichokiita kwa jina la: 'Ole wake! Kila mwenye kuzua uongo mwenye madhambi'. Nimekigawa kitabu hiki katika juzuu mbili, na hii iliyoko mikononi mwako ni juzuu ya kwanza. Nimelazimika kukigawa kitabu hiki katika juzuu mbili baada ya kukiona kitabu kimerefuka na watu wengi humu mwetu ni wavivu wakusoma. Abul-Fadhli Kassim Mafuta Kassim.

5 viii

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

KITABU HIKI
Kutokana na mambo hayo ya dhulma aliyoyafanya ndugu Juma Mazrui ambayo baadhi yake tumeyaelezea hapo nyuma, nimekihusisha kitabu hiki kwa kuzijibu baadhi ya tuhuma na madai ya ndugu huyu kwa ufupi unaoleweka, lengo na madhumuni ni kumnusuru dhalimu (Juma Mazrui na washirika wake) kwa kuwakemea na kuwazuia wasidhulumu tena, na kumnusuru mwenye kudhulumiwa (Wanachuoni wa Ahlu Sunna na itikadi zao) kwa kuirejeshea haki yake na heshima yake). Kitabu hiki; kitazizungumzia hoja tata alizozileta ndugu Juma ambazo ziko nje ya maudhui yetu ya msingi ya Kuonekana Allah huko Akhera kwa macho, na maudhui zote ambazo sikuzitaja kwenye kitabu changu Hoja zenye nguvu kama hoja za msingi. Kwa hiyo; Kitabu hiki; hakitaizungumzia kadhia ya Kuonekana Allah, wala uchambuzi wa Haidithi na wapokezi wake kama vile Hammad Ibn Salama na Ibn Halbasa, wapokezi ambao Juma amewazungumzia kinyume na taratibu za elimu ya Hadithi. Pia kitabu hiki hakitalizungumzia suala la Majazi, kwa kuwa kadhia zote hizo tutazitolea ufafanuzi wake kwenye chapa ya pili ya kitabu chetu Hoja zenye nguvu. Kitabu hiki; Kimebainisha kwamba Juma amekiandika kitabu chake 'Fimbo ya Musa' kwa msukumo wa chuki, na kutokana na chuki zake hizo hakuona haya kuwazulia uongo Maulamaa wa Ahlu Sunna wal-Jamaa. Na mwandishi wa sampuli kama hiyo hawezi kuisaidia jamii ya Kiislamu na kuifikisha katika kilele cha ukweli na uadilifu. Katika kuithibitisha hoja hii ya kwamba Juma amekiandika kitabu chake 'Fimbo ya Musa' kutokana na msukumo wa chuki, nimetoa baadhi ya mifano: Mfano kwanza: Mfano wa kwanza wa kukuthibitishia kuwa Juma Mazrui amekiandika kitabu chake kwa chuki, ni pale alipomzulia uongo Imamu Ibn Batta Al-Ukbari kwamba: Amesema kuwa Nabii Musa alayhi salaam alimuona Allah akiwa yuko juu ya mti! Nabii Musa alayhi salaam alimuona Allah Jabbaar akiwa amevaa suti na viatu vya ngozi ya punda mfu! Imamu Ibn Batta Al-Ukbari amesema kuwa Nabii Musa alayhi salaam alimuona Allah Jabbaar amejigeuza mtu!

ix 6

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Madai ambayo ni ya uongo na ni dhulma ya wazi dhidi ya Mwanachuoni huyu. Ushauri wangu kwako ndugu msomaji; yasome madai ya ndugu Juma dhidi ya wanachuoni huyu kwa kina na utulivu, bila ya ushabiki, kisha usome majibu yetu kwa kina na utulivu, bila ya ushabiki. Kwa kufanya hivyo utabainikiwa na ukweli, lakini usiishie hapo tu, bali chukua hatua za kumuwajibisha aliye muongo kati yangu mimi na Juma. Mfano wa pili: Mfano wa pili tulioutaja ili kukuthibitishia kuwa ndugu ndugu Juma Mazrui anaandika kutokana na msukumo wa chuki ni pale alipoizusha itikadi ya kikafiri ya kwamba Allah ana Mgongo kisha akadai kuwa hiyo ndiyo itikadi ya Ahlu Sunna wal-Jamaa anaowaita Mawahabi! Jambo ambalo halina ukweli hata chembe, hiyo ni itikidai aliyoitunga Juma kutokana na chuki zake, kisha akawatupia nayo Ahlu Sunna wal-Jamaa, soma madai yake vizuri kisha usome majibu yetu, kisha ulinganishe na kwa kufanya hivyo haki itakubainikia. Mfano wa tatu: Kwa lengo la kukuthibitishia kwamba Juma anaandika kutokana na msukumo wa chuki, ni pale alipodai kwamba Sheikhul-Islaam Ibn Taymiyya amemfananisha Allah katika Sifa yake ya kushuka. Juma amedai kwamba Ibn Taymiyya alionekana na Ibn Batuta akishuka kwenye membari ya msikiti mkuu wa Damascus huku akisema: Allah anashuka kama hivi

ninavyoshuka mimi! Juma ameunukuu uongo huu kutoka kwa Msafiri na Baharia
maarufu ajulikanaye kwa jina la Ibn Batuta. Soma madai yake kisha uyalinganishe na majibu yetu. Mfano wa nne: Mfano wa nne wa kukuthibitishia kuwa ndugu Juma haoni haya kusema uongo katika kuzitumikia chuki zake dhidi ya Ahlu Sunna, ni pale alipodai kuwa Imamu Ibnul-Qayyim amesema kwamba Allah ana mbavu mbili! Ili kuufichua uongo wake, soma maelezo yake kwa upole kisha usome majibu yetu, halafu ulinganishe bila ya ushabiki. Mfano wa tano: Mfano wa tano wa kukuthibitishia kuwa ndugu Juma amekiandika kitabu chake 'Fimbo ya Musa' kwa chuki na uadui ni pale alipodai kuwa Imamu Ibn Baz anawakufurisha waislamu wanaodai kuwa umbile la dunia ni duara. Maneno hayo ya uongo aliyoyanukuu kutoka kwenye magazeti ya uongo. Na ameyanukuu kwa lengo la kumtukana na kumdhalilisha Mwanachuoni huyo mkubwa wa Ahlu Sunna katika zama hizi. Soma madai yake, halafu usome majibu yetu juu ya nukta hiyo kisha ulinganishe.

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Kitabu hiki; kimebainisha juu ya upotoshaji wa historia uliofanywa na ndugu Juma Mazrui kwa kuipaka matope itikadi ya Ahlu Sunna kwa kuiita kuwa ni itikadi za Kiwahabi, Mushabbiha, Mujassima na Hashawiyya na wakati huo huo akaipamba itikadi ya Ash'ariyya kwa kuifanya kuwa ndiyo itikadi ya Ahlu Sunna wal-Jamaa. Lakini ninaamini kwamba ukiyasoma maelezo yetu vizuri juu ya historia ya makundi na hali za mizozo ya kiitikadi, utabaini kuwa; Itikadi ya hao wanaoitwa Mawahabi ndiyo itikadi sahihi, itikadi ya Ahlu Sunna wal-Jamaa, ndiyo itikadi ya Maimamu wakubwa kama Abu Hanifa, Malik, Shaafiy na Ahmad Ibn Hanbali na ndiyo itikadi ya Salaf Swaalih (Maswahaba na Taabiina). Kitabu hiki kimeielezea historia ya Mushabbiha na Mujassima, kwa lengo la kukufahamisha kuwa matusi haya tunayotukanwa sisi tuitwao Mawahabi hii leo na kina Juma na wenzake kwa kutuita Mushabbiha, Mujassima na Hashawiyya, ndiyo matusi hayo hayo waliyoyatumia Jahmiyya na Mu'tazila kina Bishri Al-Mirisiy kuwatukana kina Imamu Abu Hanifa, Imamu Malik, Imamu Shaafiy, Imamu Ahmad, Imamu Al-Bukhari, Imamu Muslimu, Imamu Abu Daudi na wengineo. Kwa hiyo; Kitabu hiki; kimethibitisha kwa hoja madhubuti kwamba itikadi ya Ahlu Sunna walJamaa ndiyo itikadi sahihi ambayo wanatakiwa waislamu wote washikamane nayo, itikadi ya kumthibitishia Allah Majina na Sifa zake zote alizojisifia mwenyewe katika kitabu chake au kupitia ulimi wa Mtume wake swalla llaahu alayhi waalihi wasallam, kama itikadi ya kuwa Allah yuko juu ya Arshi yake na hiyo ndiyo itikadi ya wema waliotangulia (Salaf Swaalih) miongoni mwa Maswahaba, Taabiina na Maimamu wakubwa waliokuja baada yao. Halikadhalika kitabu hiki kimebainisha kwa mujibu wa historia sahihi sababu zilizopelekea wafuasi wa madhehebu nyingi za Fiq'hi kugeuka kuiacha madhehebu ya haki ya Ahlu Sunna, ambayo ndiyo madhehebu ya asili za Maimamu wao na hatimaye wakajiingiza katika madhehebu zenye mirengo ya ki-Falsafa na matumizi ya akili finyu. Kitabu hiki; kimebainisha kwamba , mageuzi hayo yalitokea kidogo kidogo na na kushamiri katika kipindi cha katikati ya karne ya nne na tano. Na hili tumelifanya kwa lengo la kubatilisha dhana potofu alizozijenga ndugu Juma Mazrui kwa wasomaji wake kuwa itikadi za Ahlu Sunna -alizoziita kwa jina la itikadi za kiwahabi- ni itikadi za kikundi kidogo cha Maimamu wa ki-Hanbali na baadhi ya wanachuoni wa Hadithi. Kitabu hiki; kimebainisha kwamba Manhaj ya Ahlu Sunna wal-Jamaa katika kuyafahamu maandiko matakatifu ni Manhaji sahihi isiyoyumba, bali ndiyo Manhaji pekee ambayo inamfanya mtu awe na itikadi sahihi iliyosalimika na fikra chafu za kuyapinga mambo ya ghaibu kwa kutumia akili butu.

xi 8

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Kitabu hiki; kimebainisha kuwa Ahlu Sunna hao waitwao Mawahabi hawamkufurishi Muislamu yeyote bila ya hatia, bali kitabu hiki; kimebainisha kwa muhtasari kuwa Khawaariji wakiwemo Ibadhi ndiyo wenye tabia hiyo chafu ya kuwakufurisha Waislamu bila ya hatia, bali ikibidi kuwauwa hata kwa kuwavizia. Na jambo hili tumelithibitisha kwa kutoa mifano kutoka ndani ya vitabu vyao. Kwa mfano: i. Tumebainisha na kufichua kuwa katika itikadi za Khawaariji (Ibadhi) ni kuwaona waislamu wote ni watu wa motoni maadamu si Ibadhi hata kama wataswali, watafunga dahri, na watatoa sadaka bila ya mipaka. ii. Kitabu hiki kimebainisha na kufichua kuwa msimamo wa Khawaariji (Ibadhi) dhidi ya baadhi ya Maswahaba wakubwa kama vile Uthman Ibn Affaan, Ali Ibn Abi Twalib, Hasan na Husein watoto wa Ali, Muawiyah, Amru Ibn AlAasi, Abu Musa Al-Ash'ariy na wengineo, kwa mujibu wa msimamo wa Ibadhi, Maswahaba wote hao wanastahiki kutukanwa na kulaaniwa. iii. Kitabu hiki kimebainisha kuwa msimamo wa Khawaariji (Ibadhi) ni kwamba Maimamu wakubwa wa Ahlu Sunna kama vile Imamu Malik Imamu AlAwzaa'y na wengineo katika wanachuoni wa Kiislamu ambao si Maibadhi, ni walinganizi wa motoni. iv. Kitabu hiki pia kimebainisha kwa nukuu za hakika kutoka ndani ya vitabu vyao vya kutegemewa kuwa msimamo wa Khawaariji (Ibadhi); Mtu yeyote atakayewakosoa au kuitia dosari madhehebu yao kwa kuwajibu hoja zao, basi mtu huyo atastahiki kuuwawa, kama itashindikana kumuua kwa dhahiri basi hata kwa siri na kuviziwa, kama alivyofanyiwa Khardala kwa amri ya Imamu wao Jaabir Ibn Zaid! v. Kitabu hiki pia kimebainisha kwa nukuu zilizothibiti kutoka ndani ya vitabu vya Ibadhi kwamba msimamo ni kuwa; Muislamu yeyote mwenye shaka juu ya ukweli wa madhehebu yao basi huyo ni MNAFIKI, HATAINGIA PEPONI HATA KAMA ATASWALI MPAKA AKAVIMBA MSHIPA WAKE WA USO! Kutokana na majibu yetu haya yaliyo dhidi ya tuhuma za Bwana Juma ninaamini kwamba ukikisoma kitabu hiki kwa moyo safi, bila ya ushabiki, wala chuki, utapata ufumbuzi wa kero yako.

xii9

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

KUHUSU KITABU CHETU HOJA ZENYE NGUVU Ama kuhusu kitabu chetu 'Hoja zenye Nguvu', kitabu ambacho ndugu huyo wa ki-Ibadhi amekusudia kukijibu kupitia kitabu chake alichokiita 'Fimbo ya Musa' pamoja na hoja thabiti zilizomo humo tena zenye nguvu kama jina lake lilivyo, lakini kwa mtazamo wa ndugu Juma Mazrui na jamaa zake aliowauliza kuhusu kitabu hicho wao wanadai kuwa hamna kitu katika kitabu hicho, bali ni matusi matupu! Amesema ndugu Juma katika ukurasa wa 29 wa kitabu chake 'Fimbo ya Musa': "Ninachoweza kusema ni kuwa Al-Hamdu Lilahi Rabil Al-Alamin. Watu wote niliowauliza au walioniambia wenyewe kuhusu fikra zao juu ya kitabu hicho cha Sheikh Kasim Mafuta ni kuwa Hamuna kitu: matusi matupu Kisha akasema katika ukurasa wa 31: "Tukirudi katika kitabu cha Sh. Kasim Mafuta ni kuwa tatizo moja kuu na la wazi la kitabu cha Sheikh huyo kama kinavyojionesha chenyewe kitabu hicho, ni kuwa hakikuandikwa kwa moyo wa kutaka kuwafahamisha watu dini yao, bali kimeandikwa kwa hamasa na chuki na ushabiki. Jambo hili kimekifanya kitabu chake kijae matusi na lugha mbaya sana ambazo mtu mwenye kutafuta dini yake kinamfanya aone kwamba hawezi kujipatia faida katika kitabu hicho. Sijui ni mtu gani anayejinasibu na Sunna za Mtume (s.a.w.) akajiita Ahlu Sunna halafu akaweza kuwatukana Waislamu bila ya kuwa na hoja sahihi, wakati Sunna inasema: Kumtukana Muislamu ni ufasiki na kumpiga ni ukafiri, sasa wewe ni

Ahlu Sunna vipi, ilhali suna umeiweka pembeni na ukafuata matamanio ya nafsi
yako?" Mwisho wa kunukuu. MAJIBU YETU Maneno haya ya Juma tuliyoyanukuu hapo juu ni maneno ya kishabiki yaliyokosa muelekeo wa kielimu, na bila shaka, zile nasaha alizozitoa ndugu huyu akituusia juu ya kuacha ushabiki katika mijadala ya dini, nasaha hizo hazikumsaidia yeye mwenyewe na hii inatokana na kukosa Ikhlasi katika kauli na vitendo. Kwa sababu huyu Juma ndiye uliyesema katika ukurasa wa 40 katika kitabu chake 'Fimbo ya Musa' maneno haya yafuatayo: "Nayo ni kwamba majibizano ya kidini, si kama ushabiki wa mpira au vyama vya siasa ya kidunia. Tunapojadili mambo ya kidini ya Allah huwa tunajadili kitu adhim kuliko yote yaliopo duniani. Wala si lengo kuwa mtu aambiwe kuwa yeye anajua au aambiwe kuwa kajibu." Kisha ukamalizia kwa kusema: "Kwa hivyo, lengo ni kuifikisha haki kwa watu kwa kutarajia thawabu za Allah. Hii ni kusema kwamba taq-wa na ikhlas ni masharti ya lazima katika mijadala kama hii."

10 xiii

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Kama kweli nasaha zako hizi zimekusaidia wewe mwenyewe kwanza kabla ya kuwataka watu wengine ziwanufaishe, kwa nini unatuletea tathmini hizi za uongo bila ya kuona haya? Vipi unapata ujasiri wa kusema kwamba; katika kitabu changu 'Hoja zenye nguvu' hamna kitu ni matusi matupu! Ukisema kwamba hamna kitu na hoja zote zilizomo humo si hoja za kielimu, ulimwengu wa watu wanaopenda haki na wenye maarifa ya kutathmini mambo watakudharau na watazidharau kazi zako za uandishi, kwa sababu kila aliyesoma kitabu chetu 'Hoja zenye nguvu' kwa umakini amebainikiwa kwamba kitabu chako 'Hoja zenye nguvu' kimekusanya ubabaishaji na upotoshaji mwingi sana. Ama kuukataa ukweli kisha ukajiliwaza kwa tathmini uliyopewa na watu wa madhehebu yako, ni alama tosha ya kwamba wewe uko katika ushabiki. Hivi ulitarajia kupata majibu gani pale ulipowauliza watu wa madhehebu yako ya Ibadhi? Ulidhani watakikashifu kitabu chako na wakisifie kitabu changu? Tathmini hazitafutwi namna hiyo, kaa chini utafakiri na uyazingatie yale unayoambiwa, usitake kujiridhisha kwa tathmini za uongo. Tukiachana na hilo, ama kuhusu suala la kuwa kitabu changu kimejaa matusi matupu! Je hukujiuliza mara mbili mbili kuhusu matusi yako uliyoyatoa dhidi ya wanachuoni wa Ahlu Sunna na uongo mwingi uliowazulia kwa lengo la kuwachafua? Je huoni kuwa Hadithi uliyoitoa inakurudia mwenyewe? Ama madai yako ya kuwa mimi nimewatukana Waislamu wenzangu, hayo si madai ya kweli, kwa sababu nimejaribu kuangalia kwa umakini, ni wapi katika kitabu changu 'Hoja zenye nguvu' nimemtukana mtu kwa dhulma ili nijirekebishe? Lakini sikuona. Ila ninahisi kuwa; matusi unayokusudia ni pale nilipowaita Ibadhi kwa jina lao la Khawaariji! Kama ni mahali hapo, je hili ni tusi, au ndilo jina lenu tangu hapo kale? Kama jina lenu hili la Khawaariji kwenu nyinyi ni matusi, je haya majina uliyotubandika sisi ukatuita: Mawahabi, Mujassima, Mushabbiha na Hashawiyya, je, kwetu sisi ni sifa nzuri? Na majina yote haya umeyajaza kwenye vitabu vyako. Haukuridhika na hilo, bali ukawakashifu wanachuoni wetu, ukawazulia uongo na ukawapa wasifu mbaya na ukavitweza vitabu vyao mpaka ukafikia kudai kuwa vinanuka ugoro! Je, yote haya si matusi? Matusi ni nyinyi Ibadhi kuitwa kwa jina Khawaariji! Au utadai kuwa nimetukana pale niliposema; ndugu Juma Mazrui anasema uongo na ni mjinga. Je, kama ni kweli umesema uongo unatarijia nitakuita mkweli? Unachotakiwa ni kuibatilisha tuhuma uliyotupiwa kwa hoja za kielimu na si kwa kulalamika na kutafuta msaada wa nguvu ya umma. Ama kuhusu tuhuma ya ujinga, mimi ninavyofahamu ni kuwa ujinga si matusi kama sifa hiyo atapewa mtu anayestahiki. Au utasema nimetukana kwa sababu nilisema: Mufti Sheikh Ahmad Ibn Hamad AlKhaliily amemzulia uongo Imamu Ibnul-Qayyim kwa kulipindua shairi lake? Kama ni maneno hayo, mimi sikumtukana, bali nimesema jambo la kweli, kwa sababu Sheikh wako Al-Khaliil amelipindua kweli shairi hilo, na wewe mwenyewe umekiri hilo. Ama suala la kumtetea kwamba maana haijabadilika, hilo ni jambo jingine, lakini swali linabaki pale pale; je Sheikh wako Al-Khaliil amelipindua shairi hilo au hakulipindua?

11 xiv

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Au utaniambia kuwa nimetukana pale niliposema kuwa Sheikh wako Said Mabruuk AlQannubi amemzulia uongo Sheikh Al-bani kuhusu mpokezi Hammaad Ibn Salama 1. Ama madai ya kuwa kitabu changu kimeandikwa kwa hamasa na nimekijaza chuki na ushabiki, haya si maneno ya mtu mwenye kusoma akaelewa mambo, bali hizi ni lugha za ulaghai kama lugha za wanasiasa waongo. Na inshaa-llaah, si muda mrefu utaona katika kitabu hiki (Ole wake..!) namna ambavyo ndugu huyu alivyokijaza kitabu chake uongo, matusi, hamasa za kijinga, chuki binafsi, ushabiki na uadui. Kabla ya kumalizia utangulizi huu mfupi ninathubutu kusema; Kitabu kilichopo mikononi mwako ni miongoni mwa vitabu vichache vya lugha ya Kiswahili vinavyojadili na kuzungumzia juu ya kadhia mbalimbali za mambo ya kiitikadi hususan juu ya Sifa za Allah na msimamo wa baadhi ya madhehebu zinazojinasibisha na uislamu kama vile Jahmiyya, Mu'tazila, Ash'ariyya, Maaturidiyya na Salafiyya/Ahlul-Sunna. Tumefanya hivyo kwa lengo la kuubainisha msimamo sahihi walionao Ahlu Sunna walJamaa katika masuala ya kiitikadi. Na kwa kufanya hivyo ndiyo utabainikiwa kuwa hao wanaoitwa Mawahabi ndiyo Ahlu Sunna wa hakika katika itikadi, ibada na nyanja zote za maisha. Pamoja na kitabu hiki kuzijibu shutuma na tuhuma mbali mbali zinazoelekezwa na Wazushi dhidi ya Ahlu Sunna wal-Jamaa/As-Salafiyya pia kimetoa changamoto mbali mbali katika mambo ya kielimu. Kwa hiyo kitabu hiki kimefuta dhana potofu alizozielekeza Muibadhi Juma Mazrui dhidi ya Ahlu Sunna pamoja na kuufichua uongo wake kwa hoja za kielimu.

Abul Fadhli Kassim Ibn Mafuta Ibn Kassim, P.o.box 398, Pongwe Tanga Tanzania.

-Kwa masikitiko zaidi ndugu Juma ameendelea kuukoleza uongo wake katika kitabu chake Fimbo kuhusu mpokezi huyu! Wallaahul-Musta'an, na inshaallaahu utabainikiwa na uongo wake huo katika chapa ya pili ya kitabu chetu "Hoja zenye Nguvu".
1

12 xv

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

SABABU ZA KUANDIKA KITABU HIKI


Huwenda mtu akapata shauku ya kuuliza swali; kwa nini umeamua kuandika kitabu hiki ambacho kinaonekana kiko katika sura ya kufukua mizozo na tofauti zilizopita huko nyuma baina ya madhehebu za Kiislamu? Atajibiwa kwa kuambiwa: Sababu kuu na ya msingi iliyonipelekea kushika kalamu na kuandika kitabu hiki ni upotoshaji uliofanywa na ndugu Juma Mohd Rashid Al-Mazrui kupitia vitabu vyake, hasa hasa kitabu chake alichokiita 'Fimbo ya Musa'. Ndugu huyu kutokana na nia na msukumo anaoujua yeye mwenyewe amekuwa akiwashambulia kwa chuki kubwa, dhulma na uadui Waislamu wa madhehebu ya Ahlu Sunna wal-Jamaa ambao yeye na wanaomuafiki wanawaita kwa jina la Mawahabi, amefanya hivyo kwa madai ya kulipiza kisasi na kujibu tuhuma zinazoelekeza dhidi yao kutoka kwa baadhi ya wafuasi wa Kiwahabi! Mtu kujibu tuhuma na kujitetea dhidi ya dhulma anayofanyiwa ni katika mambo bora yanayoruhusiwa katika Uislamu, kwa sharti la kuwa Muadilifu na kutovuka mipaka katika kujibu tuhuma hizo, si kwa kumzulia uongo hasimu wako wala kwa kupendua maneno. litumia jina ili kuhalalisha mashambulizi yake na hujuma zake dhidi ya wanachuoni wakubwa wa madhehebu hayo na vitabu vyao. Katika uandishi wa vitabu vya Kiswahili ukitoa waandishi wa madhehebu ya Shia Ith'naashariyya ambao kwa kiasi kikubwa hawakubaliki katika jamii ya Masuni, hakuna aliyejitokeza na kujitwika mzigo huu wa kuyaandika masuala ya kiitikadi kwa vitabu maalumu vyenye mashambulizi ya moja kwa moja dhidi ya Ahlu Sunna wal-Jamaa zaidi ya ndugu huyu wa ki-Ibadhi ambaye ukivisoma vitabu vyake hutapata taabu ya kujua kwamba anaandika kwa msukumo wa chuki na uadui. Ndugu huyo alianzisha hujuma zake hizo kupitia kwenye kitabu chake alichokiita 'Kisimamo katika Sala, kunyanyua mikono na itikadi za Kiwahabi' kilichochapishwa mwaka 2003, pamoja na udhaifu wa hoja zilizomo humo, lakini jambo la kusikitisha ni kuwa hakujibiwa na mtu yeyote kwa kipindi chote hicho hadi leo. Halikadhalika katika kitabu chake alichokiita 'Hoja zenye Nguvu juu ya kutoonekana Mwenyezi Mungu kwa macho' ambacho pia kilichapishwa mwaka huo huo wa 2003, kitabu ambacho ndani yake amewatuhumu Ahlu Sunna na wanachuoni wao kwa tuhuma nyingi za uongo. Baada ya kukipata kitabu hicho (Hoja zenye nguvu) na kukipitia, niliona kuwa kuna umuhimu mkubwa wa kukijibu kwa jawabu fupi, ndipo nilipoandika kijitabu nilichokiita 'Hoja zenye Nguvu katika kuthibitisha kuonekana Allah Sub'haanahu wata'alaa kwa

13 xvi

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

macho huko Akhera' kupitia kitabu hicho niliyabatilisha baadhi ya madai yake na nikaufichua uongo wake. Lakini kutokana na ukaidi wa ndugu huyu na kupenda ushindani, hakukuri hata kosa lake moja, ndipo alipoandika kitabu alichokiita 'Fimbo ya Musa' ili kukijibu kijitabu hicho chenye kurasa 175 tu kwa juzuu nne kwa mujibu wa madai yake! Hii juzuu ya kwanza tmeviona vituko vyake, sasa tunazisubiri kwa hamu hizo juzuu nne zilizobaki. Katika kitabu chake 'Fimbo ya Musa' hakuleta jipya isipokuwa amejaribu kuyakariri na kuyakunjua kwa upana zaidi yale yale aliyoyaandika kwenye kitabu chake 'Kisimamo' na 'Hoja zenye Nguvu' na kuyaboresha zaidi, pia amejitahidi kuvifanyia tarjama vitabu kadha wa kadha, vitabu ambavyo waandishi wake wanajulikana kuwa ni mahasimu wakubwa wa Ahlu Sunna wal-Jamaa, na hivi vifuatavyo ni baadhi ya vitabu hivyo na watunzi wake:As-Salafiyya Al-Wahaabiyya' na 'Tanaaqudhaatil-Albaniy' 2 vyote hivyo ni vya Sheikh Hasan Ibn Ali As-Sagaaf As-Sayful-Haadd, cha Muibadhi Said Mabruok Al-Qannubi 3

Qira-atu Fii Kutubi Al-Aqaaid 4' cha Hasan bin Farahaan Al-Maalikiy Qiraa-atun Fii Jadaliyyati Ar-Riwaya Wa Ad-Diraaya' cha Muibadhi Dr. Zakariyya
bin Khalifa Al-Muharrami Al-Balsamu As-Shaafi' pia cha huyo huyo Dr. Zakariyya.

Ndugu Juma amevifanyia tarjama vitabu hivyo akidhani kwamba amepata hoja za msingi, kisha akaongezea juu yake Uswahili wake, kiasi ambacho msomaji akikisoma kitabu chake 'Fimbo ya Musa' atadhania kwamba Juma amefanya Bahthi (Reserch) ya nguvu sana, kumbe ni masuala ya Kukopi na Kubandika (Copy and Paste)! Na hiyo ndiyo sababu iliyomfanya akijaze kitabu chake uongo mwingi. Kutokana na hali hiyo ya upotoshaji, nimeona kuwa hakuna budi ila kuzijibu tuhuma za msingi alizozielekeza kwetu na kuubainisha udanganyifu alioujaza katika kitabu hicho na vitabu vyake vingine kwa msaada wa vitabu vya watu hao tuliowataja. Kutokana na

- Kitabu hiki kimejibiwa kwa ufundi mkubwa na Sheikh Amru Abdil-Mun'im Saliim kwenye kitabu alichokiita 'Difa'an Anis-Salafiyya' ndani yake amevijibu vitabu vinne vya As- Sagaaf na miongoni mwa vitabu hivyo ni kitabu hiki 'Tanaaqudhaatul-Albani' na 'Sahihi Sifati As-Swalaat'. 3 - Kitabu hiki kimejibiwa kwa ufundi mkubwa na Sheikh Abdul-Aziz Ibn Faisal Ar-Raajihi kwa kitabu chake alichokiita "Qudumu Kataibil-Jihaadi' na inshaa-llaah tutakitolea maelezo mafupi kitabu Sayful-Haad na majibu ya Sheikh Ar-Raajihi katika kitabu hiki. 4 -Pia Kitabu hiki kimejibiwa kwa ufundi mkubwa na Sheikh Abdul-Aziz Ibn Faisal Ar-Raajihi kwa kitabu chake alichokiita kwa jina la "Qam'u Ad-Dajaajila"
2

14 xvii

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

kukithiri mambo ya uongo ndani ya vitabu hivyo, nimeona kuwa kitabu hiki nikiite: 'Ole wake! Kila mwenye kuzua uongo mwenye madhambi'.

15 xviii

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

NENO LA SHUKRANI
Kwanza kabisa, ninamshukuru Allah Al-Maula Al-Qadiiru kwa kuniwezesha kukiandika kitabu hiki kwa wepesi na umakini wa hali ya juu. Yeye ndiye anayestahiki zaidi kusifiwa na kushukuriwa kwa neema zake nyingi alizonineemesha juu yangu. Hivyo sina budi kusema: [Ewe Mola wangu! Niwezeshe kuzishukuru neema zako ulizonineemesha mimi na wazazi wangu. Na niwezeshe kutenda matendo mema unayoyaridhia. Na unitengenezee watoto wangu; Kwa hakika mimi ninatubu kwako na mimi ni miongoni mwa Waislamu (waliojisalimisha kwako).] Pia ninamuomba yeye Jalla wa A'laa anijaalie mimi na wasomaji wa kitabu hiki kuwa ni wepesi wa kuielewa haki na kuifuata kwa lengo la kutafuta radhi zake. Na wala lisiwe lengo letu ni kuwafurahisha wanaadamu na kutafuta radhi zao, kwa sababu ridhaa za wanaadamu ni matumaini yasiyofikiwa. Bila kusahau kuwapelekea Shukrani Jamaa na Ndugu zangu wote walioniwezesha kwa njia mbali mbali mpaka nikafanikiwa kufikia hatima ya kitabu hiki. Allah awalipe kila la kheri na atuongoze sote katika njia iliyonyooka.

AAMIIN!

16 xix

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

SURA YA KWANZA

MAJIBU YA OMBI LA MJADALA WA WAZI, TANGAZO LA MUBAAHALA NA KUKIRI MAKOSA

1 17

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

SURA YA KWANZA
MAJIBU YA OMBI LA MJADALA WA WAZI NA TANGAZO LA MUBAAHALA Katika mambo aliyojitapa nayo ndugu Juma katika kitabu chake na kujidhihirisha kwa watu kuwa ni mtu mwenye hoja nyingi za kielimu ni suala la mjadala wa wazi na Mubaahala (Kuomba laana ya Allah iwe juu ya muovu/dhalimu). Amesema Juma Mazrui katika ukurasa wa 29: "Kwa hivyo, namwambia ndugu yetu Sheikh Kasim Mafuta kwamba kitabu changu Hoja Zenye Nguvu bado hakijajibiwa kwa hoja sahihi na kwa hivyo bado ni hoja yangu mbele ya Allah siku ya Kiama NA ANAYETAKA MJADALA WA WAZI JUU YA MAUDHUI HII MIMI NIKO TAYARI NA ANAYETAKA MUBAHALA KWAMBA ALLAH ATEREMSHE LAANA YAKE JUU MWENYE ITIKADI MBOVU KATIKA SUALA HILI AU JUU NANI NI MWENYE ITIKADI MBOVU BAINA YETU SISI NA WANAOITWA MAWAHABI MIMI NIKO TAYARI." Mwisho wa kunukuu. MAJIBU YETU Ninamwambia ndugu yangu Juma Mazrui kwamba kitabu chako kimejibiwa kwa hoja sahihi, tena hoja za msingi zenye nguvu, lakini tatizo lako ni kwamba tayari umeshajichagulia msimamo wa kufa na kuzikwa nao, kwa hiyo hauko tayari kubadilika kuiacha dini ya wazee. Na sisi hatuna dawa ya kukupa zaidi ya kukuombea Tawfiiq kwa Allah akuongoze kwenye njia ya haki, njia ya Ahlu Sunna wal-Jamaa, wewe na Masheikh zako na kila Muislamu aliyepatwa na mtihani kama wako kwa kuingia katika balaa la bid'a na kuwa mbali na Sunna za Mtume Muhammad swalla llaahu alayhi waalihi wasallam na njia ya wema waliotangulia (As-Salaf As-Swaalih). Ama kuhusu kauli yako: "kitabu changu Hoja Zenye Nguvu bado hakijajibiwa kwa hoja sahihi na kwa hivyo bado ni hoja yangu mbele ya Allah siku ya Kiama"! kwa hili, mimi sina kauli zaidi ya kusema; Laa Haula walaa Quwwata illaa bi-llaahi! Hivi kweli wewe unafahamu unachokisema? Ule uongo mwingi ulioujaza kwenye kitabu chako, ndiyo unathubutu kuuita kuwa ndiyo hoja yako mbele ya Allah siku ya Qiyama? Yaa Rabbi tusalimishe na Kibri, Ukaidi, Hasadi, Kujiona na mengineyo miongoni mwa maradhi ya nyoyo. Allaahumma Aamiin. Ama kuhusu ombi lako la mjadala wa wazi au Mubaahala, mimi ninasema, tena kwa ujasiri na kwa moyo thabiti:

2 18

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

MIMI ABUL-FADHLI KASSIM IBN MAFUTA IBN KASSIM IBN UTHMAN NIKO TAYARI KUFANYA MIJADALA YA KIELIMU JUU YA MAUDHUI HII NA NYINGINEZO KWA MASHARTI NITAKAYOYATAJA HAPO MBELE. Ama suala la Mubaahala, pia hilo niko tayari nalo, tena ninalianza sasa hivi kwenye kitabu changu hiki kwa kusema: EWE ALLAH TEREMSHA LAANA YAKO, ADHABU ZAKO NA GHADHABU ZAKO JUU YA YULE MWENYE ITIKADI MBOVU BAINA YETU SISI AHLU SUNNA WAL-JAMAA TUNAOITWA MAWAHABI NA IBADHI WANAOJIITA AHLUL-HAQI WAL-ISTIQAAMA. Na kama kauli hii haitoshi nikihitajika kufanya Mubaahala sehemu yeyote wakati wowote pia niko tayari. JE NI KWELI KUKIMBIA MJADALA NI SERA YA KIWAHABI? Miongoni mwa mambo ya uongo ambayo ndugu Juma ameyajaza katika kitabu chake 'Fimbo ya Musa' mpaka kikaonekana kitabu chake kuwa ni kikubwa cha kutisha, ni suala hili la kukimbia mijadala. Amesema Juma katika ukurasa wa 423: "KUKIMBIA MJADALA NI SERA YA KIWAHABI Sasa baada ya hayo, ndugu Mafuta nataka uelewe tena mambo haya: Kukimbia mijadala ndio sera ya Kiwahabi, kwani wanajijua kwamba hawana hoja, wanataka watu wawafuate tu katika itikadi zao za kumfananisha Allah na binaadamu, bila hata ya kuzijadili hoja zao." MAJIBU YETU Mtu yeyote anayezijua tabia za Ahlu Sunna wal-Jamaa, hao ambao wazushi wanawaita kwa jina la Mawahabi, hatasita hata kidogo kuyakadhibisha maneno haya ya ndugu Juma Mazrui na kuyaita kuwa ni maneno ya uongo yaliyojaa chuki. Takriban Waislamu wote hapa Afrika ya Mashariki, wanaoishi katika miji mbali mbali kama vile; Dar es Salaam, Tanga, Unguja, Pemba, Mombasa, Malindi, Lamu na kwengineko ni mashahidi juu ya mijadala mingi iliyojiri na inayojiri kila uchao baina yao na hao waitwao Mawahabi na Waislamu wa madhehebu mengine, hasa wafausi wa madhehebu za ki-Sufi, juu ya kadhia mbali mbali za kidini. Sina shaka kuwa jambo hili hata ndugu Juma naye analifahamu. Kama huukumbuki mjadala uliofanyika kule Kengeja- Pemba baina ya hao Mawahabi na Masufi juu ya kadhia za mwezi? Je, huukumbuki hata ule mjadala wa mwaka 1991 ulioitishwa na Rais mtaafu wa serekali ya mapinduzi ya Zanzibar Dr. Salmin Amour Juma kule Unguja? Mjadala huo uliofanyika baina ya waislamu wa madhehebu ya Ahlu Sunna wal-Jamaa na Masufi wa madhehebu ya Ash'ariyya. Mwisho ninakukumbusha mjadala uliofanyika mwaka huu huko shamba ya KizimkaziKusini Unguja baina ya wafuasi wa madhehebu ya Salaf Swaalih (Ahlu Sunna wal-Jamaa) na watetezi wa bid'a ya maulidi wakiiwakilisha Afisi ya Mufti wa Zanzibar. Na mjadala huo haukuwa wakubahatisha na kukurupuka, bali ulipangwa kwa taratibu za kiofisi na

3 19

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Afisi ya Mufti wa Zanzibar ilihusika na uthibitisho wa hilo, sikiliza Cassette za mjadala huo utazisikia sauti za wahusika wakuu wa Afisi hiyo. Kwa upande wa watetezi wa Maulidi alisimama Sheikh Khamis Abdul-Hamid, Sheikh Dedesi wa Twariqa ya Qaadiriyyah na Sheikh Juma Faki wakiongozana na Sheikh Suraga. Na mjadala huo ulifunguliwa na Sheikh Kassim Fatawi. Kwa upande wa sisi unaotutuhumu kuwa ni waoga, ambao sera yetu ni kukimbia mijadala nilikuwepo mimi Kassim mwana wa Mafuta, Al-Akhi Abu Nai'mah, Al-Akh Muhammad Ibn Mafuta na ndugu zetu wengine katika Ahlu Sunna tuliosuhubiana nao kutoka Unguja, Pemba na Tanzania Bara. Je, bado sisi ni watu wa kukimbia mijadala? Ulitaka tujadiliane na nani ili uridhike? Bali imeshafanyika mijadala chungu nzima baina ya Ahlu Sunna na Shia Raafidha, ila hatujawaona Ibadhi wakijadiliana na yeyote. Bali jambo hili la mijadala baina ya hao unaowaita Mawahabi na makundi mengine imekuwa ni mashuhuri ulimwenguni kote. Na mfano mwingine wa wazi ni ile mijadala iliyokuwa ikiongozwa na Dr. Muhammad Al-Haashimiy Al-Haamidiy katika kipindi cha Al-Hiwaaru As-Sariih baada At-Tarawiih, 5 kilichokuwa kikirushwa na Channel 6 ya Mustaqilla iliyoko London-Uingereza, mijadala hiyo pia ni ushahidi wa kutosha kwamba hao mnaowaita Mawahabi hawakimbii Mijadala. Masheikh na wataalamu wa madhehebu mbali mbali walijitokeza kufanya mijadala, kama vile wataalamu wa Shia na Masufi, na wote hao walikuwa wakijadiliana na watu wanaoitwa Mawahabi, na bila shaka jambo hili unalifahamu. Na makundi ambayo hayakujitokeza pale ni Ibadhi!!! Bohora!!! na Kadiani!!! Sijui ni kwa nini ndugu hawa hawakuhudhuria katika mijadala ile? Labda Sheikh Juma anaweza kulijibu swali hili. Lakini siku moja katika kuperuzi (kupekua) kwangu kwenye baadhi ya kumbi za Internet nilikutana na barua moja iliyoandikwa na baadhi ya jamaa waliojitambulisha kama wafuasi wa madhehebu ya Ibadhi walioko Al-geria, maudhui ya barua hiyo ni malalamiko ya jamaa hao wanayoyaelekeza kwa kiongozi mtegemewa kwa Ibadhi, Mufti wa Oman Sheikh Ahmad Ibn Hamad Al-Khaliliy mara baada ya kualikwa kwenye Channel hiyo ya Mustaqilla kwa ajili ya mjadala kisha akatoa udhuru wa kutokuhudhuria kwa dakika za mwisho sana! Kama hili ni kweli kwa sababu si kila maneno yaliyowekwa kwenye Internet ni ya kweli-, ndiyo maana nikasema; kama ni maneno ya kweli, sijui unalielezea vipi suala hili ndugu yangu? Hilo ni mosi. Pili, kama kweli Mufti Al-Khaliliy, Al-Qanuubi, As-Siyaabiy na wengineo katika wanachuoni wa ki-Ibadhi wanataka mijadala ili kuitangaza madhehebu yao na kufuta tuhuma wanazotupiwa, hata kama hawakualikwa kule London, kwa nini basi wasiiombe fursa hiyo ili ulimwengu upate faida? Au waliogopa kuumbuka kama alivyoumbuka Sheikh wa Masufi Hassan Ibn Ali As-Sagaaf?
- Na kwa ushahidi zaidi ukirejea katika Website ya Channel hii utaikuta mijadala mingi imehifadhiwa, kwa hiyo unaweza kujionea mwenyewe haya ninayoyasema. 6 - Kwa wakati huo bado tulikuwa tuko katika mtihani wa kupoteza muda kwa kuangalia ma-Tv na maDish kwa hoja ya kwamba tunataka kujua habari za kilimwengu! Allah atusamehe kwa muda tulioupoteza katika mambo haya ya kipuuzi.
5

4 20

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Au Ibadhi wanaogopa kuumbuka kama walivyoumbuka Masheikh wa Shia kina Dr. Muhammad Tijani Samawiy, ambao walikwenda pale kwa kujiamini lakini hatima yake wakaumbuka na wakawa kama kichekesho kwa walimwengu walioshuhudia! Bali tumeona kuwa Ibadhi wameitwa kwenye mijadala mingi, lakini hawakuwa tayari kuitikia, kwa mfano; Abdul-Rahman Ad-Dimash'qiyya aliwahi kumuandikia Sheikh Khaliliy barua ya kumuomba kufanya naye mjadala, lakini Mufti hakujibu kitu, pamoja na kwamba alimbainishia katika barua yake hiyo kwamba; kama anaona kuwa yeye AdDimash'qiy si makamo yake kufanya naye mjadala kwa kuwa yeye ni Mufti mkubwa, basi amchague kijana yeyote wa ki-Ibadhi mwenye elimu ya kutosha ajadiliane naye hasa hasa juu ya kadhia ya kuonekana Allah, lakini pia Mufti hakujibu kitu! Na nakala ya barua hiyo mimi niko nayo na nadhani kuwa bado iko katika Internet. Swali, baada ya maelezo yetu haya, ni nani anayekimbia mijadala? Ni Ibadhi au ni hao waitwao Mawahabi? Labda tuwaachie wasomaji watoe hukumu ya uadilifu baina yetu. Lakini kwa maelezo hayo, ni haki kwa watu wa sampuli hii kung'ang'ania kuwa Mawahabi wanakimbia mijadala! Kwa kudai kuwa Ibn Baz amemkimbia Khaliliy! Kama hayo ya Ibn Baz yalipita na yeye ameshafariki na wanafunzi wake na wanafunzi wa wanafunzi wake wako tayari kujadiliana na wameshajadiliana na makundi mbali mbali kama vile Mashia, Masufi kama kina Hassan Ibn Ali As-Sagaaf na wengineo, kwa nini Ibadhi na wao wasijitokeze kwenye mijadala hiyo badala ya kung'ang'ania kuandika vitabuni? Au wao peke yao ndio wanaogopewa? Ushahidi mwingine, ni ile mijadala mingi ya mwanachuoni mkubwa wa Hadithi Sheikh Muhammad Naasirud-din Al-bani aliyoifanya na watu mbali mbali, na Cassette (kanda) zake zilizopewa jina la Silsilatu Al-Hudaa wan-Nuuri ziko wazi juu ya hilo, na katika moja ya kanda nilizo nazo aliulizwa kuhusu kufanya mjadala na Khaliliy Mufti wa kiIbadhi, Sheikh Al-bani akasema yuko tayari wakati wowote, lakini hatukumsikia Ibadhi yeyote kujitokeza kukabiliana naye! Je, bado sisi tunastahiki kuambiwa kuwa katika sera zetu ni kukimbia mijadala? Je, nyinyi mliosimama juu ya haki mliwahi kujadiliana na nani hapa duniani au mna kazi ya kujisifia tu? MSIMAMO WA AHLU SUNNA JUU YA MIJADALA YA KIELIMU Mijadala ya kielimu iliyojengeka juu ya misingi ya hoja, nidhamu, heshima na adabu za kielimu ni moja kati ya njia muhimu za kuwalingania watu na kuwaita kwenye njia ya haki. Na hiyo ndiyo sababu iliyopelekea Qur-ani na Sunna kufungua mijadala ya kielimu hata kwa Ahlul-Kitaabi (Mayahudi na Wakristo), amesema Allah: { ] } [125

{Lingania kwenye njia (dini) ya Mola wako kwa hekima na mawaidha mazuri na jadilianeni nao kwa namna iliyobora zaidi. Hakika Mola wako ndiye anayemjua zaidi aliyeipotea njia yake na yeye anawajua zaidi walioongoka} Suratu An-Nahli Aya ya 125.
Na amesema tena Allah:

.[46 { ] }

5 21

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

{Na wala msijadiliane na watu wa Kitabu ila kwa njia iliyonzuri zaidi, isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao} Surat Al-Ankabut Aya ya 46. MASHARTI YA MIJADALA YA KIELIMU: Pamoja na kwamba jambo la mijadala ya kielimu limeruhusiwa na Sheria ya Kiislamu na pia hapo nyuma kwamba wanavyuoni wa Ahlu Sunna wal-Jamaa hawaikatai mijadala moja kwa moja, lakini nataka ifahamike kwamba; si kila mjadala unakubaliwa na Sheria, bali kuna masharti muhimu ambayo wanaojadiliana wanahitaji kuyachunga ili mjadala uwe na natija nzuri, kwa sababu lengo si kujadiliana na kushindana ili watu waone ufasaha wa kuzungumza, bali lengo ni Da'wa na kuidhihirisha haki na kuielimisha jamii husika. Hivyo basi, mijadala ya kielimu inaweza kufanyika kwa njia mbali mbali ikiwemo kukutana ana kwa ana baina ya wenye kujadiliana, lakini pia inawezekana mijadala ya kielimu ikaendeshwa kwa njia za kimaandishi kwa kuhudhurisha tafiti za kielimu. Na haya yote yalifanyika kwa wanavyuoni wetu waliotutangulia hapo zamani na hata sasa. Ama kuhusu mijadala hii ya kukutana ana kwa ana baina ya wenye kujadiliana ni vyema wanye nia ya kufanya hivyo kuchunga masharti yafuatayo:i. Wenye kujadiliana ni lazima wawe na elimu na maarifa ya kutosha juu ya kadhia wanayoijadili. Kwa maana hiyo; haitafaa kujadiliana na Wajinga au watu wasiofahamika katika nyanja za kutafuta elimu 7. ii. Wenye kujadiliana wawe tayari kuifuata haki pale itakapobainika hata kama haki hiyo imetamkwa na hasimu wake. iii. Kusiwepo na ushabiki wala ushindani. iv. Marejeo ya majadiliano baina ya Waislamu yanatakiwa yawe ni kitabu cha Allah na Sunna sahihi za Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam, bila ya kuisahau kuichunga misingi muhimu inayokubalika baina ya wenye kukubaliana kama vile Ijmai na Qiyaas Sahihi katika masuala ambayo yanakubali Qiyaas.

-Nukta hii ni muhimu sana, kwa hiyo ni lazima tuizingatie. Kwa kuwa ndugu Juma Mazrui ametangaza ombi la mjadala wa kielimu ni vyema na mimi nikajua kuhusu hatua za utafutaji wake wa elimu ya dini. Hasa ukizingatia kwamba hivi sasa kuna kundi kubwa la watu wanaovamia vitabu vya dini wao wenyewe kisha wanayadandia masuala ya kielimu na kuyazungumzia kwa kutumia ufasaha wao. Utashangaa kumuona mtu anatoka kwenye uganga wa kienyeji moja kwa moja hadi kwenye Uimamu Msikitini, hadi kwenye ngazi ya Usheikh wa kuandika vitabu! Bila shaka hii ni balaa kwa umma wa Muhammad swalla llaahu alayhi waalihi wasallam. Kwa nia njema nitapenda kuijua historia ya kila anayetaka kujadiliana na mimi, ima kwa kutumia mijadala ya kimaandishi au mijadala ya ana kwa ana, pamoja na kuzingatia masharti hayo hapo juu.
7

6 22

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

v. Mjadala usifanyike mahali pa wazi isipokuwa kwa lengo la kuidhihirisha haki baada ya kuwa watu wamepotoshwa au wametiliwa shaka katika imani zao. vi. Kuzingatia adabu katika mazungumzo, kusiwepo na lugha za kinyaa, matusi, dharau na kejeli. vii. Kujiepusha na aina zote za Munkari katika Majlisi ya mjadala, kama vile michanganyiko baina ya wanawake na wanaume na mengineyo. viii. Na kama wenye kujadiliana watapishana katika nukta za msingi kama vile marejeo yao ya kujihukumu baina yao, basi jambo lililobora na salama kwao ni kutojadiliana. Kwa sababu hawataweza kulifikia lengo. KUKOSOANA NA KUKIRI MAKOSA Suala la kukosoana na kukiri makosa pale unapokosolewa kwa haki, ni miongoni mwa tabia njema za watu waliopevuka kielimu pamoja na wale wanaotarajiwa kuwa na mustaqbali mzuri kielimu. Kwa nia na madhumuni ya kutekeleza amana ya kielimu ni vyema nikasema machache kuhusu baadhi ya makosa yaliyojitokeza katika kitabu changu "Hoja zenye nguvu katika kuthibitisha kuonekana Allah Sub'haanahu wa Ta'alaa kwa macho huko Akhera". Ukweli ni kwamba makosa mengi yametokana na hali ya uchanga katika uandishi, hasa ukizingatia kuwa kitabu hicho ndicho kitabu changu cha kwanza kwa lugha ya Kiswahili. Pamoja na uchanga wangu huo wakati wa kuandika kitabu hicho, lakini -ni ukweli usiopingika kwamba- kimewanufaisha watu wengi wanaopenda haki na hizo zote ni katika fadhila za Allah Sub'haanahu wa Ta'alaa juu yangu. Lakini kwa kuwa ukamilifu ni wa Allah sub'haanahu wa Ta'alaa peke yake, na sote sisi tunasifika na sifa ya upungufu na udhaifu, na mimi nimekuwa ni miongoni mwa waliokumbwa na udhaifu huo na kuingia katika baadhi ya makosa. Kwa hivyo basi, ni wajibu wangu kukiri makosa hayo kisha niyasawazishe na kuwaomba msamaha wasomaji wetu kutokana na usumbufu walioupata. Na makosa yenyewe ni haya yafuatayo: Kosa la kwanza: ni pale nilipomnukuu ndugu Juma Mazrui kimakosa katika kitabu chake 'Hoja zenye Nguvu' ukurasa wa 53, nikasema kuwa Juma amesema: "Neno Naadhira likifuatana na herufi ilaa basi kiasili linakuwa na maana ya kuona". Hili ni kosa nimelifanya katika kunukuu, ndugu Juma hakusema hivi, bali amesema kwamba; neno hilo maana yake ya asili ni kutazama kwa macho bila ya kuzingatia kuwa limefuatana na herufi ilaa au halikufuatana na herufi hio. Kosa la pili: ni pale nilipomnukuu Juma kuwa amesema kwamba: Chanzo cha upotevu wa watu ni kupinga kuwepo kwa Majazi katika Qur-ani. Na usahihi ni kuwa, Juma yeye alisema kuwa: Chanzo cha Mawahabi kutumbukia katika itikadi hizi ni kukanusha kwao kuwepo kwa majazi. Kosa la tatu: ni kuhusu Hadithi ya Kibriyaau nilitoa maelezo ya kimakosa pale baada ya kuinukuu Hadithi hiyo isemayo:

7 23

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Kisha mimi nikasema kwa kuitolea maelezo haya: "Hadithi hii ni kama zilivyo dalili zao nyingine zilizotangulia, si hoja ya kukataa kuonekana Allah huko akhera kwa macho. Bali hadithi hii inazungumzia kwamba baina ya waja na Mola wao kuna pazia na kizuizi ambacho kinawazuia wao kumuona yeye hapa duniani." Hili pia nalo ni kosa, kwa sababu hakuna Pepo ya Aden hapa duniani. Na maelezo sahihi ni yale ambayo nimeyanukuu kutoka kwa wanachuoni wakubwa wa Ahlu Sunna na nimeyataja katika chapa ya pili ya kitabu chetu "Hoja zenye Nguvu". Kwa hiyo, ninaitumia fursa hii kumuomba msamaha Allah aliyemkarimu mwingi wa kusamehe, anisamehe makosa yangu niliyoyafanya, bila ya kusahau kuwaomba msamaha wasomaji pamoja na ndugu yetu Juma Mohd Mazrui kutokana na usumbufu walioupata. TANBIHI: Kama kuna msomaji yeyote ambaye amegundua kuwa kuna makosa yoyote nililolifanya ni vyema akanifahamisha, na mimi ninaahidi kuwa niko tayari kujirekebisha na kufanya masahihisho bila ya kujali lugha atakayoitumia katika kunikosoa. Lakini kama mtu atanikosoa kutokana na ufahamu wake mbovu, au kwa sababu ya chuki zake na sababu nyinginezo, basi na yeye akubali kukosolewa ili haki ifahamike na ibakie kuwa juu badala ya kujitetea kwa lengo la kuzitakasa na kulinda heshima yake. JUMA ALIVYONIKOSOA KIMAKOSA Sambamba na kuitumia fursa hii kutanabahisha na kukiri makosa niliyoyafanya katika kitabu changu "Hoja zenye Nguvu" pia ni vyema nikabainisha kuwa ndugu Juma Mazrui ameonyesha ubishi na ukaidi wa hali ya juu katika kitabu chake "Fimbo ya Musa" kwa kujitakasa na kujitetea kwa batili juu ya makosa ya wazi wazi aliyoyafanya na hilo ni linatudhihirishia kuwa ndugu huyu yuko katika ushindani zaidi kuliko kuitafuta haki. Nilimkosoa ndugu huyu kwa baadhi ya makosa madogo madogo ya kielimu ambayo haitakiwi kwa mwandishi mwenye maarifa ya kawaida juu ya mambo ya dini na istilahi za ki-lugha kukosea makosa kama hayo, lakini badala ya ndugu yetu kukiri makosa yake, yeye kwa haraka na papara akataka kunilipizia kwa kunikosoa, ili kuninyamazisha na mara nyingine nisirudie tena kumkosoa Bwana Mkubwa huyu. Ama mimi binafsi sikupenda kumjibu masuala ambayo hayana faida katika mambo ya dini, lakini hapa nimeona ni vyema niligusie suala hili kidogo kwa lengo la kukuthibitishia ndugu msomaji kwamba ndugu yetu hazungumzi maudhui hizi kielimu na uadilifu, bali anazungumzia mambo haya huku akiwa na chuki binafsi na kasumba za kutetea misimamo, tena mpaka katika masuala makubwa ya kielimu asiyo na ujuzi nayo. Ndugu huyu ameyakosea majina ya wapokezi mashuhuri wa hadithi na wanachuoni wakubwa tena kwa kukaririka katika sehemu mbali mbali kwenye vitabu vyake. Kwa mfano; Imamu Ibn Mai'n kumuita kwa jina la Ibn Muin amefanya hivyo zaidi ya mara

Hakuna kitakachozuia baina ya watu na baina ya kumtazama Mola wao katika pepo ya Aden (ya kukaa milele) isipokuwa vazi la kibri lililopo katika Dhati Yake.

8 24

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

tatu kwenye kitabu kimoja tu. Na Imamu Ad-Duuriy kumuita kwa jina la Al-Dauri na mengineyo. Kama tulivyobainisha kwenye kitabu chetu "Hoja zenye Nguvu" ukurasa wa 107. Pia alifikia kiwango cha kuyabadilisha majina ya baadhi ya wapokezi kisha akawapa hukumu wasiyostahiki kwa lengo la kuidhoofisha hadithi sahihi ambayo inapingana na matamanio ya nafsi yake. Kwa mfano, alimbadilisha mpokezi aitwaye kwa jina la Ibn Halbas Yunus Ibn Maisarah 8 ambaye ni mtu madhubuti, mwenye kuaminika katika upokezi wa riwaya. Lakini Juma akamwita kwa jina la Abu Halbas ambaye ni mtu Maj'huul (asiyefahamika uadilifu wake wala umakini wake) katika riwaya. Bali ndugu huyu amefikia mbali zaidi, amefikia hadi kwenye kiwango cha kupindisha maana na tafsiri za baadhi ya hadithi kisha anazipinga kwa sababu hadithi hizo haziafikiana na matamanio ya nafsi yake. Kwa mfano: nilimkosoa pale alipoitafsiri hadithi sahihi iliyopokewa na Imamu Bukhari na Muslimu kutoka kwa Swahaba Jariir radhia llaahu an'hu amesema: ...."

"Tulikua ni wenyekukaa mbele ya Mtume swalla llaahu alayhi wasallam- kwa ghafla akautazama mwezi, katika usiku wa mwezi mpevu, akasema: Kwa hakika nyinyi mtamuona Mola wenu kama mnavyouona huu (mwezi) hamtasongamana katika kumuona. 9
8F

Ndugu yetu huyu kutokana ufahamu wake duni au kwa sababu ya nia mbaya akaitafsiri hadithi hii kwa maana ya kimakosa, akasema katika kitabu chake Hoja zenye nguvuukurasa wa 251: Je munapata tabu katika kuliona jua wakati wa jua kali mchana? Wakasema hatupati. Akasema basi vivyo hivyo ndivyomutavyo muona. Kisha akasema: Maneno haya yanafahamika kwa njia moja katika mbili:

- Majibu na maelezo kuhusu mpokezi huyu tutayatoa kwa urefu katika chapa ya pili ya kitabu "Hoja zenye Nguvu" Insha llaah- na tutaubainisha ubabaishaji alioufanya Juma. Allah atuongoze sisi na yeye. 9 - Tazama Sahihul-Bukhari, hadithi namba 6882. Sahihu Muslim, hadithi namba 1002.
8

9 25

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

1) Ya kwanza: ama iwe makusudio ya kumuona Mwenyezi Mungu kama tunavyoliona jua kuwa Mwenyezi Mungu ni kama jua: anafanana nalo. Na hili silo, wala hakuna Muislamu anayeitakidi hivi, na yeyote atakayesema hivi ni kafiri mshirikina. Kwa hiyo hili tulitoe: silo. 2) La pili iwe makusudio ya kumuona Mwenyezi Mungu kama jua ni kuwa kama tunavyoliona jua kwa uwazi basi vivyo hivyo ndivyo tutakavyomuona Mwenyezi Mungu. Lakini kama ni hivi basi mfano huu uliomo katika hadithi hii si sahihi kwa sababu hadithi inasema kuwa watu watamuona Mwenyezi Mungu kama wanavyoliona jua mchana wakati wa jua kali." Kisha akamalizia kwa kuhoji akasema: Sasa suala ni kuwa je nani anaweza akalitazama jua wakati wa mchana wa jua kali ikiwa hakuna mawingu yaliyoziba, hebu kila mmoja na ajaribu kulitazama jua saa sita mchana alau sekunde mbili. Kama hakuna, basi mfano huu si sahihi, na kama mfano huu si sahihi basi haya maneno si maneno ya Mtume (S.A.W.). Mwisho wa kunukuu. MAJIBU YETU Mimi nikamjibu kwamba tafsiri uliyoitoa si sahihi, umeyatafsiri maneno haya mawili ya kiarabu:1- " " Laa tudhaammuuna" 2- "" " Laa tudhaarruuna" kwa maana ya hamupati tabuna hali yakuwa maana yake ni hamtasongamana/hamtadhuriana" katika kumuona Allah siku ya Qiyama kama vile ambavyo hamsongamani wala hamdhuriani katika kulitazama jua, kila mmoja hulitazama jua kwa wasaa wake na hakuna kiminyano wala msongamano katika hilo basi hivyo mtamtazama Mola wenu bila ya msongamano wala kudhuruiana. Na hii ndivyo alivyokusudia Mtume wa Allah swalla llaahu alayhi waalihi wasallam katika hadithi hii. Wallaahu a'lam. Lakini ndugu Juma alipoona kuwa huu ni mwiba umemkwama kooni kwa kufanya kosa kubwa kama hili tena la wazi wazi na kwa kuwa si mtu muadilifu yeye hakukubali, akaanza kujitetea na kutafuta makosa mengine aliyoyaona mepesi ambayo mimi binafsi sikuyataja kabisa katika kitabu changu wachilia mbali kumkosoa, yeye akayatolea mfano makosa hayo akidai kuwa ndiyo makosa aliyoyakosea! Kisha akayafumbia macho makosa makubwa tena ya msingi! Akasema katika ukurasa wa 30 katika kitabu chake "Fimbo ya Musa": "Hata hivyo, sitaki kuwa mwizi wa fadhila na kuwa mwenye kuisahau ihsani, Sheikh Kasim Mafuta kaniweka sawa katika baadhi ya sehemu kuhusu suala la kuyaandika majina ya wapokezi kimakosa. Yako baadhi ya majina ambayo niliyaandika sivyo. Ali nilimwita Alei n.k."

26 10

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Sub'haana-llaahi! Hilo ndilo kosa pekee uliloliona ndugu yangu? Je, unasemaje kuhusu haya makosa ya kuwabadilisha wapokezi majina yao kisha ukawadhoofisha? Na je unasemaje kuhusu kitendo chako cha kupotosha maana za hadithi tukufu za Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam kisha ukazikadhibisha? Na kosa hili la Ali kumuita Alei nimekukosoa katika ukurasa wa ngapi kwenye kitabu changu? Au umeona ulitaje kosa hili ili ujiliwaze nafsi yako? Kisha akasema: Sababu kubwa ni kuwa katika kitabu changu hicho Hoja Zenye Nguvu mbali na kuwa kilikuwa ni kitabu changu cha mwanzo ambacho asili yake ni makala tu: si kitabu; mbali na hayo ni kuwa katika kitabu hicho nilikuwa nikifanya umuhimu zaidi juu ya suala la je mpokezi huyu ni dhaifu au ni sahihi: sikuwa nikitazama sana suala la vipi anatamkwa. Mimi ninasema; sawa huu nao ni udhuru, lakini mbona ukikosolewa hukubali na badala yake unaminyana na kutafuta njia za kujitetea? Kisha akasema: "Sitaki kusema kuwa hili ni jambo zuri, lakini nataka kusema kwamba wakati Sheikh Kasim Mafuta kachukua bidii kubwa ya kunikosoa juu ya hilo, nalo ni jambo jepesi ambalo halibadilishi hukumu ya Hadithi madamu mlengwa ni yule yule;." Ninasema: kumuita mpokezi madhubuti tena mwaminifu kwa jina la mtu mwingine ambaye ni dhaifu, kisha ukaidhoofisha hadithi kwa sababu yake bado hilo ni kosa jepesi? Kulibadilisha tamko la hadithi kwa maana nyingine tofauti kisha ukaidhoofisha hadithi hiyo bado hilo pia ni kosa jepesi?! Je, kosa zito ni lipi kwa mtazamo wa Ibadhi? Kisha akasema katika ukurasa huo huo: "yeye mwenyewe Sh. Kasim Mafuta kafanya makosa ya kielimu katika fani ya Hadithi, lugha ya Kiarabu, minhaj ya tafsiri na Usulil-Fiq-hi, nayo ni mambo ambayo kuyakosea kwake kunabadilisha hukumu ya Aya au Hadithi! Halkadhalika kafanya tadlis (ghushi) kama kawaida ya watu wa skuli ya wanaoitwa Mawahabi ambazo sijapata kuona muandishi yoyote akifanya ghushi za namna hio! Ahsante, ni vyema ndugu yangu ukatubainishia makosa yetu na ghushi kwa hoja za kielimu na sisi tuko tayari kujirekebisha.

27 11

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

MAKOSA YANGU KWA MTAZAMO WA JUMA MAZRUI Kwa kuwa ndugu yetu anaongozwa na chuki katika uandishi wake amefikia kiwango cha kunikosoa bila ya makosa yoyote na ushahidi wa hilo ni pale aliposema: Pamoja na hayo utaona kwamba hata yeye Sheikh Kasim Mafuta naye kamwita Abu Is-haaq Al-Asfaraayiini kwa jina la Abu Ishaaq Al-Isfraayiiniy na sahihi ni Al-Asfaraayiini. Wala hakuna mazingatio kwa makosa yaliomo katika baadhi ya vitabu, kwani Abu Is-haaq huyu ni mtu wa mji uitwao Asfaraayiin si Isfaraayiin 10.
9F

Mwisho wa kunukuu.
Hivyo ni baadhi ya vituko vya ndugu yetu. Allah atuongoze sisi na yeye kwenye njia ya haki, njia ya Ahlu Sunna wal-Jamaa, njia ya As- Salafus-Swaalih (wema waliotangulia). Aamiin! MAJIBU YETU Juma anadai kuwa mimi nimekosea kwa kuwa nimeandika Al-Isfaraayiiniy badala ya kuandika Al-Asfaraayiini kama anavyodai yeye. Je, madai yake hayo ni ya kweli au ndio hizo chuki na kasumba? Suala hili nitalijibu kwa kukunukulia kauli za wanachuoni mabingwa katika fani mbalimbali ili watuhukumu baina yetu. Kauli ya kwanza: Anasema Imamu Al-Yaafiy, alipokuwa akimzungumzia mwanachuoni mmoja wa Kishaafiy aitwaye Abu Haamid Ahmad Ibn Abi Twahir Al-Isfarayiiniy katika kitabu chake Miraatul-Jinaan, juzuu ya 1 ukurasa wa 405: ..... : Sheikh Abu Haamid Ahmad Ibn Abi Twahir Muhammad Ibn Ahmad Al-Isfaraayiiniy. Raau na Kasra ya Yaau yenye vitone viwili chini na baada yake ni Nuun. Na huo ni mji ulipo sehemu za Khurasaan pande za Nishapur, sehemu iliyo kati ya njia ya kwenda Jurjaan. Mwisho wa kunukuu. Zingatia: .405 1 :.

Nisba yake ni Isfaraayiiniy kwa Kasra ya Hamza na Saakina ya Siin na Fataha ya Faau na

10

- Tazama "Fimbo ya Musa" ukurasa wa: 30.

28 12

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Likiwa neno hilo litasomwa kwa Hamza yenye Kasra, je litasomwa Asfaraayiiniy kama anavyosema Ndugu Juma au litasomwa kwa kasra ya hamza (Isfaraayiiniy) kama nilivyoandika mimi? Je, mimi nimekosea nini hapo? Mwanachuoni wapili: ni Imamu As-Samaaniy yeye katika kitabu chake AnsaabulAshraaf, juzuu ya 1 ukurasa wa 143 anasema hivi: : . "Al-Isfaraayiiniy: Ni kwa Kasra ya Alifu na Sakna katika Siin isiyo na vidote na Fataha ya Faau na Raau na Kasra ya Yaau iliyo na vidote viwili chini, hii ni nisba ya Isfaraayiin, nao ni mji uliopo sehemu za Nishapur." Kama hujatosheka na hao basi nakushauri uvirejee vitabu vifuatavyo: kitabu Lubbu Allubaab fiy Tahriiril-Ansaabi cha Imamu Suyuutwiy, juzuu ya 1 ukurasa wa 4. Kitabu "Subhul-Ashaa" cha Imamu Al-Qalqashandiy katika juzuu ya 4 ukurasa wa 391, chapa ya kwanza ya Dar Al-Fikri Damascus mwaka 1987, iliyohakikiwa na Dr. Yusuf Ali Twawiil. Lakini ili roho ikutue zaidi nakufahamisha kwamba, hata ukisema Asfaraayiiniy ni sahihi, kwa sababu njia zote mbili zinafaa na si sahihi kumkosoa mtu katika hilo kama ulivyofanya ndugu yangu kwa sababu ya chuki zako na ushindani uliokujaa hadi utosini. Anasema Imamu Yaaqut Al-Hamawiy: . : "Asfraayiin: Ni kwa Fataha kisha Saakina (sekna) na Fataha ya Faau na Raau na Alifu iliyo na Kasra na Yaau nyingine yenye Sakna na Nuun. Na huo ni mji mdogo uliowekewa ngome, amabo upo sehemu za Nishapur. Amesema mhakiki wa kitabu AnsaabulAshraaf, chini ya ukurasa wa juzuu ya 4ukurasa wa 336: / 1 223 / 1 434 :

"Isfaraayiin/Asfaraayiin: (Wanachuoni) wametofautiana kuhusu Hamza yake, wapo

wanaosema kwa Fataha kama ilivyo katika Mujamul-Buldaani na Buldaanul-Khilaafah. Lubbu, juzuu ya 1 ukurasa wa 55. Nao ni mji mdogo uliopo sehemu za Nishapur katikati ya njia ya kwenda Jurjaan" Bila shaka mpaka hapo nadhani kwamba ndugu Juma ameelewa, ila sijui kama atakubali,

.[ 55

Au kwa Kasra kama ilivyo katika kitabu Ansaabul-Ashraaf, juzuu ya 1 ukurasa wa 223 na

lakini hilo halinihusu sana, kwa sababu jukumu langu mimi ni kuelimisha na kuiweka
29 13

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

wazi haki, na si kumlazimisha mtu akubaliane na mimi. Kumfanya mtu akubaliane na haki hiyo ni kazi ya Allah, yeye ndiye anayemuongoza amtakae. Kisha ndugu Juma hakuishia hapo, bali alijitia uhodari zaidi! Ndipo aliponikumbusha kisa kimoja kinachotajwa katika vitabu vya "At-Twaraaifu wan-Nawaadir"; Kuna Bwana mmoja mwenye Makengeza alikuwa na Kasuku wake. Na Kasuku huyo pia alikuwa na makengeza! Bwana huyo alikusudia kumuingiza Kasuku wake ndani ya tundu lakini kwa sababu ya makengeza yake akamuweka nje ya tundu akidhania amemuweka ndani. Naye Kasuku akaona hii ndiyo nafasi ya kukimbia, lakini kwa sababu ya makengeza yake, badala ya kukimbia nje na kutoweka zake, alipojaribu kuruka akaingia tunduni akidhani kuwa ametoroka!!! Mfano huu unaendana sawia na kitendo hiki cha ndugu Juma, kwa sababu ana Makengeza katika masuala ya kielimu, kwa hiyo alipojaribu kutoa hoja yake kwa lengo la kujitetea hatima yake akajikuta anaingia kwenye tundu la makosa mengine mapya! Hasa pale alipojaribu kunitafutia makosa ya kulazimisha, ili mradi nikome, nisimkosoe tena, akasema haya:

Bali Kasim Mafuta kamwita Imamu wake mwenyewe kwa jina la Ibnul Qayyim al Jawziyya na sahihi ima ni kumwita Ibnul Qayyim au Ibnu Qayyimi AlJawziyya. Mwisho wa kunukuu makosa ya kulazimisha.
MAJIBU YETU Ukweli ni kwamba mimi sina kosa lolote la kielimu katika sehemu hii, bali aliyekosea ni yeye Ndugu Juma kwa sababu ya ufahamu wake mbaya: *** Na ufahamu wake mbaya umedhihirika pale alipoiweka Hamzatul-Qati mahali pa Hamzatul-Wasli! Ilikuwa aseme Ibnul-Qayyimil-Jawziyya na si Ibnu Qayyimi AlJawziyya. Ama kuwa mimi nimesimama kwa Saakina (nikasema: Ibnul-Qayyim) kisha nikaanza kwa Hamza yenye Fataha (al-Jawziyya) hivyo ndivyo sahihi, ninaamini hapo umeelewa ila sikulazimishi ukubali. Hebu isome hii ibara yako uliyoandika mwenyewe kwa mkono wako katika fimbo yako, ukurasa wa 107, kisha utwambie kwa nini jina hili umeliandika hivi: Kwa ufupi ni kuwa, ninachotaka kukisema hapa ni kuwa madai ya watu wa skuli

ya tajsim kudai kwamba Abu Al-Hasan Al-Ashari. Mwisho wa kunukuu.

30 14

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Kwa nini Ndugu Juma usiandike Abul-Hasan au Abul Al-Hasani Al-Ashari, badala yake umeandika Abu Al-Hasan Al-Ashari kama ulivyonitaka mimi niandike Ibnul-Qayyim au Ibnul-Qayyimi Al-Jawziyya? Hebu soma maneno haya huwenda yakakufaa inshaa-llaahu: ... ... ... ... . ... Fahamu ndugu yangu kuwa makosa yote uliyonikosoa yamekurudia mwenyewe na hilo linatudhihirishia kuwa ndugu yetu hauko makini kwenye uandishi wako, chuki binafsi na nia mbaya ndivyo vitu vinavyokusukuma kwenye uandishi wako. Ndugu Juma hakuishia kwangu tu, bali akajitia ufundi wa kukosoa vitabu bila ya kuwa na elimu kwa kile anachonena, amesema Juma:

Kama unavyoona kwamba baadhi ya vitabu vinamwita Al-Asfaraayiini kwa jina la

Al-Isfraayiini; Al-Isfahaani vinamwita Al-Asfahaani na sahihi ni ya mwanzo! Mwisho wa kunukuu. Tazama maneno yake haya chini ya ukurasa wa 29 wa fimbo yake. Hapa sina la kusema isipokuwa kuwapa Taaziya (mkono wa pole) watu waliompa ndugu Juma kazi hii ya kutetea madhehebu ya kiibadhi huku wakijua kuwa si mweledi wa mambo mengi ya kielimu. Lakini huwenda wameitumia kanuni isemeyo: yakikosekana maji hata mchanga unatosha kujitwaharishia. Lakini pia siwezi kusema kwamba Juma amedhihirisha ujinga wake yeye tu peke yake, bali ameudhihirisha ujinga wa hata wale wanaomsaidia kazi hii, na anaowasemea kwa niaba yao (makhawaarij wenzake) pamoja na kwamba nikisema hivi anadai kuwa nimemtukana, lakini sijapata wasifu mwingine wakumpa zaidi ule anaostahiki. Ukweli ni kuwa Ndugu Juma si mpanda farasi mzuri katika medani hii. Pamoja na kwamba na sisi hatujidai kuwa tuna elimu kubwa, lakini hatuthubutu kusema ila tunalolijua na tunamuomba Allah atudumishe kwenye njia hiyo.

31 15

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

SURA YA PILI

UONGO WA JUMA MAZRUI DHIDI YA AHLU SUNNA NA MAJIBU YETU

32 16

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

SURA YA PILI
UONGO WA JUMA MAZRUI DHIDI YA AHLU SUNNA NA MAJIBU YETU
Kama nilivyotangulia kusema huko nyuma kwamba silaha kubwa wanayoitumia Wazushi dhidi ya Ahlu Sunna wal-Jamaa na dhidi ya Wanazuoni wa haki ni silaha ya uongo na maneno ya kuzua. Na kwa sababu hiyo nimeona kuwa ni vyema niiweke Sura hii maalumu kwa lengo la kukuthibitishia kwamba uongo ni silaha kubwa tena muhimu kwa Wazushi na watu wote wa batili duniani. Mara nyingi mtu mzushi, mwenye malengo mabaya anaikumbatia silaha ya uongo baada ya kukosa kwenye ukweli yale yatakayomfikisha kwenye malengo yake. Na kwa kuwa janga hili linamkumba kila mwenye nia mbaya na malengo maovu, hatimae ndugu Juma Mazrui, Muibadhi mwenye kitabu 'Fimbo ya Musa' amekubwa na janga nalo. Malengo ya ndugu huyu ni kuwadhalilisha na kuwachafua Ahlu Sunna/Salafiyya, Wanachuoni wao, itikadi zao na vitabu vyao, na kwa bahati hakupata hoja zitakazomfikisha kwenye malengo yake hayo mabaya, ndipo alipoikimbilia silaha hii dhaifu ya watu waovu. Katika sehemu hii tutakutajia baadhi ya orodha ya tuhuma za kizushi alizozitoa ndugu huyu dhidi ya Maulamaa wakubwa wa kiislamu ili ujionee mwenyewe namna Wazushi hawa walivyokuwa na chuki dhidi ya Ahlu Sunna na chuki zao hizo zimewafikisha kwenye kiwango cha kutoona haya wala kusikia vibaya kuwazulia uongo wanachuoni. Kitabu "Fimbo ya Musa" ni miongoni mwa vitabu vya kizushi vilivyosheheni chungu ya matusi, uongo na maneno mengi ya kinyaa, lakini mimi ninaamini kuwa matusi yake na uongo aliouzua kwa lengo la kuwadhalilisha Ahlu Sunna utamdhalilisha yeye mwenyewe aliyeuzua na halikadhalika Masheikh zake waliomtuma kufanya kazi hii, tena hapa hapa duniani na kesho Akhera kama hakutubia na kuwatakasa aliowachafua. Kuwatukana watu kwa kuwazulia mambo wasiyoyanya ni madhambi makubwa na ni laana. Amesema Allah: } { {Atakayechuma kosa au dhambi yoyote kisha akamsingizia asiye na kosa, basi amejitwika

dhulma na dhambi iliyo wazi} Suratu An-Nisaai Aya ya 112.

Pia amesema Allah:


33 17

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

} { {Na wale wanaowaudhi waumini wanaume na wanawake bila wao kuwa wamefanya kosa lolote, bila shaka wamebeba dhulma kubwa na dhambi zilizo dhahiri} Suratul-Ahzaabi Aya ya 58. Amesema tena Allah Azza wa Jalla: } { {Kwa hakika wale wanaopenda uenee uchafu kwa walioamini watapata adhabu kali duniani na Akhera. Na Allah ndiye anayejua zaidi na nyinyi hamjui} Suratun-Nuur Aya ya 19. Pia amesema Bwana Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam: . {Atakayemzulia muislamu yeyote jambo asilokuwa nalo, Allah atamfungia Rad'ghatul-

Khabaal (sehemu ya usaha wa watu wa motoni, hatatolewa hapo) mpaka ajitoe katika aliyoyasema}11
10F

Haya niliyoyataja ni baadhi ya maandiko machache kati ya maandiko mengi yanayomkataza muislamu kumzulia muislamu mwenzake jambo ambalo hakulitenda au hakulisema, ikiwa hiyo ni hali ya muislamu wa kawaida basi hali inakuwaje kwa mtu muislamu kumzulia uongo mwanachuoni mkubwa miongoni mwa wanazuoni wa kiislamu kwa lengo la kumdhalilisha! Na huu ufuatao ni baadhi tu kati ya uongo mwingi wa mwandishi wa ki-Ibadhi Bwana Juma Mazrui dhidi ya Maulamaa wa Ahlu Sunna:

1. UONGO WAKE DHIDI IMAMU IBN BATTA


Kwa kuwa lengo letu ni kukufahamisha ewe ndugu msomaji kuwa mwandishi wa kitabu 'Fimbo' ni mtu mwenye chuki na uadui dhidi ya watu wa haki (Ahlu Sunna wal-Jamaa) na jambo hilo limemfanya akose uadilifu, ukweli na hata lugha za adabu na heshima dhidi ya Ahlu Sunna na wanachuoni wao. Ndugu yetu huyo ameyaanza maneno yake kwa kulalamika ili aweze kuuhalalisha uongo wake alioudhamiria dhidi ya maulamaa wakubwa wa kiislamu akaanza kwa kusema katika ukurasa wa 137-138: "KWA HIVYO: Hizo ndio itikadi za Kiwahabi na Maimamu wao watangulizi na ndizo zenye kupambanua kwao baina ya mtu wa Sunna na mtu wa bidaa. Na kwa sababu hio, usione ajabu wewe kuona Mawahabi kuwa wanawashambulia
11

- Tazama Sunan Abi Daud hadithi nambari 3599. 34 18

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Maulamaa wa madhehebu nyengine za Kiislamu hata Maulamaa wa madhehebu za Kisuni tangu zamani hadi leo. Kwa leo Maulamaa kama Al-Qardhawi, AlShaarawi na wanavyuoni wote wasiokuwa wa Kiwahabi wameshapata mashambulizi ya nguvu kutoka kwa Mawahabi. MAJIBU YETU Majibu yetu dhidi ya malalamiko yake haya yatakuwa kwa ufupi sana. Kwanza, tunamwambia kuwa mtu yeyote anayekosea, sawa sawa mtu huyo ni Sheikh au mtu wa kawaida kuna haki ya kumkosoa kwa lugha inayolingana na mtu huyo na kosa alilolifanya, inawezekana akakosolewa kwa lugha ya ukali au kwa lugha ya upole na heshima kwa kadiri ya kosa alilolifanya. Na haifai kwa watu wengine kulalamika na kumtuhumu mkosoaji kuwa ni mkali, bali suala la msingi ni kuzitazama hoja na dalili alizozitoa. Ama kuhusu Dr. Yusuf Al-Qardhawiy, ni kweli wanachuoni wamemzogoma sana kutokana na kauli zake za ajabu anazozitoa kila mara ambazo ziko kinyume na haki na muongozo sahihi. Katika mambo ya ajabu aliyowahi kuyafanya Dr. Yusuf Al-Qardhawi ni kumsifia Kafiri mkubwa wa Kanisa la Katholic, Papa John Paulo II na kumwombea Rehma na Maghfira kwa Allah (Allah amsamehe na amrehemu) kutokana na juhudi kubwa aliyoifanya ya kulingania dini yake ya kikristo! Swali, ina maana kwamba Dr. Yusuf Al-Qardhawi hajui kuwa Papa John Paulo II alikuwa akilingania kwenye Utatu? Hajui kwamba Papa analingania kwamba Allah ana mwana? Al-Qardhawi hajui kwamba Papa ni adui wa Allah na ni adui wa Uislamu na Waislamu na ametoa juhudi kubwa ya kuwaritadisha watu hasa katika Bara la Afrika? Acha hili la kumwombea Papa John Paulo II, Dr. Yusuf Al-Qardhawi ana mengine makubwa zaidi ya haya, kiasi cha kwamba wanachuoni wamemtahadharisha juu ya maneno yake ya Kufru aliyoyatoa dhidi ya Allah, sina haja ya kunukuu mengi kuhusu Dr. Yusuf Al-Qardhawi na mfano wake, kwa sababu mengi nimeyaandika katika makala zetu tulizokuwa tukizitoa katika kuitangaza daawa salafiyyah. Na kutokana na hali ya sasa namna ulimwengu ulivyofunguka mambo mengi yamekuwa wazi hayahitajii juhudi kubwa katika kuyathibitisha. Pili, hivi ni kweli ndugu Juma anapolalamikia mashambulizi aliyopelekewa Dr. AlQardhawiy na wenzake walio mfano wake analalamika kwa uchungu kutoka moyoni mwake kwa lengo la kuwatetea maulamaa au anasema haya kwa lengo la kuamsha hisia? Kama ni kweli anasema kwa kuwa ana uchungu wa kuvunjiwa heshima wanachuoni, basi nadhani heshima za Maswahaba ni kubwa zaidi na zina haki ya kulindwa kuliko wanachuoni wa kisasa.
35 19

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Je, wanachuoni wa madhehebu yake ya Kiibadhi (Khawaarij) wanawaheshimu Maswahaba wakubwa kama vile; Uthman Ibn Affan, Ali Ibn Abi Twalib, Twalha Ibn Ubaidillahi, Zubeir Ibn Al-Awwam, Hasan na Husein wajukuu wa Mtume swalla llaahu alayhi wasallam, Muawiyah Ibn Abi Sufyan, Amru Ibn Al-Aas na wengineo radhiya llaahu an'hum? Au Dr. Yusuf Al-Qardhawi kwenu ni bora zaidi kuliko hawa? Kisha baada ya ndugu huyo kutengeneza mazingira aliyoyakusudia ili aweze kuwatukana vizuri wanachuoni wa Ahlu Sunna wal-Jamaa akasema: Wakati watu kama Ibn Batta Al-Ukbari na walio mfano wake wanawaita kuwa ndio Ahlu Sunna au Maimamu wa Ahlu Sunna au Al-Salafu Al-Salih! Lakini je nini itikadi ya Ibn Batta? Ibn Batta huyu ndiye aliyesema: Nabii Musa (a.s.)

alimkuta mtu juu ya mti kavaa vazi la sufi na viatu akasema naye (yaani yule mtu akasema na Nabii Mussa a.s). Nabii Mussa (a.s.) akasema: Ni Muibrania gani huyu anayesema na mimi? Yule mtu akajibu: Mimi ni Mungu. Yaani Nabii Musa
kamkuta Mwenyezi Mungu juu ya mti katia suti na viatu. Jamani! Huyu aliyeyasema haya bado anaendelea kuwa Muislamu licha ya kuwa ni Ahlu Al-

Sunna? Basi mwenye kusema maneno hayo kwa Mawahabi si mtu wa bidaa; bali ndio Ahlu Sunna na ni Imamu miongoni mwa Maimamu Adhimu wa Kiislamu"!
Mwisho wa kunukuu uongo wa Muibadhi huyu. MAJIBU YETU Kwanza, kabisa ninamuusia Ndugu Juma Al-Mazrui juu ya ukweli na kumcha-Allah, hasa hasa katika mambo ya dini, kwa sababu hatuko katika ushindani wa mambo ya vyama vya kisiasa wala hatuko katika ushabiki wa mambo ya timu za mipira. Katika utangulizi wa kitabu chake "fimbo" ndugu yetu huyu alijifanya kuwa anazungumza bila ya ushabiki wala chuki, lakini ukweli ni kwamba maneno mengi kama si yote katika kitabu chake yananuka harufu mbaya ya chuki na uadui. Na miongoni mwa maneno yake yenye harufu mbaya ya chuki na uadui ni haya tuliyoyanukuu na lau kama angekuwa ndugu yetu anaongozwa na uadilifu na kutafuta haki asingethubutu kutamka maneno haya ya uzushi dhidi ya mwanachuoni huyu (Ibn Batta). Ndugu Juma anazungumza akiwa amesimama upande wa madhehebu yake ya Kiibadhi (Khawaarij), akiwatukana Ahlu Sunna (anaowaita Mawahabi). Na ujumbe wake aliokusudia kuufikisha kwa umma wa Mtume Muhammad swalla llaahu alayhi wa alihi wasallam hasa katika kipindi hiki kigumu chenye changamoto nyingi dhidi Waislamu, kupitia kalamu yake yenye wino mchafu uliojaa uzushi na matusi dhidi ya Waislamu na wanachuoni wa Kiislamu, kwa malengo
36 20

na

msukumo

anaoujua

mwenyewe,

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

anamzungumzia mmoja kati ya wanachuoni wakubwa wa Kiislamu katika madhehebu ya Ahlu Sunna; Abu Abdillahi Ubaidullahi Ibn Muhammad Ibn Hamdan Ibn Batta AlU'kbariy, ndugu yetu amemzungumza kwa lugha ya kumtweza na kumdhalilisha. Kibaya zaidi amefanya hivyo yakiwa mategemeo yake ni maneno ya uongo aliyoyanukuu kutoka kwa watu waongo wenye chuki. Na uongo huo unabainika kwa ushahidi huu ufuatao: Kwanza, ninaapa kwa jina Allah ambaye nafsi yangu iko katika mikono yake, Juma AlMazrui amemzulia uongo mwanachuoni huyu Ibn Batta. Si kweli kwamba Imamu Ibn Batta amesema kuwa Nabii Musa alayhi Salaam alimkuta mtu juu ya mti kavaa suti na viatu, kisha alipomuuliza wewe (uliyevaa suti na viatu) ni Muibrania gani? Akasema mimi ni Mungu! Kabla ya kumtaka ndugu huyu atuthibitishie ni mahali gani alikoyatoa maneno haya, ninamkumbusha kuwa kusema uongo na kumzulia muislamu yeyote wachilia mbali mwanachuoni mkubwa ni dhambi mbaya, tena kubwa ya kumpeleka mtu motoni. Na kwa mujibu wa itikadi yenu nyinyi Makhawaarij ni kwamba mtu akishaingia motoni hatoki tena, je mko tayari na hukumu hiyo? Kisha ninatoa challenge kwa Makhawaariji wote popote walipo watuthibitishie maneno haya kwamba Ibn Batta ameyasema na kama watashindwa basi wajue kwamba wamesimama kwenye batili. Tukirudi kwenye majibu yetu dhidi ya tuhuma ya Juma: Ili turahisishe majibu katika sehemu hii ni vyema tukazigawa nukta za mjadala wetu katika vifungu visivyopungua vitatu: Kifungu cha kwanza: Je, ni kweli Imamu Ibn Batta amesema kwamba Nabii Musa alayhi salaam alimkuta Allah juu ya mti akiwa amevaa suti? Allah atukinge na ukafiri huuKifungu cha pili: Ni kina nani wanaomsifia Imamu Ibn Batta kwa kumuita kuwa ni Imamu, je ni Mawahabi kama anavyodai ndugu Juma au ni wanachuoni wa Ahlu Sunna? Kifungu cha tatu: Kuhusu usahihi wa hadithi hii, je hadithi hii ni sahihi, ili iwe ni ushahidi wa kuthibitisha kuwa ndiyo itikadi ya Ibn Batta na kuwa ndiyo itikadi ya Ahlu Sunna (Mawahabi)? MAJIBU YETU KUHUSU KIFUNGU CHA KWANZA Kwanza, ni kama nilivyotangulia kusema hapo nyuma kuwa Imamu Ibn Batta hakusema maneno haya ya kikafiri. Alichokifanya Ibn Batta kwenye kitabu chake Al-Ibana ni kuitaja hadithi kwa sanad yake mpaka kwa Swahaba Ibn Mas'oud radhiya llaahu an'hu, hadithi ambayo imepokewa kutoka kwa wanachuoni mbali mbali wa hadithi kama tutakavyothibitisha hapo mbele Inshaallaah. Na hadithi yenyewe ni hii: Imepokewa
37 21

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

kutoka kwa Ibn Masoud radhiya llaahu an'hu, amesema; Amesema Mtume swalla llaahu alayhi wasallam: :

"Allah Ta'alaa alimsemesha Musa alayhi salaam siku aliyomsemesha, na hali ya kuwa liko juu yake (Nabii Musa alayhi salaam) Juba la sufi, shuka ya sufi, kofia ya sufi na viatu vinavyotokana na ngozi ya punda ambayo haikutwaharishwa. Akasema (Musa alayhi salaam) ni Muibrania gani anayenisemesha kutoka kwenye mti? Akasema: Mimi ni Allah 12."
1F

Na Imamu At-Tirmidhiy ameitaja hadithi hii kwa tamko hili: - - . Imepokewa kutoka kwa Ibn Masoud kutoka kwa Mtume swalla llaahu alayhi wasallam amesema: "Lilikuwa juu ya Musa (alayhi salaam) siku aliyosemeshwa na Mola wake vazi la sufi, Juba la sufi, Kofia ya sufi, Suruali ya sufi na viatu vyake ni vya ngozi ya Punda mfu." Naye Imamu Al-Bazzaar ameipokea hadithi hii katika Musnad yake kwa sanad mpaka kwa Swahaba Abdullahi Ibn Masoud radhiya llaahu an'hu kwa tamko hili: . "Allah Ta'alaa alimsemesha Musa (alayhi salaam) siku aliyomsemesha, na hali ya kuwa liko juu yake (Nabii Musa alayhi salaam) Juba la sufi, shuka ya sufi, kofia ya sufi na viatu vinavyotokana na ngozi ya punda ambayo haikutwaharishwa 13."
12F

Amesema Imamu Al-Baihaqiy katika kitabu chake Al-Asmau was-Swifaat juzuu ya 1 ukurasa wa 489 na huyu ni Imamu katika madhehebu ya kishaafiy-:

12

- Tazama kitabu Al-Ibanah, juzuu ya 6 ukurasa wa 307, Hadithi nambari 2435.Pia Hadithi hii

ameipokea Imamu Tirmidhiy katika Jaami' yake, Hadithi nambari 1838, lakini ziada tuliyoipigia mstari haipo katika riwaya ya Tirmidhiy, lakini maneno ni yale yale isipokuwa katika tamko la Imamu At-Tirmidhiy kuna ufafanuzi wa ziada.
13

- Tazama kitabu Al-Musnad cha Imamu Al-Bazzaar, Hadithi nambari 2031. 38 22

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

: : . "Allah Ta'alaa alimsemesha Musa alayhi salaam siku aliyomsemesha, na hali ya kuwa liko juu yake (Musa alayhi salaam) Juba la sufi, shuka ya sufi, kofia ya sufi na viatu vinavyotokana na ngozi ya punda ambayo haikutwaharishwa. 14"
13F

Katika riwaya zote hizi tulizozitaja kutoka katika vitabu vya wanachuoni wa Ahlu Sunna akiwemo Ibn Batta, At-Tirmidhiy, Al-Baihaqiy na Al-Bazzaar hakuna hata riwaya moja inayosema kwamba: "Nabii Musa kamkuta Mwenyezi Mungu juu ya mti katia suti na viatu."! Katika riwaya zote hizo ikiwemo riwaya aliyoitaja Imamu Ibn Batta hakuna hayo maneno ya kikafiri ambayo Juma amemsingizia Imamu Ibn Batta. Riwaya hizo zinaelezea kuhusu mavazi aliyoyavaa Nabii Musa alayhi salaam siku aliyokwenda katika Miqaat kwa ajili ya kuzungumza na Mola wake. Kama riwaya zote hizo hazikutaja maneno haya, Juma ameyatoa wapi na kwa nini ameyataja? Kwa hakika hasa mimi sijui kilichomo ndani ya moyo wake, lakini mimi ninamdhania kheri kwamba lugha ya kiarabu ndiyo iliyomtatiza hapa, kwa sababu ya ujinga 15 wake na chuki aliyonayo dhidi ya Ahlu Sunna, alipoyaona
14F

maneno hayo akafurahi kuwa ameshapata tusi la kuwatukania mahasimu zake ndipo pale "alayhi Jubbatun" (liko juu alipoirudisha dhamiri (Pronuon) iliyoko kwenye neno .. alayhi salaam.

yake joho..) kwa Allah Sub'haanahu wa Ta'alaa badala ya kuirudisha kwa Nabii Musa

Kutokana na chuki zilivyomjaa ndugu yetu ameshindwa kulifahamu jambo dogo kama hili, Allah ameuziba moyo wake, hakuweza kuyafahamu maneno na akayapofua macho yake, hakuuona usawa! ninamuomba Allah atulinde na laana ya kuwachukia watu wa haki bila ya haki. Na lau kama ingekuwa hii ni mara yake ya kwanza ningempa udhuru, huwenda kalamu ilimponyoka, lakini alitangulia kuyaandika maneno kama haya kwenye kitabu chake alichokiita "Kisimamo katika Sala na Itikadi za Kiwahabi" kitabu ambacho amekijaza matusi na maneno mengi ya kijeuri. Amesema katika ukurasa wa 69 wa kitabu hicho:
- Tazama kitabu Al-Asmau was-Sifaat cha Imamu Abu Bakar Ahmad Ibn Husein Al-Bayhaqiy aliyefariki mwaka 458 Hijiriyya. 15 -Pamoja na kuwa ndugu yetu hapendi kuitwa hivyo (mjinga) na kuona kuwa anatukanwa, lakini iliyosalama kwake ni kumdhania hivyo (kwamba ni mjinga). Na kama hakubali kuitwa mjinga, basi akubali kuitwa muongo kwa kumsingizia Ibn Batta uongo kwa makusudi na hali ya kuwa anajua, na hilo ni baya zaidi.
14

39 23

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

"Amesimulia Ibn Batta katika Salaf (watangulizi) wa Kiwahabi kwamba "Nabii Musa alimkuta mtu juu ya mti kavaa vazi la sufi na viatu vya ngozi ya punda akasema naye (yaani yule mtu akasema na Nabii Musa). Nabii Musa akasema ni Muibrania gani huyu anayesema na mimi, yule mtu akajibu "mimi ni Mungu." Yaani Nabii Musa kamkuta Mungu juu ya mti katia suti na viatu!!! Hii si kufru ni nini?" Kisha Ndugu Juma kwa lengo la kuufanya uongo wake uwe mtamu zaidi akaukolezea na chumvi juu yake akasema kwamba : "Nabii Musa alimkuta mtu juu ya mti." Ukimuuliza ndugu yetu, ni mahali gani katika maneno ya Ibn Batta aliposema kuwa: Nabii Musa "alinkuta ntu" tena "juu ya nti"? Nina hakika kuwa Juma hana mahali pengine alipotegemea zaidi ya pale kwenye ibara isemayo: ni Muibrania gani anayenisemesha kutoka kwenye mti? Akatafsiri "Minas-Shajarah" (kutoka kwenye mti): Juu ya mti! Suala la Allah kumsemesha Nabii Musa alayhi salaam na ikawa sauti inayomsemesha na kumwambia mimi ni Allah inatokea kwenye mti ni jambo lililotajwa kwa uwazi ndani ya Qur'ani. Amesema Allah katika Suratul-Qasas, Aya ya 30, alipokuwa akisimulia kisa cha Nabii Musa alayhi salaam: .

{Basi alipoufikia aliitwa kutoka ng'ambo ya bonde la kuliani katika eneo lililobarikiwa kutoka kwenye mti: Ewe Musa! Hakika mimi ni Allah, Mola wa walimwengu wote.}
Nabii Musa aliposemeshwa na Mola wake katika bonde takatifu la Sinai aliitwa na Mola wake na yeye aliisikia sauti ikitokea kwenye mti. Siku hiyo Nabii Musa alivaa Joho la sufi, Shuka ya sufi, Suruali ya sufi Kofia ya sufi 16 na viatu vyake ni vya ngozi ya punda mfu.
15F

Hivyo basi, ninathubutu kusema kwamba maneno aliyoyatamka kijana huyu wa kiibadhi ni maneno ya kufru kwa kumzulia Allah uongo kwa kumfananisha na kiumbe, pale aliposema: Yaani Nabii Musa kamkuta Mwenyezi Mungu juu ya mti katia suti na viatu!!!!!!! Na mwenye kumzulia Allah uongo hawezi kufaulu hata kidogo, amesema Allah:
Hayo ndiyo mavazi aliyovaa Nabii Musa siku hiyo, kwa hiyo hata kama Juma angesema kuwa siku hiyo Nabii Musa alayhi salaam alivaa suti, bado angekuwa ndugu yetu amesema uongo kwa sababu Nabii Musa alayhi salaam hakuvaa suti.
16

40 24

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

{Kwa hakika wale wanaomzulia Allah uongo hawatafaulu} Suratun-Nahli Aya ya 116. Na kuzua uongo ni moja kati ya alama za watu wasiomini Aya za Allah na sheria inawazingatia watu hao kuwa ni waongo, amesema Allah: ( 105)

"Wanaozua uongo ni wale wasioziamini Aya za Allah. Na hao ndio waongo" SuratunNahli Aya ya 105. Pili, kwa kuwa maneno haya aliyoyazungumza ndugu yetu ni maneno ya kikafiri ambayo yanamtoa mtu nje ya duara la uislamu, ninaitumia fursa hii kumnasihi: Ewe ndugu yangu! Maneno yako ni ya uongo na ni ya kikafiri, kwa hiyo ninakunasihi utamke shahada ya haki, kwa sababu ya kuutamka ukafiri huu na kuueneza, kisha hukutosheka na hilo la kuzua uongo na kutamka ukafiri ukawatupia nao ukafiri huo watu wengine. Hivyo basi, ni wajibu juu yako uwabainishie watu ukweli ulioupotosha kupitia vitabu vyako na uwaombe msamaha wasomaji kwa kuwanukulia maneno ya uongo yenye kinyaa pia umtakase nayo Allah sub'haanah, kisha umtakase Imamu Ibn Batta. Je, uko tayari kufanya hivyo au utafanya kiburi na jeuri? Fahamu kuwa Akhera si mbali. Tatu, kilichomvuruga zaidi ndugu yetu mpaka kufikia kusema hayo aliyoyasema, ni maneno ya Al-Hafidh Ibn Hajar aliyoyanukuu kwenye kitabu chake "Kisimamo" mara baada ya kuyasema maneno tuliyoyanukuu hapo nyuma, akasema ndugu Juma: Tazama "LISAN AL-MIZAN" cha Ibn Hajar juzuu ya 4 ukurasa wa 112, tarjama no. 231. Anasema Ibn Hajar kwamba "nimekuta kutoka kwa Ibn Batta maneno ambayo kwayo mwili ulisisimka." Dhahiri ya maneno hayo aliyoyaashiria Ibn Hajar ni haya tuliyoyanukuu hapa." Mwisho wa kunukuu, tazama Kisimamo uk 69. Sehemu hii nitaitolea ufafanuzi kama ifuatavyo: 1. Kilichomsisimua Al-Hafidh Ibn Hajar si kile alichokielezea Juma, kwamba: "Nabii Musa kamkuta Mwenyezi Mungu juu ya mti katia suti na viatu."! Kwa sababu maneno hayo ya kikafiri hakuyasema Imamu Ibn Batta, mtu wa kwanza kuyazua ni kijana wa kiibadhi Juma Mohd Al-Mazrui. Kilichomsisimua Al-Hafidh Ibn Hajar ni "Ziada Munkarah" (ziada dhaifu) aliyoitaja Ibn Batta, ambayo hawakuitaja wanachuoni wengine walioipokea hadithi hii.

41 25

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Na ziada yenyewe ni ile ambayo inaonesha kuwa Nabii Musa aliposikia sauti kutoka katika mti alisema kwa kushangaa: "Ni Muibrania gani huyo anayenisemesha kutoka katika mti?" Ziada hii haikupokewa na wanachuoni wengine walioitaja hadithi hii dhaifu. Al-Hafidh Ibn Hajar baada ya kuyanukuu maneno ya Imamu Ibn Al-Jawziy ambayo yana ishara ya kumtetea Ibn Batta na kulifanya kosa hilo ni la Humaid Ibn Al-A'raj, Ibn Hajar akampinga kisha akasema: "Ninasema: Hapana, Wallaahi Humeid ametakasika (hausiki) na ziada hii Munkarah 17."
16F

2. Inasemekana Nabii Musa alayhi salaam alipokwenda katika Mlima Tuur uliopo katika bonde la Sinai kuzungumza na Mola wake, alivaa nguo za sufi kuanzia shuka, suruali na kofia, miguuni alivaa viatu vilivyotengenezwa kwa ngozi ya Punda. Pia inasemekana kuwa Allah alimsemesha Nabii Musa kutokea upande wa mti kwa lugha yake (Nabii Musa) ya Kiibrania naye alipoisikia sauti ikitokea kwenye mti, Nabii Musa akauliza ni Muibrania gani huyo anayezungumza na mimi? Allah akamjibu; Mimi ni Allah. Na hili ndilo lililomsisimua Al-Hafidh Ibn Hajar, kwa nini Ibn Batta ameipokea hadithi kama hii iliyo na ziada hii mbaya? Kwa sababu maneno ya Allah hayafanani na maneno ya viumbe, kwa hiyo haiwezekani mtu aliyeyasikia kutatizika juu ya nani anayemsemesha! Na ukweli ni kwamba, Imamu Ibn Batta pamoja na Uimamu wake ni dhaifu na anakosea sana katika upokezi wa hadithi na suala hili halina utata baina ya wanachuoni wa hadithi. Huu ufuatao ni ushahidi wa kauli zao: Amesema Imamu Ad-Dhahbi, katika kitabu chake Siyar juzuu ya 16 ukurasa wa 530: "Ibn Batta pamoja na fadhila zake, lakini ana makosa sana." Amesema AlHafidh Ibn Hajar, katika Lisaanul-Mizaan, juzuu ya 4 ukurasa wa 554: " "

"(Ibn Batta) ni Imamu lakini ni mwenye makosa mengi." Hayo ndiyo majibu yetu
kuhusu kifungu cha kwanza cha swali letu. Je, ni kweli Imamu Ibn Batta amesema kwamba Nabii Musa alayhi salaam alimkuta Allah juu ya mti akiwa amevaa suti? Tumeona pia kuwa maneno hayo ni uongo mpevu aliouzusha kijana wa ki-Ibadhi Juma Mazrui.

17

- Tazama Lisaanul-Mizaan, juzuu ya 4 ukurasa wa 554, chapa ya Daaru Al-Eh'yai,

Beirut- Lebanon, chapa ya pili ya mwaka 2001.

42 26

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

MAJIBU YETU KUHUSU KIFUNGU CHA PILI Kabla ya kukijibu kifungu cha pili, ni vizuri tukayanukuu maneno ya ndugu Juma kwa herufi zake, amesema Juma katika ukurasa wa 138: Jamani! Huyu aliyeyasema haya bado anaendelea kuwa Muislamu licha ya kuwa ni Ahlu Al-Sunna? Basi mwenye kusema maneno hayo kwa Mawahabi si mtu wa bidaa; bali ndio Ahlu Sunna na ni Imamu miongoni mwa Maimamu Adhimu wa Kiislamu!" Akazitaja baadhi ya kauli kisha akasema ndugu Juma: "Hayo ndio maneno yao kuhusu Imamu wao huyo, ambaye ndiye kigezo chao, nacho kigezo hicho kinaripoti kuwa Allah kajigeuza mtu na akatia suti na viatu akapanda juu ya mti!" Mwisho wa kunukuu. Amesema tena katika ukurasa wa 338 kuhusu Ibn Batta: Lakini juu ya yote hayo Mawahabi na Maimamu wao wanawadanganya watu kwamba ni "Imamu, mcha Mungu, Haafidh n.k. Yote hayo wameyasema ili wapate kufaidika au kuhasirika kwa riwaya zake za kukafirisha na riwaya zake za mungu-mtu.

MAJIBU YETU Je, ni kweli Mawahabi na Maimamu wao ndio wanaowadanganya watu kwa kumuita Ibn Batta kuwa ni Imamu au ni chuki za Bwana Juma? Kabla ya kujibu swali hili ninamkumbusha ndugu yangu kauli yake Allah aliposema: " "

{Wala kuchukiana na watu kusikupelekeeni kutofanya uadilifu. Fanyeni uadilifu. (Kufanya) hivyo ndio ukaribu na ucha-Mungu.} Suratul-Maida Aya 8. Lakini ndugu yetu
huyu anavyokwenda utadhani kuwa Aya hii haimuhusu, hasa anapowazungumzia Ahlu Sunna (Mawahabi kama anavyowaita) anatanguliza chuki zaidi dhidi yao na hawafanyii uadilifu! Sasa hebu tuiangalie kadhia ya Ibn Batta ya kupewa wasifu wa Uimamu, ni kina nani waliomwita ni Imamu wa Sunna? Huyu hapa ni Al-Hafidh Ibn Hajar Al-Asqalaaniy, mwanachuoni mkubwa wa Kishaafiy, baada ya kumdhoofisha Ibn Batta katika hifdhi yake na kwa kuwa si mwingi wa kumbukumbu, akasema haya yafuatayo:
43 27

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

" ." "Pamoja na uchache wa ufanisi wa Ibn Batta katika upokezi, lakini alikuwa Imamu katika Sunna, Imamu katika Fiqhi. " Tazama Lisaanul-Mizaan, juzuu ya 4 ukurasa wa 554. Pia amesema tena: " "

"(Ibn Batta) ni Imamu lakini ni mwenye makosa mengi."


Amesema Imamu Ad-Dhahbiy ambaye ni Imamu mkubwa katika wanachuoni wa Kishaafiy: " " "Ibn Batta alikuwa ni miongoni mwa Maimamu wakubwa." Tazama kitabu chake AlUluwwu ukurasa wa 253. Amesema tena Imamu Dhahbiy, katika Siyar A'laamin-Nubalaa, juzuu ya 16 ukurasa wa 529: " " "Ibn Batta, ni Imamu aliye Qud-wa (mtu wa kuigwa), mcha-Mungu, mjuzi wa Fiqhi, mwanachuoni wa Hadithi, Sheikh wa Irak, Abu Abdillahi Ubaidullahi Ibn Muhammad Ibn Muhammad Ibn Hamdani Al-Ukbariy Al-Hanbaliy." Naye Imamu Ibn Al-Imaad Al-Hanbaliy, katika juzuu ya 3 ukurasa wa 122, alipokuwa akimzungumzia Ibn Batta akaanza kwa kusema hivi: "Imamu Mkubwa, Hafidh Ibn Batta." Kwa hiyo, maswali ya Ndugu Juma yamejibiwa na wanachuoni hao tulionukuu kauli zao, na hao hao ndio waliosema Ibn Batta ni dhaifu, lakini kwa mizani ya Ndugu Juma, wanachuoni hao walipomdhoofisha Ibn Batta kwa sababu ya hifdhi yake katika hadithi walikuwa ni wanachuoni wa Ahlu Sunna. Lakini baada ya kumsifia na kumwita Ibn Batta kuwa ni Imamu, hapo hapo ghafla walibadilika wakawa wanachuoni wa Kiwahabi! Juma anawahoji wanachuoni hao kwa kusema: Jamani! Huyu aliyeyasema haya bado anaendelea kuwa Muislamu licha ya kuwa ni

Ahlu Al-Sunna? Basi mwenye kusema maneno hayo kwa Mawahabi si mtu wa
44 28

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

bidaa; bali ndio Ahlu Sunna na ni Imamu miongoni mwa Maimamu Adhimu wa Kiislamu! Juma alitaka wanachuoni wa kiislamu waseme; Ibn Batta ni mtu wa bid'a, Wahabi, Hashawiy, Mujassim, Kafiri! Hakuridhika kabisa mtu huyu aitwe Imamu miongoni mwa Maimamu wa Sunna na wanachuoni kama Al-Hafidh Ibn Hajar na Imamu Ad-Dhah'bi. Jambo hili Juma hakubaliani nalo kutokana na chuki zake za Kikhawaarij alizonyweshwa na masheikh zake dhidi ya Ahlu Sunna. Baada ya maneno yake hayo Juma akasema kwa kubeza na dharau ya hali ya juu: Hayo ndio maneno yao kuhusu Imamu wao huyo, ambaye ndiye kigezo chao, nacho kigezo hicho kinaripoti kuwa Allah kajigeuza mtu na akatia suti na viatu akapanda juu ya mti! Wallaahi, katika uongo uliotia fora duniani, huu uongo wa Muibadhi Juma Mazrui nao pia umo, mtu anamzulia uongo mwanachuoni mkubwa wa kiislamu kwa sababu ya kasumba zake za kimadhehebu, tena ndani ya uongo huo kuna utovu wa adabu dhidi ya Allah Sub'haanahu wa Ta'alaa! kisha anawadharau wale ambao hawaukubali uongo wake! Je, angekuwa mkweli angewafanya nini wasiomkubali? Hivi ni kweli Ndugu yangu Juma unathubutu kusema kwa kujiamini kabisa bila haya wala aibu kwamba Ibn Batta amesema: ALLAH KAJIGEUZA MTU! AKATIA SUTI NA VIATU! AKAPANDA JUU YA MTI! Ewe Ndugu Juma wee! Ni mahali gani aliposema Ibn Batta kwamba Allah kajigeuza mtu? Kama si uongo na utovu wa adabu dhidi ya Allah ni nini? Ewe Ndugu Juma wee! Ni mahali gani aliposema Ibn Batta kwamba Allah katia suti na viatu? Kama si kumzulia uongo Ibn Batta na kumkosea adabu Allah ni nini? Ewe Ndugu Juma wee! Ni mahali gani hapo aliposema Ibn Batta kwamba Allah kapanda juu ya mti? Kama si uongo uliokubuhu na kumtweza Allah aliye Jabbaar ni nini? Najua umeyasema haya bila ya kutafakari kwa kuwa moyo wako umezingirwa na chuki na uadui dhidi ya Ahli Sunna, lakini lau kama ungetafakari ungegundua kuwa umesema jambo kubwa tena baya ambalo mbingu zinakaribia kupasuka. Lakini Ndugu yangu umeropoka tu bila ya kutafakari kwa kutaka kuwafurahisha Maibadhi wenzako ili wakupongeze kwamba umemjibu Kassim Mafuta wa Pongwe! Haya
45 29

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

umeshapongezwa, lakini je, huoni kigegezi na kinyaa kunukuu ukafiri kama huu ambao hakuna aliyekutangulia katika kuutamka? Ukweli ni kwamba uongo huu umeuzua mwenyewe kutokana na ufahamu wako finyu na chuki zako dhidi ya watu wa haki, kisha bila ya haya unawatangazia walimwengu. Je, ikifika siku ya Qiyama ukitakiwa uyathibitishe maneno yako haya utaweza ndugu yangu? Nakuusia ukweli na uchamungu na kuacha kufuata matamanio ya nafsi katika mambo ya dini, kwa sababu ya kutaka kutetea madhehebu. Ukweli ni kwamba, watu wa bid'a wamesema mengi kuhusu Imamu Ibn Batta -rahimahu llaahu-, lakini hili la kumzulia sikuliona ila kwa Juma Mazrui na kwa Hasan Ibn Far'haan Al-Maalikiy na ninadhani kuwa Juma ameunukuu uongo huu kutoka kwa mzushi huyu. Na tuhuma nyingi zilizoelekezwa kwake zimejibiwa kielimu na ufundi mkubwa na Imamu Abdul-Rahman Ibn Yahya Al-Muallimiy Al-Yamaniy katika kitabu chake AtTankiil, juzuu ya 2 ukurasa wa 561, alipokuwa akimjibu Muhammad Zaahid AlKawthariy. MAJIBU YETU KUHUSU KIFUNGU CHA TATU Je, hadithi hii ni sahihi ili iwe ni ushahidi wa kuthibitisha kuwa ndiyo itikadi ya Ibn Batta na Ahlu Sunna? Hadithi hii si sahihi bali ni dhaifu mno, imedhoofishwa na wanachuoni wote wa hadithi, kwa hiyo haiwezi kuthibitisha itikadi ya Ahlu Sunna, kwa sababu Ahlu Sunna hawaithibitishi itikadi yao kwa kutumia Hadithi dhaifu 18.
17F

18

-Kwa maelezo zaidi juu ya udhaifu wa Hadithi hii, tazama kitabu As-Silsilatu Ad-Dhaifah cha Imam u Al-Albani, juzuu ya 3 ukurasa wa 391. Na kitabu "Al-Maudhuat" cha Ibnul-Jawziy, juzuu

ya 1 ukurasa wa 192-193. Chapa ya Dar Al-Fikri, Beirut-Lebanon.

46 30

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

2.UONGO WAKE DHIDI YA IMAMU AL-AH'WAAZ Baada ya kubainikiwa na uongo wa kijana huyu wa ki-Ibadhi aliouzua dhidi ya mwanachuoni mkubwa, Imamu Ibn Batta na Ahlu Sunna kwa ujumla, hebu sasa tuangalie tuhuma zake alizozielekeza dhidi ya Imamu Al-Ahwazi. Katika sehemu hii amezielekeza tuhuma zake dhidi Ahlu Sunna na kuwashambulia kwa sababu ya mwanachuoni ambaye Ahlu Sunna wenyewe hawaafikiani naye na wanamkosoa. Na baadhi ya wanachuoni wamefikia kusema kwamba Al-Ahwazi si katika Ahlu Sunna kamwe, bali ni mfuasi wa madhehebu ya Saalimiyya. Kabla ya kukunukulia kauli za Maulamaa zinazothibitisha haya tunayoyasema, hebu tuzitupie jicho kauli za Bwana Juma. Amesema katika ukurasa 138: "Mfano wa pili wa watu wapotovu ambao Mawahabi kwao ndio Maimamu, ni AlHasan bin Ali Al-Ahwazi. Huyu ni Imamu muhimu ambaye Mawahabi wanamzingatia kuwa ni miongoni mwa Ahlu Sunna wakuigwa." MAJIBU YETU Imamu Abu Ali Hasan Ibn Ali Ibn Ibrahim Ibn Yazdaad Al-Ahwaaziy aliyefariki mwaka 446 Hijiriyya ni miongoni mwa wanachuoni ambao wamepata mashambulizi makali sana kutoka kwa wapenzi wa Abul-Hasan Al-Ash'ariy. Na hilo ni kutokana kitabu chake alichokitunga kwa ajili ya kumtukana Abul-Hasan alichokiita 'Mathaalibu Abil-Hasan Al-Ash'ariy' na kwa sababu hiyo Imamu Ibn Asaakir akamshambulia sana mpaka kufikia kumtuhumu kuwa ni muongo jambo ambalo si kweli. Amesema Imamu Al-Jazariy katika kitabu chake Ghaayatun-Nihaaya juzuu ya 1 ukurasa wa 220: " ".

"Hasan Ibn Ali Ibn Ibrahim Ibn Yazdaad Ibn Hurmuz Ustadh Abu Ali Al-Ah'waazi mtu mwenye vitabu vingi, Sheikh wa watu wa visomo vya Qur-ani katika wakati wake, mtu mwenye sanad ya juu kabisa kati ya watu waliobakia duniani, Imamu mkubwa
47 31

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

mwanachuoni wa hadithi. Amezaliwa mwaka 362 huko Ah'waazi, amesomea huko kwa Masheikh wa wakati huo, kisha akawasili Damascus mwaka 391 (Hijiriyya), akaishi hapo. Alikithirisha kutaja riwaya kutoka kwa Masheikh wengi (mpaka watu) wakamsema vibaya kwa hilo. (Al-Ahwaziy) Alishupalia kumsema vibaya Imamu Abul-Hasan AlAsh'ariy, nao Ash'ariyya (wafuasi wa Abul-Hasan) wakavuka mipaka katika kumporomosha. Pamoja na kuwa (Al-Ah'waaziy) ni Imamu mkubwa, mwenye cheo kitukufu, Ustadhi katika fani za visomo, lakini pamoja na hayo hakusalimika na makosa na kusahau, kutokana na ukali wake mwingi, hilo ndilo lililowapelekea watu kumsema vibaya. Lakini amesema Abu Twahir As-Silafiy kutoka kwa Sharif Ali Ibn Ibrahim AlAlawiy kuwa amesema: Abu Ali Al-Ahwaazi ni Thiqa. Na amesema Al-Haafidh Abu Abdillahi Ad-Dhahbi: watu (wanachuoni) wamezipokea riwaya zake kwa kuzikubali." Mwisho wa kunukuu. Kwa hiyo, tumefahamu kwamba kilichomponza Al-Ahwaazi ni msimamo wake mkali na kitendo chake cha kumkashifu Imamu Abul-Hasan, na hiyo ndiyo sababu iliyowafanya wafuasi wa Abul-Hasan kama vile Imamu Ibn Asaakir kumjia juu Al-Ahwaazi na kuanza kumtuhumu kwa tuhuma mbali mbali. Hilo ni mosi. Pili, hao Ahlu Sunna unaowaita Mawahabi, hawana Imamu wa kumuiga kwa kila kitu zaidi ya Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam, kwa sababu wao wanaitakidi kuwa hakuna Ma'sum (aliyekingwa na makosa) zaidi ya Mtukufu Mtume swa llaahu alayhi waalihi wasallam. Ama mtu mwingine yeyote asiyekuwa Nabii, kuna uwezekano wa kukosea hata akiwa ni Imamu mkubwa wa kiasi gani. Tatu, Ahlu Sunna wamemlaumu Al-Ahwaazi na kumsema vibaya kwa sababu ya kuzipokea na kuzitaja riwaya nyingi za uongo na za kutunga na kuzifanyia kazi kwenye kitabu chake 'Shar'hul-Bayaani fi Uquudi Ahlil-Imaani'. Na hayo ni makosa ya wazi wazi. Nne, baadhi ya wanachuoni wa Ahlu Sunna wamemtaja kuwa Al-Ahawaazi si katika Ahlu Sunna kamwe, bali madhehebu yake ni ya Saalimiyyah, na hayo yamesemwa na wanachuoni wafuatao: Sheikhul-Islaami Ibn Taymiyyah, Al-Haafidh Ibn Hajari AlAsqalaaniy na wengineo. Na inshaallah nitakunukulia kauli za wanachuoni hao zinazobatilisha madai hayo ya uongo ya ndugu huyu pale alipodai kuwa Al-Ahwaazi ni Imamu Adhim wa Kiwahabi (Ahlu Sunna)! Amesema Sheikhul-Islaami Ibn Taymiyyah katika Maj'muu Fatawa, juzuu ya 5 ukurasa wa 484: " " "Abu Ali Al-Ahwazi alikuwa ni (katika dhehebu la) Saalimiyyah."
48 32

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Amesema Al-Haafidh Ibn Hajar katika Lisaanul-Mizaani, juzuu ya 2 ukurasa wa 442: , ": "... "Madhehebu yake yalikuwa ni Saalimiyyah, anasema (anaitakidi) kwa dhahiri (ya maandiko) na anashikamana na hadithi dhaifu katika kuyapa nguvu madhehebu yake. Ama hadithi ya kumuendesha mbio farasi ni hadithi ya kutunga, wameitunga baadhi ya wazandiki kwa ajili ya kuwatia aibu watu wa hadithi" Amesema Sheikhul-Islami Ibn Taymiyyah: " ) ( :(24-23 /16) "... , "Na hili (la kutoikubali toba ya mlinganiaji wa bid'a) wanalisema kikundi cha wanaojinasibisha na Sunna na hadithi na wala si Maulamaa wa hilo. Mfano (wa watu hao ni): Abu Ali Al-Ahwazi na mfano wake kati ya ambao hawawezi kupambanua baina ya hadithi sahihi na hadithi za kutunga 19"
18F

Saalimiyyah ni wafuasi wa Abu Abdillahi Muhammad Ibn Ahmad Ibn Saalim aliyefariki mwaka 297 Hijiriyyah, na mtoto wake ni Abul-Hasan Ahmad Ibn Muhammad Ibn Saalim aliyefariki mwaka 350 Hijiriyyah. Na huyu Ahmad Ibn Muhammad Ibn Saalim alisoma kwa Sahli Ibn Abdillahi At-Tustariy. Ahlu Sunna na maneno ya Mu'tazila. Na msimamo wao katika Sifa za Allah ni msimamo batili wa kuzifananisha zake Jalla wa Alaa na sifa za viumbe. Na isitoshe ni watu wenye chembe chembe za Usufi na Itihadi 20.
19F

Saalimiyya wanapozizungumzia itikadi zao,

hawategemei maneno ya Ahlu Sunna peke yao bali wanakusanya baina ya maneno ya

Hivyo basi, kwa mujibu wa maelezo haya tuliyoyatoa kuhusu mwanachuoni huyu na madhehebu yake ya Saalimiyya, unabatilika uongo wa Juma mazrui aliposema katika ukurasa wa 138-139: Lakini Al-Dhahabi anasema katika Al-Mizan na Ibn Hajar katika Lisanu Al-Mizan
19

- Tazama Maj'muu Fatawa ya Ibn Taymiyyah juzuu ya 16 ukurasa wa 23-24.

20 - Tazama Dharaatu Ad-Dhahbi 3/36, Twabaqaatus-Suufiyyah 414-416, Al-farqu bainal-firaqi 157-202 na Al-waafi bil-wafayaati 4/166.

49 33

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

kuhusu Imamu huyu Adhim wa Kiwahabi: Ametunga kitabu kuhusu sifa (za Mungu, na) lau hakukitunga basi ingelikuwa kheri kwake, kwani kaleta humo Hadithi za kutunga na fedheha tele na alikuwa akimponda Al-Ashari (Imamu wa

jumhur ya Masuni katika mambo ya itikadi na tawhidi) na akatunga (kitabu)


kuhusu aibu zake. Kisha ndugu yetu akaendelea kuropoka kwa kusema: "Sasa tazameni ajabu hii enyi walimwengu! Mtu anayesema: 1. Mungu kaonekana Mina. 2. Mungu kavaa guo jekundu. 3. Mungu kapanda ngamia. 4. Mungu anateremka kila siku ya Ijumaa na kukaa mbele ya kila Muumini. 5. Mungu kaiumba nafsi yake kutoka katika jasho la farasi! Sijui farasi kamuumba nani! Huyu Mawahabi wanamzingatia kuwa ni Imamu katika Ahlu Sunna, wakati ni wazi kwamba huyu tayari ameshakufuru kufuru ya ushirikina si Muislamu kabisa." Mwisho wa kunukuu. MAJIBU YETU Labda nianze majibu yangu kwa kumuuliza swali ndugu Juma; hivi hicho kitabu 'Lisaanul-Mizaani' unacho wewe peke yako hapa duniani? Swali la pili; Je, hukuyaona maneno ya Ibn Hajar aliposema kuwa Al-Ahwaazi ni mfuasi wa madhehebu ya Saalimiyyah? Sasa mbona wewe unadai kuwa Al-Ahwaazi ni Imamu adhimu wa kiwahabi? Ibn Hajar katika lisaanul-Mizaani anasema: Madhehebu yake yalikuwa ni Saalimiyyah! Pia ni mtu mwenye itakidi mbaya ya kumfananisha Allah, halikadhalika ni mtu mwenye kushikamana na hadithi dhaifu katika kuyapa nguvu madhehebu yake. Ama kuhusu Hadithi inayosema kuwa Allah ameiumba nafsi yake baada kumuendesha mbio farasi, amesema wazi Imamu Ibn Hajar kuwa hiyo ni Hadithi iliyotungwa na Wazandiki kwa lengo la kuwatia aibu watu wa Hadithi. Na nina hakika kuwa maneno hayo ya Imamu Ibn Hajar umeyaona na umeyaelewa yaliyosemwa, lakini Uq'da Nafsiyya Yaa Akhui! Ndiyo iliyokufanya uyafiche maneno hayo.

3. UONGO WAKE DHIDI YA SHEIKHUL-ISLAAMI IBN TAYMIYYAH

50 34

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Mwanachuoni wa ki-Ibadhi Said Mabruuk Al-Qannubi ambaye ndugu yetu Juma Mazrui amemsifia sana kuwa ni mtu mwenye elimu nyingi katika ukurasa wa 105, amemtukana sana Sheikhul-Islaami kwa kunukuu matusi ya sheikh wake Ahmad Al-Ghumaari, amesema kuhusu Ibn Taymiyyah: ( ) Ibn Taymiyyah ndiye Imamu wa wapotevu wote waliokuja baada yake. Pia amesema kuhusu Ibn Taymiyyah kuwa ni: (" ) Imamu wa wapotevu na ni Sheikh wa watu waovu" Na amesema katika ukurasa wa 103, akinukuu matusi kutoka kwa As-Subkiy ya kumtukana Ibn Taymiyyah: ( )Mzushi, mpotevu, mwenye kupoteza, mjinga mtu aliyevuka mipaka." Katika ukurasa wa 105, amesema Al-Qannubi kuhusu Abul-Izzi Ibn Kaadish: ( )

"Muongo, Amechanganyikiwa, Hashawiy, Mushabbih, Mujassim, Mpotevu mwenye kupoteza." Hayo ni matusi machache kati ya matusi mengi aliyoyajaza kwenye kijitabu chake hicho kimoja tu na mengi nimeyaacha kwa sababu lengo langu hapa ni kutoa mifano tu. Bila shaka, mpaka hapo utakuwa umeshamfahamu ni nani aliyemfundisha Juma matusi na kumpa ujasiri wa kuwatukana wanachuoni. Lakini watu wengi wanamchukia Ibn Taymiyyah wameshindwa kumfanyia uadilifu na hiyo ni tabia ya wazushi na wajinga. Amesema mwanachuoni mkubwa katika madhehebu ya Shaafiy, Imamu Abul-Baqai Muhammad Ibn Abdil-Barri As-Subkiy Allah amrehemu-: :- - : - !!! !!! "Wallaahi, hamchukii Ibn Taymiyyah isipokuwa Jahili (mjinga), au mwenye kufuata matamanio (mzushi), kwa sababu mjinga hajui anachokisema na mwenye kufuata matamanio, matamanio yake yanamzuia kuifuata haki hata baada ya kuijua." Na ndiyo maana alipojitokeza mtoto wake Imamu Subkiy (Taajud-Din As-Subkiy) na kuanza kumtukana Ibn Taymiyyah, alisimama Imamu Izzud-Din Al-Kinaniy kumkemea kwa kusema: .469 : " " : (819) "Taajud-Din (As-Subkiy) ni mtu mwenye adabu ndogo, hana uadilifu, hawajui Ahlu Sunna wala daraja zao" Tazama Al-I'laamu cha Imamu Sakhaawiy uk 469. JUMA AFUATA NYAYO ZA IBN BATUTAH KATIKA KUMZULIA UONGO IBN TAYMIYYAH Kutokana na chuki zilizomjaa ndugu yetu Juma kifuani mwake dhidi ya Ahlu Sunna na wanachuoni wao amejiwekea utaratibu wa kutoichunguza habari yoyote mbaya inayowagusa mahasimu zake.

51 35

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Ndiyo sababu amekijaza kitabu chake habari nyingi za kizushi. Na lau kama ataufuata utaratibu wa kielimu wa kuzichunguza habari lile alilolidhamiria halitotimia. Miongoni mwa aliyoyasheheni kwenye "Fimbo yake" ni kisa cha uongo alichokieleza msafiri mashuhuri anayejulikana kwa jina la Ibn Batuta katika kitabu chake kinachojulikana kwa jina la "Rihlatu Ibn Batuta" au kwa jina jingine kinaitwa "TuhfatunNudhaari fi Gharaibil-Amswaari wa Ajaibil-Asfaari" kitabu hiki kimeandikwa mwaka 756 Hijiriyyah sawa na mwaka 1355 Milaadiyyah, aliyekiandika ni Abu Abdillahi Muhammad Ibn Muhammad Ibn Ahmad Ibn Juzaiy Al-Kalbiy, aliyefariki mnamo mwaka 757 Hijiriyyah sawa na mwaka 1356 Milaadiyyah. Na kadhalika amemnukuu Ibn Hajar kwenye kitabu chake Ad-Durarul-Kaaminah lakini ndugu yetu hakufanya uadilifu katika nukuu yake. Inshaallaah utayaona majibu yetu dhidi ya tuhumu hizo za uongo. Amesema ndugu Juma katika ukurasa wa 161: "Bali imeelezwa katika Al-Duraru Al-Kaamina cha Ibn Hajar na Al-Rahla cha Ibn Batuta kwamba Imamu wenu Ibn Taymiyya alikuwa akiitaja Hadithi inayosema kuwa Allah anateremka thuluthi ya tatu ya usiku, alikuwa naye akiteremka vidaraja viwili vya membari kisha anasema kwamba Allah anateremka Kama hivi ninavyoteremka mimi. Kisha akasema chini ya ukurasa huo: Tazama Ibn Hajar, Al-Dururu Al-Kamina j. 1, uk. 159. Tumeyanukuu huko mbele maneno ya Ibn Batuta ambaye anasema kwamba alihudhuria muhadhara wa Ibn Taymiyya akamsikia akisema maneno hayo. MAJIBU YETU Kwanza nataka ufahamu ndugu msomaji kwamba Sheikhul-Islami Ibn Taymiyyah rahimahu-llaahu aliishi katika zama ambazo maadui zake walikuwa wengi mno, walishindwa kumkabili kwa hoja kwa sababu ya elimu aliyonayo na maarifa mapana na hifdhi kali pamoja na ufasaha wa hali ya juu. Kwa hiyo, wakaona kwamba njia nyepesi ni kuwahamasisha wajinga wamuudhi na kumsaliti na watawala waovu kwa kumzulia mambo mengi ambayo Sheikhul-Islami hakuwa nayo bali mengine alikuwa akiyaitakidi kinyume chake. Miongoni mwa mambo aliyozuliwa ni huu ukafiri wa kufananisha kushuka kwa Allah na kushuka kwa kiumbe; wakasema kwamba Ibn Taymiyyah alisema kuwa: Allah anateremka Kama hivi ninavyoteremka mimi."

52 36

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Na ukisoma katika kitabu cha Ibn Hajar alichokiita "Ad-Durarul-Kaaminah" utaona namna mahasidi zake walivyokuwa wakimuenezea habari na nyingi katika habari hizo walikuwa wakizipindua kwa lengo la kutaka kumsaliti na watawala. Miongoni mwa waliyoibeba bendera hiyo ni Abul-Fat'hi Naasir Al-Manbijiy, Sheikh wake Jash'nakiir aliyekuwa Sultani wa Misri kwa wakati huo. 21 Al-Hafidh Ibn Hajar ameelezea wazi wazi kwamba miongoni mwa sababu zilizomfanya Al-Manbijiy kumchukia Ibn Taymiyyah ni barua aliyoandikiwa na Sheikhul-Islami Ibn Taymiyyah akimuelezea hali halisi ya Ibn Arabi, kwamba yeye na wafuasi wake ni watu wapotovu. Na Al-Manbijiy pamoja na Jash'nakiir walikuwa wakimuadhimisha Ibn Arabi, kitendo hicho cha Ibn Taymiyyah kilimuudhi sana Al-Manbijiy kama anavyosema Ibn Hajar: " ". "Jambo hilo likawa kubwa kwao, na watu wengine wakamsaidia (Al-Manbijiy), wakaanza kuyadhibiti maneno yake katika itikadi kwa kuyageuza katika ahadi zake na fatawa zake. Pia wakataja kwamba alitajiwa (Ibn Taymiyyah) hadithi ya kuteremka kwa Allah. Ibn Taymiyyah akateremka juu mimbari vidato viwili kisha akasema: Allah anateremka kama hivi ninavyoteremka mimi. Kwa sababu hiyo akanasibishiwa itikadi ya kumfanya Allah ni kiwili wili." Tazama AdDurarul-Kaaminah juz 1 uk 49. Na vitendo hivi vya kugeuziwa maneno na maadui zake, Sheikhul-Islami Ibn Taymiyyah alikuwa akivijua na amevilalamikia sana, lakini maadui zake hawakukoma. Kisha ndugu yetu huyu akayanukuu maneno ya Ibn Batuta akidhania kuwa amepata hoja nzito ya kumkandamiza Sheikhul-Islami Ibn Taymiyya rahimahu llaahu. Akasema Juma katika ukurasa wa 161-162: "Amesema Ibn Batuta kuhusu Ibn Taymiyya: : . .

21

-Tazama: Al-Bidaayatu wan-Nihaayah, juz 18 uku 53. 53 37

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

"Na wakati huo mimi nilikuwa niko Damascus (Syria), basi nikamuhudhuria (Ibn Taymiyya) siku ya Ijumaa naye anawaaidhi watu juu ya membari ya Msikiti wa Ijumaa na kuwakumbusha. Basi ikawa katika jumla ya maneno yake ni kuwa alisema: Hakika ya Allah anateremka kuja katika mbingu ya kwanza kama hivi ninavyoteremka mimi, kisha (Ibn Taymiyya) akateremka katika kidaraja kimoja cha membari. Mwanachuoni wa madhehebu ya Maliki ajulikanaye kwa jina la Ibn Al-Zahraa akampinga na kuyakanusha hayo aliyoyasema. Basi wote (waliokuwepo) walimsimamia mwanachuoni huyo na wakampiga kwa mikono na viatu kipigo kikali mpaka kilemba chake kikaanguka." Akaendelea kunukuu kwa kusema: "Na kwa sababu hio, kama Al-Fakhru Al-Razi anavyomuona Ibn Khuzaima kuwa hana akili, Ibn Batuta naye anamuona Ibn Taymiyya kuwa ni mtu mwenye elimu kubwa lakini hana akili timamu. Anasema: . . (Wakati huo) Damascus kulikuwa na Ibn Taymiyya ndiye mkuu wa wanavyuoni wa Kihanbali na mkuu wa Sham, anazungumza katika fani (tafauti), lakini katika akili yake kulikuwa na kitu (kasoro). Kisha ndugu Juma baada ya kumnukuu Ibn Batuta akasema katika ukurasa huo huo wa 162: "Hayo ni maneno ya Ibn Batuta kuhusu Ibn Taymiyya. Na mfano wake ni maneno ya Al-Haafidh Al-Iraaqi katika kitabu chake Al-Ajwiba Al-

Mardhiyya aliposema kuhusu Ibn Taymiyya kwamba: Elimu yake ni


kubwa kuliko akili yake". Kwa hali yoyote ile, ninachotaka kukithibitisha hapa ni kauli ya Ibn Taymiyya aliposema: Hakika ya Allah anateremka kuja katika mbingu ya kwanza kama hivi ninavyoteremka mimi. Tunasema: ikiwa kumfananisha Allah ni kusema: Allah ana sifa kadha

kama hii yangu basi huyu Ibn Taymiyya kasema hivyo."


Kisha akasema: Je Ibn Taymiyya kwa maneno yake hayo, na kwa mujibu wa kanuni yenu hio atakuwa ni mushabbih (mwenye kumfananisha Allah na kiumbe) au hatokuwa mushabbih? Jawabu ya Kasim Mafuta inajulikana, lakini tunayoitaka ni jawabu ya kanuni hio. Ewe kanuni toa jawabu. Kanuni yatongoa: Ibn Taymiyya ni mushabbih." Mwisho wa kunukuu.

54 38

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

MAJIBU YETU Maelezo yote haya aliyoyatoa ndugu yetu Juma kupitia nukuu hizi za msafiri mashuhuri Ibn Batuta, lengo na madhumuni yake anataka umma uelewe kwamba: Sheikhul-Islami Ibn Taymiyyah ni kafiri anayemfananisha Allah na viumbe vyake. Sambamba na hilo pia anataka tumkubalie kwamba Sheikhul-Islami Ibn Taymiyyah pamoja na kuwa na elimu nyingi lakini ana akili ndogo na uelewa finyu na hiyo ndiyo sababu ya upotovu wake. Pia anajenga sura kwa watu kuwa Ahlu Sunna ambao yeye anawaita Mawahabi hawana hoja za kielimu, kazi yao wao ni fujo tu. Mahali panapotakiwa kutoa hoja wao wanakunja ngumi na kurusha mateke. NI UPI USAHIHI WA KISA HIKI? Swali la msingi ambalo ni wajibu kujiuliza kwa kila mwenye kutaka kuujua ukweli ni kuhusu usahihi wa kisa hiki. Je, kisa hiki ni sahihi kwa mujibu wa utafiti wa kielimu na je kinafaa kukifanya kuwa ndiyo ushahidi dhidi ya Ibn Taymiyya na Ahlu Sunna kwa ujumla? Kwanza, Ni kuhusu Usahihi wa kisa hiki Kisa hiki kimesimuliwa na Msafiri mashuhuri aitwaye Ibn Batuta aliyetokea pande za Ghar'nata (Granada) mji ulioko kusini mashariki mwa nchi ya Spain. Bwana huyu anatuthibitishia yeye mwenyewe kwamba aliwasili katika mji wa Damascus nchini Syria mnamo siku ya Al-Hamisi, tarehe 19 ya mwezi mtukufu wa Ramadhani mwaka 726 Hijiriyyah. 22 Na kwa mujibu wa ushuhuda wa wanachuoni wa kutegemewa ni kwamba wakati huo Ibn Batuta alipowasili katika mji wa Damascus, tayari Sheikhul-Islami Ibn Taymiyyah alikuwa ameshafungwa jela tangu mwezi wa Shaabani mwaka 726 Hijiriyyah, na hakutoka tena gerezani hadi alipofariki mnamo tarehe 20 mwezi wa Mfungo pili mwaka 728 Hijiriyyah. 23 Amesema Sheikh Bahjat Al-Baytaar: : 726
Tazama Rihlatu Ibn Batuta uk 104, chapa ya Dar Al-Kutubi Al-ilmiyah Beirut-lebanon, chapa ya pili 2002. 23 Tazama :Al-Bidaayatu wan-Nihaayah ya Ibn Kathir, juz 14 uk 557, chapa ya Dar Al-Ma'rifa, Beirut Lebanon na Al-Uquudu Ad-Durriyah cha Ibn Abdil-Haadi uk 369.
22

55 39

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

: ... ( 728) . - : 44-36 : "Hakika Ibn Batuta hakuwahi kumsikia Ibn Taymiyyah, wala hakukutana naye, kwa sababu kuwasili kwake Damascus ni siku ya Al-Hamisi tarehe 19 katika mwezi wa Ramadhani wenye kubarikiwa, mwaka 726 Hijiriyyah. Na kifungo cha Sheikhul-Islami kilikuwa katika gereza la Damascus, mwanzoni mwa mwezi wa Shaabani mwaka huo huo. Sheikh alikaa humo mpaka alipokufa usiku wa jumatatu tarehe 20 Dhulqaadah (mfungo pili) mwaka 728 Hijiriyya. Huyo Ibn Batuta alimwonaje (Ibn Taymiyya) juu ya mimbari na kumsikia akisema kuwa: Allah anateremka kama 24" Mwisho wa kunukuu.
23F

Kitabu "Rihlatu Ibn Batutah" (Tuhfatun-Nudhaari) si katika vitabu vya kutegemewa katika mambo ya ki-Historia wala katika habari. Na isitoshe, habari nyingi alizoziandika kuhusu Sheikhul-Islaami Ibn Taymiyyah ameziandika kwa kutegemea habari za uvumi ulioenezwa na maadui zake. Na inafahamika kuwa maadui wa Sheikhul-Islami walikuwa kila uchao wakimzulia uongo ili kumchafua, kwa saababu ya hasadi zao na tofauti za kiitikadi, hasa ukizingatia pia kwamba Msafiri Ibn Batuta ana itikadi za Kisufi. Na Sheikhul-Islami Ibn Taymiyyah alikuwa akizipinga vikali mno itikadi hizo. Bila shaka yoyote Ibn Batuta alipofika Damascus alipokewa na Masufi wenzake kisha wakamuelezea habari za Ibn Taymiyya vile watakavyo wao, wakati huo Ibn Taymiyyah yuko gerezani amefungwa kwa sababu ya fitina za wanachuoni wa kisufi kina AlManbijiy wakiongozwa na Sultani wao Jash'nakiir. Ukisoma vitabu vya Sheikhul-Islami Ibn Taymiyyah vyote utaona kuwa vinapingana na nadharia hii potofu, bali ameandika kitabu maalumu kinachosherehesha na kuifafanua Hadithi inayozungumzia suala hili la kushuka Allah, baada ya kuitaja Hadithi hii (Hadithun-Nuzuuli) akasema katika ukurasa wa 459 maneno haya yafuatayo: " . : . ".

24

-Tazama kitabu "Hayaatu Sheikhil-Islami Ibn Taymiyyah" cha Al-Baytaar, uk 36-44, chapa ya

Bombay- India.

56 40

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

"Lililowajibu kulihukumu ni kwamba Allah hana mfano wa kitu chochote katika yote aliyoisifia nafsi yake. Atakayemsifu Allah kwa sifa za viumbe katika jambo lolote basi huyo amekosea kabisa. Mwenye kusema kwamba Allah ana harakati na anahama kama anavyoteremka mwanadamu kutoka juu kwenda chini ya nyumba kwa hiyo anaepukana na Arshi na kushuka kwake kunakuwa ni kuiacha sehemu na kuijaza sehemu nyingine, hili ni jambo la batili inatakiwa Allah atakaswe nalo na hapa ndipo zinaposimama juu yake dalili za kisheria na za kiakili katika kumkanushia Allah na kumtakasa." Mwisho wa kunukuu. Bali Imamu Ibn Taymiyyah Allah amrehemu anamuhukumu mwenye kuzifananisha sifa za Allah na sifa za kiumbe kuwa ni kafiri, amesema katika Maj'muu Fatawa juz 11 uk 482: : .(1398 -- ) 482/11 . "Atakayesema kwamba: Elimu ya Allah ni kama elimu yangu, au uwezo wake ni kama uwezo wangu, au maneno yake ni mfano wa maneno yangu au utashi wake, mapenzi yake, ridhaa yake na ghadhabu zake ni mfano wa utashi wangu, mapenzi yangu, ridhaa yangu na ghadhabu zangu au kuwa kwake juu ya Arshi ni sawa na kuwa juu kwangu au KUTEREMKA KWAKE (ALLAH) NI SAWA NA KUTEREMKA KWANGU, au kuja kwake ni sawa na kuja kwangu na mfano wa hayo, huyo atakuwa amemfananisha Allah na viumbe vyake na Allah ametakasika na hayo wanayoyasema. NA MWENYE KUSEMA HAYO NI MPOTEVU, KHABITHI, MTU WA BATILI NA NI KAFIRI." Mwisho wa kunukuu. Sasa itawezekana vipi Ibn Taymiyyah kufanya kitendo hicho cha kumfananisha allah na hali ya kuwa amesema wazi kuwa yeyote atakayesema; Kuteremka kwa Allah ni sawa na kuteremka kwa kiumbe kuwa ni kafiri! kisha yeye huyo huyo afanye hivyo? Huoni hapo kuwa wazushi na maadui zake wanataka kuwatia watu mchanga wa macho? Pia amesema katika Maj'muu fatawa juz 5 uk 323-325 alipoulizwa kuhusu hadithi hii: . ... ... ... . . [ (323 / 5 ) ] ...
57 41

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

"Lakini atakayefahamu katika Hadithi hii na mfano wake lile ambalo linapasa kumtakasa nalo Allah kama vile kumfananisha yeye na sifa za viumbe au kumsifia kwa sifa za upungufu zinazopingana na ukamilifu wake anaostahiki, basi mtu huyo atakuwa amekosea. Na kama atalidhihirisha hilo atakatazwa. Na kama atadai kwamba Hadithi hii inafahamisha hivyo na ndivyo inavyopelekea, basi atakuwa amekosea vile vile katika hilo.

Kwa sababu Allah alipojisifu kuwa anateremka katika Hadithi hii ni kama alivyojisifu kwa sifa nyinginezo.kadhalika Allah amejisifu kuwa na elimu, nguvu na rehma na mfano wa hizokauli katika sifa zote ni kwa namna moja. Na madhehebu ya Salaf (waliotangulia) katika umma huu na Maimamu wao ni kwamba wao wanamsifu Allah kwa vile alivyojisifu mwenyewe na alivyosifiwa na Mtume wake swalla llaahu alayhi wasallam katika kukanusha na kuthibitisha. Na Allah amejikanushia kufanana na viumbe" Mwisho wa kunukuu. Pili, Ushahidi wa kauli za wanachuoni. Wanachuoni wanatoa ushahidi kwamba yanayosemwa kuhusu Ibn Taymiyyah ni uzushi wa mahasimu wake, hapa anasema Imamu Abul-Barakat Nu'man Khairud-Din AlAluusiy: "

: :( ) : : ". "Kadhalika ushahidi wa wanachuoni unahukumu juu ya mambo mbali mbali aliyozuliwa, mfano wa hayo ni yale aliyoyasema Sheikh Ibrahim Al-Kawraniy As-Shaafiy katika Haashiya yake aliyoiita kwa jina la "Al-Mujallil-Ma'ani": "Ibn Taymiyyah si katika wanaosema kuwa Allah ni kiwiliwili, amesema wazi kwamba Allah si kiwiliwili katika kitabu ambacho amezungumzia juu ya hadithi ya kuteremka Allah kwenye mbingu ya dunia. Amesema kwenye kitabu kingine: Atakayesema kwamba Allah ni mfano wa kiwiliwili cha mtu au kwamba Allah anafanana na kitu katika viumbe basi huyo amemzulia uongo Allah. Bali Ibn Taymiyyah yuko katika madhehebu ya Salaf katika kuamini maandiko yenye kutatiza pamoja na katika kumtakasa Allah kwamba hana mfano wa kitu chochote" Mwisho wa kunukuu. Tazama Jalaaul-Ainayn uk 388-389.
58 42

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Kisha Imamu Al-Aluusiy anatunukulia maneno yaliyoandikwa kwa hati ya baba yake Imamu Abul-Fadhli Shihabud-Din Mahmoud Al-Alusiy, mtunzi wa kitabu mashuhuri cha Tafsiri kiitwacho 'Ruuhul-Ma'ani' akisema: " " ! "Hasha lillaaahi; haiwezekani kabisa kuwa Ibn Taymiyyah ni katika Mujassima, bali yeye ni katika watu waliotakasika na hiloyeye yuko mbali kabisa na kumpa Allah kiwiliwili." Mwisho wa kunukuu. Tazama Tazama Jalaaul-Ainayn uk 389. Kisha ndugu Juma akamalizia maudhui hii kwa maneno haya: "Kwa hali yoyote ile, ninachotaka kukithibitisha hapa ni kauli ya Ibn Taymiyya aliposema: Hakika ya Allah anateremka kuja katika mbingu ya kwanza kama hivi ninavyoteremka mimi. MAJIBU YETU Ewe Juma wee! Hebu punguza hizo chuki zako. Kauli zote hizo unazozitegemea ni kauli dhaifu zimezushwa na wazushi wenzako wasioona haya kuzua uongo. Na hulka hii ya kutumia uongo na uzushi badala ya kutumia hoja ndiyo siasa ya Wazushi wote duniani! Bali hiyo ndiyo sera waliyokuwa wakiitumia Makafiri dhidi ya Mitume wa Allah, lakini masikitiko makubwa sana ni kwamba nawe ndugu yetu umeipenda sera hiyo na kwa makusudi umeamua kuitumia kama ndiyo silaha yako ili upambane na vizuri na waislamu wenzako!!! Hongera kwa hilo kama utafanikiwa. Ama kauli yako uliposema: "Tunasema: ikiwa kumfananisha Allah ni kusema: Allah ana sifa kadha kama hii yangu basi huyu Ibn Taymiyya kasema hivyo. Je Ibn Taymiyya kwa maneno yake hayo, na kwa mujibu wa kanuni yenu hio atakuwa ni mushabbih (mwenye kumfananisha Allah na kiumbe) au hatokuwa mushabbih? MAJIBU YETU Sheikhul-Islami Ibn Taymiyyah hakusema kwamba: Hakika ya Allah anateremka kuja katika mbingu ya kwanza kama hivi ninavyoteremka mimi. Kwa hiyo, kwanza kabla ya kuijenga hoja yako, unatakiwa uimarishe msingi uliojengea hoja yako juu yake, usije ukaporomokewa na jengo lako, na wala usiwe kama punda kipofu anayetembea kwenye giza, utatumbukia katika shimo la maangamivu kisha utajuta wakati ambao majuto hayatakusaidia kitu! Ibn Taymiyyah si Mushabbih mwenye kumfananisha Allah na viumbe. Huo ni uzushi umeuzua wewe na Masheikh zako wenye chuki. Ama kuhusu kauli yako uliposema:
59 43

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

"Jawabu ya Kasim Mafuta inajulikana, lakini tunayoitaka ni jawabu ya kanuni hio. Ewe kanuni toa jawabu. Kanuni yatongoa: Ibn Taymiyya ni mushabbih."

MAJIBU YETU Naam, Jawabu yangu inafahamika na ndiyo hii niliyoitoa, sidhani kama ulikuwa ukijua kwamba jawabu langu litakuwa hivi, na kama ulijua hivyo, kwa nini usiufuate ukweli huu, kwa sababu mimi ninasema katika jawabu langu kwamba: Maneno uliyoyanukuu kutoka kwa Ibn Batuta ni maneno ya kizushi hayakuthibiti, Ibn batuta amemzulia Ibn Taymiyyah kutokana na ushahidi wa kielimu nilioutoa. Je, na wewe unaweza kuuthibitisha uzushi wako huo kielimu? Kama unaweza fanya, na wala usikwepe ukaanzisha mada nyingine kama kawaida yako. Itikadi ya Ibn Taymiyyah ni kupinga kumfananisha Allah na viumbe vyake, bali anaitakidi kwamba mwenye kumfanisha Allah na viumbe vyake huyo ni Mpotevu,

Khabithi tena Kafiri, na hilo tumelithibitisha kutoka kwenye vitabu vyake na kwa
ushahidi wa wanachuoni waadilifu kama tulivyonukuu hapo nyuma. Ama matusi yako kwa Sheikhul-Islami Ibn Taymiyyah kwamba eti ana akili ndogo. Hili si kweli, kwa ushahidi wa watu wenye akili timamu, elimu, uadilifu na adabu. Ama watu wenye mawazo finyu, chuki, utovu wa adabu mfano wako hawawezi kumfanyia uadilifu wala kumtaja kwa heshima Sheikhul-Islaami Ibn Taymiyya. Kutokana na ujasiri wako wa kijinga, ndiyo wenzako wakakuchagua uwe kiongozi wa mapambano dhidi ya Ahlu Sunna na Wanazuoni wao.

Lakini ninakufahamisha kuwa, hata sisi pia tunao uwezo wa kunukuu matusi na kuwatukana wanachuoni wako wa Khawaarij, lakini kwa sababu ya heshima na adabu za kielimu ndizo zinazotuzuia kufanya hivyo. Kwa sababu masuala haya ni masuala ya dini, unatakiwa uwe makini juu ya kauli

unazozitoa kwa maslahi ya itikadi za watu na hisia zao na usiseme ila haki, hata kama alitokea mtu akakutukana basi kutukanwa kusikufanye ukavuka mipaka, ukafikia kuwazulia uongo watu wasiokuwa na hatia yoyote. Lakini ndugu msomaji usishangazwe na kukithiri kwa uongo huu wa Juma Mazrui na matusi yake dhidi ya wanachuoni wa Ahlu Sunna, kwa sababu hii ni athari aliyoirithi kutoka kwa Masheikh zake wa ki-Khawaariji kama vile Al-Qannubi.

60 44

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

4. UONGO WAKE DHIDI YA IMAMU IBNUL-QAYYIM (UBAVU WA ALLAH) Kama tulivyoona huko nyuma kwamba Ahlu Sunna wanafuata misingi thabiti isiyokuwa na migongano wala ubabaishaji katika kuyafahamu maandiko matakatifu hususan maandiko yanayozungumzia Sifa za Allah Sub'haanahu wa Ta'alaa. Lakini kwa kuwa ndugu huyu wa ki-Ibadhi amekusudia kuwatukana Ahlu Sunna anaowaita kwa jina la Mawahabi na wanachuoni wao, amejaribu kufanya ubabaishaji, bali amefikia mpaka kuwazulia uongo ili aweze kufikia katika malengo yake maovu, amedai katika kitabu chake 'Fimbo' kuwa Ahlu Sunna (Mawahabi) wana Minhaji mbovu katika kuyafahamu maandiko kwa hiyo natija yake ni kuzalikana mgongano na itikadi mbovu za kumfananisha Allah na viumbe. Ndugu Juma katika harakati zake za kufikia kwenye malengo yake maovu, akapekua kwenye vitabu vya watu wenye chuki dhidi ya maulamaa wa Ahlu Sunna bila ya uchambuzi! Katika sehemu hii amemnukuu Sayyid wake Hasan Sagaaf bila ya kujua kwamba mtu huyu anatabia ya kudanganya na kuzua uongo hasa katika nukuu zake dhidi ya Sheikhul-Islaami Ibn Taymiyya na mwanafunzi wake Ibnul-Qayyim. Na ushahidi wa hilo ni hii maneno haya ya uongo aliyoyanukuu Juma Mazrui katika ukurasa wa 131-132, katika kitabu chake 'Fimbo Musa'! Amesema Juma akimzulia uongo Imamu Ibnul-Qayyim: "Tuwaulize: wapi wamepata kuwa Allah ana mbavu mbili? Aya walioitegemea wao kuthibitisha kuwa Allah ana mbavu imetaja ubavu mmoja: sasa huu ubavu wa pili umetokea wapi? Al-Sayyid Al-Saqqaf anatwambia kwamba kumbe ubavu wa pili umepatikana kutoka katika kufanya Qiyas cha kumlinganisha Allah na Imraan bin Husain! Anasema: Amesema mwenye kitabu (kiitwacho) Al-Sawaaiqu Al-

Mursala, Ibn Qayyim Al-Jawziyya baada ya kutaja Aya (isemayo):


(ubavu) wa Allah). (Amesema Ibn Al-Qayyim baada ya kuinukuu Aya hio): Ya saba: isemwe kwamba dhahiri ya Qur-ani imeonesha kuthibitisha upande (ubavu ( E majuto yangu kwa yale nilioyapunguza katika upande

wa Allah) ambayo ni sifa, lakini je ni wapi imeonesha (kwa) dhahiri yake au (kwa) undani wake kwamba ubavu huo ni mmoja na upande huo ni mmoja? Na
inaeleweka kwamba matumizi kama haya hayaoneshi kwamba ni upande mmoja kama Mtume (s.a.w.) alivyosema kumwambia Imraan bin Husain: Sali kwa kusimama; kama huwezi basi sali kitako; kama huwezi basi Sali ubavu. Na hii haina maana kwamba Imraan bin Husain hana isipokuwa ubavu mmoja..
61 45

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Kisha akasema Juma: "Anachokisema Ibn Al-Qayyim ni kuwa, kama vile ambavyo Mtume (s.a.w.) alimwambia Imraan bin Husain: Sali kwa kulala upande (ubavu) mmoja ilhali Imran bin Husain ana mbavu mbili, basi vivyohivyo kutajwa kwa upande (ubavu) mmoja wa Allah hakuna maana kwamba ubavu wa pili haupo: ubavu wa pili anao tu! Kwa hivyo, utaona hapa kwamba Maimamu hawa wa Kiwahabi wamethibitisha ubavu wa pili wa Allah kwa njia ya Qiyas, pamoja na kuwa ngoma yao ni: Tunathibitisha kile Allah alichokithibitisha katika Qur-ani au alichokithibitisha Mtume wake katika Sunna; na tunakikanusha kile walichokikanusha. Kwa hivyo, Bwana Kasim Mafuta una deni: uniletee ubavu au upande wa pili wa Allah mumeutoa wapi? Ama Qiyas hapa si mahala pake." Mwisho wa kunukuu. Kisha akasema chini ya ukurasa wa 132: "Elewa ndugu msomaji kwamba neno upande lililomo katika Aya hii halijakusudiwa upande wa kihisia (ubavu) tafauti na zilivyofahamu akili za watu hawa, bali upande ni sawa na mtu kusema Kwa upande wangu naona kadha wa kadha yaani kwangu mimi jambo hili liko kadha wa kadha. Au ni kama mtu kusema kwa Kiarabu Janban ilaa janb (upande kwa upande) au (ubavu kwa ubavu), na hii si maana yake kwamba Juma aliugandanisha ubavu wake na ubavu wa Sh. Kasim Mafuta, bali maana yake ni mshikamano." MAJIBU YETU Kwanza, kabla ya kukulipa deni lako ndugu Juma Mazrui ninakwambia: Punguza chuki zako dhidi ya watu wa haki ili ufahamu maneno kabla ya kusema. Chuki zako ndizo zilizokupelekea usiyafahamu maneno adhimu ya Imamu Ibnul-Qayyim, kwa sababu pale ulipoyanukuu maneno yake ilikuwa akili yako imefunikwa na ukoko wa Ta'assubi, chuki binafsi na ushabiki wa kijinga na kwa sababu hiyo ukashindwa kumuelewa kama ambavyo hakuelewa Sayyid wako Sagaaf. Pili, si kweli kwamba Ibn Al-Qayyim amesema kwamba Jambu (ubavu) ni katika sifa za Allah. Hakusema ubavu mmoja, wala mbavu mbili, wala zaidi ya hapo. Tatu, ninakulipa deni lako kwa kukunukulia maneno ya Imamu Ibn Al-Qayyim mwenyewe, na kwa kufanya hivyo ndiyo utauona namna uongo wenu unavyobatilika.

62 46

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Amesema Ibnul-Qayyim: " : (250 / 1) "....

"Sita: ni kusema: iko wapi katika dhahiri ya Qur-ani huko kuthibitisha ubavu mmoja kuwa ni sifa ya Allah? Inafahamika kwamba jambo hili hakuna binadaamu yeyote anayelithibitisha. Watu wanaomthibitishia sana Allah sifa ni Ahlu Sunna wal-Hadithi na wao hawakumthibitishia Allah sifa ya ubavu mmoja wala muundi mmoja." Je, mpaka hapo Juma umemuelewa Imamu Ibnul-Qayyim anavyosema? Anasema: Aya hii haitumiki katika kumthibitishia Allah sifa ya kuwa ana ubavu na wala hiyo si dhahiri ya Aya! Kisha Imamu Ibn Al-Qayyim akamnukuu Imamu Ad-Daarimiy alipokuwa akimlalamikia Bishri Al-Marisiy alipowazulia uongo Ahlu Sunna kuwa wanasema kwamba wanaitafsiri Aya hii kwa maana ya ubavu wa Allah, amesema Imamu Ad-Daarimiy: "Na madai ya mpingaji, anayewazulia watu uongo, kwamba wanasema kuhusu tafsiri ya kauli yake Allah Ta'alaa (aliposema): {Ee majuto yangu kwa yale niliyoyapoteza upande
63 47

"Hata kama tutakadiria kuwa muundi na ubavu ni katika sifa za Allah, hakuna katika dhahiri ya Qur-ani kinachowajibisha kuwa hakuna isipokuwa muundi mmoja na ubavu mmoja, lau kama ingefahamisha ulichokitaja basi isingefahamisha (dhahiri ya Qur-ani) kukanusha kilichozidi zaidi ya hapo, si kwa mantuuk wala kwa kinyume chake hata kwa wale wanaoikubali Maf'huumu Al-Laqabi pia hilo halifahamishi kukataa kisichotajwa, kwa sababu inapokuwa kuhusisha kutaja ni sababu ya kutoihusisha hukumu, basi haiwi ni Maf'huumu Al-Laqabi kuwa ndiyo iliyokusudiwa na hilo ni kwa maafikiano ya wanachuoni. Kwa hiyo, sio makusudio ya Aya hizi mbili kuthibitisha sifa mpaka ikawa kuhusisha kutaja moja kati ya mambo mawili ndiyo makusudio, bali kilichokusudiwa ni jambo jingine kabisa, nalo ni kuthibitisha kuzembea kwa mja katika haki za Allah Ta'alaa" Mwisho wa kunukuu. Ninasema (Kassim): Huo ndio msimamo wa Imamu Ibnul-Qayyim kuwa: Aya hizi hazizungumzii Sifa za Allah Ta'alaa. Kwa maana ya kwamba haiko katika kuthibitisha Sifa ya ubavu kwa Allah; si ubavu mmoja wala zaidi ya hapo. Lakini alipokuwa Imamu Ibnul-Qayyim akiwajibu wenye kulazimisha msimamo wa kuwa Aya hiyo inathibitisha Sifa ya Muundi na Ubavu kwa Allah, ndiyo akasema: "Hata kama tutakadiria kuwa muundi na ubavu ni katika sifa za Allah hakuna katika dhahiri ya Qur-ani kinachowajibisha kuwa hakuna isipokuwa muundi mmoja na ubavu mmoja"! Na maneno haya yanaonyesha wazi wazi kuwa Imamu Ibnul-Qayyim hakubaliani na wenye msimamo huo wa kumthibitishia Allah Sifa ya ubavu, kwa hiyo anaijadili hoja yao waliyoiegemea na kuibatilisha. Na ushahidi wa wazi ambao unatuthibitishia kuwa Imamu Ibnul-Qayyim hakubaliani na itikadi hiyo ni kauli yake aliposema: : :" ".

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

wa Allah} kuwa (watu hao) wanakusudia (neno Jambu) ni upande ambao ni kiungo.
Jambo hilo haliko hivyo wanavyodhania wao. Amesema Ad-Daarimiy: "Ataambiwa huyu mpingaji: Kwa nini uongo umekuwa kwenu nyinyi kitu rahisi kiasi hiki! 25 Na kwa nini (umekuwa uongo) ni mwepesi sana katika ulimi wako! Kama wewe ni mkweli katika madai yako (haya, kwamba Ahlu Sunna wanasema kuwa maana ya Aya hii inathibitisha sifa ya ubavu wa Allah), hebu tutajie mtu mmoja katika wanaadamu aliyesema hivyo. Na kama umeshindwa basi usiwazulie uongo watu ambao wanaijua tafsiri hii zaidi kuliko wewe. Kisha baada ya maelezo hayo tuliyoyanukuu hapo nyuma ndiyo Imamu Ibn Al-Qayyim Allah amrehemu- akasema maneno haya uliyoyanukuu wewe-: : " ". "Saba: ni kusema; hebu tujaalie kuwa Qur'ani imefahamisha kuwa dhahiri yake ni kuthibitisha kuwa ubavu ni katika sifa (za Allah). Je wewe umepata wapi kuwa dhahiri yake au batini yake imefahamisha kuwa huo ni ubavu mmoja na upande mmoja?" Mwisho wa kunukuu. Muhtasari wa hoja yetu: - Ahlu Sunna wal-Jamaa hawaitakidi kuwa kuwa Allah ana sifa ya Ubavu mmoja, wala mbavu mbili, au zaidi ya hapo, si kwa Aya hii wala kwa Aya nyingine. - Na kama ulivyoona kuwa uongo huu umezushwa na mpotevu mmoja aliyekuwa akiitwa Bish'ri Ibn Ghiyaath Ibn Abi Kariimah Al-Marisiy Al-Adawiy, ambaye ni kiongozi wa kundi la Jahmiyya na mpinzani wa wanachuoni wa Ahlu Sunna. Na ukanukuliwa tena uongo huu na Bwana Sagaaf Sheikh wa Juma Mazrui, kisha mwanafunzi mtiifu naye akaurithi uongo huo wa Sheikh wake na bila ya kutafakari akaumwaga katika kitabu chake. Kwa hiyo, ukiutazama uzushi huu aliounukuu Juma utasadiki kuwa wazushi wote nyoyo zao zimefanana. .[118/2] { }

- Kama nilivyotangulia kusema huko nyuma; watu wote wa batili silaha yao kubwa wanayoitumia dhidi ya Ahlu Sunna wal-Jamaa ni kuzua uongo, hebu tazama namna kiongozi huyu wa kizushi Bishri Ibn Ghiyaathi Al-Mirisiy anavyomzulia uongo Imamu Ad-Daarimiy! Kisha ulinganishe uongo wake huo na uongo anaouzua Juma Mazrui dhidi ya Maulamaa wetu, ndiyo utaamini kuwa nyoyo zao zimefanana! Wallaahul-Mustaanu!!!!! 64 48

25

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

5. UONGO WAKE DHIDI YA SHEIKH IBN BAZ (KUHUSU UMBO LA ARDHI) Kwa kuwa ndugu yetu Juma Mazrui lengo lake ni kuwachafua Ahlu Sunna wal-Jamaa na wanachuoni wao mbele ya jamii ya waislamu, bado anaendeleza juhudi zake za kuwazulia uongo wanachuoni hao bila ya kuona haya wala kumuogopa Mola wake. Miongoni mwa uongo na uzushi wake ni hii habari aliyoinukuu kutoka kwenye magazeti na tovuti za maadui zilizoeneza habari za uongo dhidi ya Sheikh Abdul-Aziz Ibn Abdillahi Ibn Baz aliyekuwa Mufti wa Saudi Arabia Allah amrehemu-. Amesema Ndugu Juma katika ukurasa wa 332 kuhusu Sheikh Ibn Baz: "Sasa vipi Ibn Baz kawakafirisha Maibadhi nitakueleza kwa urefu katika sehemu yake maalumu. Ama kwa hapa nakusudia kukuonesha jinsi Ibn Baz alivyowakafirisha walimwengu wote. Anasema Ibn Baz kuhusu wenye kusema kwamba dunia ni duara: Hakika kusema kwamba jua limetulia na kwamba ardhi ni duara ni kauli mbaya yenye kuchukiza. Na atayesema kwamba ardhi ni duara na kwamba jua haliendi basi kakufuru na kupotea. Na ni wajibu atakiwe kuleta toba, akiwa atatubia (basi), na kama hakutubia basi atauliwa hali ya kuwa yeye ni kafiri na aliyertadi. Kisha Ibn Baz akatoa hoja juu ya kauli yake hio kwa kusema: Lau ardhi ilikuwa ni yenye kufanya harakati basi lazima mtu angelikuwa mahala pake pale pale: asingelifika anapotaka kwenda." Juma anaendelea kumzulia Ibn Baz kuwa amesema: Lau ardhi ilikuwa inazunguka kama wanavyodai basi miji na miti na mito isingelitulia, na watu wangeliiona miji ya magharibi iko mashariki na miji ya mashariki iko magharibi, na kibla kingewabadilikia watu kwani kuzunguka kwa ardhi kunapelekea kubadilika kwa mielekeo (directions) ya miji na mabaralau kama ardhi ilikuwa inazunguka basi watu wangelihisi mtikisiko (wake) kama wanavyohisi mtikisiko wa meli na ndege Kisha Ndugu Juma baada ya kumzulia uongo mwanachuoni huyo akamalizia kwa maneno ya dharau na kejeli dhidi ya Sheikh Abdul-Aziz Ibn Baz! Akasema Juma: "Huo ndio ufahamu wa Ibn Baz! Kwa hivyo, usione ajabu mtu kama huyu kusema kuwa Mungu ana mikono na miguu ya kweli kweli na kwamba ana sura ya Adam! Hebu tazama dharau ya kijana huyu wa ki-Ibadhi dhidi ya Sheikh Ibn Baz Allah amrehemu-! Ajabu iliyoje hii, mtu kuzua uongo bila ya kuona haya na kumdharau mtu ambaye Masheikh zao hawampati kielimu hata wakigaragara!!! Ama kweli laana si moja.
65 49

OLE WAKE KILA MZUSHI

][MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI

Kisha ndugu Juma akafunga kazi kwa kusema: "Na kuanzia hapa utaanza kukubainikia ukweli uliosemwa juu ya kwanini uwahabi umeweza kupata nguvu huko Suudia sababu ni kuwa umewakuta watu ni Mabedui wajinga: hawajui chochote kuhusu dunia wala dini!" Mwisho wa kunukuu. MAJIBU YETU Baada ya kukunukulia uongo wa Juma Al-Mazrui dhidi ya Ibn Baaz ni wajibu wetu kuubainisha msimamo wa kweli wa Sheikh Ibn Baaz juu ya kadhia hii. Je, ni kweli huo ndio ufahamu wa Sheikh Ibn Baaz kuhusu maumbile ya ardhi au huo ni miongoni mwa uongo wa wazushi? Hebu tumsikilize Ibn Baaz mwenyewe kuhusu kadhia hii, yeye ?anasema nini FAT'WA YA SHEIKH IBN BAZ Baada ya wazushi kueneza maneno ya uongo kama kawaida yao- dhidi ya As-Sheikh Al-

Allaamah Abdul-Aziz Ibn Baz, hasa kwenye gazeti la Al-Muswawwir, Sheikh Ibn Baz
alitoa tamko la wazi dhidi ya uongo huo. Na hii ifuatayo 26 ni sehemu ya tamko lake kwa
25F

ufupi: , . , 2166 \ 24 1385 15 1966 15 : .... ) : ( , 1385 - - . , , { } : : , ,


26

- Tazama kitabu chenye mkusanyiko wa fat'wa zake (Maj'muu Fatawa) juzuu ya 3 ukurasa wa

156-158.

66 50

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

".... "Sifa njema zote ni za Allah, Swala na Salaam zimshukie Mtume wa Allah na Jamaa zake, Maswahaba zake na waliofuata muongozo wake. Ama baada ya yaliyotangulia. Limetangaza gazeti la Al-Muswawwir, nambari 2166, lililotoka Ijumaa tarehe 24/1385 Hijiriyyah, sawa na tarehe 15/April/1966 Milaadiyyah, katika ukurasa wa 15, maneno yafuatayo (Chini ya kichwa cha habari kisemacho): Fikra (mpya) zinazoletwa kutoka nje! Na mwandishi: Ahmad Bahaud-Din Zinasema habari kutoka Saudia kwamba, Naibu Rais wa Jaamiyatu Al-Islaamiyyah (chuo kikuu cha Kiislamu cha Madina) ametoa maneno kiasi cha miezi miwili kwenye magazeti yote, amehalalisha umwagaji wa damu kwa kila atakayesema kuwa ardhi iko katika umbile la mpira na kwamba ardhi inalizunguka jua na si kinyume chake.. Majibu ya Sheikh Ibn Baz Jawabu langu kuhusu hilo ninasema: "Sub'haanaka! Huu ni uongo mkubwa! Maneno yalitawanywa kwenye magazeti yote ya hapa nchini kama alivyoishiria mwandishi katika mwezi wa Ramadhani mwaka 1385, na wasomaji wote wameyaona ndani ya nchi na nje na halikutajwa katika maneno hayo suala la kuwa ardhi iko kwenye umbile la mpira kwa kuthibitisha wala kukanusha, wachilia mbali suala la kuihalalisha damu ya mwenye kusema hivyo. Katika maneno yangu kulikuwa na maneno niliyoyanukuu kutoka kwa Ibnul-Qayyim Allah amrehemu- maneno ambayo yanafahamisha kwamba ardhi iko katika umbile la mpira. Imekuwaje kwa (mwandishi huyu) Ahmad Bahaud-Din, au kwa mtu aliyempelekea habari hizi kujiingiza kwenye uongo huu wa wazi na kuninasibishia mimi maneno (ya uongo) na hali ya kuwa maneno yangu yametawanywa ulimwenguni na watu wameyasoma? Sub'haana llaahi! Ni ujasiri mkubwa sana alionao huyu mzushi! Lakini si ajabu kutokea mfano wa uzushi huu kutoka kwa watetezi wa ukafiri na madhehebu potofu, kwa sababu Allah ameshasema: "Kwa hakika hapana vingine, wanaozua uongo

ni wale ambao hawaziamini Aya za Allah na wao ndio waongo kweli kweli" Na imethibiti kutoka kwa Mtume wa Allah swalla llaahu alayhi wasallam kwamba amesema:"Alama za mnafiki ni tatu; Anaposimulia husema uongo, akiahidi ana khalifu (hatekelezi) na akiaminiwa anafanya hiyana"

67 51

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Nilichokisema mimi ni kuihalalisha damu ya atakayesema kuwa jua limesimama, halizunguki. Tena damu yake itakuwa halali baada ya kutakiwa kutubia, kwa sababu kusema hivyo ni kuikadhibisha Qur-ani (kitabu cha Allah) na ni kumkadhibisha Mtume wake swalla llaahu alayhi wasallam. Na inafahamika kwa ulazima kabisa kutoka kwenye dini ya uislamu na kwa dalili zenye hakika na kwa maafikiano ya maulamaa kwamba atakayemkadhibisha Allah na Mtume wake Mtukufu (swalla llaahu alayhi wa alihi wasallam) au kitabu chake, mtu huyo damu yake na mali yake ni halali na atatakiwa kutubia, akitubia sawa na asipotubia atauawa na hili halina upinzani baina ya wanachuoni. 27" Mwisho wa kunukuu. Je, ndugu msomaji baada ya ufafanuzi huu alioutoa Sheikh Ibn Baz mwenyewe kwa miaka mingi, bado unahitaji ushahidi ili ukubali kwamba Juma Mazrui ni mtu mwenye chuki binafsi dhidi ya wanachuoni wetu na ni muongo aliyekubuhu! Wenye sifa za kuzua uongo ni wanafiki na makafiri wasioziamini Aya za Allah, sasa inakuwaje kwa kijana kama huyu anafanya mambo ya namna hii! Tena si mara moja au mara mbili, bali kitabu chake amekijaza uzushi na uongo kutoka mwanzo hadi mwisho! Kisha ndugu yetu alipotaka kuukoleza chumvi uongo wake ili ukolee, akasema haya chini ya ukurasa huo huo:

"Fatwa hii imechapishwa na Al-Riasa Al-Amma mwaka 1976. Na ilinukuliwa na magazeti mengi, kama ambavyo pia mwenyewe nilishuhudia katika intaneti ya mtandao wa omani.net ulipofanyika mjadala baina ya Mawahabi na Maibadhi na ikatajwa fat-wa hii bila ya Wahabi yoyote yule kukanusha. Kwa sasa tazama kitabu Al-Khawarij cha Abdullah Al-Qahtani uk. 103-105. Kwa hali yoyote ile, fat-wa hii ni jambo lililoenea katika ndimi na maandiko ya watu wengi wala hakuna Wahabi aliyeikanusha." MAJIBU YETU Huo ndio ukomo wa utafiti wa ndugu Juma, utafiti uliojaa chuki na uhasidi na hayo ni maradhi mabaya sana kwa mwanadamu kuwa nayo! Hivi kweli ndugu yetu alishindwa kurejea kwenye Maj'muu fatawa ya Sheikh Ibn Baz, kitabu kilichokusanya fatawa zake badala ya kunukuu maneno ya magazetini?

27

- Tazama Maj'muu fatawa (Kitabu kilichokusanya Fat'wa zake) juzuu ya 3 ukurasa wa 156-158.

68 52

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Hatusemi kwamba haifai kunukuu habari za kwenye magazeti, lakini kwa tuhuma kama hii dhidi ya mwanachuoni wa kiislamu basi si ungewauliza hata wanafunzi wake ambao wanazisoma fatawa zake kama wewe huna wakati huo? Sheikh Ibn Baz ameijibu tuhuma hiyo yeye mwenyewe tena siku nyingi kama ulivyoona. Pia Sheikh Aasim Al-Qar'yuuti ameijibu tuhuma hiyo tangu mwaka 1975! Sasa ndugu yetu ukitwambia kwamba fat-wa hii ni jambo lililoenea katika ndimi na maandiko ya watu wengi wala hakuna Wahabi aliyeikanusha, unakusudia nini?. Zaidi ya yeye mwenyewe Sheikh Ibn Baz ulitaka asimame nani aukanushe uongo huo na hali ya kuwa mwenyewe bado alikuwa hai? Lakini kwa nini nyinyi wazushi mmekithirisha kuwazulia uongo wanachuoni wetu! Hamna haya? Hebu soma maneno haya ya Sheikh Aasim Al-Qar'yuuti 28: - : - )) : " " " ( 339 / 6 ) " " " " .( 173 / 1 ) " " " " ( 195 / 25 ) " 1395 . . - - :" " 1394 .167 (( "Sheikh Ibn Baaz rahimahu llaahu anathibitisha kwamba ardhi iko kwenye umbile la mpira kama wanavyothibitisha wanachuoni wengine wa kiislamu. Na Ibn Baaz amemnukuu Ibn Taymiyyah kuwa hayo ndiyo maafikiano ya wanachuoni wote, amemnukuu kutoka kwenye vitabu vingi mno, miongoni mwa vitabu hivyo ni: "AlArshiyya" na Dar'u at-Taarudhi juz 6 uk 339. Tazama risala kuhusu mwezi mwandamo katika Maj'muu fatawa juz 25 uk 195, pia Ibn Kathir amenukuu maafikiano hayo katika Al-Bidaayah wan-Nihaayah kama ilivyo kwenye Aafaqul-Hidaayah juz 1 uk 173." Sheikh A'asim anaendelea kusema: "Katika maajabu! Sheikh Ibn Baaz amezuliwa uongo katika uhai wake kwamba eti anapinga kuwa ardhi iko kwenye umbile la mpira na hali Sheikh anaafikiana na wanachuoni wa kiislamu katika suala hili. Na mnamo mwaka 1395 au 1394 Hijiriyyah (sawa na mwaka 1974 au 1975 Milaadiyyah) nilimuuliza Sheikh Ibn Baz kuhusu suala hili, (nikamwambia kuwa); kuna watu wanadai kwamba wewe Ibn Baaz una kitabu kinachojulikana kwa jina la 'Al-Baazul Munqadh Alaa Man-Qaala Bi28

Tazama kitabu "Kaukabatun min Aimmatil-Hudaa" uk 167 cha Sheikh A'asim Al-Qar'yuuti.

69 53

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Kurawiyyatil-Ardhi' Sheikh akashangaa sana na akaupuuza uzushi huo." Mwisho wa kunukuu. Je, ndugu yetu hayo uliyoyasema ni ya kweli kwamba hakuna hata Wahabi mmoja aliyeupinga uzushi huo mliouzua? Watu tangu mwaka 1974 au 1975 walishaiulizia kadhia hiyo na mwenyewe ameipinga tena kabla ya hapo, leo wewe ukurupuke kwenye shuka lako la usingizi useme; hakuna hata ntu mmoja ameipinga fat'wa hiyo! Hivi kwa nini hamuoni haya kuzua uongo?

!!! 6. UONGO WAKE DHIDI YA AHLU SUNNA (MGONGO WA ALLAH) Ndugu yetu Juma katika kuendeleza propaganda zake za chuki na uadui dhidi ya Ahlu Sunna amethubutu kusema katika kitabu chake "Kisimamo" ukurasa wa 68, akiwazulia waislamu wenzake kwamba eti Mawahabi wanasema kuwa: MUNGU ANA MGONGO. Kisha akasema Tazama KITABU AL-SUNNA cha Ibn Ahmad ukurasa wa 67. Amesema tena katika kitabu chake hicho hicho, ukurasa wa 70: "Mungu ameiandika Taurati kwa mkono wake na huku ameegemeza mgongo wake kwenye jabali, sauti ya kalamu inasikika, hakuna baina yake (Mungu) na baina yake (Musa) isipokuwa pazia"!!!! ukurasa wa 67. MAJIBU YETU Maneno haya aliyoyatamka ndugu Juma ni maneno ya uongo, na sina shaka kuwa hata yeye Juma anajua kwamba amesema uongo, kwa sababu maneno haya hayamo katika kitabu alichotutaka tukitazame. Lakini amedhamiria kwa makusudi kuwachafua mahasimu zake kwa maneno ya uongo. Lakini pia inawezekana kuwa ameunukuu uongo huu kutoka kwa watu waongo bila ya yeye kujua, kwa sababu maneno haya yanawakandamiza mahasimu zake (Ahlu Sunna) akawasadikisha waongo hao bila ya kuhakikisha usahihi wake. Nilipokirejea kitabu AS-SUNNA au kwa jina jingine kinaitwa AR-RADDU ALALJAHMIYYAH cha Imamu Abdillaahi mtoto wa Imamu Ahmad Ibn Hanbal, sikuyaona

70 54

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

maneno haya MUNGU ANA MGONGO na kwa kuhakikisha zaidi nilizirejea chapa tatu tofauti: Chapa ya kwanza, ni chapa iliyochapishwa na kituo cha uchapishaji kiitwacho Daaru Ibnil-Qayyim cha Dammam-Saudi Arabia, chapa ya kwanza ya mwaka 1406 Hijiria, iliyohakikiwa na Dkt Muhammad Ibn Said Ibn Salim Al-Qahtwaniy. Chapa ya pili, ni chapa iliyochapishwa na kituo cha uchapishaji kiitwacho Daaru IbnilJawziy cha Qairo-Misri, chapa ya mwaka 1427 Hijiria sawa na mwaka 2008 Miladiya, iliyohakikiwa na Abu Malik Ar-Rayashiy. Chapa ya tatu, ni chapa iliyochapishwa na kituo cha uchapishaji kiitwacho Daarul-Kutubi Al-Ilmiyyah cha Beirut-Lebanon, chapa ya pili ya mwaka 1414 Hijiria sawa na mwaka 1994 Miladiyah, iliyohakikiwa na Abu Hajir Muhammad Said Ibn Basyuni Zaghlool. Katika kurejea kwangu katika chapa zote hizo tatu, hakuna madai hayo aliyoyataja Ndugu Juma dhidi ya Ahli Sunna ambao yeye anawaita Mawahabi. Kwa hiyo, hii ni challenge tunaitoa kwa Juma Al-Mazrui na masheikh zake, na wafuasi wake watutajie uongo huu ambao anawasingizia Ahli Sunna ameutoa wapi? Tena bila ya kuona haya wala aibu akasema: "Tazama kitabu AL-SUNNA ukurasa wa 67". Akidhania kwamba watu wote ni wavivu wa kuvirejea vitabu na kufanya utafiti. Na sina shaka kuwa kitendo hiki alichokifanya Juma ni ghushi ya wazi wazi. Kwa hiyo suala la msingi analolazimika kulifanya Juma ni kututhibitishia ni mahali gani ameyatoa maneno hayo, chapa gani ya mwaka wa ngapi? Dhana niliyonayo mimi ni kuwa; pengine jambo lililompa ujasiri Juma Al-Mazrui mpaka kufikia kuwazulia uongo waislamu wenzake ni ile hadithi dhaifu aliyoitaja Imamu Abdillahi, mtoto wa Imamu Ahmad, pale aliposema katika kitabu chake: : . Amenisimulia Baba yangu (Imamu Ahmad Ibn Hanbal) Allah amrehemu, naye amesema amenisimulia Yazid Ibn Haruun, amenielezea Al-Jurairiy kutoka kwa Abu Atwaaf amesema: {Allah Azza wa Jalla amemuandikia Musa Alayhi Salaam Taurati kwa mkono wake na hali ya kuwa (Musa) ameegemeza mgongo wake kwenye jiwe, katika mbao za lulu na hali ya kuwa (Musa) anasikia kugonga kwa kalamu, hakuna baina yake Musa na Allah isipokuwa pazia29.}
28F

29

- Tazama kitabu AS-SUNNAH juzuu ya 1 ukurasa wa 225, hadithi namba 557, na juzuu ya 2

ukurasa 67, hadithi namba 1032, chapa ya Daaru Ibnil-Jawziy, Qairo-Misri. 71 55

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Kama ni Hadithi hii ndiyo iliyompa ujasiri ndugu Juma na kumfanya aropoke bila ya kuyahakiki mambo kielimu, basi atakuwa Juma ni mtu Jaahilun-Murakkabun tena Muongo asiye na haya. Ninasema hivyo kwa sababu zifuatazo: Sababu ya kwanza: Nimesema kuwa Juma ni Jahili Murakkabu, kwa sababu hao Ahli Sunna anaowaita Mawahabi, hawaifanyii kazi isipokuwa Hadithi sahihi tu, iwe katika mambo ya itikadi au ibada. Na inafahamika kwamba kitabu As-Sunnah cha Imamu Abdillahi Ibn Ahmad Ibn Hanbal si katika vitabu vilivyo kusanya Hadithi sahihi tupu, bali zimo humo Hadithi sahihi, dhaifu bali hata za kutunga. Na mtunzi amezibainisha Hadithi zote hizo kwa kuzitaja sanad zake na huo ni utaratibu unaofahamika tangu hapo zamani. Kwa hiyo, ni wajibu kwa msomaji wa kitabu hicho kuichunguza kila Hadithi iliyomo humo ili kuthibitisha usahihi wake. Na sisi baada ya kuichunguza Hadithi hii tukagundua kuwa si sahihi, bali ni dhaifu kwa sababu kuu mbili: a) Al-Jurairiy Said Ibn Iyaasi ni mtu madhubuti, lakini alichanganyikiwa mwishoni mwa umri wake (kabla ya kufariki kwa miaka mitatu), na mpokezi aliyepokea kutoka kwake ni Yazid Ibn Haruun. Maulamaa wakubwa wa hadithi wamethibitisha kwamba Yazid ni miongoni mwa waliopokea kutoka kwa Al-Jurairiy baada ya kuchanganyikiwa, kwa hiyo riwaya zake zote alizozipokea kutoka kwa Al-Jurairiy ni dhaifu. Na hii ni miongoni mwa riwaya hizo dhaifu. b) Abu Al-Atwaaf Al-Basriy ni mtu majhuli (mtu asiyetambulika uadilifu wake kwa watu wa hadithi). Kwa hiyo, hadithi hii si sahihi. Sababu ya pili: Sababu ya pili iliyonipelekea kusema kuwa Juma ni Muongo asiye na haya, ni kuwa Abu Atwaaf hakusema wazi kwamba ni nani aliyeegemeza mgongo wake kwenye jiwe. Yeye amesema: ( na hali ya kuwa yeye ameegemeza mgongo wake) kwa kuitumia dhamiri (Pronoun) ambayo inarudi kwa Nabii Musa alayhi salaam. Kwa hiyo, Hadithi hii dhaifu inaelezea kwamba Nabii Musa ndiye aliyeegemeza mgongo wake kwenye jiwe na si Allah. Na kwa kitendo hiki atakuwa Bwana Juma amewazulia uongo Ahlu Sunna walJamaa. Tunasema hivyo, kwa sababu hakuna mwanachuoni hata mmoja wa Ahlu Sunna (Wahabi) aliyeitafsiri Hiyo kwa maana aliyoitaja Juma. Na kama Juma anao ushahidi wa

72 56

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

kututhibitishia kuwa kuna mwanachuoni yeyote aliyeitafsiri Hadithi hiyo kwa tafsiri aliyoitaja yeye basi na atutajie. Na mimi ninamwambi hakuna. Na ninahitimisha nukta hii kwa kusema: Haya ni maneno ya uongo, kijana huyu wa ki-Ibadhi amewazulia Ahlu Sunna wal-Jamaa. Ewe Juma wee! Ahlu Sunna wal-Jamaa unaowaita Mawahabi hawasemi wala hawaitakidi kuwa Allah ana mgongo, uongo huo umeutunga wewe kwa sababu ya chuki zako na uadui wako dhidi ya watu wa haki. Hivyo basi ninakupa Challenge wewe, Khalfani Tiwani na Masheikh zanu wote wanaokusaidia katika kazi hii mtuletee kauli ya mwanachuoni mmoja tu miongoni mwa hao wanachuoni muwaitao kuwa ni wanachuoni wa Kiwahabi anayesema kuwa Allah ana mgongo! Allah ametakasika na uongo huu-. Na mkishindwa kufanya hivyo watangazieni walimwengu kuwa nyinyi ni waongo na muwaombe msamaha Ahlu Sunna wal-Jamaa.

!!!

73 57

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

SURA YA TATU

UONGO NA MATUSI YA JUMA MAZRUI DHIDI YA SHEIKH AL-BANI

74 58

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

SURA YA TATU
UONGO NA MATUSI YA JUMA MAZRUI DHIDI YA SHEIKH AL-BANI Ndugu yetu alipokuwa katika harakati za kujikosha kutokana na makosa aliyoyafanya, akajitahidi kutafuta watu wa kufa nao kwa sababu waswahili wamasema; kifo cha wengi harusi! Ili aseme: kukosea sikuanza mimi bali hata wanachuoni wenu wakubwa wakubwa nao pia wamekosea makosa mengi, kwa kapu na magunia! Hili ndilo alilolikusudia ndugu Juma katika fimbo yake na si vinginevyo, kwa sababu ukiitafuta sababu ya msingi iliyompelekea kuyafukua mambo aliyoyaita makosa ya Al-bani kisha kuyajaza katika kitabu chake hicho hutaipata. Kutokana na chuki na uadui alio nao ndugu huyu pamoja na vijana wenzake wa Kikhawaariji dhidi ya wanachuoni wa Ahlu Sunna wal-Jamaa akaona wakufa naye katika hili ni Sheikh Muhammad Naasirud-Din Al-bani. Kwa sababu ya mashambulizi makali na kashfa nyingi zilizofanywa na vijana hawa wa kiKhawaarij (Ibadhi) walioko kule Pemba na Oman, kama vile Juma Al-Mazrui, Khalfani Suleiman At-Tiwaani ambaye ndiye mwandishi wa kitabu "Al-Mij'har" lakini alijificha kwa jina la Abdallah. Nimelazimika kuzinukuu kashfa zao hizo kwa ufupi kisha tuzipime katika mezani ya uadilifu, huwenda kwa kufanya hivyo utabainikiwa na ukweli juu ya haya ninayoyasema. Lau kama itasadifu kuvisoma Sheikh vitabu Al-bani vya watu hawa, kisha ukaona vile kuwa

wanavyomzungumzia

Allah

amrehemu-

utadhani

wanamzungumzia mtu Jaahili, Mwehu mmoja asiye na maana! Kumbe wanamzungumzia mwanachuoni bingwa aliyetabahari katika elimu ya uchambuzi wa habari, Mwanachuoni mkubwa ambaye umma wa Kiislamu unajifaharisha naye kutokana na juhudi zake na mchango mkubwa alioutoa. Lakini jamaa hawa kwa sababu ya kasumba za Umadhehebu wameshindwa kumfanyia uadilifu Mwanachuoni huyu, wakaburutwa na chuki zao za kimadhehebu na hatima yake wakamdhulumu Aalimu huyo, wakaisahau kauli yake Allah Azza wa Jalla isemayo: } [ 8 : { ] {Enyi mlioamini! Kuweni wasimamizi madhubuti kwa ajili Allah mkitoa ushahidi kwa

haki. Wala kuchukiana na watu kusikupelekeeni kutofanya uadilifu. Fanyeni uadilifu.


75 59

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Hivyo ndio kuwa karibu zaidi na kumcha Allah. Hakika Allah ni mjuzi mno kwa mnayoyatenda} [Surat Al-Maida, Aya ya 8].
Jamaa hao wa ki-Khawaariji (Ibadhi) wakakosa ucha-Mungu na uadilifu, mpaka baadhi yao wakafikia kutamka wazi wazi bila ya kuona haya wakasema 30: "Kwa ufupi, ni kuwa Al-Albani si mwanachuoni wa Hadithi kamwe tafauti na wanavyodanganywa walala hoi! Al-Albani hajui hata kitu alichokisema mwenyewe: husema kitu kisha ama akajipinga au akakanusha kuwa hajakifanya naye kakifanya kimo katika maandiko yake. Kilichompa jina mtu huyu ni kuweko kwake katika Madhehebu yenye pesa na iliopo katika sehemu nyeti anatangazwa. Hakuishia hapo bali akaendelea kusema: Al-Albani hajui hata Hadithi zilizomo katika Al-Bukhari na Muslim kama utavyoona mifano miwili mitatu inayofuata. Na hii mifano saba nilioinukuu hapa ni mifano michache tu: nina mifano 621 ya Hadithi walizozikusanya wenyewe Mawahabi ambapo Al-Albani huku anasema vyengine na kule anasema vyengine. Rejea Tarajuatu Al-Albani cha Abu Al-Hasan Muhammad bin Hasan Al-Sheikh ujionee mwenyewe. Na kwa ziada rejea Tanaqudhaatu Al-Albani cha Al-Allama Al-Sayyid Al-Saqqaf.

Kisha akamalizia maneno yake kwa kuhoji na kutuchalenj: Baada ya haya, tunakuulizeni enyi mujiitao Salafiyya, ivo inajuzu mtu huyu kuitwa Imamu wa Hadithi? Na je inajuzu kutegemea udhoofishaji na usahihishaji wa Hadithi unaofanywa na mtu kama huyu? Nasi tunawachalenj Mawahabi watutolee makosa kwa makapu kama haya kutoka katika vitabu vya Al-Imamu AlQannubi."

Hayo yote tuliyoyataja ni baadhi tu kati ya maneno ya kijana wa ki-Khawaariji Juma Mohd Mazrui anayeishi Oman, kijana ambaye vitabu vyake vinamdhihirisha wazi kuwa
30

- Tazama matusi yake hayo katika kitabu chake kichafu alichokiita 'Fimbo ya Musa'ukurasa wa

79.

76 60

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

si mtu wa kielimu, bali ni mtu aliyevivamia vitabu, na kwa ujahili wake akaanza kuwakosea adabu na Wanachuoni wa Kiislamu! Labda hivyo ndivyo alivyofunzwa na Masheikh zake. Na ushahidi wa hilo utaupata pale tutakapo kunukunulia kauli za Sheikh wake Said Mabruuk Al-Qannubi katika Sura ya Sita. Muhtasari wa maneno ya kijana huyu wa Kiibadhi: Kwanza, Anadai ndugu yetu kwamba, Sheikh Al-bani si mwanachuoni wa hadithi kamwe, wala hastahiki kuitwa mwanachuoni, lakini kwa sababu madhehebu yake ina watu wenye pesa, kwa hiyo wamefanikiwa kumkweza na kumtangaza hadi walala hoi wakakubali kuwa kweli Al-bani ana elimu ya hadithi! Pili, Al-bani ni kama Juha, ni mtu wa kuropoka hovyo, hajui hata anachokisema mwenyewe, analithibitisha jambo mara anageuka analikanusha! Tatu, Kwa kuwa Mawahabi wamezishika sehemu nyeti (Makka na Madina) kwa hiyo wameweza kumtangaza mtu huyo ndio akapata umaarufu. Nne, Al-bani hazijui hata Hadithi zilizomo katika Sahihi Bukhari na Sahihi Muslim. Na kuna ushahidi wa hadithi 621 zinazoonesha kuwa anajikanganya. Tano, Kijana wa kiibadhi Said Mabruuk Al-Qannubi, huyo ndiye Mwanachuoni mkubwa katika elimu za Hadithi na Usuuli na hakuna kiumbe yeyote anayefanana naye hapa ulimwenguni, na anastahiki kuitwa Imamu wa Usuuli, lakini watu wameshindwa kumjua mwanachuoni huyu kwa sababu hayuko kwenye madhehebu yenye pesa kama ile madhehebu ya Al-bani na hayuko katika sehemu nyeti, kwa hiyo umma wa kiislamu wameshindwa kuivumbua lulu hii. Sita, Na mkitaka kujua kwamba Al-Qannubi ni mwanachuoni mkubwa, asiyekosea basi tunawapa Chalenji enyi Mawahabi, kina Kassim mwana wa Mafuta, Abdallah Muhsin, Abu Hashim Al-Musawa na Seif Al-Ghafriy mtutolee makosa yake. Saba, Katika kuthibitisha kuwa Al-bani si chochote si lolote hata Mwanachuoni mkubwa Hassan Sagaaf pia amemuumbua Al-bani katika kitabu chake "Tanaaqudhaatul- Albani" Huo ndio muhtasari wa fikra za Bwana Juma Mazrui, anatushawishi na sisi tukubaliane na yeye kupitia maandiko yake tuliyoyanukuu hapo. Kwa ufupi ndugu huyu anataka kuubadili ukweli unaofahamika kwa walimwengu kupitia kalamu yake hii chafu. Na kabla ya kumjibu Juma, hebu tumtazame kijana mwingine wa Kiibadhi anayeitwa Khalfani Suleiman At-Tiiwaani katika kitabu chake "Al-Aj'wibatu Al-Muskita" (Jawabu yenye kunyamazisha) ukurasa wa 10, anasema haya kuhusu Sheikh Al-bani:
77 61

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

"Je, inafaa kutegemea usahihishaji wa Al-bani? Jawabu: Naam, haifai kutegemea hukumu za Albani isipokuwa kwa mtu mwenye uwezo wa kutazama hukumu na kuyapekua aliyoyasema na kuyajadili, na hilo ni kwa sababu Albani anajichanganya hukumu zake nyingi, utamuona anaisahihisha hadithi hapa kumbe kule ameidhoofisha, au ameidhoofisha hapa lakini kule ameisahihisha, kwa hiyo imekuwa kumtegemea ni jambo muhali au mfano wa muhali, na hili si katika mlango wa kasumba, hiyo ndiyo hali halisi kwa yale wanayoyaelezea wafuasi wake. Kisha akasema: Nina kitabu kimeandikwa na Abu Malik Awdah Ibn Hassan kwa anuani: "Hadithi mia tano alizojirudi Albani", mwandishi akazitaja hadithi 250 katika juzuu ya kwanza alizozisahihisha sehemu moja na kuzidhoofisha sehemu nyingine au kinyume chake.. Kisha kijana huyo wa ki-Ibadhi akamalizia kwa kusema hivi: Tafakari ndugu msomaji! Amekosea Hadithi mia tano, je idadi hii ni ndogo idharauliwe? Hili si jambo jepesi, bali ninasema kwa uhakika: lau kama Al-bani angeishi katika zama za Yahya Ibn Main, Ibn Al-Madiniy, Abu Zur'ah Ar-Raaziy na Al-Uqailiy kisha akafanya makosa machache kuliko haya, basi angekusanywa katika vitabu vya Madhaifu, wenye kughushi na watu wenye kuleta hadithi za ajabu, Wallaahul-Musta'aan." Mwisho wa kunukuu. Huu ndio msimamo wa vijana wa ki-Khawaariji (Ibadhi) dhidi ya Sheikh Albani na hizi ndizo chuki zao. Lengo lao kubwa ni kutaka kumporomosha yeye ili wampandishe Sheikh wao Said Mabruuk Al-Qannubi. MAJIBU YETU Baada ya kuzinukuu shutma zao hizo na matusi yao hayo dhidi ya mwanachuoni huyu mkubwa wa kiislamu katika zama hizi, ni vyema tukayahakiki madai yao haya kielimu ili kujua: Je, ni kweli Sheikh Al-bani si mwanachuoni wa hadithi na hastahiki kuitwa mwanachuoni? Je, ni kweli Sheikh Al-bani amepata umaarufu na kuheshimika kwa sababu ya kuwa madhehebu yake ina watu wenye pesa na imeshika sehemu nyeti? Je, wanaosema Al-bani ni mwanachuoni wa hadithi ni walala hoi walioghilibiwa?

78 62

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Je, ni kweli Al-bani hajui anachokisema, na kuwa ana tabia ya kulithibitisha jambo mara anageuka na kulikanusha? Je, ni kweli Al-bani hazijui hata hadithi zilizomo katika Sahihi Bukhari na Sahihi Muslim. Ni upi ukweli kuhusu hizo hadithi 621 zinazoonesha kuwa anajikanganya? Je, ni kweli Said Mabruuk Al-Qannubi Sheikh wa Kiibadhi ndiye mwanachuoni mkubwa wa hadithi ulimwenguni kuliko viumbe wote? Je, ni yapi hayo yaliyomo kwenye kitabu cha Hasan Sagaaf kiitwacho "TanaaqudhaatulAlbani"? Bila shaka, maswali yote haya yanahitaji majibu ya kielimu na ushahidi uliojengwa juu ya misingi ya ukweli na uadilifu. Katika hatua za kuliendea hilo nitalazimika kuutanguliza utangulizi ufuatao ili kutoa mwangaza juu ya hayo yanayoitwa makosa ya Al-bani: BAADHI YA KAULI ZA MAULAMAA KUHUSU SHEIKH AL-BANI Ili kuifahamu thamani ya mtu na elimu yake ni vyema ukawatazama watu ambao Allah amewapa uadilifu, elimu na maarifa ili kujua wanasema nini kuhusu mtu huyo na elimu yake. Ama kuipima elimu ya mtu kwa mtazamo wa wajinga au watu wasio na uadilifu, kwa kufanya hivyo huwezi kupata kipimo sahihi cha thamani ya mtu huyo na elimu yake. Watu waliopata hasara ya kukosa elimu au uadilifu wanaweza kumkweza mtu na kumnyanyua zaidi ya daraja yake kwa sababu ya ujinga wao au matamanio ya nafsi zao kwa sababu ya misukumo ya kupenda kwa upofu au kasumba za kimadhehebu au matashi mengine yaliyo kinyume na misingi ya elimu na uadilifu. Halikadhalika wanaweza kumtweza na kumdharau mtu kwa sababu ya ujinga wao au chuki na matamanio ya nafsi au tofauti za kimadhehebu. Hivyo basi, tumelazimika kuzinukuu baadhi ya kauli za wanachuoni ili kukubainishia nafasi ya mwanachuoni huyu kwao: Amesema Sheikh Abdul-Muhsin Al-Abbad katika sherhe ya Sunan Abi Daud juzuu ya 5 ukurasa wa 352 baada ya kupokea taarifa za kifo cha sheikh Al-bani:
79 63

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

". "Miongoni mwa yaliyotokea usiku uliyopita, ni kifo cha mwanachuoni mkubwa, mwanachuoni wa hadithi mashuhuri naye ni sheikh Muhammad Naasirud-Din Al-bani Allah amrehemu na amsamehe- kwa hakika yeye ni mwanachuoni mkubwa, mtambuzi wa hadithi aliyemashuhuri, ana juhudi kubwa katika kuitumikia sunna na kuzipatiliza hadithi za Mtume swalla llaahu alayhi wasallam.. Juhudi zake ni kubwa na utumishi wake katika sunna ni mashuhuri, na haiwezekani kwa wanafunzi kuviacha vitabu vyake na kutokuvirejea, kwa sababu ndani yake kuna kheri nyingi na elimu nyingi." Rejea kitabu "Muhammad Nasirud-Din Al-bani Muhaddithul-Asri.." cha Ibrahim Al-Aliy, ukurasa wa 34-35. Amesema Sheikh Muhammad Ibn Ali Ibn Adam Al-Ath'yuubiy; .." , , .11/1 : " "Vile vile vitabu vya mwanachuoni Muhammad Naasirud-Din Al-bani kwa hakika ni vizuri mno, kwa sababu ana mkono mrefu katika utambuzi wa hadithi kwa kuzisahihisha na kuzidhoofisha, hilo linatolewa ushahidi kupitia vitabu vyake vilivyonyooka, ni wachache katika wakati huu wanaomkurubia, wakati ambao umeenea ujinga juu elimu hii tukufu." Tazama kitabu chake Dhakhiiratul-U'qba Sharhul-Mujtaba, juzuu ya 1 ukurasa wa 11. Amesema Sheikh Abdus-Swamad Sharafud-Din mwanachuoni wa Hadithi kule Bara Hindi, alipokuwa akiizungumzia barua iliyopelekwa Jaamia Salafiyya kutoka Dar Al-Iftai Riyadh: .." , , , : " . .77-75 "Barua ilimfikia Sheikh Ubaidillahi Ar-Rahmaniy Sheikh wa Jaamia Salafiyya iliyopo Banaras- India kutoka Dar al-Iftai Saudi Arabia kwa ajili ya kutaka kujua kuhusu hadithi ambayo tamko lake ni geni na maana yake ni ya ajabu ambayo ina mafungamano ya karibu na zama zetu hizi, ikaafikiana rai ya waliohudhuria hapa miongoni mwa
80 64

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

wanachuoni juu ya kumrejea mwanachuoni mkubwa wa hadithi za Mtume katika zama hizi naye si mwingine bali ni sheikh Al-bani mwanachuoni mlezi." Mwisho wa kunukuu. Wanachuoni wa Bara Hindi ambao ni maarufu katika nyanja za elimu hii ya hadithi wanakaa na kushauriana nini cha kufanya kuhusu mushkeli walioletewa, mwisho wanaafikiana kwa pamoja kwamba swali hili aulizwe mwanachuoni mkubwa wa hadithi za Mtume swalla llaahu alayhi wasallam katika zama hizi, ambaye ni sheikh Al-bani! Lakini Juma Mazrui na kijana Khalfani Mtiwani wa Pemba kwa sababu ya chuki zao za kimadhehebu wao wanasema kuwa sheikh Al-bani ni jahili kama wao na hajui chochote kuhusu elimu ya hadithi! Shangaeni nyinyi walimwengu! Naye Sheikh Muhibbud-Din Al-Khatib anasema; " : " "Miongoni mwa walinganizi wa Sunna ambao wameutoa waqfu uhai wao kwa ajili ya kuzifanyia kazi sunna na kuzihuisha ni ndugu yetu ambaye hayupo hapa, naye ni Abu Abdir-Rahmani Muhammad Naasirud-Din Ibn Nuuh Najaati Al-Albani." Sheikh Ali Twantwawiy naye ni katika wanachuoni wakubwa wa Al-Azhar yeye anasema haya: ... , " : "... "Sheikh Naasirud-Din ni mjuzi zaidi kuliko mimi katika elimu ya hadithi, mimi ninamuheshimu kwa juhudi yake na wingi wa utunzi wake.Mimi ninamrejea Sheikh Naasirud-Din katika masuala ya Hadithi." Naye Sheikh Mustafa Az-Zarqaa anasema: " " : "Rafiki yangu Ustadh Naasirud-Din, mwanachuoni wa Hadithi maarufu huko Damascus." Sheikh Muhammad Al-Ghazaaliy naye anasema: " " : "Ustadh, mwanachuoni wa Hadithi, mjuzi, Sheikh Muhammad Naasirud-Din Al-bani". Baadhi ya kauli nilizozinukuu hapo nyuma ni kauli kutoka kwa baadhi ya wanachuoni ambao kwa kiasi kikubwa wametofautiana na Sheikh Muhammad Naasirud-Din Al-bani
81 65

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

katika mitizamo, kwa kuwa wengi wao hawako katika Man'haji ya Salaf Swaalih katika itikadi na mfumo wa daawa (ulinganizi), bali wengi wao itikadi zao ni za ki-Ash'ariyya, na mifumo yao katika daawa ni misimamo ya Ikh'waanul-Muslimiina na Sheikh Al-bani ni Salafiy, katika itikadi, ibada, manhaj ya daawa na maisha yake. Pamoja na kuwa wanachuoni hao wametofautiana na Sheikh Al-bani katika Nyanja hizo tulizozitaja, lakini ukweli ndio uliowasukuma wakamfanyia uadilifu na wakayatamka yale wanayoyajua kuhusu mwanachuoni huyu. Pamoja na kuwa kuna kauli nyingi za wanachuoni ambao ni vipenzi vyake lakini nimeziacha kwa kuhofia kurefusha. UFAFANUZI JUU YA MAKOSA YA SHEIKH AL-BANI Kwanza, Nataka ifahamike kwamba hakuna mwanadamu yeyote asiyekosea, ni mamoja ni mwanachuoni au mwinginewe, kama wanavyokosea wanachuoni wengine na kupatia, naye Al-bani ni miongoni mwa hao wanaokosea na kupatia, jambo kubwa linalozingatiwa katika makosa ya mwanachuoni ni kiwango cha makosa yake, kwa maana ya kwamba, kama makosa yake yatakuwa mengi kuliko kupatia kwake, hapo kuna haki ya kumtuhumu mwanachuoni huyo juu ya elimu yake na hifdhi yake. Kwa uthibitisho zaidi tazama maelezo ya Ibn Hajar katika kitabu chake Nuz'hatun-Nadhari ukurusa wa 44-45. Pili, Kama limefahamika suala hili la kwanza, basi ni vyema kumtazama na kumchunguza Sheikh Al-bani kupitia mizani hii, je makosa yake katika kutoa hukumu juu ya Hadithi ni mengi ukilinganisha na anavyopatia? Njia hii ndiyo inayoweza kutupatia jawabu sahihi iliyonyooka. Kwa hiyo kinachotakiwa hapa ni kuzitazama hadithi alizozitolea hukumu kwa kuzisahihisha na kuzidhoofisha kupitia vitabu vyake, kisha ufanyike uwiano kwa jicho la elimu na uadilifu, amepatia kwa asilimia ngapi? Tatu, ili kulifanikisha zoezi hilo, tutalazimika kuzijua idadi ya riwaya na hadithi ambazo Sheikh Al-bani amezihukumu. Kwa mujibu wa kitabu 'Jaamiul-Ahaadithi wal-Athaari' cha Sheikh Ahmad Ibn Muhammad Aal- Abdil-Latiif, kitabu ambacho mwandishi wake amekusudia kuzikusanya hadithi zote ambazo Sheikh Al-bani amezihukumu kwa kuzisahihisha au kuzidhoofisha, kupitia vitabu 100 (mia moja) vya Sheikh Al-bani, kama vile: Sahihul-Jaami'i, ambayo iko katika juzuu 2, Dhaiful-Jaami'i, juzuu 1, Sahihu na Dhaifu Sunanil-Arbaa, iko katika juzuu 15, Silsilatul-Ahaadithi Dhaifa, juzuu 16, Silsilatu Sahiha, juzuu 11, Ir'waul-Ghaliil, juzuu 9, Sahihu Adabil-Mufrad juzuu 1, Dhaifu AdabilMufrad juzuu 1, Takhriijul-Mish'kaat, juzuu 1, Tamaamul-Minna, juzuu 1, DhilaalulJanna, juzuu 1 na vinginevyo. Kwa mujibu wa maelezo ya mwandishi huyo, mpaka alipofikia kwenye juzuu ya kumi ya kitabu hicho ambayo ndiyo juzuu ya mwisho ninayoimiliki mimi kwa sasa, Sheikh Al-bani amezihukumu hadithi 31,784 (Elfu thelathini na moja, mia saba na themanini na nne), na kwa mujibu wa kauli ya mtunzi
82 66

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

huyo, kitabu chake bado kinaendelea katika juzuu ya 11 na pengine zikaendelea nyinginezo. Hebu tukadirie kwamba Sheikh Al-bani amekosea Hadithi elfu tatu (3,000), kati ya hizo elfu thelathini na moja na ushei -wachilia mbali hizo 621, ambazo Juma Al-Mazrui na genge lake wanazipigia kelele- kisha tujaalie kuwa Sheikh Al-bani amepatia hadithi elfu ishirini na nane tu katika kutoa hukumu zake, je Hadithi elfu tatu katika elfu thelathini na moja ni asilimia ngapi? Hiyo ni hesabu ya kukisia tu. Sasa, hebu turudi katika hesabu za uhalisia, kati ya Hadithi elfu thelathini na moja, mia saba na themanini na nne (31,784) alizozihukumu ukitoa hadithi mia sita na ishirini na moja (621) alizojichanganya kama wanavyodai wazushi, zitabaki hadithi elfu thelathini na moja na mia moja na sitini na tatu (31,163) alizopatia (31,784-621=31,163) ambayo ni sawa na asilimia 1.95 au kwa ufupi unaweza kusema asilimia mbili takriban. Zingatieni enyi wenye akili! Je, ndugu Juma na genge lako bado mtang'ang'ania na kuendelea kusema kwamba Al-bani hategemewi katika elimu ya hadithi kwa sababu amekosea sana? Juma na ndugu zake kwa sababu ya chuki zao wanasema Al-bani anakosea sana, lakini hawasemi anakosea sana alipokosea hadithi ngapi kati ya hadithi ngapi? Tena bila ya kusahau kujiuliza, je ni kweli hizo hadithi 621 amezikosea kweli au ni uzushi wao tu? Nne, Ukizichunguza hizo hadithi ambazo maadui zake wanazipigia mifano ya kwamba amezikosea au amejichanganya utazikuta ziko katika mafungu yafuatayo: 1. Kuna hadithi ambazo amezipa hukumu fulani kwa kuzichukulia dhahiri yake kisha baada ya kufanya utafiti wa kina ikambainikia kinyume chake. 31
30F

i.

Kwa mfano, kuna hadithi ambazo alizihukumu kwa kuiangalia njia moja tu kisha akazidhoofisha kwa sababu ya njia hiyo, lakini baada ya muda alipofanya utafiti zaidi, akagundua kuwa hadithi ina njia ya pili inayoipa nguvu ile njia ya kwanza, akabadilisha hukumu yake. Kwa watu waadilifu, wasio na chuki na wenye uelewa sahihi hawasemi kwamba amejichanganya.

ii.

Kuna hadithi ambazo alizihukumu kwa sababu ya hali ya mpokezi wake kuwa ni dhaifu au hajulikani, ima kwa sababu ya kuwa kuna baadhi ya wanachuoni wakubwa waliomtangulia wamemdhoofisha mtu huyo, au

- Hasa ukizingatia kuwa Sheikh Al-bani ameishi zaidi ya miaka themanini, na alianza kujishughulisha na utafiti katika elimu hii tangu kipindi cha ujana wake, kwa hiyo ziko Hadithi nyingi alizozihukumu kwa kipindi hicho. Na inafahamika kuwa katika maumbile ya binadamu kila anavyokuwa ndiyo elimu yake na maarifa yake yanavyoongezeka na kupevuka. Na hali hiyo imempata Sheikh Al-bani pia na bila shaka imeathiri katika hukumu zake juu ya Hadithi kwa kubadilisha rai zake na maoni. Na kitu kingine cha kuzingatia ni mabadiliko ya mazingira kwa mtafiti.
31

83 67

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

yeye mwenyewe hakumuona, lakini baada ya kufanya utafiti wa kina ikambainikia kuwa mpokezi huyo si dhaifu kama walivyosema wanachuoni hao, kutokana na mabadiliko hayo akabadilisha hukumu ya hadithi hiyo. Kwa wenye elimu na uadilifu hawathubutu kumtuhumu Sheikh kuwa amejichanganya. Tazama mfano alioutoa Juma na sisi tumeutaja kuwa ni mfano wa tatu kuhusu mpokezi Issa Ibn Hilaal As-Sadafi, kisha tazama majibu yetu. iii. Kuna wapokezi ambao Sheikh Al-bani Allah amrehemu- hakubainikiwa na majina yao au hali zao, kwa sababu hiyo akashindwa kutoa hukumu ya moja kwa moja juu ya hadithi zao, lakini baada ya kufanya uchunguzi akabainikiwa kuwa mpokezi huyo ni mtu fulani na hali yake ni kadha. Sheikh akatoa hukumu inayolingana na hali ya mpokezi huyo baada ya kubainikiwa. Hali hii kwa watu wenye elimu na uadilifu hawaiiti ni kujigonga. Tazama mfano wetu wa kwanza kuhusu mpokezi Abdul-Aala bin Abdillah bin Abi Far-wa, na mfano wa pili kuhusu mpokezi Abu Rifaa, Abdullahi bin Muhammad bin Umar Al-Adawi na mfano wa nne kuhusu Ghulaam Khalil, katika kitabu hiki, kisha tazama majibu yetu, ndio utaona kuwa vijana hawa wa Kiibadhi wanazungumza kwa sababu ya ujinga na chuki. 2. Kuna Hadithi ambazo maadui zake wamemsingizia kuwa amekosea au amejichanganya, lakini ukweli ni kwamba Sheikh Al-Bani amepatia na maadui zake ndiyo waliokosea. Na hili tutalitolea mifano michache kutoka kwenye kitabu "Tanaaqudhaatul-Albani" cha Hassan Sagaaf. 3. Kuna Hadithi ambazo ni kweli Sheikh Al-bani amekosea kwa sababu ya ubinadamu wake ambao mtu yeyote isipokuwa Manabii- unaweza kumtokea ubinadamu huo. Na hadithi hizo ni chache mno ukilinganisha na maelfu ya hadithi alizozihukumu kwa zaidi ya miaka ya hamsini. Sasa hebu turudi kwa ndugu yetu Juma Al-Mazrui tuangalie ana lipi jipya kati ya haya tuliyoyaelezea? MAKOSA YA SHEIKH AL-BANI KWA MTAZAMO FINYU WA JUMA MAZRUI NA SHEIKH WAKE AL-QANNUBI Je, ni kweli Al-bani si mwanachuoni wa hadithi? Je, ni kweli Al-bani hajui anachokisema? Ni kweli Al-bani hazijui hadithi zilizomo katika sahihi mbili? Je, hizo hadithi 621 ndio ushahidi wa kwamba Al-bani hajui kitu kuhusu elimu ya hadithi? Je, Hassan Sagaaf ni mkweli katika aliyoyasema kwenye kitabu chake "TanaaqudhaatulAlbani"?

84 68

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Juma katika kitabu chake 'Fimbo' ametoa mifano kadha wa kadha ya namna Sheikh Albani asivyo mweledi katika elimu ya Hadithi, lengo lake katika kufanya mchezo huo ni kama tulivyoelezea hapo nyuma kuwa ni kutaka kumshushia hadhi yake ili amuinue sheikh wake wa Kiibadhi, ndiyo maana akatangaza wazi wazi kwamba: "Al-Albani si mwanachuoni wa Hadithi kamwe tafauti na wanavyodanganywa walala hoi! Al-Albani hajui hata kitu alichokisema mwenyewe! Na sehemu nyingine amesema: "Hivyo ndivyo alivyosema maskini huyu ambaye hajui kinachotoka kichwani mwake.!!! Khalfani Mtiwani naye hakubaki nyuma akasema: "Naam, haifai kutegemea hukumu za Al-bani isipokuwa kwa mtu mwenye uwezo wa kutazama hukumu na kuyapekua aliyoyasema na kuyajadili, na hilo ni kwa sababu Albani anajichanganya hukumu zake nyingi.."! Kama Al-bani si lolote si chochote na wala hafai kumtegemea, je tumtegemee nani katika kazi hii? Moja kwa moja maneno yao yanaelekeza kwamba, kuanzia sasa mtu wa kutegemewa ni Mwanachuoni wao wa Kiibadhi, ambaye wanamkweza kwa kumuita Imamu wa Hadithi, Fiq'hi na Usuuli Al-Hujja Said Mabrouk Al-Qannubi Muibadhi!!! Pamoja na sifa zote hizo wanazompa Sheikh wao huyo, lakini ukiwauliza ana mchango gani katika elimu ya hadithi ambao waislamu wanaweza kunufaika nao? Ukweli ni kwamba hawana jawabu zaidi ya kukwambia ameandika kitabu 'At-TuufanulJaarif' kitabu ambacho Mawahabi hawawezi kukijibu! Inasha-allaah tutaona hapo mbele mchango wa Al-Qannubi kwa umma huu. Kwa hiyo, lengo lao ni kumuangusha Mwanachuoni huyo wa ki-Wahabi na kumpandisha Sheikh wao wa Kiibadhi (Khaarijiy), kwa njia yoyote ile, hata ikibidi kuzua uongo, lakini kwa idhini ya Allah hawatafaulu. Tukiachana na jambo hilo. Katika sehemu hii nitaitaja mifano saba tu kutoka kwenye kitabu cha Juma alichokiita "Fimbo ya Musa". Na mifano hiyo ameinukuu kutoka kwa Sheikh wake Al-Qannubi. Kwa hiyo, tukimjibu Juma ndiyo tumemjibu Sheikh wake. Na nimeamua kufupisha majibu kwa kuitaja mifano michache, kwa sababu lengo langu sio kumpatiliza Juma kwa kila alichokiandika, lau kama nitampatiliza, basi kitabu chake hiki kinastahiki kujibiwa kwa juzuu zaidi ya saba. Na kama nitafanya hivyo nitatoka katika maudhui tunayoijadili (Kuonekana Allah kwa macho Akhera) kama anavyotaka yeye. Mifano saba hiyo pamoja na utangulizi nilioutoa hapo nyuma inatosha kukuthibitishia ubabaishaji wa Juma na Sheikh wake Al-Qannubi juu ya elimu hii adhimu.
85 69

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Na hii ifuatayo ni hiyo mifano saba miongoni mwa ile mifano arobaini aliyoitaja Juma AlMazrui katika kitabu chake 'Fimbo'. MFANO WA KWANZA Amesema Juma kuanzia ukurasa wa 60-61: "2) Abdul-Aala bin Abdillah bin Abi Far-wa Anasema Al-Albani (kuhusu mpokezi huyu): ..Sikumuona aliyemuelezea. Anasema Al-Qannubi: Hivyo ndivyo alivyosema (Al-Albani) na hali haiko hivyo, kwani Abdul-Aala huyu kaelezewa katika vitabu vingi mno. Na Ibn Main kasema: Abdul-Hakim bin Abdillah bin Abi Far-wa na Salih bin Abdillah bin Abi Far-wa na Abdul-Aala bin Abdillah bin Abi Far-wa wote ni wenye kuaminika. Na mfano wa hayo kayasema Yaaqub bin Abi Suf-yan, na akasema Al-Daraqutni: Is-haq bin Abi Far-wa ni mwenye kuachwa; ana ndugu watatu ni wenye kuaminika. MAJIBU YETU Kama tulivyotangulia kutoa maelezo hapo nyuma, kwamba kuna baadhi ya wapokezi Sheikh Al-bani hakuwajua kwa mara ya kwanza katika utafiti wake, lakini baada ya kufanya utafiti zaidi akawajua na hilo si aibu wala kasoro kwa mwanachuoni, wachilia mbali kuwa ni kosa. Na mfano wa hilo ni huu mfano alioutaja Al-Qannubi, Sheikh huyo wa ki-Ibadhi ameitaja kauli moja tu, nayo ni ile kauli ya Sheikh Al-Bani aliposema: "Sikumuona aliyemuelezea lakini si Juma Al-Mazrui wala Sheikh wake Al-Qannubi aliyeitaja kauli ya Sheikh Al-Bani pale alipokuwa akiitolea maelezo hadithi nambari 2830, katika kitabu chake "Silsila Sahiha" juzuu ya 6 ukurasa wa 329, Hadithi ambayo katika sanadi yake yumo Abdul-Aala bin Abdillah bin Abi Far-wa ambaye huko nyuma alisema sikumuona aliyemuelezea, lakini hapa akasema hivi: " ) ( ) ". ( "Na Ar-Ramliy kumuita huyu Sheikh wa Al-Waliid kwa jina la Abdul-Aalaa bin Abdillah bin Abi Far-wa ndiyo kauli iliyo na nguvu kwangu, kuliko Abul-Abbas alivyomuita kwa jina la Issa Ibn Abdil-A'alaa Ibn Abi Far'wa, kwa sababu yeye ni maarufu kwa kupokea kutoka kwa Abu Is'haq Ibn Abdillahi, na amepokea kutoka kwake AlWaliid Ibn Muslim."

86 70

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Kwa hiyo, ukisoma maelezo haya utaona kwamba Sheikh Al-bani amemjua Abdul-A'alaa, tena akamkosoa Abul-Abbasi kwa kumuita kwa jina la Issa, lakini kwa sababu ya maradhi ya uhasidi aliyonayo Juma na Sheikh wake wa kiibadhi Al-Qannubi, maneno haya hawakutaka kuyataja kwa watu, ili aonekane Sheikh Al-bani kwamba hajui kitu! MFANO WA PILI Amesema Ndugu Juma katika ukurasa wa 62: 6) Abu Rifaa, Abdullahi bin Muhammad bin Umar Al-Adawi Anasema (Al-Albani) katika Sahiha yake: Isnad hii wapokezi wake ni wenye kuaminika wenye kujulikana isipokuwa Abu Rifaa sikumuona alipotarajimiwa. Hivyo ndivyo alivyosema, wakati Abu Rifaa huyu katarjimiwa katika Taarikh

Baghdad cha Al-Khatib na akasema: Ni mwenye kuaminika.


MAJIBU YETU Ni kweli Sheikh Al-bani alisema maneno hayo, lakini baada ya Sheikh kufanya utafiti na kubainikiwa, aliyasema haya yafuatayo katika kitabu chake mashuhuri alichokiita; "Ir'waaul-Ghaliil", kitabu ambacho chapa yake ya kwanza ilichapishwa Beirut-Lebanon, mwaka 1979 AD, huwenda wakati huo Sheikh Al-bani akijikosoa kwa kosa hilo, Juma na Sheikh wake Al-Qannubi walikuwa bado ni watoto wadogo! Amesema Sheikh Al-bani katika juzuu ya 1 ukurasa wa 215-216: ." 271 , , " :" "Abu Rifa'a ni Abu Abdullahi Ibn Muhammad Ibn Umar Ibn Habib Al-Adawiy Al-Basriy, ametarjumiwa na Al-Khatib katika Taarekh yake na akasema: "Ni Thiqa." Mwisho wa kunukuu. Lakini hebu tazama namna watu hawa wasivyokuwa na uaminifu! Ina maana Juma na Sheikh wake wameyaona maneno yale aliyosema; "sikumuona alipotarjumiwa", lakini alipomjua na kumuelezea tangu miaka hiyo wao hawakuyaona maneno yake hayo! MFANO WA TATU Amesema Ndugu Juma katika ukurasa wa 64: 11) Isa bin Hilal Al-Sadafi Anasema (Al-Albani) katika maelezo yake juu ya kitabu Al-Mishkaat Kuhusu Isa bin Hilal Al-Sadafi: Naye ninavyoona ni kuwa hajulikani, kwani Ibn Abi Hatim kamtaja katika kitabu Al-Jarhu Wa Al-Taadil na wala hakutaja kujeruhiwa (kwa
87 71

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

mpokezi huyu) wala kwamba ni mwenye kuaminika, bali aliyesema kuwa ni mwenye kuaminika ni Ibn Hibbaan naye ni maarufu kwa tasahul. Hivyo ndivyo alivyosema (Al-Albani) wala hakujua kwamba Yaaqub bin Sufyaan Al-Fasawi amesema kuwa ni mwenye kuaminika kwa kumtaja kwake katika Tabiina wenye kuaminika. MAJIBU YETU Amesema Sheikh Al-Albani katika kitabu chake Silsilatu-Dhaifah juzuu ya 12 ukurasa wa 24 hadithi namba 5517, kuhusu Issa Ibn Hilaal As-Sadafi: " . "..... : . " " : " " ( 193 / 3 ) ! " "Issa Ibn Hilaal As-Sadafi, (Imamu) Al-Fasawiy amemtaja miongoni mwa Taabiina madhubuti walioko nchini Misri, kisha akasema: Ibn Hibbaan amemtaja katika "Thiqaat" (kitabu chake alichotaja watu madhubuti kwake) juzuu ya 3 ukurasa wa 193, na amesema Al-Haafidh Ibn Hajar katika Taqriib: Saduuq." Kisha akasema Al-bani: "Mfano wa mtu huyu (inakuwa hadithi yake ni); Hasan (miongoni mwa daraja za hadithi zinazokubalika)." Kama kule Sheikh Al-bani rahimahu llaahu- hakumjua, basi hapa amemjua na wala hakuna ubaya kwa hilo. Ubaya uko kwenye kusema kitu usichokijua kwa kujifanya unajua, kama alivyofanya ndugu Juma Mazrui juu ya mpokezi Ibn Halbas. MFANO WA NNE Amesema ndugu Juma katika ukurasa wa 64-65: 14) Ahmad bin Muhammad bin Ghalib bin Mirdas Al-Basri Anasema (Al-Albani) katika Dhaifa yake kuhusu njia ya Hadithi fulani alioitaja huko: Ndani yake yumo (mpokezi) sikumjua. Hivyo ndivyo alivyosema, na katika njia hio kuna Ahmad bin Muhammad bin Ghalib bin Mirdas Al-Basri ajulikanaye kwa jina la Ghulamu Khalil naye ni mwongo mkubwa naye ni mwenye kukiri kutunga kwake Hadithi. Na miongoni mwa waliosema kuwa ni mwongo ni Abu Bakr Ibn Is-haq na Ismail Al-Qadhi, na akasema Abu Dawud: Hadithi zake ni uwongo, kama utavyoyakuta hayo katika Lisanu Al-Mizan na (vitabu) vyengine. Na Sheikh wake ni Muhammad bin Ibrahim bin Al-Alaa, anasema Al-Daraqutni kuhusu yeye: Ni mwongo mkubwa. Na anasema Ibn Hibbaan: Anatunga Hadithi. Na akasema Al-Hakim Abu Ahmad na Abu Nuaim: Kasimulia Hadithi za kutunga. Kisha akasema ndugu Juma chini ya ukurasa huo huo:
88 72

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Ninasema: Al-Albani mwenyewe kasema katika Dhaifa yake kwamba Ghulam Khalil anatunga Hadithi. Tazama j. 13, uk. 398, maelezo ya Hadithi na. 6179, kisha hapa katika kitabu Makaarimu Al-Akhlaaq cha Al-Kharaaiti Hadithi na. 39, mpokezi huyo huyo alipotajwa kwa jina lake Ahmad bin Muhammad bin Ghalib hakujua kwamba huyo ndiye yule mwenye kujulikana kwa jina la Ghulam Khalil, yeye akasema: Katika njia ya kwanza kuna mtu sikumjua! J, 1, uk. 272, tarjma na. 832. MAJIBU YETU Ni kweli Sheikh Al-bani alisema katika Silsila Dhaifah juzuu ya 3 ukurasa wa 422, kwamba: Ndani yake yumo (mpokezi) sikumjua kisha alipobainikiwa na mtu huyu na kumjua akasema katika Dhaifah hiyo hiyo katika juzuu ya 10 ukurasa wa 42, hadithi namba 4539: . (2 /124) " " . : - - : . . : "Tano, kutoka kwa Ahmad Ibn Muhammad Ibn Ghalib Ghulaam Khalil- ametusimulia Dinaar kutoka kwake. Ameitaja Afiifud-Din katika "Fadhlul-Ilmi" juz 2/ uk 124.na huyu Ghulam Khalil ni katika watunzi wa hadithi mashuhuri." Na akasema tena katika juzuu ya 11 ukurasa wa 717, hadithi namba 5432: : . ( 20 /4) . "Ameipokea Ad-Dailamiy juz 4/ uk 20 kupitia njia ya Ahmad Ibn Muhammad Ibn Ghaalib kutoka kwa Anas kutoka kwa Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam. Na huyu Ibn Ghaalib ni Ghulaam Khalil Az-Zaahid naye ni Mat'ruuk." Mwisho wa kunukuu. Sheikh Al-bani ni mwanachuoni aliyekomaa katika mambo ya elimu ya Hadithi, na katika alama za ukomavu wake katika elimu hii ni huu ujasiri wake wa kusema "SIJUI" kwa kitu asichokijua na hali hii ni tofauti na wajinga wengi wanaojifanya wanajua. Ndiyo maana kwanza alisema Ahmad Ibn Muhammad Ibn Ghaalib Ibn Mirdasi Al-Basri simjui, lakini baada ya kufanya utafiti na kumgundua ni nani akasema wazi kwamba huyu ni Ghulaam Khalil Az-Zaahid naye ni Matruuk (Hadithi zake ni Munkar) na hukumu hiyo hakuitoa baada ya kukosolewa na Juma wala Sheikh wake, aliitoa baada ya kufanya utafiti, sasa aibu iko wapi?

89 73

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Je, haya ndiyo makosa ya Al-bani kwa makapu na magunia? Hebu jifundisheni uadilifu katika kauli zenu, na msiendekeze chuki na kasumba za madhehebu! MFANO WA TANO Amesema Ndugu Juma katika ukurasa wa 65-66: "Imra-atu Ibni Umar: Anasema (Al-Albani) katika Sahiha 32 yake: Na wapokezi wake ni wenye kuaminika isipokuwa Imraatu Ibni Umar (mke wa Ibn Umar) sikumjua. Na Imraatu Ibni Umar (mke wa Ibn Umar) huyu ni maarufu mashuhuri, na jina lake ni Safiyya bint Abi Ubaid Al-Thaqafiyya. Al-Imamu Muslim na Al-Imamu Al-Bukhari wamepokea (riwaya zake) katika Al-Taaaliq." MAJIBU YETU Amesema Sheikh Al-Albani katika Ir'waaul-Ghaliil, juzuu ya 1 ukurasa wa 69: ( 3415) ( 98/6) :" , , : . ". , "Ama hadithi ya Aisha, ameitaja Ahmad 6/98 na Ibn Maajah hadithi nambari 3415 kupitia njia ya Sa'd Ibn Ibrahim kutoka kwa Naafi'i kutoka kwa mke wa Ibn Umar kutoka kwa Aisha kutoka kwa Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam mfano wa hadithi ya Ummu Salamah iliyopokewa na kundi (waandishi wa vitabu sita vya hadithi). Ninasema: wapokezi wake wote ni watu waliomo kwenye sahihi mbili. Na mke wa Ibn Umar, jina lake ni Safiyyah bint Abi Ubaid, Bukhari na Muslim na wao pia wameitaja hadithi yake, kwa hiyo sanad hii ni sahihi." Maelezo katika sehemu ni kama maelezo ya mifano iliyotangulia. MFANO WA SITA Amesema Ndugu Juma katika ukurasa wa 79: "Hadithi isemayo: Siku za tashriq ni siku za kula. Kasema Al-Albani kuhusu Hadithi hio: Kaipokea Al-Tabarani.Ibn Hibbaan.Ahmad..na Al-Tahawi kutoka kwa Umar bin Abi Salama kutoka kwa baba yake kutoka kwa Abu Huraira..na akaipokea Al-Tahaawi kutoka kwa Ali bin Abi Talib na Saad bin Abi Waqaasnayo pia ni kutoka kwa Nubaisha Al-Hudhali. Hivyo ndivyo alivyosema Al-Albani wala hakusema kwamba Al-Imamu Muslim kaipokea katika Sahihu yake kutoka kwa Nubaisha.
32

- Al-Albani Al-Sahiha j. 4, uk. 269. 90 74

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

MAJIBU YETU Lau kama ndugu yetu Juma Mazrui angekuwa na maarifa ya kuhakiki mambo ya kielimu basi angeugundua uongo wa Sheikh wake Al-Qannubi, lakini ataujuaje na yeye ni bendera fuata upepo! Kwa nini ninasema hivyo? Ninasema hivyo kwa sababu hizi zifuatazo: Tamko la Hadithi aliyoitaja Sheikh Al-bani na kusema kuwa imepokewa na wapokezi fulani bila ya kumtaja Imamu Muslim ni tofauti na Hadithi aliyoizungumzia Al-Qannubi na kumtia makosa kwayo Sheikh Al-bani. Kwa sababu Sheikh Al-bani yeye ameitaja hadithi yenye tamko hili: " : " : "Imepokewa kutoka kwa Abu Hureira radhia llaahu an'hu kwamba Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam amesema: Siku za Tashriiq ni Ayyaamu Tu'mi (siku za kula) na kumtaja Allah." Hadithi hii kwa tamko hili, haimo katika sahihi Muslim. Hadithi hii ameipokea Imamu Ahmad, Twabarani, Ibn Abi Shaibah na Al-Bazzaar. Ama Hadithi aliyoipokea Imamu Muslim katika sahihi yake imekuja kwa tamko hili: . - - Imepokewa kutoka kwa Nubaisha Al-Hudhaliy amesema; amesema Mtume swalla llaahu alayhi wasallam: "Siku za Tash'riiq ni siku za Akli (kula) na kunywa" Baada ya Sheikh Al-Albani kuitaja Hadithi hiyo akasema katika Ir'waaul-Ghaliil, juzuu ya 4 ukurasa wa 128, Hadithi nambari 963: "Hadithi hii ni sahihi ameipokea Muslimu, AlBaihaqiy, Ahmad 5/75 na Twahawiy 1/428. " Akasema Sheikh Al-bani katika Mishkaatul-Masaabih juzuu ya 1 ukurasa wa 464, Hadithi nambari 2050: "Hadithi hii ni sahihi kutoka kwa Nubaisha Al-Hudhaliy amesema; amesema Mtume swalla llaahu alayhi wasallam: Siku za Tash'riiq ni siku za kula na kunywa na kumtaja Allah. Ameipokea Muslimu." Pia tazama kitabu chake AtTa'aliqaatul-Hisaan juzuu ya 5 ukurasa wa 1310. Hivyo basi, Juma na Sheikh wake Al-Qannubi wao ndio waliokosea kwa kumkosoa Sheikh Al-bani kwa kosa hili. Na huu ni ushahidi wa kutosha kuwa Allah amewanyima wazushi elimu hii tukufu, wanatamani waijue lakini wapi, kwa sababu elimu hii hawapewi watu wenye kufuata matamanio ya nafsi zao ila nadra. MFANO WA SABA

91 75

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Amesema Ndugu Juma katika ukurasa wa 72: 39) Hadithi: Watu watatu sala zao hazikubaliwi Ameitaja Al-Albani katika Sahiha yake Hadithi fulani na lafdhi yake kwa mujibu wa alivyoitaja Al-Albani -:

" ... Thalatun laa tuqbalu minhum salat.wa rajulun salla jinaza walam tuuyiz. Na akatia maelezo (Al-Albani) ya neno tuuyiz, akasema: Na wala haukunibainikia
usahihi (wa neno hilo). 33
32F

Kisha akasema Juma kwa ujeuri: "Hivyo ndivyo alivyosema maskini huyu ambaye hajui kinachotoka kichwani mwake. Na lau alirejea kitabu chake (mwenyewe) Sahihu Al-Targhib wa AlTarhib 34 angeliona kwamba yeye mwenyewe kaitaja huko kwa lafdhi yu-umar ,
3F

Fallahu Al-Mustaaan."
Je, ndugu yangu Juma wewe ungekuwa katika hali gani lau kama maneno kama haya yangeelekezwa kwa mwanachuoni wako wa ki-Ibadhi kama vile Mufti wenu Khalili au Al-Qannubi? Na hapo mbele Insha-allaah tutathibitisha kwamba wewe na Sheikh wako Al-Qannubi ndiyo majaahili na ni masikini wa kuhurumiwa kwa kuwa hamjui yanayoingia wala yanayotoka kwenye vichwa vyenu! Kisha akasema Ndugu Juma chini ya ukurasa huo: "Elewa kwamba Al-Albani alijirekebisha baadae katika baadhi ya makosa haya. Anasema Asili ilikuwa ni tuuyiz, nalo ni (neno) lisilo na maana, na marekebisho ni kutoka katika Al-Targhib cha Al-Mundhiri, j. 1, uk. 171. Tazama Al-Sahiha j. 2, uk. 250, maelezo ya Hadithi na. 650, chapa ya pili 1995-1415 A.H., Daru AlMaaarif." MAJIBU YETU Hapa mimi sina la kuongezea, kwa sababu inaonekana ndugu Juma hajui kinachotoka kichwani mwake! Sheikh Al-bani ni mwanadamu kama wanadamu wengine, anapatia na kukosea. Bwana Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam anatwambia; " Wanadamu wote ni wenye kukosea na mbora katika wenye kukosea ni

33

-Al-Albani Al-Sahiha j. 2, uk. 254. - J. 1, uk. 195.

34

92 76

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

wenye kutubu 35". Na toba ya mwenye kukosea ni kujikosoa na kulitengeneza


aliloliharibu. Sheikh Al-bani Allah amrehemu- alifanya makosa katika sehemu hii kisha yeye mwenyewe akajirekebisha, na hilo ndugu Juma ametuthibitishia yeye mwenyewe kwamba Sheikh Al-bani alijerekebisha makosa yake aliyoyafanya, sasa kosa liko wapi hapo? Maana Sheikh Al-bani ameufuata utaratibu sahihi tuliofundishwa na Uislamu, mtu anapokosea kisha akatanabahi kosa lake, usahihi ni kujirekebisha, na hivyo ndivyo alivyofanya Sheikh Al-bani. Au kwa mujibu wa madhehebu yenu ya ki-khawaariji hata kujirekebisha pia ni kosa? Au ulitaka awe kama wewe, ulipokosea kuhusu mpokezi Ibn Halbas, wewe ukamuita Abu Halbas, na mimi nilipokukosoa hukukubali, matokeo yake ukaanza kuleta ukaidi na inadi?36
35F

Hii ni ile mifano saba niliyoahidi kuitolea maelezo hapo nyuma na bila shaka umebainikiwa na ukweli kuhusu makosa yanayonasibishwa kwa Sheikh Al-bani, jambo la msingi la kulishika ni ufafanuzi nilioutaja hapo nyuma kuhusu makosa ya Sheikh Al-bani. Kisha akasema ndugu Juma katika ukurasa wa 73: "Hii ni mifano arubaini katika jumla ya mifano khamsini iliotajwa na Al-Imamu Al-Qannubi katika makosa ya Sheikh Al-Albani. Ama kuhusu tanaqudhat (kujigonga) kwa Sheikh Al-Albani katika kusahihisha Hadithi na kudhoofisha, basi

fas-al walaa haraj! Sheikh Hasan bin Ali Al-Saqqaf kazikusanya sehemu hizo
ambazo Al-Albani kajigonga huku akisema hivi na kule akisema vile katika majalada makubwa." MAJIBU YETU Nina imani kuwa ufafanuzi tulioutoa hapo nyuma na hiyo mifano saba tuliyoitaja pamoja na majibu yetu, inatosha. Na mtu yeyote mwenye maarifa, uadilifu na moyo uliosalimika na maradhi ya chuki na kasumba za kimadhehebu, atakuwa ameelewa kuwa makosa yote ambayo maadui wamemtupia nayo Sheikh Al-bani, si makosa ya kutufanya tuiporomoshe juhudi yake kubwa aliyoifanya kwa maslahi ya umma huu.

35

65- Na hii ni miongoni mwa sababu kubwa zilizompelekea Juma kutoa mifano mingi ya kukosea kwa wanazuoni, lengo lake la kwanza ni kutaka kututoa katika mada ya msingi. Na pili ni kutaka kujitetea yeye mwenyewe, kwamba kukosea hakuanza yeye, bali hata wanazuoni wetu wakubwa wana makosa mengi kwa kapu na magunia! Lakini kila bila shaka, ndugu msomaji umejionea mwenyewe namna ndugu Juma Mazrui anavyojikoroga na kuichezea dini kwa sababu ya chuki, uhasidi na ubishi usio na faida. 93 77

- Tazama Jaamiu Tir'midhiy, Hadithi nambari 2499 na Sunan Ibn Majah, hadithi nambari 4251.

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Na kwa mifano hii aliyoinukuu Juma kutoka kwa Sheikh wake Al-Qannubi kwa lengo la kumkosoa Sheikh Al-bani, ni miongoni mwa ushahidi wazi unaotuthibitishia ujahili wa Sheikh wake Al-Qannubi katika elimu ya Hadithi. Naam, kwa sababu kumkosoa mtu bila ya kuchunga misingi ya kielimu, ni makosa makubwa, kwa kuwa kunapatikana ndani yake hiyana na kuificha haki, na matokeo yake kudhihiri batili, dhulma na kuwavunjia watu heshima zao. JE, NI KWELI SHEIKH AL-BANI HAZIJUI HADITHI ZA SAHIHI BUKHARI NA MUSLIM? Katika kuendeleza mlolongo wa matusi kwa Sheikh Al-bani, ndugu Juma katika kitabu chake alichokiita "Fimbo ya Musa" ameweka mlango maalumu kuanzia ukurasa wa 75-77, wenye kichwa cha habari kisemacho: "AL-ALBANI HAZIJUI HADITHI ZILIZOMO KATIKA SAHIHU AL-BUKHARI NA SAHIHU MUSLIM! Kisha akasema: "Kwa kuanzia ni vyema ukajua ewe ndugu msomaji kwamba Sheikh Al-Albani, ambaye waitwao Mawahabi wanadhania kuwa ni mjuzi mkubwa wa elimu ya Hadithi, anaona kwamba haijuzu kunukuu au kwa usahihi zaidi haifai kuinasibisha Hadithi na vitabu vyengine vya Hadithi ikiwa Hadithi hio imo katika

Sahihu Al-Bukhari au Sahihu Muslim."


MAJIBU YETU Sheikh Al-bani ni Mwanachuoni wa Hadithi si kwa hao unaowaita Mawahabi peke yao, bali ni mwanachuoni wa Hadithi mwenye kuzingatiwa katika ulimwengu wa kiislamu na katika zama hizi ni wanachuoni wachache walio mfano wake, na juhudi yake inaonekana katika ulimwengu wa kiislamu, haipingi juhudi hii ila mtu mwenye maradhi ima ya akili au maradhi ya moyo (kama Kibri na Uhasidi) na huko nyuma tumezitaja kauli za wanachuoni ambao si Mawahabi wakimsifia kwa uhodari wake juu ya elimu za Hadithi. BAADHI YA MIFANO ALIYOITOA JUMA AL-MAZRUI ILI KUTHIBITISHA MADAI YAKE YA UONGO Katika sehemu hii nitatoa mfano mmoja tu, amesema ndugu Juma katika ukurasa wa 77:

"Kuhusu Hadithi isemayo: Kwayo utapata ngamia mia saba wenye kuvishwa hatamu katika pepo. Anasema Al-Albani kuhusu Hadithi hii: Kaipokea Abu Nuaim katika Al-Hilya kutoka kwa Ibn Masuud. Hivyo ndivyo alivyosema AlAlbani pamoja na kuwa Hadithi hio imo katika Sahihu Muslim na wakaipokea wengine miongoni mwa Maimamu wa Hadithi. TENA HADITHI YENYEWE NI KWA NJIA YA ABU MASUD: SI IBN MASUD KAMA ALIVYODAI, wala hakuna mazingatio kwamba katika Hilya iko namna hio kwani hilo ni kosa kabisa."
94 78

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Muhtasari wa madai ya Juma: Al-bani ameitaja hadithi hii kuwa ni hadithi iliyopokewa kutoka kwa Ibn Mas'uud na hilo ni kosa, sahihi ni kuwa hadithi hii imepokewa kutoka kwa Abu Mas'uud Al-Ansaariy. Al-bani hakusema kwamba hadithi hii imo katika Sahihi Muslim na hilo ni kosa kama anavyodai mwenyewe. Imamu Abu Nua'im katika kitabu chake Hilya amekosea kwa kusema Ibn Mas'uud. MAJIBU YETU Hebu yasome maneno haya yafutayo ya Sheikh Al-bani kwa umakini na uadilifu, ndio utagundua kwamba vijana hawa wana chuki za kumezeshwa, na wala hawafanyi utafiti katika hukumu zao, kwa sababu maneno yote hayo Sheikh ameyatolea maelezo na huwenda wao wameyaiba maneno yake wakajifanya ni utafiti wao, hasa ukizingatia kwamba yeye ametangulia kusema kabla yao, tangu mwaka 1985. Amesema Al-Albani katika As-Silsilatu As-Sahiha, juzuu ya 2 ukurasa wa 227: " : 227 / 2 " " ." "

( 116 / 8 ) " " : . " ... : " : . : . " " " : ( 90 / 2 ) . . " " : 41/6 " " : ." " : " " : " " .( 1405) ." " : 172/9 , 229/17 , 348/5

"Hadithi hii ameipokea Abu Nua'im katika kitabu chake "Al-Hilya" juzuu ya 8 ukurasa wa 116 kupitia njia nyingi kutoka kwa Fudhail Ibn Iyaadh, kutoka kwa Suleiman Ibn Mihraan kutoka kwa Abu Amri As-Shaibaniy kutoka kwa Ibn Masoud, amesema: Alikuja mtu mmoja na ngamia aliyevishwa hatamu kisha akasema; Ewe Mtume wa Allah! Ngamia huyu nimemtoa kwa ajili ya (Jihad) katika njia ya Allah. Kisha akaitaja Hadithi hii na akasema; iliyomashuhuri ni kuwa hadithi ya A'mash (ni kuwa anapokea kutoka kwa) Thaabit (na si kutoka kwa Abu Amri As-Shaibaniy) na wameisimulia kwa njia hiyo kutoka kwa Fudhail kundi katika (wanachuoni) waliotangulia. Ninasema (Al-bani); Na huyu Shaibani jina lake ni Sa'd Ibn Iyaas, ameshirikiana na Jariir kutoka kwa A'mash. Na ameitaja Hakim juz 2 uk 90 kisha akasema; "Ni sahihi kwa masharti ya masheikh wawili (Bukhari na Muslim) na Dhahbiy akamuafiki (Imamu Haakim) na hali iko kama walivyosema (Dhahbiy na Haakim). Sheikh Al-bani akaendelea kusema:

95 79

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

"Kisha nikafuatishia kusema; ameipokea Hadithi hii Muslim katika sahihi yake juzuu ya 6 ukurasa wa 41, kupitia njia ya Jariir kwa njia ya A'amash, lakini ndani yake kuna "Abu Mas'oud Al-Ansaariy" halikadhalika (imetajwa) katika Al-Mustad'rak, lakini bila ya kutajwa (neno) "Al-Ansaariy". Hilo alinitanabahisha mwanafunzi mmoja wa chuo kikuu cha kiislamu kilichopo Madina mara baada ya kumaliza Umra ya Ramadhani kwa siku chache, mnamo mwaka 1405 H, Allah amlipe kheri-. Ama kauli yake katika Al-Hilyatu; "Ibn Mas'oud" hayo ni makosa ya kiuchapishaji, na hilo linapata nguvu kwa kuwa Hadithi iliyoko kwa Ibn Abi Shaibah, juzuu ya 5 ukurasa wa 348, kwa Twabaraniy, juzuu ya 17 ukurasa wa 229 na Al-Bayahaqiy, juzuu ya 9 ukurasa wa 172, ni kama iliyoko kwa Muslim (nayo ni) Abu Mas'oud Al-Ansaariy." Mwisho wa kunukuu. Hebu yakazie macho hayo maneno tuliyoyakoleza wino na kuyapigia mstari chini, utagundua kwamba vijana hawa (Juma na Al-Qannubi) ni wezi, wameyaiba maneno ya Sheikh Al-bani aliyoyasema tangu mwaka 1985, kisha wao wakajifanya kuwa ni yao na wakayatumia kumtandikia nayo kwa dhulma. Sheikh Al-bani amesema tangu mwaka huo tulioutaja kuwa; Hadithi hii imepokewa na Muslim katika sahihi yake. Na tangu mwaka huo amesema kwamba; Swahaba aliyepokea Hadithi hii si Ibn Mas'uud bali ni Abu Mas'uud Al-Ansaariy. Na tangu mwaka huo, Sheikh Al-bani amesema kuwa Imamu Abu Nu'aim amekosea katika kitabu chake Hilya kwa kusema Ibn Mas'uud. Eti leo hii kumeshapambazuka Juma na Sheikh wake Al-Qannubi ndio wanajifanya wanamkosoa Sheikh Al-bani bila ya aibu kwa kusema: "Al-bani hajasema kuwa Hadithi kaipokea Muslim"! "Al-bani amesema kuwa mpokezi wake ni Ibn Mas'uud"! Kisha ndugu Juma baada ya kuitaja mifano hiyo akamalizia kusema kwa ujeuri katika ukurasa wa 79-80: Baada ya haya sijui kwamba Sheikh Seif Al-Ghafri na kikundi chake wataendelea kudai kwamba Al-Albani ni Imamu wa Hadithi! Mtu huyu hajui hata Hadithi zilizomo katika vitabu muhimu vyao Al-Bukhari na Muslim: Hadithi isiokuwemo humo yeye anadai imo; na iliokuwemo humo yeye hajui kama imo na juu ya yote anakosea katika Hadithi na wapokezi ukoseaji ambao hakuufanya yoyote katika wanaojishughulisha na elimu ya Hadithi! Kisha akasema tena: Hili linathibitisha ukweli kwamba Al-Albani si mwanachuoni kamwe wa fani hii wala ile kama vitabu vyake vinavyojionesha. !!!

96 80

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

MAJIBU YETU Mara nyingi mgonjwa, kwa sababu ya maradhi yake anaweza kukitia kasoro chakula au kinywaji kwa sababu ya kubadilika ladha ya kinywa chake akafikia kukituhumu kinywaji safi, kitamu kuwa ni kichungu, kama alivyosema Abu Twayyib Al-Mutannabi: ......... Mwenye kinywa kichungu chenye maradhi..anayaona maji matamu kuwa ni machungu Hata mwenye ugonjwa wa macho anaweza kuukanusha mwangaza wa jua kuwa hauko kwa sababu ya matatizo ya macho yake, kama alivyosema Al-Buswiriy: .............. Huwenda jicho likaukanusha mwangaza wa jua kutokana na ugonjwa wa macho Na huwenda kinywa kikaipinga ladha ya maji kwa sababu ya maradhi Bali mara nyingi watu wenye ufahamu mdogo wana matatizo ya kuyatia dosari maneno yaliyosahihi, amesema kweli Al-Mutannabi pale aliposema: .......... Mara nyingi mtu anayatia kasoro maneno ya sawa lakini tatizo lake ni ufahamu mbaya.

97 81

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

SURA YA NNE

KHIYANA ZA SAGAAF NA MATUSI YAKE DHIDI YA SHK AL-ALBANI

98 82

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

SURA YA NNE
KHIYANA ZA SAGAAF NA MATUSI YAKE DHIDI YA SHEIKH AL-ALBANI
Sayyid Hasan Sagaaf ni miongoni mwa waandishi wenye Chuki na Hiyana katika uandishi katika kazi yake ya uandishi, hasa anapoandika katika mambo ya itikadi na elimu ya Hadithi. Mtu huyu si mkweli, na inahitaji kuwatahadharisha watu na upotoshaji wake anaoufanya kwa makusudi. Sagaaf amekiandika kitabu chake 'Tanaaqudhaatul-Al-bani' kwa mtindo na usluubu wa watu wa Hadithi. Na kwa masikitiko ni kwamba; watu wengi wana maarifa madogo sana juu ya elimu hii, tena hata wale wanaoonekana kuwa ni Masheikh, Wasomi na waalimu wa dini. Na kwa kutumia udhaifu wa watu juu ya elimu hii, Sheikh huyu ameweza kuwateka watu wengi juu ya madai yake dhaifu na kumuona msomi, mtaalamu aliyebobea na hatimae wakamsadikisha bila ya kuyahakiki aliyoyasema. Ukweli ni kwamba, mtu yeyote mwenye upeo mzuri na maarifa sahihi katika mambo ya Hadithi na utafiti wa Riwaya, tena mtu aliye na moyo uliosalimika na maradhi ya hasadi, chuki, kasumba za kimadhehebu, anaposoma vitabu vya Sagaaf kama hiki alichokiita 'Tanaaqudhaatul-Al-albani' mara moja ataugundua udhaifu mkubwa wa Sheikh huyu, kutokana na makosa mengi ya wazi wazi yaliyojaa kwenye kitabu hicho na uongo mwingi, uongo ambao ni nadra kuupata katika vitabu vya kielimu. Miongoni mwa walioghurika na kudanganyika na kitabu hicho ni ndugu Juma Mazrui. Na hiyo ndiyo sababu iliyomfanya akisifie sana kitabu hicho kwa sifa kemkem. Lakini ukweli ni kwamba, kitabu hicho cha Sayyid Sagaaf kitabaki kuwa ni aibu kwake hapa duniani na kesho akhera mbele ya Allah Sub'haanahu wa Ta'alaa, si kwa sababu amemkosoa Sheikh Al-bani, bali kwa sababu ya uongo wa makusudi aliomzulia au ujinga wa kuyaingilia mambo asiyo na ujuzi nayo. Mimi sishangazwi na ndugu yangu Juma kukishabikia kitabu hicho, wala pia sishangazwi na kukifanya kuwa ni hoja yake dhidi ya Ahlu Sunna -na hilo baada ya kuifahamu hali yake ya uadui dhidi ya Ahlu Sunna na maulamaa wao- lakini ninashangazwa na mtu kama Sayyid Hasan Sagaaf! Inakuwaje mtu kama yeye afanye jambo la aibu kama hili la kuzua uongo wa wazi wazi! Je, anataka wale wanaomthamini na kumuona kuwa ni Mwanachuoni mkubwa wa Hadithi wajifunze nini kutoka kwake?

99 83

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Kama kawaida, kabla ya kuanza kutoa mifano michache itakayothibitisha namna Sagaaf alivyoifanyia khiyana elimu hii na kumzulia uongo Sheikh Al-bani, ni vyema nikatanguliza kutoa ufafanuzi mfupi juu ya mzunguko wa Hadithi alizozitaja Sagaaf katika kitabu chake "Tanaaqudhaatu Al-bani" alichokiandika kwa lengo la kuwathibitishia watu kwamba Sheikh Al-bani si mtaalamu katika elimu ya Hadithi kwa sababu anajichanganya na kujikanyaga katika hukumu zake juu ya hadithi za Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam. Huu ufuatao ni ufafanuzi huo mfupi : Kuna Hadithi ambazo Sheikh Al-bani amezidhoofisha kwa kuzingatia Sanad moja tu iliyoko mbele yake, kisha Hadithi hiyo hiyo akaisahihisha katika sehemu nyingine kwa kuzingatia mkusanyiko wa Sanad nyingine. Wataalamu wa mambo ya Hadithi wanaiita Hadithi kama hiyo kuwa ni "Hasanun Li ghairihi", nayo ni Hadithi ambayo ukiitazama njia zake moja moja utaziona zina udhaifu, lakini ukizikusanya mahali pamoja zinafikia kiwango cha kukubalika. Kwa hiyo, mwanachuoni wa Hadithi anaweza kuihukumu hadithi moja kwa hukumu mbili tofauti: Anaweza kusema; Sanad (njia) hii ni dhaifu, au Hadithi hii sanad yake ni dhaifu, kwa kuwa kuna mpokezi aliyedhaifu au Sanad imekatika, haikuungana. Sehemu nyingine anaweza kusema; Hadithi hii ni hasan kwa sababu ya mkusanyiko wa njia zake, kitaalamu inaitwa "Hasanun li-Ghairihi". Na kwa hukumu zote hizi mbili atakuwa amepatia. Na hasemi kuwa kuna mgongano isipokuwa mtu mjinga au mkaidi. Na ukizitazama tuhuma nyingi ambazo Sharif Sagaaf amezielekeza kwa Sheikh Al-bani zinahusiana na maelezo haya. Na mara nyingi hali kama hii inapatikana katika vitabu vya Sheikh Al-bani ambavyo anatoa hukumu kwa ufupi, kama vile; Sahihul-Jaami' na Dhaiful-Jaami', Mish'kaatulMasabiihi na Ghayaatul-Maraami, kwa sababu hakukusudia kutoa maelezo kwa urefu. Ama vitabu ambavyo ametoa maelezo kwa urefu, kama vile; Silsila Sahiha, Silsilatu Ad-Dhaifa, Ir'waaul-Ghaliil, Ahkaamul-Janaizi na vinginevyo, kwa sababu amekusudia katika vitabu hivyo kuzikusanya njia nyingi za Hadithi kwa kadri ya uwezo wake na kuzipa hukumu ya ujumla. Kuna sehemu nyingine, Sheikh Al-bani ameidhoofisha hadithi nyingine na Sagaaf kwa makusudi au bila ya kujua anaitetea hadithi nyingine na kudai kwamba Albani ameisahihisha. Wakati mwingine inapokewa hadithi na Maswahaba wawili tofauti, ukiitazama hadithi hiyo kwa mujibu wa misingi ya kielimu inabainika kuwa hadithi hiyo kwa njia iliyopokewa kwa Swahaba huyu ni dhaifu, lakini imesihi kwa njia ya Swahaba mwingine. Na maelezo mengine yanafanana na maelezo tuliyoyatoa kwenye zile hadithi saba, kwa faida zaidi, rejea huko.
100 84

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Sasa hebu tuitupie jicho hii mifano mitatu: MFANO WA KWANZA Amesema Hasan Sagaaf: : } : 616 615 82/2 . ... (4250) {! . (4250) ( 3427 418/2) Tarjama: {Hadithi isemayo; "Mwenye kutubu kwa kuacha dhambi ni kama asiye na dhambi" ameitaja Al-bani katika 'Dhaifa' juzuu ya 2 ukurasa wa 82, hadithi nambari 615-616, kisha akaidhoofisha na akasema (Al-bani): Ama hadithi ya Ibn Ibn Mas'oud ameipokea Ibn Maajah nambari (4250).na wapokezi wa sanad yake ni watu madhubuti lakini (sanad) imekatika. Kisha (Al-bani) akajichanganya akaitaja katika Sahihi Ibn Maajah, juzuu ya 2 ukurasa wa 418, hadithi nambari 3428, akitoa ishara ya nambari ya hadithi hiyo hiyo (4250) Sub'haana llaahi! MAJIBU YETU Juma ndugu yangu! Sheikh wako Sagaaf amepatwa na moja kati ya mambo mawili: Ima hakuielewa hii lugha ya kitaalamu aliyoitumia Sheikh Al-bani na hili ni tatizo kubwa ambalo limewakumba wazushi wengi na wewe ni mmoja wao. Au atakuwa ameilewa lugha hii, lakini kwa makusudi ameamua kupotosha na hii ni katika tabia mbaya wanayosifika nayo watu wote wa batili. Nimesema hayo kwa sababu hii ifuatayo: Hadithi aliyoidhoofisha Sheikh Al-bani -Allah amrehemu- katika Silsila Dhaifa ni ile hadithi iliyokuja kwa urefu kutoka kwa Anas Ibn Malik radhiya llaahu an'hu- kwa tamko hili; { } {Mwenye kutubu kwa kuacha dhambi ni kama asiye na dhambi. Allah akimpenda mja, basi haitamdhuru yeye dhambi yoyote}. Hadithi hii Sheikh Al-bani ameidhoofisha kwa sababu ya hii ziada tuliyoipigia mstari. Ama kifungu cha kwanza kimethibiti katika hadithi nyingine iliyopokewa kutoka kwa Abdillahi Ibn Mas'oud na Abu Said AlAnsaariy radhiya llaahu an'huma.
101 85

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Na ndiyo maana Sheikh Al-bani Allah amrehemu alipoitaja hadithi hii katika Silsila Dhaifa 2/83 nambari 615-616 akasema: "." "Nusu ya kwanza ya hadithi ina ushahidi mwingi (wa kuitilia nguvu) kutoka katika hadithi ya Abdillahi Ibn Mas'oud na Abu Said Al-Ansaariy." Kisha akamalizia kwa kusema: . : : "Na kwa ujumla wa maneno ni kwamba hadithi iliyotajwa hapo juu ni dhaifu kwa sababu ya ziada hii, lakini sehemu yake ya mwanzo ni 'Hasan' kwa mkusanyiko wa njia zake." Muhtasari wa maneno haya: Hadithi iliyopokewa kutoka kwa Swahaba Anas Ibn Malik radhiya llaahu an'hu imekuja kwa urefu, kipande cha mwanzo ni sahihi kwa kuwa kinaafikiana na hadithi iliyopokewa na Maswahab wengine wawili. Sheikh Al-bani yeye ameidhoofisha sehemu ya pili ya hadithi hii. Na ama hadithi aliyoitaja katika sahihi ya Ibn Khuzaimah na kuisahihisha ni hadithi iliyopokewa kutoka kwa Abdullahi Ibn Mas'oud na Abu Said Al-Ansaariy radhiya llaahu an'huma. Kwa ufupi unaweza kusema kuwa hizo ni hadithi mbili tofauti kwa matamko na wapokezi, kwa hiyo Sheikh Al-bani hakujichanganya bali Sagaaf na washirika wake kina Juma Al-Mazrui ndio waliochanganyikiwa. MFANO WA PILI Amesema Sagaaf: /1401/3) , . : } .{ ,(928 635/2)

"( " 6457 365/5 " " .( 5063

Tarjama: Hadithi "Atakayemkata ndugu yake (asimsemeshe) mwaka mzima kufanya hivyo ni sawa na kumwaga damu yake" Ameipokea Abu Daud na Al-bani ameidhoofisha
102 86

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

alipokuwa akizitolea hukumu hadithi za Mish'kaatul-Masabiih, juzuu ya 3 ukurasa wa 140, hadithi nambari 5063, kisha akasema (Al-bani); Sanad yake ni dhaifu. Kisha (Al-bani) akaitaja tena kwa kuisahihisha katika 'Sahihul-Jaami As-Saghiir wa Ziyaadatihi' juzuu ya 5 ukurasa wa 365, hadithi nambari 6457 na katika 'Silsila Sahiha' juzuu ya 2 ukurasa wa 635, hadithi nambari 928, kisha (Al-bani) akaomba msamaha katika sehemu hiyo, lakini haimsaidii kitu kuomba kwake msamaha. MAJIBU YETU Ahlu Sunna wal-Jamaa hawakuwadhulumu Wazushi walipowaita kuwa ni "AhlulAh'waai" (watu wa kufuata matamanio ya nafsi zao) na hilo linadhihiri katika muamala wao na watu wengine, hawana uadilifu kwa mahasimu zao hata chembe. Sheikh Al-bani alipoitaja hadithi hii katika "Mish'kaatul-Masabiih" aliidhoofisha Sanad ya Hadithi hii, na sababu iliyompelekea kuidhoofisha ni kauli ya Al-Hafidh Ibn Hajar katika vitabu vyake "Taq'riib" na "Tahdhiib" alipokuwa akimuelezea mpokezi mmoja aitwaye Al-waliid Ibn Abil-Waliid. Ibn Hajar alisema kwamba mtu huyu ni dhaifu na Ibn Hajar amefanya hivyo kwa kutegemea kauli ya Ibn Hibbaan aliposema; "Mara nyingine anatofautiana (na watu madhubuti) pamoja na uchache wa riwaya zake". Lakini Sheikh Al-bani baada ya kufanya utafiti wa kina, akagundua kwamba kauli ya Ibn Hajar na Ibn Hibbaan juu ya mpokezi huyu si kauli sahihi, kwa kuwa Imamu Ibn Abi Haatim amemnukuu Imamu Abu Zur'a Ar-Raaziy akisema kwamba mpokezi huyu ni mtu Thiqa. Baada ya kuligundua hilo, Sheikh Al-bani, kutokana na elimu yake, uadilifu wake na uchamungu wake, kwanza akaanza kuwakosoa Ibn Hajar na Ibn Hibbaan kwa kuwa wao wamempa mpokezi huyo hukumu isiyostahiki, kisha akajirudi yeye mwenyewe kwa kusema hivi: " ." "Nilipoiona 'Tauthiqi' (hukumu ya umadhubuti wa mpokezi) kutoka kwa Imamu huyu (Abu Zur'a Ar-Raaziy) nikaitegemea, kwa sababu huyu (Abu Zur'a) anajua zaidi kanuni za elimu hii kuliko Ibn Hibbaan, na kutopingana na yeye katika tarjama hii, kwa kulizingatia hilo: Nimeisahihisha hadithi hii na NIMEJIRUDI KWA KUIDHOOFISHA KULIKOTANGULIA. Na hili pia nimelitanabahisha katika uhakiki wangu wa mara ya pili katika kitabu AlMish'kaatu na Allah ndiye ajuae zaidi." Mwisho wa kunukuu. Tazama Silsila Sahiha 2/635 nambari 928.
103 87

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Hasan Sagaaf alipoyaona maneno haya Sheikh Al-bani akasema hivi: Kisha (Al-bani) akaomba msamaha katika sehemu hiyo, lakini haimsaidii kitu kuomba kwake msamaha. Swali; Kwa nini kitendo chake Sheikh Al-bani cha kuomba msamaha na kujirudi kisimsaidie? Au ni kwa sababu yeye ni Wahabi kama mnavyodai? Msamaha huo hausaidii kwa nani? Maana Sheikh Al-bani amelibainisha hilo kwa lengo la kujitakasa mbele ya Allah na kutekeleza amana ya kielimu na kuondosha usumbufu kwa wasoamaji wake, sasa ukisema hilo halisaidii, halisaidii kwa nani na kwa nini? Ikiwa yeye aliyekosea kisha akajikosoa, hakumsaidii kitu kujikosoa kwake, je hao maimamu kina Al-Hafidh Ibn Hajar na Ibn Hibbaan na wao mtawapa hukumu gani? Acheni chuki binafsi na uhasidi enyi wazushi nyinyi! MFANO WA TATU Amesema Sagaaf: : : (921 41/4) "} " : . {! .

: ( 1797 406/4) " " . : ""

Tarjama: Amesema mwenye kitabu 'Manaarus-Sabiili' kama ilivyo katika 'Ir'waul-Ghaliil, juzuu ya 4 ukurasa wa 41, hadithi nambari 921, katika hadithi (isemayo);

"Mwenye kufunga, wakati wa kufungua ana dua ambayo hairudishwi".Ninasema


(Sagaaf); amesema Al-bani katika 'Ir'waul-Ghaliil' katika sehemu iliyotajwa: Dhaifu. Kisha (Al-bani akaisahihisha hadithi hiyo hiyo katika 'Silsila Sahiha' juzuu ya 4 ukurasa wa 406, hadithi nambari 1797 kwa tamko (lisemalo): "Dua tatu

hazirudishwi, dua ya mzazi (kwa mwanawe), dua ya mwenye kufunga na dua ya msafiri." Zingatieni!
MAJIBU YETU Hapa Sagaaf amejijibu mwenyewe, lakini kwa sababu ya chuki zake hakulijua hilo, kwa sababu amethibitisha mwenyewe kwamba hadithi aliyoidhoofisha Sheikh Al-bani katika Ir'waul-Ghaliil siyo ile aliyoisahihisha kwenye 'Silsila Sahiha'. Hadithi isemayo; "Mwenye kufunga wakati wa kufungua ana dua ambayo hairudishwi" hii ni hadithi imepokewa kutoka kwa Abdillahi Ibn Amri radhiya llaahu an'huma-.
104 88

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Na hadithi isemayo; "Dua tatu hazirudishwi, dua ya mzazi (kwa mwanawe), dua ya

mwenye kufunga na dua ya msafiri." Hii ni hadithi nyingine kabisa, kwa tamko na
mpokezi, hadithi hii imepokewa kutoka kwa Anas Ibn Maalik radhiya llaahu an'hu na tamko lake ni kama unavyoliona hapo juu. Sasa kama hizi ni hadithi mbili tofauti kama ulivyoyaona matamko yake, je pale Sheikh Al-bani alipoipa kila hadithi hukumu yake kwa mujibu wa kanuni za elimu ya upokezi wa hadithi, kosa lake hapo liko wapi? Kwa hakika kuna mifano kama hii mingi sana, na lau kama mtu ataifuatilia basi anaweza kutunga kitabu chenye juzuu zaidi ya tatu, lakini kwa kuhofia kutoka kwenye maudhui ya kitabu chetu ni vyema nikaishia hapa na anayetaka ziada wa kujua ubabaishaji wa watu hawa dhidi ya Sheikh Al-bani basi na avirejee vitabu vya Sheikh Al-bani kisha avisome kwa utulivu na umakini bila ya kutanguliza ushabiki. Pia kwa faida zaidi unaweza ukarejea vitabu vifuatavyo; 'Al-An'waarul-Kaashifitu' cha Sheikh Ali Hasan Al-Halabiy, majibu dhidi ya kitabu 'Tanaaqudhaatul-Al-bani'. 'Laa difaan anil-Al-bani fahasin, bal Difa'an anis-Salafiyyah' kitabu hiki ni majibu dhidi ya vitabu vitatu vya Sagaaf (Daf'u At-Tash'biihi, Sahihu Sifatis-Swalaat na TanaaqudhaatulAl-bani) mwandishi wake ni Amru Abdil-Mun'im Saliim.

105 89

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

SHEIKHI WA KIIBADHI SAID AL-QANNUBI KATIKA MIZANI YA HAKI


Katika maradhi mabaya ambayo yanaweza kumuangamiza mtu ni maradhi ya Chuki na Upenzi bila ya kuchunga mipaka ya Sheria. Maradhi ya Chuki yanampelekea mtu kukosa uadilifu na kutowatendea haki watu wema na hali ya kuwa Uislamu umetuamuru kuwatendea haki kwa kumpa kila mtu haki yake na kumueka katika nafasi yake. Lakini mtu ambaye yamemsibu maradhi haya, siku zote anakuwa kinyume na msingi huu, utamuona anamnyanyua anayempenda na kumueka katika daraja za juu zaidi asiyostahiki. Na yule asiyempenda atamtweza na kumueka chini ya waliochini. Ndugu yetu Juma Mazrui ni miongoni mwa waandishi waliopatwa na maradhi haya mabaya ya Chuki dhidi ya watu wa haki. Maradhi haya yamemfikisha kwenye kiwango cha kumdhalilisha Mwanachuoni Mkubwa wa Hadithi katika zama hizi, Sheikh Muhammad Naasirud-Din Al-bani kwa kutoa kauli chafu na za dhulma dhidi yake, na hakutosheka na hilo, bali amefikia kusema: Kwa ufupi, ni kuwa Al-Albani si mwanachuoni wa Hadithi kamwe tafauti na wanavyodanganywa walala hoi Kilichompa jina mtu huyu ni kuweko kwake katika Madhehebu yenye pesa na iliopo katika sehemu nyeti anatangazwa!!!!!. Tazama ukurasa wa 75 wa 'Fimbo' Lakini alipokuwa akimzungumzia Sheikh wake Said MAbruuk Al-Qannubi, amefikia kiwango cha kusema maneno ya Ghuluwu na kuvuka mipaka! Amesema Juma: Na lau Seif angelijua jinsi Al-Qannubi alivyozama katika fani hii, basi asingelimfananisha na kiumbe yoyote miongoni mwa wale waliosifika kwa fani hii kama vile Al-Amidi na waliomfano wake. Bali angelimwita Al-Qannubi kuwa ni Imamu wa wana usuli. Mwisho wa kunukuu. Tazama chini ya ukurasa wa 84. Usishangae sana ndugu msomaji! Hii ndiyo hali ya watu tunaojadiliana nao, kwa hakika kumuelewesha mtu mwenye mawazo na upeo kama huu ni kazi ngumu sana na inahitaji subra ya hali ya juu, lakini ninatarajia kwa Allah kuwa atatulipa kheri kwa msiba wetu huu. Baada ya kukunukulia kauli hizo za ndugu Juma zinazotoa ishara ya wazi juu ya maradhi haya, hebu sasa turudi kwenye maudhui yetu ya kumuweka huyo aitwaye kuwa ni Imamu wa Usuli, ambaye haifai kumfananisha na kiumbe yeyote?

106 90

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Hebu tumuangaze Sheikh huyo wa Kiibadhi kupitia Darubini ya haki na uadilifu, je daraja aliyowekwa ndiyo? Ndugu Juma ametoa Challenge kwetu ya kumtajia makosa ya Sheikh wake tena akasema kwa lugha za majigambo na matao: Sasa kilichobaki tukuachieni nyinyi uwanja, Sheikh Seif Al-Ghafri pamoja na Kasim Mafuta, na Abu Hashim Al-Musawi na Abdullah Muhsin, tunakuachieni uwanja mututolee makosa kama hayo katika vitabu vya Al-Qannubi." Pia amesema tena: Nasi tunawachalenj Mawahabi watutolee makosa kwa makapu kama haya kutoka katika vitabu vya Al-Imamu Al-Qannubi! Tazama 'Fimbo' ukurasa wa 75. MAJIBU YETU Suala la kuwa Al-Qannubi ameihifadhi Hadithi nyingi na kuandika vitabu bila ya kuwa na marejeo au kuwa-challenji watu kwa lugha za vitisho na dharau zisizoisha, si hoja ya kumfanya kuwa ni mwanachuoni mkubwa asiye na mfano. Bali kinachozingatiwa zaidi ni kazi za mtu na juhudi zake za kuunufaisha umma kutokana na elimu aliyopewa na Allah. Kazi aliyoifanya Sheikh Al-bani ni kubwa sana na manufaa yake katika umma huu yako wazi. Mtu huyu pamoja na masaibu na misukosuko ya kilimwengu iliyompata, lakini ameweza kuzihudumia zaidi ya Hadithi 30,000 (Elfu Thelathini) za Bwana Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam! Akawabainishia watu baina ya Hadithi Sahihi zilizothibiti, akaziweka upande mmoja na Hadithi Dhaifu ambazo hazikuthibiti akaziweka upande mwingine! Pamoja na ukubwa wa kazi hiyo ya kuhakiki Maelfu ya Hadithi inayohitaji Elimu nyingi, Subra, Utulivu na wakati wa kutosha, lakini maadui zake wameshindwa kumkosoa, wamebaki wanampigia kelele kwenye idadi ndogo tu ya Hadithi ambazo hazifiki hata Asilimia mbili (2%) ya Hadithi zote alizozihukumu, na ukifanya uchambuzi wa kielimu kama tulioufanya utabainikiwa kuwa; ziko Hadithi alizokosea kweli kutokana na Ubinadamu na ziko ambazo wakosoaji wamekosea wao. Hivyo basi, tuna haki ya kusema; Al-bani ni Imamu wa Hadithi katika zama hizi! Na wamepatia waliompa Noble, kwa hakika zama zetu hizi zimekuwa na ubahili wa kutoa watu mfano wake. Na mtu yeyote Muadilifu, mwenye Shukrani, aliyesalimika na maradhi ya Chuki hawezi kuzipuuza juhudi zake. Na Allah ndiye anayemnyanyua amtakae na kumtweza amtakae, si pesa wala mahali.
107 91

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Ama Sheikh wa Kiibadhi Said Mabruuk Al-Qannubi, kwa kuwa hakuna juhudi ya kubwa ya kielimu aliyoifanya, ndiyo maana hajulikani! Ni Juma na ndugu yake Khalfani Tiwani ndio wanaomtangaza kwa kasi kwenye vitabu vyao ili wamfunike Sheikh Al-Bani, lakini wapi? Hali ilivyo ni kama alivyosema msemaji mmoja: ! *** Ama tukirudi kwenye Challenge tuliyopewa; Juma ametutaka tumletee kutoka kwenye vitabu vya kwa kuwa Sheikh wake (Al-Qannubi) kwa kapu na magunia! Lakini swali la msingi la kuwauliza walimwengu: Kwani huyu Al-Qannubi ana vitabu vingapi ili tuweze kupata hizo Hadithi alizozipatia au kuzikosea kwa kapu na magunia? Ukweli ni kwamba huwezi kulinganisha baina ya kazi kubwa aliyoifanya Sheikh Al-bani na kazi za Al-Qannubi. Al-Qannubi bado ni dhaifu sana wala si chochote si lolote ukilinganisha na kazi kubwa aliyoifanya Al-Muhaddith Al-Allaamah Muhammad Naasirud-Din Al-Albani rahimahu llaahu-, lakini tunataka kumthibitishia ndugu Juma udhaifu wa Sheikh wake, huwenda kwa kufanya hivyo akafahamu kwamba Sheikh wake (Al-Qannubi) bado hajapevuka katika uwanja huu mpana wa elimu hii adhimu, na huwenda ikawa hiyo ni sababu ya kuwaheshimu Wanachuoni wakubwa, na kila mmoja akampa daraja yake. Ila sina uhakika kama hili litamsaidia, kwa sababu kitu kinachowasumbua hawa jamaa zetu wa Kikhawarij (Ibadhi) ni ulimbukeni, kama mfano wa kipofu aliyeona Punda, basi kila kitu wanachosifiwa wao wanataka kukilinganisha na Punda hadi bahari na majabali! Miongoni mwa vitabu vya Al-Qannubi ni kitabu 'At-Twuufanul-Jaarifu', kitabu hiki hadi leo hakijakamilika, baadhi ya juzuu zake hazijulikani ziliko, na hatujui -Wallahu A'alamkama ni kweli mwandishi hajui zilipo au hakuziandika kabisa, au amezificha kwa sababu anazozijua mwenyewe! mjadala. Na kama utakisoma kitabu hicho kwa utulivu na umakini kuanzia mwanzo hadi mwisho, utaona harufu ya wizi wa nukuu kutoka kwa Al-Kauthariy, Al-Ghumaariy na Sagaaf, na kama kuna yake basi ni machache mno. Mimi ninampongeza Al-Qannubi kwa juhudi ya kuzipanga kurasa, kubadilisha dhamiri na kutukana kwa point! Ama kitabu As-Sayful-Haadi; chapa niliyonayo mimi, imechapishwa na Maktabatu AdDhaamiry ya nchini Oman, chapa ya kwanza ya mwaka 1415 Hijiriyya sawa na mwaka 1994 Milaadiyya, kina kurasa 116 tu. Pamoja na udogo wa kitabu hiki na udhaifu wa kielimu uliomo humo, unaweza kupata humo uongo na matusi kwa kapu na magunia?
108 92

Katika kitabu hicho hakuna jipya la kielimu alilolileta Al-

Qannubi la kuwanufaisha watu, zaidi ya kutukana na kukwepa nukta za msingi katika

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Hebu tukitupie jicho kitabu hiki kidogo tuone yaliyomo ndani yake: AL-QANNUBI NA KITABU CHAKE AS-SAYFUL-HAADI Mwanachuoni huyu Kiibadhi katika zama hizi Said Mabruuk Al-Qannubi amekiandika kitabu chake hiki alichokiita 'As-Saiful-Haadi', kwa lengo la kuwajibu Ahlu Sunna walJamaa wanaoshikamana na Hadithi za Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam, bila ya kutofautisha baina ya Hadithi Aahaad wala Mutawaatiri katika masuala ya ki-Fiqhi na masuala ya ki-Itikadi, lakini baada ya kushindwa kulithibitisha kielimu jambo alilokusudia, Sheikh huyo akakimbilia kwenye Matusi, Jazba, Kejeli na uongo mwingi na kuwazulia Wanachuoni. Miongoni mwa masuala aliyoyagusia na kuyapinga kwa nguvu kubwa ni suala mashuhuri lililotangaa baina ya Ahlu Sunna wal-Jamaa kwamba; Umma umekubaliana katika kuzipokea na kuzikubali Hadithi zilizomo katika Sahihain (Sahihul-Bukhari ya Imamu Al-Bukhari na Sahihu Muslimu ya Imamu Muslimu Ibn Hajjaaj). Al-Qannubi ameupinga mtazamo huu wa Jumhuuri ya Ulamaa katika kitabu chake hicho kwa kunukuu kauli za baadhi ya wanachuoni waliozidhoofisha Hadithi zilizomo katika vitabu hivyo, nukuu zinazodai kuwa ndani ya vitabu hivyo kuna Hadithi nyingi dhaifu na nyingine za kutunga, halikadhalika kuna wapokezi wengi ambao ni dhaifu. Kutokana na ubabaishaji alioufanya Said Ibn Mabruuk Al-Qannubi katika kitabu chake hicho 'As-Saiful-Haadi', Sheikh Abdul-Aziz Ibn Feisal Ar-Raajihiy alimjibu kwa jawabu fupi ya kielimu kupitia kitabu chake alichokiita 'Quduumu Kataaibil-Jihaadi'. Sheikh Ar-Raajihiy amezinukuu kauli za wanachuoni wengi wa Ahlu Sunna wanaothibitisha kwamba; Umma umekubaliana juu ya usahihi wa Hadithi zilizomo katika Sahiihain (Sahihul-Bukhari na Sahihu Muslimu). Kisha akayabatilisha madai ya uongo aliyoyaleta Al-Qannubi katika kitabu chake dhidi ya vitabu hivyo. Pia Sheikh Ar-Raajihiy alimkosoa kwa makosa mengi ya kielimu ambayo Al-Qannubi hakuyajbu, bali ameshindwa hata kusema: Ahsante kwa msaada wako! Atasemaje ahsante na yeye ni bingwa! Gogo kubwa lisilowezekana na kiumbe chochote!!! BAADHI YA MAKOSA YA AL-QANNUBI KOSA LAKE LA KWANZA Miongoni mwa makosa ya wazi wazi ambayo hata watoto wa Madrasa za mtaani si rahisi kukosea ni pale Al-Qannubi alipodai kwamba; Wajumbe waliotumwa na Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam kwenda katika miji kwa ajili ya kufundisha Uislamu, hakuwatumwa kuwafundisha watu Tawheed! Bali waliwatumwa kwa ajili ya kufundisha
109 93

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

mambo ya matawi ya dini kama tu, kama vile; Swala, Zakaah, Swaumu Hijja n.k..Amesema Al-Qannubi: " 30 :" .... "Na kwa hayo itakubainikia kwamba misingi ya itikadi imehama kwa njia ya Tawaaturi (wingi usio na shaka). Na wale waliokuwa wakitumwa na Mtume swalla llaahu alayhi wasallam katika miji walikuwa wakiwafundisha watu mambo ya ki-Fiq'hi." Mwisho wa kunukuu. Tazama kitabu As-Saiful-Haadi ukurasa wa 30. Sababu iliyomfanya Al-Qannubi kutamka uongo huu, ni kutaka kuitetea itikadi yake ya kwamba; Habari iliyopokewa kutoka kwa mtu mmoja -hata kama ni sahihi- haifai kuijengea hoja katika masuala ya itikadi, kwa sababu habari ya mtu mmoja bado ni dhana haifikishi kwenye yakini kwa kuwa inawezekana kwa mtu mmoja kukosea! Ahlu Sunna wal-Jamaa walio na itikadi tofauti hiyo wao wanasema; Kama haifai kuifanyia kazi habari ya mtu mmoja katika mambo ya itikadi, mbona Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam aliwatuma Wajumbe kwenda kwenye miji kuwafundisha watu dini na hakupeleka makundi makundi? Kwa mfano; Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam alimtuma Muadhi peke yake kwenda Yemen. Baada ya Muibadhi huyu kubanwa na swali hili! Ndipo alipokimbilia kutunga uongo huu wa kusema: Hawa walikwenda kufundisha Fiqhi tu! Sasa hebu isome vizuri Hadithi inayozungumzia Kisa cha kutumwa Swahaba Muadhi Ibn Jabal radhia llaahu an'hu kwenda Yemen, kisha ujiulize maswali mwenyewe. Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam anamtuma Muadhi Ibn Jabal radhiya llaahu an'hukwenda Yemen kisha anamuusia kwa kumwambia: ..... : . .... . [Kwa hakika wewe unawaendea watu wa Kitabu (Mayahudi na Wakristo) basi liwe jambo la kwanza utakalolingania wao ni Kumuabudu Allah Azza wa Jalla, wakishamjua Allah, waambie kwamba Allah amewafaradhishia Swala tano usiku na mchana.. 37].
36F

37

- Tazama Sahihi Bukhari, Hadithi nambari 1389, 1458, na Sahihi Muslimu Hadithi nambari 31, 132, na 137. 110 94

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Pia limekuja tamko lisemalo: [Liwe jambo la mwanzo utakalowalingania ni Kumpwekesha Allah Ta'alaa, wakishalijua hilo]. Ninasema: Bila ya kuhitajia kusoma vyumba vingi na kupata vyeti, elimu yako ya kawaida inakutosha kufahamu alichonasihiwa Muadhi na Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam. Muadhi amenasihiwa aende akawafundishe watu wa Yemen Tawheed (Kumpwekesha Allah)! Sasa inakuwaje kwa Sheikh wenu Mkubwa kama Al-Qannubi awadanganye watu kwa kusema kuwa Wajumbe kama Muadhi walikwenda kufundisha mambo ya matawi ya dini tu? Baada ya Al-Qannubi kubainikiwa kuwa amedanganya hakuligusia hata kidogo suala hili katika kitabu chake 'At-Twuufanul-Jaarifu'. Huo ni mwiba wa kwanza umenasa kwenye Koo la Maibadhi, je mnaweza kuuchomoa? KOSA LAKE LA PILI Kosa lake la pili ni pale alipomnukuu Imamu Ibn Abdil-Barri kisha akayakata maneno yake kwa lengo la kuuficha ukweli. Imamu Ibn Abdil-Barri ni miongoni mwa wanachuoni wa Ahlu Sunna wal-Jamaa walio na msimamo wa kwamba; Hadithi iliyopokelewa kutoka kwa mtu mmoja tena muadilifu ni wajibu kuifanyia kazi, iwe katika mambo ya matawi au mambo ya kiitikadi, isipokuwa anachokiona yeye ni kuwa; Hadithi ya aina hiyo haileti yakini ya moja kwa moja. Kwa hiyo tofauti yake na Ahlu Sunna wenye kusema kuwa Hadithi ya mtu mmoja ni hoja katika matendo na itikadi ni tofauti ya kimatamshi tu. Amesema Al-Qannubi akimnukuu Imamu Ibn Abdil-Barri: ( 38 ) ) : (7/1) (( ))
F37

.... , , , , : , . "Wametofautiana wenzetu na wengineo kuhusu habari ya mtu mmoja (muadilifu): Je, inawajibisha elimu na matendo kwa pamoja au inawajibisha matendo tu pasi na elimu? Msimamo walionao wengi katika Wanachuoni ni kuwa inawajibisha matendo kinyume na elimu, na hiyo ni kauli ya Shaafiy, na wengi miongoni mwa watu wa Fiqhi na wenye utambuzi.. Kisha akasema: Na wamesema watu wengi miongoni mwa watu Hadithi na baadhi ya watambuzi: Habari hiyo itawajibisha elimu ya dhahiri na matendo pamoja. Miongoni mwa watu hao ni Al-Husein Al-Karaabisiy na wengineo. Na Ibn Khuwaiz Mindaad
38 -Tamko hili Sheikh wa Kiibadhi ameliacha, hakulitaja hatujui kwa sababu zipi! Au amelisahau kwa bahati mbaya. Allah ndiye mjuzi zaidi.

111 95

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

kwamba kauli hii inatoka kinyume na madhehebu ya Malik. Hapo ndipo alipoishia AlQannubi!!! Na hali ya kuwa Imamu Ibn Abdil-Barri anahitimisha kwa kuubainisha msimamo wake kwa kusema: , , , : ) , . , , ( "Amesema Abu Umar: Tunachokisema sisini kwamba: (Habari hiyo) inawajibisha matendo kinyume na elimu, kama ulivyokuwa sawa ushahidi wa watu wawili na watu wa ushahidi wa watu nne (katika kuufanyia kazi) na huo ndio msimamo wa watu wa Fiqhi na Hadithi. Wote hao wanaikubali Habari ya mtu mmoja muadilifu katika mambo ya itikadi. Wanajenga mapenzi na uadui juu ya itikadi hizo na wanazifanya kuwa ni Sheria na dini katika kuitakidi kwake. Wako na msimamo huo kundi katika Ahlu Sunna na katika mambo ya hukumu wanamsimamo tulioutaja. Wabiillaahi Tawfiiq." Mwisho wa kunukuu. Tazama At-Tamhiidi ukurasa wa 46. Hebu yazingatie maneno tuliyoyaandika kwa herufi kubwa na kuyakoleza wino, utabainikiwa na sababu iliyomfanya Al-Qannubi kuyakata maneno haya. Baada ya AlQannubi kuyaona maneno hayo ya Imamu Ibn Abdil-Barri akanukuu sehemu inayomuunga mkono kisha ile sehemu ambayo inaubomoa msimamo wake akaikata, na hilo ni kosa la wazi! Na huu ni mwiba wa pili ulionasa kwenye Koo la Makhawaariji, je mnaweza kuunasua? Haya unasueni tuwaone.

KOSA LAKE LA TATU Al-Qannubi amewazulia uongo Wanachuoni wafuatao; Al-Haafidh Ibn Hajar AlAs'qalaaniy, As-Swafadiy na Ibn Tagh'ri Bardiy kwa kudai kuwa Wanachuoni hawa wamesema kwamba Imamu Ibnul-Qayyim ana kitabu kiitwacho 'Al-Fawaaidu AlMushawwiqu fiy Uluumil-Qur'ani', jambo ambalo ni uongo lisilo na ukweli wowote. Amesema Al-Qannubi: )) . ) )) (( )) (( ( 400 /3 ) (( )) , , ((

112 96

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

)) (( )) ( )) (( 270/ 2) ( 249 / 10 ) (( )) . (( )) (( ( Hakuna haja ya kuyatafsiri kwa sababu Juma ametusaidi pale aliposema kama alivyosema Sheikh wake (Al-Qannubi): Basi kwanini tena Mawahabi wakikanushe kitabu Al-Fawaaidu Al-

Mushawwiq ilaa Uluumi Al-Qur-aan cha Ibn Al-Qayyim ambacho ndani yake
kajikanganya kwa kuzungumzia majazi ambayo kayakanusha katika kitabu chake chengine alichokiita Al-Sawaaiqu Al-Mursala! Kisha akasema: Utakumbuka kwamba kitabu hicho Al-Fawaaidu Al-Mushawwaq nacho pia kimetajwa na kundi la wanavyuoni kama: 1) Ibn Hajar katika Al-Dururu Al-Kaamina. 39 2) Abu Al-Mahaasin katika Al-Nujumu Al-Zahira. 40 3) Al-Safadi katika Al-Wafi. 41 4) Al-Suyuti katika Bughyatul Wuaat. 42 5) Al-Shaukani katika Al-Badru Al-Taaliu. 43 6) Haji Khalifa katika Kashfu Al-Dhunun. 44 Kayaeleza hayo Imamu Al-Sunna Wal Usul Al-Qannubi katika Al-Saifu Al-Haad. 45
38F 39F 40F 41F 42F 43F 4F

Mwisho wa kunukuu. MAJIBU YETU Ukweli ni kwamba wanachuoni wote hao hakuna hata mmoja aliyekitaja kitabu hicho kwamba ni cha Imamu Ibnul-Qayyim; Ama Al-Haafidh Ibn Hajar katika Durarul-Kaamina juzuu ya 3 ukurasa wa 402, hakukitaja kitabu Al-Mushawwiq hata kidogo, bali amekitaja kitabu cha Imamu IbnulQayyim kiitwacho 'Badaiul-Fawaaidi' na kitabu hiki hakizungumzii kabisa masuala ya Majazi.

- Ibn Hajar Al-Dururu Al-Kaamina j. 3, uk. 400. - Abu Al-Mahaasin Al-Nujumu Al-Zahiraj. 10, 249. 41 - Al-Safadi Al-Wafi j. 2, uk. 270. 42 - Al-Suyuti Bughyatul Wuaat. 43 - Al-Shaukani Al-Badru Al-Taaliu. 44 - Haji Khalifa Kashfu Al-Dhunun.
39 40 45

- Al-Qannubi Al-Saifu Al-Haad uk. 56.

113 97

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

As-Swafadiy naye halikadhalika, katika juzuu ya 2 ukurasa wa 272 katika kitabu chake Al-Waafi fil-Wafayaat amekitaja kitabu Badaiul-Fawaaid na wala hakukitaja kitabu 'AlMushawwiq' hata kidogo. Ama mwenye kitabu An-Nujuumu Az-Zaahira, yeye hakutaja kitabu chochote cha IbnulQayyim. KOSA LAKE LA NNE Ni pale alipodai kuwa Wanachuoni hawakukubaliana juu ya usahihi wa Hadithi zilizomo katika Sahihul-Bukhari na Sahihu Muslim kisha akaufanya kuwa huo ni msimamo wa hao Hashawiyya (Mawahabi) peke yao, tena kwa lugha za dharau na kejeli! Na hii hapa ni kauli ya Al-Qannubi: , " "...! , "Ukiwa umelifahamu hili, kitakubainikia kiwango cha elimu ya hawa Hashawiyya wanaojifanya kujua, ambao wanadai kwa uongo na uzushi kuwa Hadithi zilizomo (katika vitabu vya) Masheikh wawili (Bukharin a Muslimu) zinaleta maana ya kukata (kwa yakini), na ni Sahihi kwa maafikiano ya watu wote. Mimi ninawashangaa sana hawa! Imekuwaje jambo hili limejificha kwao pamoja na kutangaa kwake?!..." Mwisho wa kunukuu. Tazama Sayful-Haadi ukurasa wa 100. Sheikh wa Kiibadhi Al-Qannubi amekusudia kuwalaza watu kwa kauli yake hii, kwa sababu msomaji yeyote atakaeisoma kauli hii, moja kwa moja atafahamu kuwa walio na msimamo wa kusema; Hadithi zilizomo katika Sahihi Bukhari na Muslimu ni sahihi, ni kauli ya hao muwaitao Mawahabi peke yao na hali ya kuwa sivyo. Na kitendo hicho ni ghushi ya wazi kwa wasomaji wasiojua. Naye Juma Mazrui analifichua hilo zaidi kwa kusema: "Al-Qannubi hapa alikuwa anataja baadhi ya Hadithi za Al-Bukhari na Muslim ambazo wanavyuoni wengine wamezidhoofisha ili kujibu dai la baadhi ya Mawahabi kwamba "Umma umekubaliana juu ya usahihi wa Hadithi zote za Al-Bukhari na Muslim." Mwisho wa kunukuu. Tazama 'Fimbo ya Musa' ukurasa wa 46. Hizi ni baadhi ya mbinu dhaifu za Wazushi! Wanapotaka kufanya hujuma zao dhidi ya Ahlu Sunna, Itikadi zao, Wanachuoni wao na vitabu vyao kwanza wanafunika kwa vazi la Uwahabi ili wapate wepesi wa kushambulia.

114 98

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Kwa sababu inafahamika kuwa msimamo wa Jumhuuri (wengi) katika Wanachuoni wa Ahlu Sunna wal-Jamaa ni kuwa; Hadithi zilizomo katika Sahihi mbili zinafahamisha elimu ya yakini na zimekubalika na umma na zote zilizomo humo ni Sahihi isipokuwa baadhi ya hadithi chache ambazo baadhi ya wanachuoni wamezitia kasoro na kuzidhoofisha. Na ushahidi juu ya kauli hii umetajwa na Maulamaa wa Ahlu Sunna wal-Jamaa ambao si Mawahabi, miongoni mwao ni: 1) Imamul-Haramain Abul-Maaliy Al-Juweiniy Mshaafiy (aliyefariki mwaka 478 H) kama alivyonukuliwa na Imamu An-Nawawiy katika Al-Minhaaj Sharhe ya Sahihi Muslim Ibn Al-Hajjaaj, juzuu ya 1 ukurasa wa 136 chapa ya Daarul-Ma'rifah, Beirut-Lebanon. 2) Imamu Ibn As-Swalaah ambaye ni Mshaafiy (aliyefariki mwaka 643 H), katika kitabu chake 'Ma'rifatu Uluumil-Hadiithi' ukurasa wa 23-24. 3) Imamu Ibn Kathiir ambaye ni Mshaafiy (aliyefariki mwaka 774 H), katika kitabu chake 'Al-Baaithul-Hathiithu' ukurasa wa 35. 4) Imamu Al-Hafidh Ibn Hajar Mshaafiy (aliyefariki mwaka 852 H), katika kitabu chake Nuzhatun-Nadhari ukurasa wa 30-33. 5) Imamu Jalaalud-Diin As-Suyuutwiy ambaye pia ni Mshaafiy (aliyefariki mwaka 911 H), katika kitabu chake 'Tadriibu Ar-Raawiy' juzuu ya 1 ukurasa wa 134. 6) na wengineo wengi, kama vile Imamu Al-Bulqiniy, Imamu As-Shaukaniy n.k. ambao bila shaka hawa si katika hao Hashawiyya. Kwa lengo la kufupisha nitakutajia kauli za Wanachuoni wawili tu: Kauli ya kwanza; Al-Haafidh Ibn Hajar alipokuwa akielezea kuhusu Hadithi iliyopokelewa na mtu mmoja kuwa inafahamisha elimu (yakini) kutokana na ishara na dalili zilizoizunguka Hadithi hiyo, miongoni mwa dalili hizo ni kuwa Hadithi imo katika Sahihi Bukharin a Sahihi Muslim. Kisha akazitaja sababu; kwa nini Hadithi ikiwemo katika vitabu hivyo inapata nguvu na ushahidi wa kuifanya iwe inafahamisha yakini? Amezitaja sababu tatu. sababu tatu ndiyo mahali pa ushahidi wa kadhia tunayoizungumzia. Anasema Al-Haafidh Ibn Hajar: . . , .33-30 :" . "Na (sababu ya tatu) ni kuwa Wanachuoni wamevipokea vitabu hivyo viwili kwa kuvikubali. Na huku kukubaliwa peke yake kuna nguvu zaidi katika
115 99

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

kuleta elimu (ya yakini) kuliko hata wingi wa njia ambao haujafikia Tawaaturi. Isipokuwa jambo hili linazihusisha zile Hadithi ambazo hazikutiwa kasoro na yeyote katika Mahufadhi (Wanachuoni wenye kuhifadhi Hadithi) miongoni mwa Hadithi ambazo zimo katika vitabu hivi viwili. Na hata zile Hadithi ambazo zikuleta mvutano katika maana zake kwa kiasi ambaco haikupatikana kauli yenye nguvu, kwa sababu haiwezekani kufahamisha yakini Hadithi zinazogongana bila ya kuipa nguvu Hadithi moja juu ya nyingine. Ama Hadithi zisizokuwa hizo, Maafikiano yamepatikana juu ya kukubaliana na usahihi wake." Mwisho wa kunuu. Tazama 'Nuzhatun-Nadhari' ukurasa wa 30-33. Juma umeisikia kauli ya Hashawiyya hiyo? Hapa siko katika mjadala kuhusu suala la Hadithi zilizomo kwenye Sahihi Bukhari na Muslim kuwa Wanachuoni wamezipokea kwa kuzikubali au laa, wala siko katika mjadala wa kuwa je; Hadithi zote zilizomo kwenye vitabu hivyo ni sahihi au laa, Hadithi hizo Aahaadi zilizomo humo zinafidisha yakini au laa. Nataka nieleweke, asije Bwana Juma akakurupuka, akaanza kutufanyia tarjama kitabu At-Twuufanul-Jaarifu cha Sheikh wake ili kututhibitishia kwamba Hadithi hizo hazikukubalika, pamoja na kwamba hilo tuna majibu nalo, lakini mjadala wetu hapa ni: Je, wanaosema kuwa Hadithi zilizomo katika vitabu hivi viwili ni sahihi kwa makubaliano ya watu wote ni hao muwaitao Hashawiyya peke yao? Kama jawabu litakuwa hapana, kwa nini amewahusisha Hashawiyya peke yao? Bila shaka Sheikh wako amefanya hivyo kwa sababu maalumu, sisi tunasema kuwa kilichompelekea kufanya hivyo ni ghushi na hiyana. Je wewe unasemaje? KOSA LAKE LA TANO Ni kumzulia uongo Sheikhul-Islaami Ibn Taymiyya kwamba eti ameikataa Hadithi iliyopokewa na Imamu Al-Bukhari na wengineo isemayo: .... [Allah alikuwepo (peke yake) na hakikuwepo kitu kingine.] Tazama Sahihi Al-Bukhari, Hadithi nambari 3191. Amesema Imamu wa Kikhawaariji Said Al-Qannubi akimzulia uongo Sheikhul-Islaami Ibn Taymiyya: , ) )) .... , .101 -100 :" ... , ((

116 100

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

[Na yeye hivi sasa yuko kama alivyokuwa..] Amesema Sheikhul-Islaami Ibn Taymiyya kuhusu ziada hii katika Maj'muu Fatawa juzuu ya 2 ukurasa wa 272-273: ...) : ( 273 272 /2 ) (( )) { } : .... { .... } : "Na ziada hii isemayo: [Na yeye hivi sasa yuko kama alivyokuwa] ni uongo aliozuliwa Mtume swalla llaahu alayhi wasallam. Wameafikiana Wanachuoni wa Hadithi kwamba ziada hii ni ya kutunga na wala haimo katika vitabu vya Hadithi, si vidogo wala vikubwa, wala haijapokewa na yeyote kati ya Wapokezi wa Hadithi si kwa Sanadi sahihi wala dhaifu wala hata kwa Sanadi isiyofahamika. Hadithi iliyopokewa kutoka kwa Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam ni ile aliyoipokea Imamu Al-Bukhari kutoka kwa Imraan Ibn Huswain kutoka kwa Mtume swalla llaahu alayhi wasallam kwamba amesema: [Alikuwepo Allah na hakukuwa na kitu kingine kabla yake na Arshi yake ilikuwa juu ya maji Ama kuhusu tofauti za matamko ya Hadithi hizo, matamko yote matatu yaliyomo katika Sahihi Bukhari Sheikhul-Islaami ameyasahihisha na ushahidi wa hilo ni pale aliposema katika Maj'muu Fatawa juzuu ya 6 ukurasa wa 551: {... } : .{... } : { ... }
117 101

"Na jambo la ajabu zaidi kuliko hilo na la kushangaza, ni kuwa wao wazikataa Hadithi za Masheikh wawili (Bukharin a Muslimu) pale wanapotaka wao, hata kama zitakuwa Hadithi hizo zinaafikiana na andiko la wazi katika Qur-ani na Mutawaatiri katika Sunna za Mtume mnyenyekevu swalla llaahu alayhi wasallam na Maswahaba wote na waliowafuatia wao kwa wema mpaka siku ya hesabu (Qiyaama).kama alivyofanya Sheikhul-Harraaniy (Sheikhul-Islaami Ibn Taymiyya Al-Harraaniy) wakati alipoikataa Hadithi isemayo: [Allah alikuwepo (peke yake) na hakikuwepo kitu kingine.] ambayo ameipokea Imamu Al-Bukhari na wengineo pale alipoona kuwa inapingana na kinywaji chake kichafu na kauli yake ovu" Mwisho wa kunukuu. Tazama As-Sayful-Haadi ukurasa wa 100-101. Ninasema: Umeona Juma namna Sheikh wako anavyowadanganya watu? Ni mahali gani Sheikhul-Islaami Ibn Taymiyya ameikataa Hadithi hii iliyomo katika Sahihi Al-Bukhari? Je unaweza kututajia? Leo hii vitabu vya Ibn Taymiyya vimejaa kila pembe, haya tuonyesheni hapo aliapoikataa Hadithi hii! Hii ni Challenge kwa Maibadhi wote na washirika wao. Alichokifanya Sheikhul-Islaami Ibn Taymiyya ni kuikadhibisha maneno yanayoongezwa na Wazushi juu ya Hadithi hii, maneno ambayo hayakuthibiti kwa riwaya yoyoye sahihi, si katika Sahihi Bukhari wala katika vitabu vingine. Nacho ni kipengele kisemacho: ( )

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

"Matamko haya matatu yamo katika Bukhari na kikao kilikuwa kimoja tu na maswali yao na majibu yake (Mtume) yalikuwa katika kikao hicho kimoja, na Imraan aliyeipokea Hadithi hii hakuondoka baada ya kikao, bali aliondoka pale alipoambiwa kuwa Ngamia wake ametoroka kabla ya kwisha kikao, na yeye ndiye anayetusimulia tamko la Mtume swalla llaahu alayhi wasallam, kwa hiyo inafahamisha kwamba alitamka tamko moja tu na matamko mingine mawili yamepokewa kwa maana." Ewe Muhaddithi wa Khawaariji ni mahali gani hapo Ibn Taymiyya alipoikataa Hadithi hii? Huu ni Mwiba wa tano uliosakama kwenye Koo la Khawaariji, je wanaweza kuunasua? Basi na wajaribu kama wataweza! BAINA YA AL-QANNUBI NA AR-RAAJIHIY Mifano mingi tuliyoitoa hapo nyuma ni majibu yaliyotolewa na Sheikh Abdul-Aziz Ibn Faisal Ar-Raajihiy katika kitabu chake 'Quduumu Kataibil-Jihaadi' akimjibu Sheikh wa Kiibadhi Said Ibn Mabruuk Al-Qannubi katika kitabu chake 'As-Saiful-Haadi', kama

"Imethibiti katika Sahihi Bukhari na sehemu nyingine kutoka kwa Imraan Ibn Huswain kutoka kwa Mtume swalla llaahu alayhi wasallam kwamba amesema: [Alikuwepo Allah na hakikuwepo kitu kingine.] na katika riwaya nyingine ya Bukhari inasema; [Alikuwepo Allah na hakikuwepo kitu kabla yake] na katika riwaya nyingine ambayo si ya Bukhari, nayo ni riwaya sahihi inasema; [Alikuwepo Allah na hakikuwepo kitu pamoja na yeye]. Ama kuhusu tofauti za matamko hayo matatu, amesema Sheikhul-Islaami Ibn Taymiyya katika Maj'muu Fatawa juzuu ya 18 ukurasa wa 216: " .

umeyatazama vyema na kuelewa, utagundua kuwa majibu hayo ni msingi yanayohitajia kutolewa ufafanuzi. Lakini jambo la kusikitisha ni kwamba Sheikh huyo wa Kiibadhi alipoandika kitabu chake 'At-Twuufanul-Jaarifu' ambacho ni kitabu maalumu kwa ajili ya kumjibu Sheikh Ar-Raajihiy hakujibu hata kwa ishara, aliyafumbia macho masuala mengi ya msingi aliyotakiwa ayajibu, kisha akakimbilia kwenye baadhi ya nukta alizoziona kwa mtazamo kuwa kuwa zina udhaifu akazishikilia, ili wasiofahamu waone kwamba Sheikh amejibu! Na ndiyo maana Juma akapata ujasiri wa kusema haya katika ukurasa wa 460: Sheikh huyu kaandika kitabu kilichopitiwa na Dr. Al-Fawzaan akijitia kukijibu kitabu cha Imamu wa Al-Sunna Al-Qannubi. Naye akapata jawabu ambayo ilimnyamazisha: mpaka leo hakuibuka tena! Haya ndiyo matatizo ya watu wasioelewa mambo ya kielimu na wakawa hawataki kuzitumia hata akili zao walizopewa na Muumba wao, na yote hayo yanatokana na
118 102

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

MIMI ABUL-FADHLI KASSIM IBN MAFUTA IBN KASSIM IBN UTHMAN kasumba za Kimadhehebu! Juma utasemaje kwamba Sheikh Ar-Raajihiy kajitia kukijibu NIKO TAYARI KUFANYA MIJADALA YA KIELIMU JUU YA MAUDHUI HII NA kitabu cha Sheikh wako, kwani kitabu cha Sheikh wako ni Qur-ani hakistahiki kujibiwa? NYINGINEZO KWA MASHARTI NITAKAYOYATAJA HAPO MBELE. Hizo jawabu za kunyamazisha ziko wapi na hali Sheikh wako bado ana deni la kujibu maswali ya msingi! Ama suala la Mubaahala, pia hilo niko tayari nalo, tena ninalianza sasa hivi kwenye kitabu changu hiki kwa kusema: EWE ALLAH TEREMSHA LAANA YAKO, Miongoni mwa nukta ambazo si za msingi Sheikh wa Kiibadhi Al-Qannubi amezishikilia ADHABU ZAKO NA GHADHABU ZAKO JUU YA YULE MWENYE ITIKADI ni madai ya kwamba Sheikh Abdul-Aziz amemzulia uongo, kwa sababu MBOVU BAINA YETU SISI AHLU Ar-Raajihiy SUNNA WAL-JAMAA TUNAOITWA Sheikh Ar-Raajihiy MAWAHABI NA amesema: IBADHI WANAOJIITA AHLUL-HAQI WAL-ISTIQAAMA. Na kama kauli hii haitoshi nikihitajika kufanya Mubaahala sehemu yeyote wakati wowote : . "" {, 53 47 } pia niko tayari. .174 JE NI KWELI KUKIMBIA MJADALA NI SERA YA KIWAHABI? [Kisha (Al-Qannubi) akaanza kunukuu kutoka kwa baadhi ya (wanavyuoni) kuanzia Miongoni mambo ya uongo ambayo ndugu Juma ameyajaza katika kitabu chake ukurasa wamwa 47-53 katika kulithibitisha hilo, na kwamba Hadithi zilizomo katika Sahiihain 'Fimbo Musa' mpaka kikaonekana kitabu chake kikubwa cha kutisha, suala (Sahihi ya Bukhari na Muslim) na wapokezi wake kuwa wanani udhaifu na mfano wani hayo.] hili la kukimbia mijadala. Amesema Juma katika ukurasa wa 423: ukurasa wa 174. Mwisho wa kunukuu. Tazama kitabu 'Quduumu Kataibil-Jihaadi',

"KUKIMBIA MJADALA NIjuu SERA YA KIWAHABI Ibara hiyo haionyeshi kwa uwazi ya suala analolilalamikia Muibadhi huyo kwa kiasi Sasa baada ya hayo, ndugu Mafuta nataka uelewe tena mambo haya: Kukimbia cha kudai kuwa makusudio ya Sheikh Ar-Raajihiy ni kumtuhumu Al-Qannubi kuwa mijadala ndio sera ya Kiwahabi, kwani mbili wanajijua kwamba hawana hoja, amesema; Hadithi zote zilizomo katika Sahihi ni dhaifu au za kutunga. Nawanataka ushahidi watu wawafuate tu katika itikadi zao za kumfananisha Allah na binaadamu, bila juu ya hilo ni pale aliposema Sheikh Ar-Raajihiy:

hata ya kuzijadili hoja zao." , )) (( 54 ) MAJIBU YETU : : . . , Mtu yeyote anayezijua tabia za Ahlu Sunna wal-Jamaa, hao ambao wazushi wanawaita (... : , ya Juma kwa jina la Mawahabi, hatasita hata kidogo kuyakadhibisha maneno haya ndugu Mazrui na kuyaita kuwa ni maneno ya uongo yaliyojaa chuki. Takriban Waislamu wote hapa Afrika ya Mashariki, wanaoishi katika miji mbali mbali "Kisha Muibadhi akaweka mlango katika ukurasa wa 54 wenye kichwa cha habari: kama vile; Dar es Salaam, Tanga, Unguja, Pemba, Mombasa, Malindi, Lamu na ((Hadithi zilizopingwa katika Sahihi mbili)) akataja ndani yake baadhi ya Hadithi kwengineko ni mashahidi juu ya mijadala mingi iliyojiri na inayojiri kila uchao baina yao zilizomo katika Sahihi mbili au moja yao miongoni mwa zile Hadithi ambazo na hao waitwao Mawahabi na Waislamu wa madhehebu mengine, hasa wafausi wa wamezikosoa ya Mahuffadh. hadithi nyingi katika Sahihi na madhehebu zabaadhi ki-Sufi, juu ya kadhia Akazitaja mbali mbali za kidini. Sina shaka kuwaBukhari jambo hili idadi katikaJuma Sahihi Muslim na nyingi zilizomo katika Sahihi zote mbili. Na jawabu (yetu) hata ndugu naye analifahamu. ni kwa njia nyingi: Kwanza: Sisi hatuafikiani na yeye katika Hadithi zote. Kama huukumbuki mjadala uliofanyika kule KengejaPembakuzidhoofisha baina ya hao Mawahabi na Masufi juu ya kadhia za mwezi? Je, huukumbuki hata ule mjadala wa mwaka 1991 Na kwamba Hadithi alizozitaja ziko katika mafungu matatu" Mwisho wa kunukuu. ulioitishwa na Rais mtaafuKataaibil-Jihaadi' wa serekali ya mapinduzi ya 182-183. Zanzibar Dr. Salmin Amour Juma Tazama kitabu 'Quduumu ukurasa wa kule Unguja? Mjadala huo uliofanyika baina ya waislamu wa madhehebu ya Ahlu Sunna wal-Jamaa na Masufi wa madhehebu ya Ash'ariyya. Maneno haya yanaonyesha wazi kwamba tuhuma za Sheikh Ar-Raajihiy kwa Sheikh wa Mwisho mjadalaya uliofanyika mwaka katika huu huko shamba Kiibadhi ninakukumbusha ni kuzidhoofisha baadhi Hadithi zilizomo Sahihi mbili ya na Kizimkazisi zote. Na Kusini Unguja baina ya wafuasi wa madhehebu ya Salaf Swaalih (Ahlu Sunna wal-Jamaa) kwa ushahidi wa hilo tazama maneno tuliyapigia mistari hapo juu, utaona neno 'Baadhi'. na watetezi wa bid'a ya maulidi wakiiwakilisha Afisi ya Mufti wa Zanzibar. Na mjadala Bila shaka mtu akisema baadhi, inaeleweka anakusudia nini? huo haukuwa wakubahatisha na kukurupuka, bali ulipangwa kwa taratibu za kiofisi na
119 19 103

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Na ama nukta nyingine aliyoing'ang'ania Al-Qannubi hadi kufikia kumtukana Sheikh ArRaajihiy, kwa sababu ya kauli yake aliposema: kuzidhoofisha Hadithi zote". MAJIBU YETU Majibu yetu yatakuwa katika nukta mbili: Nukta ya kwanza: Makusudio ya Sheikh Ar-Raajihiy aliposema; Hadithi zote, ni zote katika hizi alizozitaja na sio zote katika Sahihi mbili, kwa sababu Al-Qannubi hakuzitaja Hadithi zote zilizomo katika Sahihi mbili. Lakini kutokana na ufahamu mbaya wa Muibadhi huyu na uchafu wa nia yake, akamuelewa vibaya Sheikh Ar-Raajihiy, akasema haya yafuatayo kwa ujeuri na lugha ya ufedhuli: Na huu ni uongo wenye pembe za kondoo; na ubainifu wa hayo ni kuwa mimi sikusema wala sikumnukuu mtu mwengine (akisema) kwamba Hadithi zote za Sahihaini (Al-Bukhari na Muslim) ni dhaifu na kwamba wapokezi wake wote ni dhaifu; bali nilichokisema na kuwanukuu wengine vile vile ni kuwa "Miongoni mwa Hadithi za Sahihain ziko Hadithi dhaifu na kwamba baadhi ya wapokezi wake wamedhoofishwa na baadhi ya Maulamaa. Mwisho wa kunukuu. Tazama At-Twuufan Al-Jaarif juzuu ya 3 ukurasa wa 47. Na nimeinukuu tarjama hii kwa herufi zake kutoka katika kitabu 'Fimbo ya Musa' ukurasa wa 460. Hakuna uongo hapo ewe Sheikh wa Makhawaariji! Hata Sheikh Ar-Raajihiy hakusema kwamba wewe umesema au umemnukuu mwanachuoni anayesema kuwa; Hadithi zote zilizomo katika Sahiihaini ni dhaifu, kwa hiyo hakuna sababu ya kumtaja Kondoo wala Mapembe yake. Ama kauli ya Sheikh Ar-Raajihiy aliposema: "Sisi hatuafikiani na yeye katika kuzidhoofisha Hadithi zote" hapa Sheikh Ar-Raajihiy hakukosea, kwa sababu AlQannubi amethibitisha wazi wazi kwamba katika Sahiihaini kuna Hadithi nyingi dhaifu na nyingine ni za kutunga: , , ) : . ( , . , . 1415 .47 "Na atakayetazama Hadithi zilizomo katika (vitabu vya) Masheikh wawili (Bukhari na Muslimu) kwa jicho la uadilifu, itambainikia kwa uwazi kwamba ndani yake kuna Hadithi nyingi dhaifu bali hata za kutunga.
120 104

"Sisi hatuafikiani na yeye katika

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Hadithi ambazo akili inashuhudia kutungwa kwake na hata maandiko yaliyonukuliwa kwa njia ambazo ni Mutawaatiri (pia yanashuhudia hilo). Na wamelikiri hilo wanaume katika wanachuoni wa Tafsiri, Hadithi, Fiqhi na Usuuli, chukua baadhi ya maneno waliyoyasema kuhusu hilo. Mwisho wa kunukuu. Tazama As-Saiful-Haadi ukurasa wa 47. Bila shaka, kauli hii aliyoitoa Al-Qannubi ni hukumu tosha juu ya Hadithi zilizomo katika Sahihi mbili, kwa hiyo hakuna sababu ya yeye kukataa na kudai kwamba yeye hakuzidhoofisha za Bukharin a Muslimu, kwa sababu kauli yake hii inamfunga: "Na atakayetazama Hadithi zilizomo katika (vitabu vya) Masheikh wawili (Bukhari na Muslimu) kwa jicho la uadilifu, itambainikia kwa uwazi kwamba ndani yake kuna Hadithi nyingi dhaifu bali hata za kutunga." Kwa hiyo, Sheikh Ar-Raajihiy aliposema: "Sisi hatuafikiani na yeye katika kuzidhoofisha Hadithi zote" hakuzungumza kwa dhana, wala hakumzulia Al-Qannubi kama anavyodai Juma. Katika juhudi za ndugu Juma Mazrui kumsaidia Sheikh wake, akaandika kwa lugha iliyojaa utovu wa adabu dhidi ya Sheikh Ar-Raajihiy: Tazama Sheikh wa Kiwahabi, Al-Rajihi, anavyowafanya watu wadhanie kuwa AlQannubi kazidhoofisha Hadithi hizo alizozinukuu kutoka kwa Maulamaa wengine, wakati Al-Qannubi hapa alikuwa anataja baadhi ya Hadithi za AlBukhari na Muslim ambazo wanavyuoni wengine wamezidhoofisha ili kujibu dai la baadhi ya Mawahabi kwamba "Umma umekubaliana juu ya usahihi wa Hadithi zote za Al-Bukhari na Muslim", wala si kwamba yeye Al-Qannubi kakubaliana nao Maulamaa hao juu ya udhaifu wa Hadithi zote hizo alizozinukuu, na kwa hivyo Al-Qannubi kasema kwa uwazi: "Na hizi ni baadhi ya Hadithi ambazo baadhi ya wanavyuoni wamezipinga nazo zimo katika Sahihain (Al-Bukhari na Muslim) au moja yao, ukiachilia mbali rai yetu sisi katika (Hadithi) hizo." Mwisho wa kunukuu. Tazama fimbo ya Musa ukurasa wa 461. MAJIBU YETU Kitendo cha Sheikh wako Al-Qannubi kuuanza mlango huu kwa kusema; Na atakayetazama Hadithi zilizomo katika (vitabu vya) masheikh wawili (Bukhari na Muslimu) kwa jicho la uadilifu, itambainikia kwa uwazi kwamba ndani yake kuna Hadithi nyingi dhaifu, bali hata za kutunga. Kisha akazitaja baadhi ya Hadithi hizo akiwanukuu wanachuoni, ni ushahidi wa kutosha juu ya kwamba na yeye amekubaliana na kauli hizo hata kama hakubaliani na wao

121 105

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

kwenye hukumu zao juu ya baadhi ya Hadithi. Kwa hiyo, hakuna ghushi hapo wala uongo. Ama madai yake kijana huyu wa ki-Ibadhi kwamba; wanaosema kuwa Umma umekubaliana juu ya usahihi wa Hadithi zilizomo katika Sahihi mbili ni Mawahabi, pale aliposema: ili kujibu dai la baadhi ya Mawahabi kwamba "Umma umekubaliana juu ya usahihi wa Hadithi zote za Al-Bukhari na Muslim. Hii ndiyo ghushi yenyewe, kwa sababu kauli hii inajenga dhana kwa wasiojua mambo ya kielimu kuwa hiyo ni kauli ya hao Mawahabi peke yao na hali huo ndio msimamo wa Jumhuuri (wengi) katika Wanachuoni wa Ahlu Sunna wal-Jamaa na baadhi yao wamefikia kusema kuwa msimamo huo ni kwa Ijmaa (maafikianao) ya Maulaamaa. Na nukuu nilizozitaja huko nyuma zinatosha katika kuitia nguvu hii kauli yangu. Wanachuoni wengi wa Ahlu Sunna wamelisema wazi jambo hili, lakini kwa kuwa Wazushi wamedhamiria kuibomoa itikadi ya Ahlu Sunna wal-Jamaa, wakaivisha itikadi hiyo vazi la Uwahabi, ili wapate wepesi wa kutimiza dhamira zao chafu. MATUSI YA AL-QANNUBI MWANACHUONI WA KIIBADHI Baada ya kukutajia makosa ya Sheikh huyu wa Khawariji Said Al-Qannubi kinachofuatia ni kukutajia baadhi ya matusi yake aliyotukana katika kitabu chake kimoja tu chenye kurasa chache. Inafahamika tangu hapo zamani kuwa watu wa bid'a kazi yao ni kuwatukana na kuwakashifu Ahlu Sunna wal-Jamaa na hiyo ndiyo alama yao kubwa kama tunavyosimuliwa na Wanachuoni wetu wakubwa wa zamani na wa sasa. Wanatwambia kwamba; Alama kubwa ya watu wa bid'a ni kuwatukana Ahlu Sunna na kuwabeza kwa majina mabaya. Sasa hebu msikilize huyo Imamu wa Kiibadhi na mwanachuoni wao ambaye haifai kumfananisha na kiumbe yeyote kwa elimu, Bwana Said Mabruk Al-Qannubi uone namna anavyotoa mijitusi. Kauli zote hizi chafu na matusi ya kihuni tumeyanukuu kutoka kwenye hicho kitabu chake kimoja tu tunachokishughulikia katika mlango huu, kiitwacho As-Saiful-Haadi, kitabu chenye kurasa 116 tu!!!! Na haya yafuatayo ni baadhi ya matusi yake machache anayowatukana Waislamu wenzake tena Wanazuoni wakubwa! Katika ukurasa wa 11 peke yake ametoa matusi zaidi ya matano!
122 106

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Tusi lake la kwanza na la pili; ni pale alipowaita waislamu wenzake wa madhehebu ya Ahlu Sunna wal-Jamaa kwamba ni: ( Madhalimu, Wenye kumkana Mungu)! Tusi lake la tatu, ni pale alipowaita Ahlu Sunna kuwa ni Wendawazimu! Tusi lake la nne; ni pale alipowaita Ahlu sunna kuwa ni Watu waliolaaniwa! Tusi la tano; ni pale alipowaita Ahlu Sunna kuwa Hashawiyyah na tusi hili amelikariri zaidi ya mara kumi, tazama ukurasa wa 12, 23, 24, 29, 34, 94, 100, 104. Na katika ukurasa wa 82 peke yake amemtukana Abdur-Rahim At-Twahani kwa matusi manne, kisha akamalizia kwa kumuombea dua mbaya! Anasema Al-Qannubi: ( Hashawiy, Muovu, Muongo, Mzushi na Allah ampe hizaya)! Kwa ujumla hayo, ni matusi tisa. Tusi lake la kumi: liko katika ukurasa wa 23, alipomuita Imamu Ibn Al-Qayyim kuwa ni Mal'uuni ( Mtu aliyelaaniwa)! Tusi la kumi na moja na kumi na mbili: liko katika ukurasa wa 13, alipomuita Imamu Abu Is'haq Al-Ansaariy kuwa ni: (Mujassim tena Khabithi)! Tusi lake la kumi na tatu: liko katika ukurasa wa 26 alipomnukuu Ibn Al-Qushairiy alipokuwa akiwatukana Waislamu wa madhehebu ya Ahlu Sunna: 26 ( )

"Na watu hawa (Ahlu Sunna wanaowaita Mawahabi) naapa kwa Yule ambaye roho zetu zimo katika mikono yake-: Wana madhara zaidi kwa Uislamu kuliko Mayahudi, Wakristo, Majusi (wenye kuabudu moto) na kuliko wenye kuabudu Mizimu." Mwisho wa kunukuu. Tusi lake la kumi na nne: liko katika ukurasa wa 105, alipomtukana Sheikhul-Islaami Ibn Taymiyyah, kwa kumnukuu Ahmad Al-Ghumaari, amesema kuhusu Ibn Taymiyyah: ) (( Imamu wa kila mpotevu, mwenye kuwapoteza waliokuja baada yake). Tusi lake la kumi na tano na kumi na sita: Amemtukana tena Sheikhul-Islami Ibn Taymiyyah alipomuita kuwa ni: (" ) Kiongozi wa wapotevu na Sheikh wa watu waovu". Tusi lake la kumi na saba hadi ishirini na moja: liko katika ukurasa wa 103, akinukuu matusi kutoka kwa As-Subkiy akimtukana Sheikhul-Islami Ibn Taymiyyah kuwa ni: )

( Mzushi, Mpotevu, mwenye kupoteza, Mjinga, na ni mtu aliyevuka mipaka." Tusi la ishirini na mbili hadi ishirini na nane; liko katika ukurasa wa 105, alipomtukana Abul-Izzi Ibn Kaadish:
123 107

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

"Muongo, Amechanganyikiwa, Hashawiy, Mushabbih, Mujassim, Mpotevu ma Mwenye kupoteza (watu)." Hayo ni matusi machache kati ya matusi mengi aliyoyajaza Sheikh wa Kiibadhi Said AlQannubi kwenye kitabu chake kimoja tu. Kuna matusi mengine mengi nimeyaacha kwa lengo la kufupisha. Ndugu Juma! Kama magunia yako hayakujaa je, Makapu nayo pia bado? Nadhani ndugu msomaji umejionea mwenyewe namna Sheikh wa Kiibadhi alivyojaza makosa ya wazi na matusi katika kitabu hiki kimoja tu chenye kurasa chache. Eti mtu kama huyo ni wakumlinganisha na Mwanachuoni mkubwa, Muhaddithi wa zama hizi Muhammad Naasirud-Diin Al-Albani! Maajabu ya dunia haya. Lakini ukweli ni kama alivyosema Mshairi mmoja: ... ... ... Sasa hebu linganisha baina ya maneno haya ya Sheikh huyu wa ki-Ibadhi na maneno niliyoyasema mimi ambayo ndugu Juma ameyapigia kelele. Mimi nilisema hivi: "Haya ndugu msomaji ni machache kati ya mengi ya uongo yaliyojaa kwenye vitabu vya makhawarij (maibadhi) wa zama hizi, mpaka Mufti wao pia asema uongo! Na inaonekana kuwa Juma hasomi vitabu kwa kuhakiki mambo, bali yeye ananukuu kiupofu kutoka katika vitabu vya masheikh zake, Khalili na Qannubi."Tazama kitabu chetu 'Hoja zenye Nguvu' ukurasa wa 86. Baada ya mimi kusema hayo, Juma akalalamika sana, hadi akafikia kusema: "Hayo ndio matusi ya Kasim Mafuta, nayo si ajabu kwa mtu aliyekulia katika vitabu vya matusi na uwongo kama hivi tunavyovinukuu hapa na akatiwa kasumba katika vyuo vya kusoma matusi, na akapandikizwa chuki na kupewa mafunzo ya kuwatukana Waislamu! Je itakuaje tabia ya mtu kama huyu, na je nini hali yake huko twendako? " tazama 'Fimbo ya Musa' Ukurasa wa 296-297. Pia akasema tena katika ukurasa wa 195-197: Lakini mwenzetu umekwenda kukaa na Mashekhe wa Suudia na Mawahabi wa Yemen, Sunna ya kweli utaipata wapi? Utayoipata huko ni Sunna ya kutukana watu na kuwakafirisha kama kitabu chako kinavyojishuhudisha chenyewe! Nadhani maneno haya hayahitajii majibu. Wallaahu A'lam!!! Je, kwa mtu kama huyu ambaye vitabu vya Maulamaa wao vimejaa lugha chafu za matusi ana haki ya kusema maneno haya? Pengine Juma anaweza kutupa ushahidi unaowaruhusu wao na Masheikh zao kutukana, lakini kwa wengine ndiyo haramu!

( )

124 108

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Mtu huyu anayelalamika hivi na kuwatuhumu Wanachuoni wengine, Sheikh wake ndiye anayewatukana Waislamu kwa kuwaita: Makhabithi, Vichaa, Wazushi, Wapotevu, Wajinga, Maluuni, Watu hatari kwenye Uislamu kuliko Mayahudi!!! Je, kwenye kitabu kama hiki (As-Sayful-Haadi) unatarajia msomaji anayetaka kujifunza adabu za kuzungumza na kuandika katika mambo ya kielimu, atafaidika? Au utajifunza Uhuni na Kutukana watu? Basi usishangae kuona vitabu vya Juma mazrui vimejaa matusi, hivyo ndivyo alivyojifunza kutoka Masheikh zake kina Al-Qannubi. Bila shaka, mpaka hapa Makapu ya Juma yatakuwa yameshajaa. !!! Na Allah ndiye mwenye kuongoza kwenye njia ya sawa!!!

125 109

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

SURA YA TANO

BAINA AHLU SUNNA NA KHAWAARIJ (IBADHI)

NI NANI ANAYEWAKUFURISHA WAISLAMU BILA YA HATIA?

126 110

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

SURA YA TANO
NI NANI ANAYEWAKUFURISHA WAISLAMU BILA YA HATIA? Kutokana na tabia za Wazushi za kukithirisha tuhuma dhidi ya Ahlu Sunna wal-Jamaa na kudai kwamba Ahlu Sunna wanawakufurisha waislamu wenzao bila ya hatia yoyote nimeona ni vizuri tulitazame suala hili kwa undani zaidi badala ya kutumia lugha za jazba na hamasa. Kwa sababu lengo kuu la wazushi hao katika kuieneza tuhuma hii ni kuwachafua Ahlu Sunna wal-Jamaa. Na ninaamini kwa kufanya hivyo utabainikiwa na hali halisi na ndipo utakapomjua ni nani mkufurishaji asiyechunga mipaka ya sheria ya dini yetu. MSIMAMO WA AHLU SUNNA WAL-JAMAA KUHUSU KUMKUFURISHA MUISLAMU BILA YA HATIA YOYOTE Madhehebu yetu ya Ahlu Sunna wal-Jamaa ni madhehebu ya uadilifu yaliyosimama katika hali ya 'Wasatwiyya' (ukatikati) katika misimamo yake, kama tulivyofundishwa na kitabu cha Allah (Qur-ani) na Sunna sahihi za Bwana Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam. Ahlu Sunna wal-Jamaa hawamkufurishi Muislamu yeyote bila ya hatia, na kama hakuna budi ila kumkufurisha, basi ni kwa kuchunga vigezo vya kisheria, kwa sababu Uislamu si kama kabila; kwamba mtu anaweza kutenda jambo lenye kumkufurisha na kumtoa katika Uislamu lakini asitoke, eti kwa sababu ametamka Shahada mbili, au kwa sababu amezaliwa katika Uislamu, laa hasha. Bali mtu atahukumiwa kwa mujibu wa nia yake, vitendo vyake na kauli zake. Ahlu Sunna hawamkufurishi Muislamu yeyote ambaye umethibiti Uislamu wake kwa yakini isipokuwa akifanya jambo la kumtoa katika Uislamu kwa kuzizingatia hali hizi tatu: i. ii. Ni lazima awe amekusudia kulitenda jambo hilo la ukafiri. Na kama amelitenda kwa bahati mbaya bila ya kukusudia hatahukumiwa kuwa ni kafiri. Ni lazima alitende jambo hilo kwa hiyari yake, lakini kama ameshikwa nguvu na kulazimishwa kutenda jambo la ukafiri na hali yakuwa moyo wake umetulizana juu ya imani, kwa maana ya kwamba hayuko radhi na ukafiri huo, hatahukumiwa kuwa ni kafiri. iii. Halikadhalika mwenye kutenda jambo la ukafiri kwa kutokujua kwa kuwa ni mtu Jaahili, hatakufurishwa.

127 111

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Masharti haya matatu yakitimia kwa mwenye kutenda/kutamka jambo la ukafiri, hakuna kizuizi tena kitakachomzuia mtu huyo kuhukumiwa kuwa ni kafiri. Halikadhalika, kwa mujibu wa misingi ya Ahlu Sunna wal-Jamaa hawamkufurishi muislamu kwa sababu ya kutenda dhambi kubwa ambazo hazijafikia kiwango cha kumtoa mtu katika uislamu, kama vile; Kuiba, Kusengenya, Kuzini, Kunywa Pombe n.k. Na kama muislamu atafanya dhambi yoyote kati ya hizo tulizozitaja na nyingine ambazo hatukuzitaja, dhambi ambazo hazijafikia kiwango cha shirki na kumtoa katika Uislamu, kisha muislamu huyo akafa akiwa bado ana dhambi hizo bila ya kutubu kwa Mola wake, mtu huyo atakuwa katika Utashi wa Allah, akitaka Allah atamsamehe na akitaka atamuadhibu kwa kadiri ya madhambi yake, kisha hatima yake ni Peponi. Na kitendo cha kumkufurisha muislamu bila ya hatia yoyote, ni katika bid'a mbaya, na ni makosa makubwa kwa mujibu wa mafundisho ya Mtume wetu swalla llaahu alayhi waalihi wasallam. Amesema Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam: . "Mtu akimkufurisha ndugu yake (muislamu) basi amestahiki hilo mmoja wao". Maana ya Hadithi: Wametofautiana wanachuoni kuhusu maana ya maneno haya; wako waliosema: Mtu akimwambia muislamu mwenzake: wewe ni kafiri! Ima atakuwa huyo aliyeambiwa ni kafiri kweli, au kafiri atakuwa ni huyu aliyesema. Na wako waliosema kwamba huyu aliyetamka hayo hatakufuru, bali atabeba dhambi za kumkufurisha mwenzake. Na Allah ndiye mjuzi zaidi. Imepokewa kutoka kwa Abu Qilaabah kwamba Thabit Ibn Dhahaak ambaye alikuwa ni miongoni mwa Maswahaba waliohudhuria chini ya mti kwa ajili ya kutoa Bai'a (kiapo cha utiifu) kwa Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam, amesimulia kwamba Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam amesema: { ...} "Atakayeiua nafsi yake kwa kitu chochote hapa duniani ataadhibiwa nacho (kitu hicho) siku ya Qiyama, na atakayemlaani muumini ni sawa na kuwa amemuua na atakayemtuhumu muumini kwa ukafiri pia ni sawa na kuwa amemuua 46."
45F

46

- Tazama Sahihi Bukhari hadithi nambari 6047 na Sahihi Muslim hadithi nambari 316. 128 112

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Huo ndio msimamo wetu sisi Ahlu Sunna wal-Jamaa. Na vitabu vya wanavyuoni wetu kama Imamu Malik, Imamu Shaafiy, Imamu Ahmad, Ibn Taymiyya, Ibnul-Qayyim, Muhammad Ibn Abdul-Wahaabi, Ibn Baz na wengineo vimejaa kauli hizo.

129 113

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

UONGO NA GHUSHI ZA KIJANA WA KIIBADHI KHALFAN S. TIWANI (KUHUSU ATAKAYESEMA QUR-ANI NI KIUMBE AMEKUFURU)
Kama tulivyotangulia kusema hapo nyuma kwamba msimamo wa Ahlu Sunna wal-Jamaa ni msimamo wa 'Wasatwiyya' (ukatikati) na hawamkufurishi Muislamu yeyote bila ya hatia, na jambo hili ni maarufu kwao tangu hapo zamani. Lakini pia tukubaliane kuwa kuna mambo ambayo wameafikiana wanavyuoni wa Ahlu Sunna kuwa atakayeyafanya au kuyaitakidi atakuwa amekufuru. Miongoni mwa mambo hayo ni kusema kuwa; Qur-ani ni kiumbe. Wameafikiana wanachuoni wote wa Ahlu Sunna juu ya ukafiri wa atakayesema hivyo. Na huo si msimamo wa ki-Wahabi tu kama wanavyodai Wazushi wa ki-Khawaariji. Lakini kwa kuwa lengo lao ni kuiangusha itikadi ya Ahlu Sunna wal-Jamaa, wakaivisha itikadi hii kwa jina la Uwahabi ili wapate wepesi kwenye kazi hiyo. Wakati nilipokuwa niko katika hatua za mwisho kabisa za maandalizi ya kitabu hiki, nilibahatika kupata chapa ya kijitabu cha kijana wa KIIBADHI aitwaye Khalfan S. Tiwani, alichokiita "Ansaari-Sunna vituko na vitakuro"!!! Kitabu kilichojaa vituko, vitakuro na vibweka! Kitabu hiki kimechapishwa kwa chapa ya kifahari, lakini masikini mali za Waislamu zinapotea bure kwa kuchapishwa vitabu kama hivi ambavyo havina faida yoyote kwa Waislamu! Sisemi kuwa hakina faida kwa sababu amewagusa watu fulani na fulani, bali ni kutokana na yale aliyoyajaza humo. Kitabu kimejaa uongo, ghushi, maneno ya kihuni, ukosefu wa adabu, Picha za watu, Paka, Gari la wagonjwa, Matango na vikorokoro vingi!!! Amesema Khalfan Tiwani chini ya kichwa cha habari kisemacho: "SOMO LA NNE KUHUSU MAWAHABI" katika ukurasa wa 41-42: "KUKAFIRISHA WAISLAMU: MAWAHABI kazi yao kubwa ni KUKAFIRISHA waislamu wenzao. Hata hivyo wakipata wasomaji au wasikilizaji mbumbumbu basi hili wanalikanusha vikali, bali hujitia hamnazo wakadai kuwa KUKAFIRISHA waislamu si katika mwenendo wa (SALAF)! Ndugu yangu mpenzi! Mimi nataka nikuokoe kwa kukuonesha unyemela na undumil-kuwili wa watu hawa MAWAHABI, sasa kwa nini tuandikie mate na wino upo!" Hapa sina la kusema zaidi ya kukwambia; ishike kauli yake aliposema; MAWAHABI kazi yao kubwa ni KUKAFIRISHA waislamu wenzao
130 114

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Kisha huko mbele utawajua hao Mawahabi anaowakusudia ni kina nani na wanawakufurisha Waislamu katika lipi? Baada ya maelezo hayo akatoa baadhi ya mifano ili kuipa nguvu hoja yake, miongoni mwa mifano yake inayothibitisha kuwa hao Mawahabi kazi yao ni KUKUFURISHA Waislamu wenzao akasema akasema katika ukurasa wa 43: "Si unaona mwenyeo kitivii kabisa! Wanaokafirishwa ni Ahli-suna ni mashafii, mahanafi, mamaliki na wengine wote wanaopinga kuwa Allah yuko mbinguni! AHMED bin HANBAL akiwakafirisha wanaosema kuwa QUR-ANI imeumbwa au hata wale wanaosema kuwa: MATAMSHI YANGU YA KUSOMEA QUR-ANI YAMEUMBWA hawakusalimika! Kwa maana hiyo akiwakafirisha WAISLAMU WA KIIBADHI, MU'UTAZILA na hata baadhi ya maulamaa wa kisuni kama vile: AL-KARAABISIY, IMAMU MUSLIM mwanafunzi wa BUKHARIY, IMAMU BUKHARII mwenyewe...." Kisha akasema: Hapa tunukuu ushahidi tusijetukaambiwa kuwa tunamzulia, anasema AHMED bin HANBAL: (( )) "Anayesema kuwa Qur-ani imeumbwa basi huyo kwetu ni KAFIRI"!! Mwisho wa kunukuu. Muhtasari wa maneno ya kijana mwenzetu: Maudhui ya Khalfani katika sehemu hii ni kuwazungumzia Mawahabi na Masheikh zao wenye tabia ya kuwakufurisha Waislamu wenzao bila ya hatia. Na miongoni mwa wanachuoni wa ki-Wahabi wenye tabia hiyo ni Imamu Ahmad Ibn Muhammad Ibn Hanbal, mmoja kati ya Maimamu wakubwa wa Ahu Sunna! Imamu Ahmad Ibn Hanbal amewakufurisha Waislamu wanaosema kuwa Qur-ani imeumbwa na hata wale wanaosema; Matamshi yangu ya kusomea Qur-ani yameumbwa pia nao amewakufurisha! Na miongoni mwa hao waliokufurishwa ni baadhi ya maulamaa wa kisuni kama Imamu Bukhari na mwanafunzi wake Imamu Muslim. MAJIBU YETU Kwanza, ninaanza kwa kusema wazi kuwa; maneno ya Khalfani yamejaa uongo na ghushi. Kwa kuwa tayari mmeshatoa hukumu ya kwamba Mawahabi si katika Ahlu Sunna, kwa hiyo unapomuhesabu Imamu Ahmad Ibn Hanbali katika orodha ya Wanachuoni wa ki-Wahabi, moja kwa moja umeshasema kuwa Imamu Ahmad Ibn Hanbali si katika Maimamu wa Ahlu Sunna wal-Jamaa. Na huo ni uongo wa wazi wazi. Muulize muislamu yeyote kuhusu idadi ya madhehebu za Ahli Sunna na Maimamu wao,
131 115

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

atakwambia madhehebu zao ni nne na Maimamu wao ni Abu Hanifa, Maalik, Shaafiy na Ahmad Ibn Hanbali. Na kama utakubali kuwa Imamu Ahmad ni katika wanachuoni wa Ahlu Sunna walJamaa, kwa nini uzichukulie kauli zake ni kauli za ki-Wahabi badala ya kuzihesabu ni moja kati ya kauli za wanachuoni wa Ahlu Sunna wal-Jamaa? Pili, umefanya ghushi ulipoinasibisha kauli ya kumkufurisha anayesema kuwa Qur-ani imeumbwa kwa Imamu Ahmad Ibn Hanbali peke yake, kwa sababu msomaji asiyejua anaposoma kitabu chako kilichojaa vituko na vitakuro anafahamu kuwa kauli hiyo ni kauli Imamu Ahmad peke yake. Lau kama ungekuwa mtu mkweli, na mwadilifu unayetaka kuibanisha haki, ungesema japo kwa ishara kwamba hiyo ndiyo kauli ya Jumhuuri ya Wanachuoni wa Ahlu Sunna wal-Jamaa. Lakini kwa kuwa ukisema hivyo lengo lako la kuwatukana mahasimu zako (Mawahabi) halitatimia, ndipo ukaamua kunyamazia! Uadilifu ni kitu kizito sana na kinahitaji ucha-Mungu. Ukitaka kujua ghushi za kijana huyu wa ki-Ibadhi pamoja na kilemba chake kikubwa alichovaa, hebu msikilize Imamu Shaafiy na wanafunzi wake wakubwa kama vile; Imamu Al-Muzaniy, Imamu Rabii' Ibn Suleiman Al-Muraadiy,na Imamu Al-Buweytwiy wanavyosema kuhusu mtu anayesema kuwa Qur-ani ni kiumbe. Amesema Imamu Abu Nua'im katika kitabu chake Al-Hilya, juz 9 ukurasa wa 113 kwa sanadi yake: "Nimemsikia Rabii' anasema nimemsikia Shaafiy anasema: ATAKAYESEMA QUR-ANI IMEUMBWA BASI HUYO NI KAFIRI"!!! Anasema Harmala Ibn Yahya: tulikuwa mbele ya Muhammad Ibn Idrisa As-Shaafiy, akasema Hafsu Al-Fardu: Qur-ani imeumbwa! Shaafiy akamwambia: UMEMKUFURU ALLAH ALIYEMKUBWA! Na kauli kama hiyo ameinukuu mwanafunzi wake Rabii' Ibn Suleiman kutoka kwa Imamu Shaafiy. Amesema mwanachuoni mkubwa katika madhehebu ya Shaafiy, naye ni Abu Is'haaq AlIsfarayiiniy: : [35 ]

"Madhehebu yangu na madhehebu ya Shaafiy na Wanachuoni wa miji yote ni kwamba Qur-ani ni maneno ya Allah hayakuumbwa. Na atakayesema yameumbwa huyo ni KAFIRI. 47" Ukivirejea vitabu tulivyokunukulia hapo chini, utakutana kauli nyingi za Maimamu mbalimbali wa Ahlu Sunna zitakazokuthibitishia kuwa huu ndio msimamo wa Ahlu Sunna wal-Jamaa na sio msimamo wa Mawahabi tu kama alivyokusudia kuwadanganya watu kijana huyu wa ki-Ibadhi.
46F

MSIMAMO WA IMAMU AL-BUKHARI KUHUSU


- Tazama Sharhu ya As'faahaniyya ukurasa wa 35. Na kwa faida zaidi, tazama vitabu vifuatavyo: Al-Asmaau wa As-Swifaatu cha Imamu Al-Baihaiqiy ambaye ni Mshaafiy, ukurasa wa 278-279. Sharhu Usuuli I'tiqaadi Ahli Sunna, kitabu cha mwanachuoni mkubwa katika madhehebu ya Shaafi, katika juzuu ya 1 ukurasa wa 209 hadi ukurasa wa 213.
47

132 116

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

KUUMBWA KWA QUR-ANI Je, ni upi msimamo wa Imamu Bukhari kuhusu Qur-ani na wenye kusema kuwa Qur-ani imeumbwa? Amesema mmoja kati ya wapokezi wa kitabu cha Imamu Al-Bukhari (Yusuf AlFirab'riyyu): ) ( : : "Nimemsikia Al-Bukhari anasema: Qur-ani ni maneno ya Allah hayakuumbwa, na atakayesema yameumbwa huyo ni KAFIRI." Tazama Siyaru A'laamin-Nubali juz 12 ukurasa wa 451. Kwa hiyo msimamo wa Imamu Bukhari ndiyo msimamo wa Maulamaa wa Ahlu Sunna wote kwamba; Qur-ani ni maneno ya Allah na si kiumbe. Na atakayesema kuwa Qur-ani ni kiumbe huyo ni KAFIRI. Na haya ameyasema wazi katika kitabu chake "Khalqu Af'aalil-Ibaadi" na amekijaza kitabu hiki kauli za wanachuoni wa Ahlu Sunna zinazo wakufurisha wenye kusema kuwa Qur-ani ni kiumbe. Kwa hiyo mpaka hapo tutakuwa tumeshabainikiwa na hila pamoja na udanganyifu alioufanya Khalfani kijana wa ki-Ibadhi (Khawaariji) kwamba eti hiyo ni itikadi ya kiWahabi! Na miongoni mwa Mashekhe wao vigogo wanaowategemea ni AHMAD IBN HANBAL Lakini ndugu Khalfani Tiwani hakuishia katika kufanya ghushi hiyo tu, bali pia amesema uongo wa wazi wazi pale alipodai kuwa wanavyuoni wa ki-Wahabi wamemkufurisha Imamu Bukhari na mwanafunzi wake Imamu Muslim na wengineo katika wanachuoni wa kisuni, kwa sababu wanachuoni hao wa kisuni wanasema: MATAMSHI YANGU YA KUSOMEA QUR-ANI YAMEUMBWA!!! Pia kijana huyo amezungumza kwa lugha za utovu wa adabu dhidi ya Imamu Ahmad kwa kudai kuwa; eti Imamu Ahmad amewafanyia watu UGAIDI, halikadhalika ametumia siasa ya UGAIDI! Pia akajenga picha kwa wasomaji kwamba wanachuoni wa ki-Wahabi ndio waliomfukuza Imamu Bukhari kutoka Naisaaburi. Hebu yasome maneno ya kijana huyu ambayo yamekosa Baraka za kielimu katika ukurasa wa 48-49: "Jamaa kweli bwana! Wakamshughulikia! Akafukuzwa ki-mbwa kinguruwe kutoka NAISABUUR: Tokaa! Alianza sheikh wake MOHD ADDHUHULII.. Hivi kweli hizi ndizo lugha za kielimu? Kijana mwenzangu hakuishia hapo, aliendelea kusema kwa kuwaponda mahasimu zake kwa lugha za kihuni zilizojaa kejeli: "Aloo! Si unaona KITIVII au unasikia KIREDIO! Wao wanajitia KUINUSURU SUNNA au AHLU-SUNNA! Sasa kuandika mabarua na kuyaeneza mijini na vijijini kuwa watu wasipokee hadithi za BUKHARI ndio kunusuru suna au ni KUIDHURU SUNNA! ABU ZUR'AA na ABUU-HAATIM wakaacha hadithi za BUKHARI baada ya kupata BARUA ZA KUIDHURU SUNNA! Kisha ndugu yangu akamalizia kwa kusema kwa jazba na lugha yenye kinyaa: "Watu wote si MABWEGE, hebu sikiliza anayosema ADHAAHABIYY"
133 117

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Tazama kitabu chake Vituko na Vitakuro ukurasa wa 49. MAJIBU YETU Ewe ndugu Khalfani! Hapa unazungumzia masuala ya kielimu, kwa nini huyachuji matamshi yako, angalau yakafanana na watu wa elimu na yakatafutiana japo kidogo na wavuta bangi? Ni nani aliyekwambia kwamba kuna BWEGE hapo? Au unataka kutwambia kwamba ABUU-ZUR'A NA ABUU HAATIM ni Mabwege? Maana hakuna Mwanachuoni hata mmoja aliyetamka neno MABWEGE. Sasa wewe Khalfani umelitoa wapi neno hili? Au ndivyo unatuonyesha hivyo VITUKO VYAKO NA VITAKURO? YA KHALFANI HAYAPISHANI NA YA KAKA YAKE JUMA MAZRUI Baada ya kuvidurusu vitabu vya ndugu hawa wawili; Juma na Khalfani nikagundua kuwa akili zao zinafanana; ima kwa sababu ya kuwa ni watu wa madhehebu moja, au wamekulia katika mazingira mamoja, au inawezekana kuwa wanachukua habari zao kutoka chemchem moja, lakini pia si ajabu kuwa yote hayo yanawezekana. Pamoja na kwamba inaonekana kuwa Khalfani amesoma kidogo kuliko Juma, na hilo ni kutokana na nilivyovisoma baadhi ya vitabu vyake vya kiarabu, hata kama yaliyomo humo hayatofautiana sana na yaliyomo kwenye vitabu vyake vya Kiswahili, lakini lugha yake ina harufu ya kuwa amekaa chini akasoma na Allah ndiye anayejua zaidi -. Lakini inaonekana kuwa Juma ana maarifa zaidi na anajielewa kumshinda Khalfani. Nimesema kuwa akili zao zinafanana kutokana na namna jamaa hawa wanavyoafikiana katika mambo ambayo ni nadra kutokea kwa watu walio na akili na fikra tofauti. Kwa mfano; akisema uongo mmoja wao katika suala fulani, mara nyingi wa pili naye atausema uongo ule ule, tofauti inapatikana katika matamshi tu na mara nyingine hata matamshi yao pia yanafanana! Watu wakiafikiana katika kusema jambo la haki haishangazi sana, kwa sababu hiyo ndiyo asili, lakini ikitokea hali kama hii ya jamaa hawa kuafikiana katika uongo ni lazima tujiulize maswali; ni nani anayewafundisha uongo huu? Miongoni mwa mifano ya dhahiri yenye kuthibitisha haya ninayoyasema, ni pale aliposema Juma Mazrui katika ukurasa wa 312, baada ya kuinukuu hukumu ya Imamu Ahmad Ibn Hanbali kwa wale wanaosema kuwa Qur-ani ni kiumbe: "Tunasema: basi kwa maana hiyo, Al-Bukhari na wengine wengi watakuwa ni makafiri kwani Al-Bukhari naye ni miongoni mwa wenye kusema kuwa matamshi tunapoisoma Qur-ani ni kiumbe. Tazama hatari hii iliokuweko katika Umma huu! Na watu wenye kufuata kama bendera wakawa wanafuata tu! Sasa mtu kama AlBukhari akiwa ni kafiri nini kilichobakia tena ilhali ulimwengu mzima wa Kiislamu unamtegemea yeye katika masimulizi ya Hadithi za Mtume (s.a.w.)?" Mwisho wa kunukuu. Khalfani Tiwani naye amesema katika kitabu chake Vituko na Vitakuro ukurasa wa 44:

134 118

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

"AHMED bin HANBAL akiwakafirisha wanaosema kuwa QUR-ANI imeumbwa au hata wale wanaosema kuwa: MATAMSHI YANGU YA KUSOMEA QUR-ANI YAMEUMBWA hawakusalimika! Kwa maana hiyo akiwakafirisha WAISLAMU WA KIIBADHI, MU'UTAZILA na hata baadhi ya maulamaa wa kisuni kama vile: AL-KARAABISIY, IMAMU MUSLIM mwanafunzi wa BUKHARIY, IMAMU BUKHARII mwenyewe...." Unaona namna uongo wao unavyofanana? Huwenda ikawa mwalimu wao anayewafundisha uongo huu ni mmoja! Imamu Al-Bukhari hakusema maneno hayo. Maadui zake walimvumishia habari hizo za uzushi na zikapata soko kubwa mpaka zikawaathiri baadhi ya wanavyuoni. Na hatima yake ikatokea fitna kubwa baina ya Wanachuoni wa Ahlu Sunna hasa baina ya Imamu Al-Bukhari na Imamu Muhammad Ibn Yahya Ad-Dhuhliy, fitna hiyo ilipelekea Imamu Al-Bukhari kufukuzwa katika mji wa Naisaaburi. Lakini Imamu Al-Bukhari hakukaa kimya, bali aliwakadhibisha watu waliomzulia uongo huo na kuueneza katika miji. Na hii hapa ni miongoni mwa kauli zake. Anasema Imamu Muhammad Ibn Muhammad Al-Mar-waziy nilimsikia Muhammad Ibn Ismail Al-Bukhari anasema: . 457/12 277/1 ( . : ) "Anayedai kuwa mimi ninasema; matamshi yangu ya Qur-ani yameumbwa huyo ni KADHAAB (MUONGO)! Mimi sijasema hivyo." Tazama kitabu Twabaqaatul-Hanaabila juz 1 uk 277 na Siyaru A'laamin-Nubalai juzuu ya 12 uk 457. Pia amesema Imamu Ad-Dhahbiy katika kitabu chake Siyaru A'laamin-Nubalai, juz 12 uk 458: : : : : . (458/12) . : : "Amesema Abu Amri Al-Khaffaaf: nilimwendea Al-Bukhari na kujadiliana naye kuhusu kitu fulani katika Hadithi, uliporidhika moyo wake nikamwambia: Ewe Aba Abdillahi! Kuna mtu hapa anaelezea kutoka kwako kwamba wewe umesema; Maneno haya (matamshi yangu ya Qur-ani yameumbwa). Akasema: Ewe Aba Amri! Hifadhi ninayokwambia: atakayedai katika watu wa Naisaaburi, Quumas, Ar-Rayyi, Hamadhani, Baghdad, Kufa, Basra, Makka na Madina kwamba mimi ninasema; Matamshi yangu ya Qur-ani yameumbwa huyo, ni MUONGO. Mimi sikusema hivyo, isipokuwa nimesema; vitendo vya waja vimeumbwa." Tazama Siyaru A'laamin-Nubalai juz 12 ukurasa 458, Tarekh Bagh'dad juz 2 uk 32, Had'yu Saariy ukurasa wa 492.

135 119

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

JE, INAPOSEMWA; MWENYE KUFANYA KADHA NI KAFIRI, NI SAWA NA KUSEME FULANI NI KAFIRI? Wanavyuoni wa Ahlu Sunna wal-Jamaa wanatofautisha baina ya ibara hizi mbili. Unaposema; mwenye kufanya jambo fulani, au mwenye kusema jambo fulani amekufuru au ni kafiri, wanaiita hukmu hii kuwa ni, Hukmu ya ujumla. Wala hailazimu kumuhukumu nayo kila aliyelitenda au kulisema jambo hilo. Kwa mfano; ikisemwa; mwenye kusema Qur-ani imeumbwa huyo ni kafiri. Hukumu hii ni ya ujumla na hatakufurishwa mtu moja kwa moja kwa sababu ya kusema au kuitakidi hivyo, bali tunapotaka kuileta kwa mtu mmoja mmoja ni lazima tuzingatie vigezo vya kumkufurisha na hatutatosheka na kauli ya ujumla. Na wanavyuoni wanaposema; mtu fulani ni kafiri. Hukumu hii huitwa kuwa ni, Hukmu ya mtu maalumu, ni tofauti kabisa na Hukmu ya kwanza. Hukmu hii itazingatiwa kwa mtu huyo na atakuwa ni kafiri. Lakini yote hayo yatafanyika baada ya kutimia masharti ya kumkufurisha na kukosekana vizuizi. Na mfano wa wazi unaotofautisha suala hili, ni suala la kulaani. Kwa mujibu wa itikadi ya Ahlu Sunna, hairuhusiwi kumlaani mtu maalumu maadamu yuko hai hata kama ni kafiri. Kwa mfano, haifai kusema kwa kumwambia mtu; wewe John! Allah akulaani 48, au wewe mzinifu Allah akulaani. Kwa sababu hii ni hukumu kwa mtu maalumu. Lakini itafaa kusema; laana ya Allah iwe juu ya makafiri au Allah awalaani makafiri na hali ya kuwa huyo John ni katika hao makafiri. Pia itafaa kusema; Allah awalaani wazinifu, Allah awalaani wezi, walevi, madhalimu, wala riba n.k. na hukumu hii ni ya ujumla. Na ukisema hivi huambiwi umemlaani fulani mzinifu, au fulani mlevi n.k. kwa sababu ni Hukumu ya ujumla. Kwa hiyo wanachuoni wa Ahlu Sunna, kama vile Imamu Shaafiy na wanafunzi wake, Imamu Ahmad Ibn Hanbali na wanafunzi wake, Imamu Al-Bukhari na wengineo waliposema; mwenye kusema kuwa Qur-ani imeumbwa huyo ni kafiri, hapo wametoa hukumu ya ujumla, haimuhusu mtu mmoja mmoja. Kwa hiyo hawaambiwi kuwa wamewakufurisha waislamu wote wasiokuwa Ahlu Sunna. Haasha wakallaa!

Na suala hili amelifafanua Sheikhul-Islaami Ibn Taymiyya kwa kirefu katika sehemu mbali mbali kwenye vitabu vyake kwa kiasi ambacho mwenye kuzingatia habakiwi na

48 - Lakini itafaa kumuita asiyekuwa Muislamu kwa jina la ukafiri, kwa mfano unaweza kusema wewe John ni Kafiri, hata kama yuko hai.

136 120

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

utata, lakini kutokana na chuki walizonazo baadhi ya watu wa bid'a hawakutaka kumuelewa kwa makusudi. Katika sehemu hii nitaihitimisha kwa kunukuu kauli chache za Sheikhul-Islaam Ibn Taymiyya na kuzifafanua kidogo. Amesema Ibn Taymiyya: . ) : . . ..... . ( 231 / 3 ) ( .

"Kukufurisha ni miongoni mwa maonyo. Hata kama (mtu atatamka) kauli ya kuyakadhibisha maneno aliyoyasema Mtume (hatokufurishwa moja kwa moja) kwa sababu huwenda ikawa mtu huyo ni mgeni katika Uislamu, au ameishi mashambani mbali

na mji. Mfano wa mtu kama huyu hatakufuru kwa kukanusha anachokikanusha mpaka imsimamie hoja. Inawezekana akawa mtu huyo hakuyasikia maandiko au ameyasikia lakini hayakuthibiti kwake au kimemkinga yeye kipingamizi ambacho kimepelekea kufanya Ta'wiil, hata kama atakuwa amekosea (katika) Ta'wiil yake" Akayatilia nguvu maneno yake kwa kuutaja mfano wa mtu mmoja aliyewausia wanawe akifa wamchome moto ili Allah asiweze kumuadhibu! Kisha akasema Ibn Taymiyya: "Na huu ni ukafiri kwa maafikiano ya waislamu, lakini kwa sababu alikuwa mjinga hajui, na alikuwa muumini anayemuogopa Allah asimuadhibu, akasamehewa kwa hilo. Na mwenye kufanya Ta'wiil miongoni mwa watu wa Ij'tihaad, mwenye pupa ya kumfuata Mtume, huyo anastahiki zaidi kupata msamaha kuliko huyu." Maj'muu Fatawa 3/231. Sheikhul-Islaami anasema: Kumkufurisha mtu ni miongoni mwa hukumu za maonyo ya adhabu. Mtu anapotamka maneno ya ukafiri hatakufurishwa yeye mwenyewe kwanza ila baada ya kuzingatia baadhi ya hali zake. Kwa sababu inawezekana kuwa mtu huyo amesema hayo kwa kuwa ni:1. Mgeni katika uislamu. 2. Au amekulia mashambani, sehemu zilizo mbali na wanavyuoni, kwa hiyo hakupata wa kumuelimisha. Kwa hiyo hakujua kuwa maneno fulani au kitendo fulani ni katika vitu vinavyomtia mtu katika ukafiri. 3. Pia inawezekana kutokana na ujinga wake hakuwahi kusikia maandiko yenye kulikemea jambo hilo.

137 121

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

4. Pia inawezekana kuwa ameyasikia maandiko hayo, lakini kwa dhana yake akaona kuwa maneno hayo hayakuthibiti kutoka kwa Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam. 5. Au inawezekana ameyaona maandiko hayo na anaona kuwa yamethibiti lakini kwa Ij'tihada yake akaleta Ta'wiil ya makosa, akatafsiri tofauti na ilivyokusudiwa. Hali kama hizi zinazingatiwa kuwa ni nyudhuru za kisheria zinazomzuia mtu kumkufurisha muislamu mwenzake isipokuwa baada ya kumsimamishia hoja. Amesema tena Ibn Taymiyya: : ) : : : . .

- - ( 619 / 7 ) ( .. "Kauli inaweza ikawa ni ya Kufuru kama maneno ya Jahmiyya wanaosema kuwa Allah hasemi, wala hatoonekana Akhera, lakini inawezekana ikajificha (isijulikane) kwa baadhi ya watu kwamba ni kauli ya ukafiri. Itatolewa kauli ya kumkufurisha msemaji kama walivyosema Salaf: atakayesema Qur-ani imeumbwa huyo ni kafiri na atakayesema Allah hatoonekana Akhera huyo ni kafiri, lakini hatakufurishwa mtu maalumu (kwa dhati yake) mpaka imsimamie hoja kama ilivyotangulia. Kama vile mwenye kupinga uwajibu wa Swala, Zakaah, na akahalalisha Pombe na Zinaa na akafanya Ta'wiil. Kuwa wazi kwa hukumu hizo baina ya waislamu ni kukubwa zaidi kuliko kuwa wazi mambo haya. Ikiwa aliyefanya Ta'wiil akakosea katika hukumu hizo haukumiwi kwa ukafiri isipokuwa baada ya kumbainishia na kutakiwa kutubia kama Maswahaba walivyokifanyia kile kikundi cha wenye kuihalalisha Pombe- basi kwa wengineo ni bora zaidi (kutokukufurishwa)." Mwisho wa kunukuu. Tazama Majmuu Fatawa 7/617. Amesema tena katika kitabu chake Bughyatu Al-Murtadi ukurasa wa 353: (( .... ...)) "Lakini kuthibiti kumkufurisha mtu maalumu (kwa dhati yake), hilo limesimamishwa kwa kuthibiti hoja ambayo itamfanya akufurishwe mtu kwa kuiacha hata kama itasemwa kauli ya moja kwa moja ya kumkufurisha."

138 122

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Ama tabia ya kuwakufurisha waislamu bila ya hatia yoyote, hiyo ni tabia maarufu kwa watu wa bid'a tangu hapo kale. Na miongoni mwa makundi ya bid'a yaliyoshika bendera ya kukufurisha Waislamu bila hatia ni makundi haya yafuatayo:-

MAKUNDI YENYE TABIA YA KUWAKUFURISHA WAISLAMU BILA YA HATIA


KUNDI LA KWANZA NI SHIA (RAAFIDHA) Raafidhah (Shia) ndio viranja wa kuwakufurisha watu, wamewakufurisha watu wema waliotangulia miongoni mwa Maswahaba wa Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam, bali wamefikia hadi kumkufurisha Khalifa wa kwanza wa Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam Sayyidna Abu Bakar Siddiiq na Khalifa wa pili Sayyidna Umar Al-Faruuq na wengineo katika Maswahaba watukufu radhia llaahu an'hum. Miongoni mwa ushahidi wenye kutilia nguvu madai haya ni kauli za wanachuoni wao, miongoni mwao ni huyu Muhammad Baaqir Al-Majlisiy, yeye anasema haya yafuatayo: : 112 , 522 , [Abu Bakari na Umari ni makafiri wawili na atakayewapenda hao na yeye pia ni kafiri vile vile.] tazama kitabu Haqul-Yaqiin cha Al-Majlisiy ukurasa wa 522 na Kashful-Asraari cha Khomeiniy ukurasa wa 112. : , , , [ 47 - 43 [ ] 45 / Amesema tena Al-Majlisiy katika kitabu chake Jalaaul-Uyuuni ukurasa wa 45: [Hakuna nafasi kwa mwenye akili kuwa na shaka juu ya ukafiri wa Umari, laana za Allah na Mtume wake ziwe juu yake na juu ya kila anayemzingatia kuwa (Umari Ibn Khattabi) ni muislamu na laana imshukie kila anayejizuia na kumlaani (Umari).] Amesema Mshia Ni'matullaahi Al-Jazairiy katika kitabu chake Al-An'waaru AnNu'maaniyya, juzuu ya 1 ukurasa 81: ): . !(

139 123

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

[Wengi katika Maswahaba walikuwa katika unafiki, lakini moto wa unafiki wao ulikuwa umejificha katika zama zake (Mtume swalla llaahu alayihi wasallam), lakini alipofariki Mtume swalla llaahu alayhi wasallam waliudhihirisha moto wa unafiki wao kwa Wasii wake na wakarudi nyuma (wakakufuru). Na kwa sababu hii amesema (a.s.): waliritadi (walitoka kwenye uislamu) watu wote baada ya kufariki Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam isipokuwa watu wanne tu; Salmaan, Abu Dharri, Miqdaad na Ammaar na jambo hili ni katika mambo yasiyo na utata wowote ndani yake.] Anasema Murtadha Muhammad Al-Hasaniy An-Najafiy katika kitabu chake Sab'atun minas-Salafi, ukurasa wa 7: 7 . ( ): [Hakika Mtume alipewa mtihani wa kuwa na Maswahaba walioritadi (waliokufuru baada ya uislamu) baada ya kifo chake, wakatoka kuiacha dini isipokuwa wachache tu.] KUNDI LA PILI KHAWAARIJI (IBADHI) Kundi jingine lenye tabia chafu ya kuwakufurisha Waislamu bila ya hatia, ni kikundi kiovu cha Khawaariji, na miongoni mwa hao Khawaariji ni Ibadhi. Ibadhi wanawakufurisha, kuwatukana na kuwachukia baadhi ya Maswahaba wa Mtume Muhammad swalla llaahu alayhi waalihi wasallam na Waislamu wote kwa ujumla wasio kuwa katika madhehebu yao ya Ibadhi kama tutakavyonukuu kutoka kwenye vitabu vya wanachuoni wao wanaowategemea. Muislamu yeyote anayefanya madhambi makubwa kama; Kuiba, Kusengenya, Kuzini, Kunywa Pombe n.k., wanamuhukumu kwamba mtu huyo ni kafiri na hivyo ndivyo walivyofahamika Salaf (watangulizi) wao Khawaariji wa Nahrawaani tangu hapo zamani. Tofauti iliyopo baina ya Ibadhi na makundi mengine ya Khawaariji katika suala hili ni moja; Ibadhi wanajificha chini ya kivuli cha Ukafiri wa Neema. Wanasema Ibadhi: Muislamu akiiba, akisengenya, akizini, au akinywa Pombe au akifanya madhambi mengine mfano wa hayo, atakuwa amezikufuru neema za Allah. Kwa hiyo, hapa duniani atastahiki kupata haki zote za Kiislamu, akifa ataoshwa, atakafiniwa, ataswaliwa na atazikwa katika makaburi ya waislamu, lakini hukumu yake mbele ya Allah ni sawa sawa na Kafiri ambaye hakuwahi kuonja ladha ya Uislamu hata siku moja! Muislamu huyo aliyefanya dhambi kubwa bila ya kutubu ataingia motoni milele na hatatoka tena! Lau kama mambo yangeishia hapo, tungesema kwamba; Ibadhi wameshikilia msimamo huo kwa sababu ya kuzing'ang'ania baadhi ya Aya na Hadithi kimakosa, kwa hiyo wametatizwa na baadhi ya maandiko, hawakuyafahamu kama walivyofahamu Salaf
140 124

OLE WAKE KILA MZUSHI

][MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI

Swaalih (Maswahaba na Taabiina). Lakini jambo baya ambalo sisi linatufanya tuwalaumu na kuituhumu misimamo yao hiyo ni kitendo cha Wanachuoni wao cha kuwahukumu !Waislamu wote ambao si Ibadhi kuwa ni watu wa motoni sawa sawa na Makafiri FATAWA MBOVU ZA WANACHUONI WA KIIBADHI DHIDI YA WAISLAMU Kwa lengo la kukuthibitishia niliyoyaeleza hapo nyuma kuhusu msimamo mchafu wa Ibadhi dhidi ya Waislamu, nitakunukulia baadhi ya fat'wa ya Wanachuoni wao wakubwa. FAT'WA YA KWANZA: Kwanza nitaanza na fat'wa ya Mwanachuoni wao aitwaye Jaaid Ibn Khamis AlKharuusiy, iliyonukuliwa na Sheikh wa Kiibadhi Saalim Ibn Hamad Al-Haarithiy katika kitabu chake "Al-Uquudu Al-Fidhiyyah fi Usuulil-Ibaadhiyyah" ukurasa wa 172. Sheikh Al-Haarithiy anatunukulia swali aliloulizwa Sheikh Jaaid na jibu lake alilolitoa. Swali linasema hivi: : "Aliulizwa Sheikh Jaaid Ibn Khamis Ibn Mubaraak Al-Kharuusiy kuhusu kijana aliyeinukia katika kumtii Allah, lakini msimamo wake uko kinyume (na msimamo wa Ibadhi) na kijana huyo hajawahi kufanya jambo lolote la haramu miongoni mwa aliyoyaharamisha Allah. Umri wake wote alikuwa akifanya ibada, mwenye kuipa nyongo dunia, anatafuta malipo ya Akhera, hakuna amri katika amri za Allah ila ameitekeleza, wala hakuna makatazo ila ameyaacha, isipokuwa kijana huyo anafuata dini (madhehebu) iliyo kinyume na dini ya Kiibadhi, kwa kauli, vitendo na itikadi, je, itakuwaje ?hali yake kama akifa kwenye msimamo huo Akajibu Sheikh Jaai'd kwa kusema: " : -

. ". -

141 125

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

"Amesema mwanachuoni mkubwa aliyebarikiwa, Jaaidu Ibn Khamis Ibn Mubarak AlKharusiy: "Mimi ninaapa kwa jina la Allah- kiapo cha mwenye kufanya wema kwenye kiapo chake bila ya kukivunja-: Atakayekufa kwenye dini sahihi ya Uibadhi pasi na kuyachangua aliyomuahidi Allah kabla ya hapo, bila ya kubadili hakika yake wala kubadilisha njia yake, huyo ni katika watu wema na ni katika watu wa peponi, na atakuwa pamoja na Manabii na Mawalii. Na kama (mtu huyo) atakufa katika dini nyingine isiyokuwa Uibadhi, basi hatopata huko Akhera isipokuwa moto na marejeo mabaya kabisa ni huo moto, kwa sababu dini ya Uibadhi ndiyo dini ya haki. Na hakuna baada ya haki isipokuwa upotevu, basi wapi tena mnapogeuzwa! Inshaallah nitaishi juu ya msimamo huu na nitakufa nao na msimamo huu ndio nitakutana na Mola wa walimwengu. Kisha akasema Al-Haarithiy: Alipofariki huyu Sheikh-radhiya llaahu an'hu- kabla ya kusaliwa, jeneza lake waliliweka kinyume na kibla (waliuelekeza uso wake upande usiokuwa wa kibla) akajigeuza mwenyewe kuelekea kibla kwa sababu ya karama"!!! Mwisho wa kunukuu. UFAFANUZI MFUPI JUU YA FAT'WA HII: Pamoja na kwamba ujumbe uliomo kwenye fat'wa hii ya Sheikh wa Kiibadhi uko wazi, lakini itakuwa si vibaya tukaifafanua angalau kidogo: Kwanza: Ninawapa hongera Maibadhi wote kwa kuwa na Sheikh mwenye karama nyingi namna hii! Sheikh mwenye karama za kujigeuza mwenyewe na hali ya kuwa ni mfu! Pili: Tumeuona msimamo wa Ibadhi dhidi ya Waislamu wasiokuwa Ibadhi, maadamu wao si Ibadhi, ni Mashafi, au Mahanbali n.k., basi Akhera hawatapata Jazaa yoyote isipokuwa moto wa milele! Kwa hiyo, ndiyo mnatuambia kwamba; Pepo imeandaliwa kwa ajili ya Maibadhi peke yao? Je, ndugu Juma Mazrui unaweza kuniambia kuwa Maibadhi ni asilimia ngapi ya Waislamu wote! Na je, ni Waislamu wangapi waliokufa katika madhehebu yasiyokuwa ya Ibadhi? Bila shaka ni Waislamu wengi sana, hasa ukizingatia kwamba pamoja na kuwa madhehebu ya Ibadhi ni madhehebu kongwe hapa Afrika ya Mashariki lakini wamekosa Tawfiiq ya Allah ya kupata wafuasi, tena hata katika sehemu walizoishi kwa kuzitawala kwa miaka mingi kama vile Mombasa, Unguja, Pemba, Tanga, n.k. Waislamu wengi wa maeneo hayo ni Mashafi, na kama utampata Muibadhi, basi ukimfuatilia kwa undani utamkuta ana asili ya Oman!!! Na Historia inatuonyesha kwamba kuna Wanachuoni wengi na wafuasi wao waliobadilisha madhehebu zao kutoka kwenye Uibadhi kwenda katika Usuni.

142 126

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Na mfano wa wazi ni Mazrui wa Mombasa. Na huko Unguja wapo baadhi ya Wanachuoni waliofungwa Jela na baadhi ya watawala wa Kiibadhi ili warudi katika madhehebu ya Ibadhi, lakini haikusaidia kitu 49! Tatu: Usiniambie kwamba fat'wa hii ni Shaadh au ni rai ya Sheikh Jaaidu Ibn Khamis Ibn Mubarak Al-Kharusiy peke yake. Kwa sababu kitabu kilichobeba fat'wa hii kimepitiwa na jopo la Wanachuoni wakubwa wa Kiibadhi akiwemo Sheikh Ibrahim Al-Abriy Mufti wa Oman aliyetangulia, Sheikh Ahmad Ibn Hamad Al-Khaliiliy Mufti wa Oman kwa sasa, Sheikh Salim Ibn Hamuud As-Siyabiy na Sheikh Muhammad Ibn Shaamis Al-Bitwashiy, na hakuna hata Sheikh mmoja kati yao aliyeipinga fat'wa hii au kuchukizwa na maneno haya ya Sheikh huyu! Halikadhalika fatwa hii inapatikana katika kitabu kiitwacho: Maknuunul-Khazaini wa Uyuunul-Ma'adini cha Sheikh Musa Ibn Isa Al-Bishriy, juzuu ya 1 ukurasa wa 205-209, kitabu hiki kimechapishwa na Wizara ya Turathi nchini Oman mnamo mwaka 1403 Hijiriyyah ambayo ni sawa na 1982 Miladiyyah. Vile vile, fat'wa hii utaipata kwa ukamilifu wake katika kitabu cha Kiibadhi kiitwacho "Lubaabul-Aathari" cha Sayyid Muhanna Ibn Khalfani Ibn Muhammad Al-Buusaidiy, katika juzuu ya 1 kuanzia ukurasa wa 275-278. Na kitabu hiki pia kimechapishwa nchini Oman chini ya Wizara ya Turathi, mnamo mwaka 1984. Nne: Tunajifunza kutokana na fat'wa ya Sheikh wenu huyu, kwamba Uislamu wa mtu hautamsaidia kitu mbele ya Allah maadamu si Ibadhi, imani yake sahihi juu ya Allah, Swala zake, Swaumu, Zaka, Hijja na visimamo vyote vya usiku atakavyosimama na kufuata kwake Sunna za Mtume swalla llaahu alayhi wasallam, kuacha kwake Shirki, Bid'a na maovu yote; hayo yote hayatamsaidia mbele ya Allah maadamu si Ibadhi na Akhera ataingia katika Jahannam milele!!! Yaa Allah tukinge na shari ya kufuata matamanio ya nafsi zetu! Aamiin. Na kama huo ndio msimamo wa Wanachuoni wa Kiibadhi dhidi ya Waislamu wa madhehebu nyingine, tutakuwa tumepata jawabu la kwamba, hawataingia peponi isipokuwa Maibadhi peke yao, hasa hasa ukiuongezea msimamo wao wa kwamba atakayeingia motoni atakaa milele bila ya kutoka, kama alivyolitetea hilo Mufti wa Oman wa sasa Sheikh Ahmad Ibn Hamad Al-Khaliliy katika kitabu chake "Al-Haqu AdDaamighu" kuanzia ukurasa wa 183-227. FAT'WA YA PILI: Pengine fat'wa hii haikukutosha, labda nikuongezee fat'wa nyingine iliyotolewa na Mwanachuoni mwingine wa Ibadhi aitwaye Ahmad Ibn Midaad na kunukuliwa na Sayyid Muhanna Ibn Khalfan Ibn Muhammad Al-Buusaidiy katika kitabu chake
49

- Kwa faida zaidi, soma kitabu cha Sheikh Abdullahi Saleh Al-Farsy 'Historia ya Wanavyuoni wa Kishafi wa Mashariki ya Afrika'. 143 127

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

"Lubaabul-Aathaari" juzuu ya 1 ukurasa wa 271, fat'wa iliyochapishwa na Wizara ya Turathi nchini Oman. Fat'wa hii pia imenukuliwa na Sheikh Said Ibn Bashir As-Sub'hiy katika kitabu chake "Al-Jaamiul-Kabiiru" juzuu ya 1 ukurasa wa 38 chini ya usimamizi wa Wizara ya elimu nchini Oman, mnamo mwaka 1986 na kuhakikiwa na Sheikh Salim Ibn Hamad AlHaarithiy mwenye kitabu "Al-Uquudu Al-Fidhiyyah 50. Aliulizwa Mwanachuoni huyo wa Kiibadhi swali hili lifuatalo: "Sheikh unasemaje kuhusu watu wa madhehebu nyingine ambao si Ibadhi? Je, itafaa kuwakosoa na kuwatia kwenye upotevu? Na je, itafaa kuwalaani? Na kama tutawalaani, je udhu wa mwenye kufanya hivyo utachanguka? Sheikh Ahmad Ibn Midaad akajibu kwa kusema hivi: " . " ...

"Naam, litafaa hilo (la kuwalaani) na hautachanguka udhu wa mwenye kufanya hivyo, kwa sababu atakuwa amesema haki, ukweli na sawa. Kwa sababu watu wote waliotofautiana na sisi katika madhehebu wameangamia, wamezusha katika dini na ni watu wa bid'a ni makafiri walioikufuru neema ni wanafiki tena madhalimu. Hilo linashuhudiwa na kitabu cha Allah na Sunna za Mtume wake Muhammad swalla llaahu alayhi wasallam na maafikiano ya Waislamu. Tunamuabudu Allah na kuitakidi kuwa dini ya Kiibadhi ndiyo dini ya Allah na ndiyo dini ya Mtume wake swalla llaahu alayhi wasallam. Yeyote atakayetofautiana na Ibadhi hapana shaka yoyote kuwa huyo ni mtu wa motoni! Sisi tunashuhudia kwamba atakayekufa akiwa kwenye dini ya Uibadhi huyo ni peponi bila ya shaka. Na atakayeitilia shaka dini ya Kiibadhi, akadai kwamba haki iko

50

- Sheikh Salim Ibn Hamad Al-Haarithiy kwenye uhakiki wake wa kitabu hiki amemsifia sana mtunzi wa kitabu (Sheikh said Ibn Bashiir Ibn As-Sub'hiy) kwa kusema: .. "

"...

"Yeye ni katika wanachuoni wenye kuhakiki, mkusanyaji wa mambo ya kiakili na yanayonukuliwaAlikuwa ni marejeo kwa watu wa zama zake, ni Sunna ngapi amezihuisha (Sunna nyingi) na Bid'a ngapi ameziua, mema yake na fakhari zake hazidhibitiki" Mwisho wa kunukuu.Tazama ukurasa wa 5. 144 128

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

kwenye dini nyingine isiyokuwa ya Kiibadhi, huyo kwetu ni kafiri aliyekufuru neema, tena fasiki, mnafiki, mzushi aliyezua katika dini..." Mwisho wa kunukuu. Ingekuwa elimu ni kujibizana kihuni, na mimi ningesema: Enyi Makhawaariji nyie, mbona vitabu vyenu vinanuka Tumbaku namna hii? Kama alivyosema Juma. TANBIHI: Sina shaka kuwa fat'wa hii ya pili ya Sheikh mwengine wa Kiibadhi nayo pia imeelewaka vizuri, lakini kama kawaida yetu, hatuna budi kuichambua angalau kidogo tu. Hebu tujiulize kuhusu kipengele kimoja tu kisemacho: "Yeyote atakayetofautiana na Ibadhi bila ya shaka yoyote atakuwa huyo ni mtu wa motoni"?! Sheikh huyu anawakusudia kina nani? Na watakao wahalifu Ibadhi katika jambo gani? Kuachia mikono katika Swala, au Kuonekana Allah Akhera, au..pengine Juma Mazrui na ndugu yake Khalfani Tiwani ndiyo wanaoweza kutujibu. Hivi kweli watu wenye fat'wa kama hizi dhidi ya Waislamu wenzao wanastahiki kusema haya aliyoyasema Juma Mazrui? Anasema Juma katika ukurasa wa 306: "Ninasema: ndugu Waislamu tazameni hatari ya Mawahabi hii jinsi

wanavyoukafirisha Umma mzima kwa kutegemea kauli ya fulani na fulani kana kwamba fulani na fulani hao ni maasumun! Maneno haya hayakuwakafirisha Maibadhi tu, bali yameukafirisha Umma mzima isipokuwa baadhi tu ya Wafuasi wa madhehebu ya Hanbal na mtu mmoja mmoja katika mujassima." Mwisho wa kunukuu. Binafsi nilipoyasoma maneno haya ya ndugu Juma Mazrui nikapata shaka juu ya taaluma yake. Nikajiuliza mara mbili mbili: Hivi kweli huyu Juma ni mtu aliyekaa chini akasoma elimu kwa mpangilio, hatua moja baada ya nyingine au ni mtu aliyedandia vitabu na kukurupuka kuandika? Mbona anakicheka Kibanzi kilichoko kwenye jicho la mwenzake anasahau kuwa katika Jicho lake kuna Jiti la Mkarambati!!! Wanavyuoni wako wa Kiibadhi wanautumbukiza Umma mzima wa Nabii Muhammad katika Motoni wa Jahannam, hayo huyasemi, unayarukia maneno ya Wanachuoni wengine ambayo hukuyaelewa maana yake, kisha unaanza kumwaga machozi ili upate kundi la kukuunga mkono kwenye kampeni zako chafu! Mche Mola wako ndugu yangu!!! FAT'WA YA TATU:
145 129

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Kwa lengo la kukufahamisha zaidi msimamo wa Khawaariji dhidi ya Waislamu ambao hawakubaliani nao tunakuletea fat'wa hii ya tatu ambayo imetolewa na Mwanachuoni wa Kiibadhi Abdul-Aziz Ibn Ibrahim At-Thumeiniy katika kitabu "Sharhun-Nail", juzuu ya 7 ukurasa wa 431 aliposema: " ] [ ". "Atakayetilia shaka kuwa dini ya Ibadhi ndiyo dini sahihi, na dini ya waliokinyume na sisi ni dini ya makosa, HUYO NI MNAFIKI, hata kama ni (mwenzetu) katika sisi. Na hatainusa harufu ya Pepo hata kama ataswali mpaka akatoka mshipa wa Uso, au akafunga milele (bila ya kufungua), au akatoa sadaka bila ya kikomo." Mwisho wa kunukuu. Juma unaona tumbaku hiyo iliyomo kwenye vitabu vyenu? Huo ni ujeuri wa Kikhawaarij! Sheikh wako hakutosheka kusema kwamba asiyekuwa Ibadhi hatoingia peponi, bali amefikia ujasiri wa kusema kuwa; Ukiutilia shaka usahihi wa madhehebu wa Ibadhi, basi umekuwa MNAFIKI, na kamwe HUTAINUSA HARUFU YA PEPO! hata kama utaswali sana mpaka Paji la Uso likafanya uvimbe! Na hata kama utafunga maisha yako yote na ukatoa Sadaka kwa wingi bila ya ukomo, maadamu si Ibadhi, sahau suala la kuingia peponi! Utadhani Pepo ni mali yenu. Maneno kama haya yanafanana na kauli walizozitoa Mayahudi na Wakristo walipodai kwamba; hataingia peponi ila Myahudi au Mnasara. Amesema Allah: { } [Na wakasema: Hatoingia peponi isipokuwa Mayahudi au Manasara. Lakini hayo ndiyo matamanio yao tu. Waambie; leteni hoja zenu mkiwa nyinyi ni wakweli.] SuratulBaqarah Aya ya 111. Na sisi tunawaambia Maibadhi: leteni hoja zenu kuwa hataingia peponi isipokuwa Ibadhi tu kama nyinyi ni wakweli! Kwa kweli baadhi ya fat'wa za wanavyuoni wa Ibadhi dhidi ya waislamu wengine zinatisha, hebu isome fat'wa hii ya kikatili dhidi ya waislamu wasio na hatia! FAT'WA YA NNE: Ndugu msomaji! Nakuomba uisome fat'wa hii kwa umakini sana, maana fat'wa hii ndiyo imefunga kazi, na ukiielewa vizuri, utakuwa umeshaufahamu Ukhawaariji wa Ibadhi. Mwanachuoni mkubwa wa Kiibadhi aitwaye Twahir Al-Jaitwaaliy katika kitabu chake "Qawaidul-Islami", juzuu ya 1 ukurasa wa 77 anasema hivi:
146 130

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

: : " "Sura ya Sita: Kuhusu kumchukia mtu aliyetoka kwenye madhehebu ya watu wa haki na kwenda kwenye madhehebu ya watu waliokinyume (wasiokuwa Ibadhi): " ] [ : ! ] [ ] ) : . [ . ( 77 / 1 ) " " .( . "Atakayetoka kwenye madhehebu ya watu wa haki na kuingia kwenye madhehebu ya waliokinyume (kama madhehebu ya Ahlu Sunna), kisha akawapenda Wanachuoni wao (kama Abu Hanifa, Malik, Shaafiy, na Ahmad) na akawachukia wanachuoni wa Waislam (Maibadhi) ni wajibu kwa Waislamu (Ibadhi) kumchukia, kumfanyia uadui na kutompenda mpaka atubie halafu arudi kwa Waislamu 51, awapende wapenzi wao,
50F

awafanyie uadui maadui zao. Na kama (mtu huyo) atatoka kwenye madhehebu ya Waislamu (Ibadhi), akatofautiana nao na akawakosoa madhehebu yao na kuwatia aibu, ni halali kumuua (mtu huyo) ima kwa kumvizia au kwa njia yotote itakayofikisha kwenye kumuangamiza na kumuua 52 kama alivyofanya Imamu
51F

Jabir Ibn Zaid radhiya llaahu an'hu- alipoulizwa kuhusu Jihad bora zaidi? Akasema kumwambia muulizaji: Jihadi bora ni kumuua Khardalah. Kijana mmoja (wa Kikhawaariji) akachukua kisu chenye makali pende zote mbili, kisha akakitia sumu! Akaondoka na mtu mmoja katika Waislamu (Ibadhi) mpaka msikitini, kisha yule Bwana akamuelezea sifa za Khardalah, yule kijana (wa Kikhawaariji) hakuridhika (na maelezo yale) mpaka yule Bwana alipomwekea mkono Khardalah (kisha

-Amesema Juma Mazrui: "Tanbihi: neno Muslimun (Waislamu) ndilo walilokuwa wakijiita Maibadhi wa awali. Wao walikuwa wakijiita Waislamu tu, kwa hivyo maneno Maibadhi au Waislamu yana maana moja katika istilahi ya Maibadhi wa awali." Tazama kitabu chake 'Fimbo ya Musa' chini ya ukurasa wa 392. 52 -Hivi kweli ndugu yangu Juma Mohd Rashid Al-Mazrui, ndugu yako Kassim bin Mafuta bin Kassim wa Pongwe-Tanga atapona na hizi fat'wa zenu chafu zilizojaa kwenye vitabu vya maulamaa wenu? Allah atulinde na shari ya watu waovu na vitimbi vyao.
51

147 131

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

akamwambia; ni huyu), kisha yule Bwana akaondoka zake. Yule kijana akamwendea Khardalah akampiga kisu baina ya mabega yake akamuua. Yule kijana akakamatwa, na baada ya hapo Mtawala akahukumu auwawe Wallaahu a'alam-. Huyu Khardalah alikuwa ni katika watu wa daawa (Ibadhi) kisha akatoka na kuwaacha na akawa anawakosoa Waislamu (Ibadhi) na kuzitaja aibu zao, kwa sababu hiyo Imamu Jabir akahalalisha kuuwawa. Na Allah amesema: Wakiitukana dini yenu, basi wauweni viongozi wa Ukafiri." Mwisho wa nukuu. Kisha Imamu wao Ibn At'fiishiy (Qutbul-Aimma) anafafanua zaidi kwa kusema: . . "Atastahiki mtu kuuliwa kwa sababu ya kuikosoa madhehebu yetu! Kama alivyofanyiwa Khardalah kwa Amri ya Jabir, pale aliporudi kwa wapinzani na akaanza kutukosoa 53."
52F

Mwisho wa kunukuu. Tazama hatari iliyomo katika fat'wa hii! Ibadhi wako tayari kumuua Muislamu yeyote endapo atawakosoa! Je, mtasema nini vijana wa Kiibadhi kuhusu hizi fat'wa zenu za chinja chinja kwa kila Muislamu anayewakosoa? Unaona sasa hatari hiyo! Mlipoziandika fat'wa hizi kwenye vitabu vyenu mlidhani kuwa mtasifiwa na kuhimidiwa? Au hiyo si kasoro ya Kisharia kwenu? Ni ila mbaya ilioje hiyo! Kwenu nyinyi kumuua Muislamu bila ya hatia ni halali, lakini wenzenu kuwakosoa nyinyi ni haramu! Bila shaka, umejionea mwenyewe ndugu msomaji namna Ibadhi wanavyohalalisha kumuua Muislamu atakayewakosoa na kuzitaja aibu zao, kwa madai kwamba eti Allah amesema: "Wakiitukana dini yenu basi waueni viongozi wa kikafiri"; Ibadhi wakadai kuwa makusudio ya Aya hii ni kumuua kila atakayewakosoa wao. Na kama itashindikana kumuua kwa dhahiri basi hata kwa kumvizia au kumpa sumu, ili mradi afe! MISIMAMO YAO IBADHI (KHAWAARIJI) DHIDI YA MASWAHABA Misimamo yao hiyo mibovu haikuishia kwa Waislamu wa kawaida, bali wamefikia kupandikiza ufedhuli na utusi hata dhidi ya Maswahaba watukufu, kama vile Uthmani Ibn Affaan na Ali Ibn Abi Twalib -Allah awaridhie-. Muislamu safi kwao ni yule anayewachukia watu hao. Na kama atashindwa kuwachukia kina Uthmani Ibn Affaan na Ali Ibn Abi Twalib, basi awapende watu wanaowachukia Maswahaba hao! Amesema
53 - Tazama kitabu Ad-Dhahbul-Khaalis, ukurasa wa 66, kilichochapishwa na MaktabatudDhaamiriy.

148 132

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Abul-Mundhir Salamah Ibn Muslim Ibn Ibrahim As-Swahaariy katika kitabu chake AdDhiyaau, juzuu ya 3 ukurasa wa 68: : " : !! [ ] : . : : . !! : . !!!" ] [ !! "Inasemekana kwamba; Rabi'i Ibn Habib (mwanachuoni mkubwa wa Kiibadhi katika mambo ya Hadithi) alikuwa na majirani wawili wacha-Mungu katika jamaa zetu (Ahlu Sunna). Akasema Rabi'i kumwambia Abu Ubaidah: Mimi nina majirani wawili wachaMungu, wamependelea kuingia katika dini ya waislamu (dini ya Maibadhi), lakini wanapatwa na kigegezi ya kumchukia Uthman na Ali! AKASEMA ABU UBEIDAH: MIMI NINAMCHUKIA UTH'MAN NA ALI! Je wao wanasemaje kuhusu mimi? Akasema: Wao wanakupenda! Akasema Abu Ubaidah: Basi hakuna ubaya juu yao. Rabi'i akamuuliza: Je kama wasingekupenda wewe? Akasema Abu Ubaidah: Wangeangamia. Abu Ubaidah anakusudia kwamba: Wangeacha kuwapenda Waislamu (Maibadhi) kwa kuwa (Maibadhi) wanamchukia Uthman na Ali, wangetoka kwenye Uislamu."!!! Mwisho wa kunukuu. Maelezo mafupi juu kauli hii: Mwanachuoni wa Ibadhi Abul-Mundhir anatunukulia msimamo mchafu wa Khawaariji (Ibadhi) dhidi ya Maswahaba. Anatupa habari kwamba kulikuwa na majadiliano yaliyojiri baina ya Imamu wao Abu Ubaidah na mwanafunzi wake Rabii Ibn Habiib Al-Azdiy. Rabii anasema kwamba; Yey ana majirani zake wawili walitaka kujiunga na kundi la Khawaariji (Ibadhi), lakini kilichowazuia wao kujiunga na Khawaariji (Ibadhi), ni suala la kuwa wao Ibadhi wanawachukia Maswahaba. Kutokana na kuwa msimamo wa Ibadhi ni lazima uwe na chuki dhidi ya Uthmani Ibn Affaan na Ali Ibn Abi Twalib radhia llaahu an'huma na wengineo miongoni mwa Maswahaba, jambo hilo likawa ni kikwazo kwa majirani zake hao wawili. Abu Ubaidah akamuuliza mwanafunzi wake Rabii Ibn Habiib; Je, watu hao wanamchukuliaje yeye anayewachukia Maswahaba hao? Rabii akamjibu kwamba wao wanakupenda pamoja na kwamba wewe una chuki dhidi ya Maswahaba hao.

149 133

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Abu Ubaidah akasema; basi hilo si tatizo, maadamu wao wananipenda mimi ninayewachukia Maswahaba, basi wamesalimika. Na lau kama wangenichukia mimi kwa sababu ya kuwachukia Maswahaba hao basi wasingekuwa Waislamu!!! Bila shaka ndugu Juma anaufahamu vyema msimamo huu mbaya wa madhehebu yake, kwa hiyo ilikuwa ni wajibu kwake kuuweka wazi kwa wasomaji kabla ya kuanza kuwatuhumu hao anaowaita Mawahabi kwamba wana tabia ya kuwakufurisha waislamu. Na miongoni mwa wanachuoni wao waliodhihirisha chuki zao dhidi ya watu hao wema, ni Muibadhi Abul-Fadhli Isa Ibn Nuuriy katika kitabu chake "Bayaanus-Shar'i" juzuu ya 3 ukurasa wa 277-293, yeye amesema: " 54
F53

) : . [50 " ]

"Tunajiepusha (tunamchukia) adui wa Allah, Ibilisi Laanahu llaahu- na wafuasi wake kuanzia Fir'aun na wengineo katika viongozi wa ukafiri na wafuasi wa Shetani tangu enzi za Adam hadi leo hii...Baada ya Mtume swalla llaahu alayhi wasallam, TUNAWACHUKIA watu wa kibla ambao wao ni watu wa kibla kama Uthmani Ibn Affan, Ali Ibn Abi Twalib, Twalha, Zubeir, Muawiyah Ibn Abi Sufyan, Amru Ibn Al-Aasi, Abu Musa Al-Ash'ariy na watu wote walioridhika na hukumu iliyotolewa na mahakimu wawili na wakaiacha hukumu ya Allah wakafuata hukumu ya Abdul-Malik Ibn Mar'wan, Ubaidillahi Ibn Ziyad, Hajjaaj Ibn Yusuf, Abu Ja'far, AlMahdiy, Harun (Ar-Rashiid) na Abdullahi Ibn Harun pamoja na wafuasi wao na kila aliyewapenda wao juu ya ukafiri wao na dhulma zao miongoni mwa watu wa bid'a na akafuata matamanio, kwa sababu ya kauli ya Allah: "Hakuna dhalimu zaidi kuliko aliyefuata matamanio yake pasi na mwongozo utokao kwa

Allah. Kwa hakika, Allah hawapendi watu madhalimu." Suratul-Qaswas, Aya 50. Mwisho
wa kunukuu. Kisha wahakiki wawili (waliokipitia kitabu hicho ambao ni Abu Abdillahi Muhammad Ibn Mahbuub na Abu Said Muhammad Ibn said) wakafuatishia kwa kusema: .
54

- Tazama katika kitabu chake "Jawaabatu As-Saalimiy" juzuu ya 6 ukurasa wa 153, chapa ya pili

ya mwaka 1999 na Al-Iq'du At-Thamin juzuu ya 1 ukurasa wa 189.

150 134

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

"Na sisi tunaafikiana nao kwenye hili la kujitenga nao (na kuwalaani) kati ya wale aliowataja." Mwisho wa kunukuu. Tazama kitabu chake "Bayaanu As-Shar'I" juzuu ya 3 ukurasa wa 280-281. Masheikh zenu hao; Abu Abdillahi Muhammad Ibn Mahbuub na Abu Said Muhammad Ibn Said wametangaza wazi wazi kwamba na wao wanaafikiana na Sheikh wenu Muibadhi Abul-Fadhli Isa Ibn Nuuriy juu ya uovu huo wa kuwachukia Maswahaba! Je na nyinyi vijana wa Kiibadhi Juma Mazrui na Khalfani Tiwani mnatwambiaje? Kisha baada ya yote hayo, Khaarijiy (Muibadhi) huyu anamalizia kwa kusema: " . (293/3) ." ..

"Hii ndiyo dini ya Allah na dini ya Malaika wake na Mitume wake na ni dini ya Mawalii wake, na sisi tunalingania kwenye dini hiyo na tunaridhika nayo, tutaishi juu ya msimamo huo na tutakufa kwenye msimamo huo. Hakuna hukumu (ya haki) isipokuwa hukumu ya Allah, yeye anahukumu kwa haki na yeye ni mbora wa wenye kupambanua." Mwisho wa kunukuu. Tazama Bayaanu As-shar'i, juzuu ya 3 ukurasa wa 293. Tazama ewe ndugu yangu Muislamu, eti dini ya Allah na Malaika wake ni kuwatukana na kuwalaani Maswahaba; Ali, Uthman Ibn Affan, Hasan na Husein! Wallaahi haya ni katika maajabu ya dunia!!! MWANZO WA KUDHIHIRI BID'A YA KUKUFURISHANA BILA YA HAKI Wanachuoni wa historia za makundi wanaelezea kuwa mwanzo wa kudhihiri bid'a hii ya kuwakufurisha waislamu bila ya kuwa na vigezo vyovyote vya kisheria ni mara baada ya kudhihiri Khawaariji wa Nahrawaani. Na Khawaariji wa Nahrawaani walidhihiri baada ya fitna kubwa iliyowagawa Waislamu kiitikadi katika kipindi cha utawala wa Ali Ibn Abi Twalib radhia llahu an'hu. Kundi la Khawaariji lililmuasi Ali Ibn Twalib na kukimbilia sehemu za Harauraa nchini Iraq na hawa ndio watu wa mwanzo waliosifika na tabia hii ya kuwakufurisha waislamu wenzao. Anasema Ibn Kathiir: ". "

151 135

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

"Wakati Ali alipomtuma Abu Musa na walio pamoja naye katika wanajeshi kwenda Dumatul-Jandali, jambo la Khawaarij lilizidi na wakaendeleza upinzani dhidi ya Ali na wakamkufurisha wazi wazi 55." Pia amesema Sheikhul-Isaami Ibn Taymiyya aliyefariki mwaka 728 Hijiriyya: " ". "Na kwa sababu hii, ni wajibu kujichunga na kuwakufurisha waislamu kwa sababu ya madhambi na makosa (wanayoyafanya) na hiyo ndiyo bid'a ya kwanza kudhihiri katika uislamu, wenye bid'a hiyo waliwakufurisha waislamu na wakazihalalisha damu zao 56."
5F

Khawaariji wamewakufurisha Maswahaba wakubwa kama Ali Ibn Abi Twalib kwa madai ya kuwa wamekufuru neema. Lakini hawakuridhika na hilo la kumkufurisha, bali walipanga njama za kumuua Ali kwa kuitakidi kuwa ni Kafiri. Na mwisho wa yote alijitokeza Khaarijiy mmoja aitwaye Abdul-Rahman Ibn Muljim Al-Muraadiy ambaye ndiye aliemuua Ali radhia llaahu an'hu. Na huyu ni katika Salaf (wahenga) wa Ibadhi. Pamoja na uovu huo mkubwa walioufanya Khawaariji dhidi ya Khalifa wa nne kwa kumuua mauaji ya kinyama, bado hadi leo Wanachuoni wakubwa wa Ibadhi wanamzingatia muuaji huyo kuwa ni Shujaa na amefanya jambo la haki. Na hilo linaungwa mkono na Mwanachuoni wao Nuurud-Din As-Saalimiy pale alipoulizwa kuhusu msimamo wa Ibadhi juu ya yale yaliyotokea baina ya Ali Ibn Abi Twalib radhiya llaahu an'hu na Makhawaariji wa Nah'rawaan. Baada ya maelezo mengi na mzunguko mrefu akielezea yaliyojiri baina ya pande mbili hizo, hatima yake akahitimisha kwa kusema haya: " ". "Watu wa Nah'rawaani (Makhawaariji) ndio waliokuwa katika haki na wale waliowapiga (Ali Ibn Abi Twalib na jeshi lake) ndio waliokuwa katika batili. Atakayelifahamu hilo ni wajibu kwake kuwapenda watu hao, na hilo halina tofauti baina ya Waislamu57.!
56F

- Tazama kitabu "Al-Bidaayatu wan-Nihaayatu" juzuu ya 10 ukurasa wa 577. - Tazama Maj'muu Fatawa ya Ibn Taymiyya juzuu ya 13 ukurasa wa 31, chapa ya tatu ya Daarul-Wafai ya mwaka 2005. 57 -Ni Waislamu gani hao ambao hawakutofautiana juu ya haki ya Khawaariji wa Nahrawaani! Au kila jambo mnalolitaka kulihalalisha mnadai kuwa watu wameafikiana?
55 56

152 136

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Halikadhalika ni lazima kuwachukia, kuwatukana na kuwaombea laana na dua mbaya wale waliowapiga." Mwisho wa kunukuu. Sikudhamiria kuiweka sura hii katika kitabu hiki. Sura hii mahali pake ni katika kitabu chetu "Khawaarij katika Sura yao ya hakika" ambacho ni majibu ya kitabu cha ndugu Juma Al-Mazrui alichokiita "Khawaarij baina ya ukweli na visa vya kutunga" lakini kwa kuwa ndugu yetu ametoa shutuma nyingi sana dhidi ya Ahlu Sunna anaowaita Mawahabi, na kudai kuwa kazi yao ni kuwakufurisha Waislamu wenzao. Juma amezikariri tuhuma hizo mara nyingi sana akazifanya kama ndio uradi wake, kwa sababu hiyo, nikaona kuwa ni vyema ninyofoe sehemu ndogo ili kumtanabahisha ndugu huyu huwenda akatanabahi kuwa tuhuma anayotutuhumu nayo ndio msimamo wa Wanachuoni wakubwa wa Kiibadhi (Khawaariji) na umejaa tele kwenye vitabu vyenu 58. Na kama mtu atajenga hoja kwa kusema; mbona Ibadhi wanaonekana ni watu wapole, wakarimu, hawana matatizo na watu na wanaishi na watu wa madhehebu nyingine siku nyingi bila ya chuki wala bugh'dha? Mimi nitakujibu kwa kusema: Huwenda hilo unalolidai likawa lina ukweli kwa asilimia fulani tu na si kwa kiwango kikubwa kwa sababu hizi zifuatazo: Kwanza; Katika baadhi ya nyakati Ibadhi wanatumia msimamo wa Taqiyya/Kitmaani (kuficha imani moyoni na kudhihirisha kinyume chake). Kwa hiyo inawezekana kuwa wanafanya hivyo kwa Taqiyya. Pili; Ibadhi wengi waliomo humu mwetu hawaujui Uibadhi wao kwa undani wake kama walivyowafuasi wa madhehebu nyingine, wengi wao wanauchukulia Uibadhi kama kabila na mila za wazee, kwa hiyo wengi wao wanatosheka na Uibadhi wa kutofunga mikono katika Swala tu. Tatu, kwa muda mrefu na miaka mingi Maibadhi hawakuwa harakati zozote za kuwalingania watu wa madhehebu nyingine ili waingie kwenye madhehebu yao, hawakuwa na tofauti na Mabohora, Shia Khoja n.k., kwa hiyo si rahisi kutokea misuguano. Pamoja na kuwa wanaamini kwamba waislamu wote wa madhehebu nyingine ni WANAFIKI, WAPOTEVU NA NI WATU WA JAHANNAM! Lakini

- Ninatambua kwamba uandishi huu na maneno haya ya ukweli ninayoyasema yatajenga chuki na uhasama mkubwa sana baina yangu na Ibadhi kwa kuwa ninayachambua mapungufu yao na kuubainisha upotofu wao. Lakini kwa kuwa maneno ninayoyasema ni haki na yamo katika vitabu vya Wanavyuoni wao, si mchi mtu. Na maadamu wao ndio walianzisha maudhui hizi, nasi hatuna budi ila kujibu na kuwabainishia watu haki hata kama watachukia wenye kuchukia na kuamua kufanya la kufanya, Allah ndiye mlinzi wetu na yeye ni mbora wa kutegemewa.
58

153 137

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

jambo hilo halikuwafanya washughulike na kuwaokoa Waislamu wenzao kutoka kwenye Unafiki na upotofu! Wenyewe walijishugulisha zaidi na shughuli zao binafsi, ima kilimo au biashara n.k. lakini hali hiyo imekuwa tofauti hivi leo, kwa sababu hivi sasa wameanza kutangaza madhehebu yao na misimamo yao na kuwagusa watu wa madhehebu nyingine hasa Ahlu Sunna wanaowaita Mawahabi na ushahidi wa hilo ni vitabu vya ndugu Juma Al-Mazrui vilivyojaa kashfa na kejeli tele dhidi ya Ahlu Sunna na wanachuoni wao. Ama sisi Ahlu Sunna tunaoitwa Mawahabi tunaonekana kuwa ni wakorofi kwa sababu tunaitaka jamii ibadilike kutoka katika Uislamu wa kuiga, kufuata mila za wazee hadi kwenye kufuata mafundisho sahihi ya Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam na kuishi juu ya misingi ya kitabu cha Allah na Sunna sahihi za Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam na kuachana na mila potofu za Matambiko na Uzushi katika dini, na kuwarudi watu katika maadili sahihi ya Uislamu kama walivyokuwa wema waliotutangulia katika imani. Na hili limeleta athari nzuri katika jamii na ndipo pale zilipodhihiri baadhi ya athari za Uislamu kama vile vazi la Hijaab kwa wanawake wa kiislamu.

Pamoja na kukiri kuwa wapo walinganizi wengi wanaolingania katika njia hii kimakosa, bila ya kutumia busara na lugha za heshima na wengine wameshindwa kufanya uvumilivu wakawa wanawajibisha Masheikh zao na wazee wao kwa lugha ile ile za matusi wanazosemeshwa wao. Hivyo basi, nitaanza moja kwa moja na maelezo kuhusu msimamo wa Khawaariji (Ibadhi) juu Al-Walaau Wal-Baraau 59. NI NINI MAANA YA AL-BARAA 60 KWA KHAWAARIJI WA KIIBADHI?
59F

Hebu tumsikilize mwanachuoni mkubwa wa Kiibadhi wanayemuita Qutbul-Aimma, Muhammad Ibn Yusuf At'fiishiy katika kitabu chake kiitwacho Ad-Dhahbul-Khaalis ukurasa wa 45, amesema At'fiyishiy: .45 { : .. : }

- Hata Ahlu Sunna pia wanayo itikadi ya Al-Walaau Wal-Baraau, lakini si kwa maana hii wanayoikusudia Ibadhi ya kuwatukana na kuwatia motoni milele waislamu wasiokuwa katika madhehebu yao. 60 -Maudhui hii ilikuwa inastahiki iwe ndiye ya mwanzo ili kuchunga mtiririko wa hoja, lakini nafsi imependa kuzitanguliza fatawa za Wanachuoni wa ki-Khawaariji dhidi ya Waislamu wa madhehebu nyingine ili ujionee hayo kwanza.
59

154 138

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Al-Baraau katika lugha: Ni kujiweka mbali na kitu na kujiepusha nacho. Na kisheria ni: Kuchukia, kutukana na kumlaani kafiri kwa sababu ya ukafiri wake. Kisha katika ukurasa wa 55 akasema: .55 } { : { } "Utamchukia uliyemfanyia Baraa na utamdharau kwa sababu ya maasi yake." Kisha akasema: "Kumchukia tu bila ya kumwombea dua mbaya akhera hakutoshi." Imamu wa Kiibadhi At'fiyishiy katika maneno yake haya anakusudia kwamba kumchukia mtu kwa moyo tu, hakutoshelezi katika kuutimiza msingi huu wa itikadi, kwa hiyo ni lazima chuki hizo ziambatane na laana na maombi mabaya dhidi ya huyo unayemchukia. Amesema Mwanachuoni mwingine wa Kiibadhi naye ni Imamu Nuurud-Din As-Saalimiy katika kitabu chake 'Bahjatul-An'waari Sharhu An'waaril-Uquuli fit-Tawheed, ukurasa wa 126: .126 .". : " "Al-baraau (maana yake) ni: Kuchukia kwa moyo, kutukana kwa ulimi na kukemea kwa viungo 61."
60F

Pengine mtu anaweza kusema kwamba, lakini huo si ndio Uislamu, kuwapenda watu wema na kuwachukia watu waovu? Bila shaka, jawabu litakuwa ndiyo, lakini je unafikiria kwamba Ibadhi wanawakusudia kina nani katika msingi huu? Abu Jahli, Umayyah Ibn Khalaf na kina Abdullahi Ibn Ubayya Ibn Saluul? Au makafiri wa Kiyahudi na Kikristo? Nadhani tulikuwa pamoja tulipozisoma fat'wa za wanachuoni wao wakubwa na tumegundua wanawakusudia kina nani! Wamesema wanachuoni wakubwa wa Kiibadhi katika kitabu walichokiita:

61

-Kwa faida zaidi tazama kitabu 'Twalaqaatul-Ma'hdir- Riyaadhi' cha Sheikh Saalim Hamuud

As-Siyaabiy ukurasa wa 119, kilichochapishwa Oman mwaka 1980. Na kitabu 'Ma'alimud-Din' cha Abdul-Aziz Ibn Ibrahim At-Thumayniy, kilichochapishwa Oman mwaka 1986 na kuhakikiwa na Sheikh Saalim Hamad Al-Haarithiy kwenye juzuu ya 2 ukurasa wa 125. Naye Sheikh wao Imamu Al-Jaitwaliy katika kitabu chake 'Qawaaidul-Islaami', juzuu ya 1, ukurasa wa 89 anayatilia mkazo maneno hayo na amenukuu humo maafikiano ya Wanachuoni wa Kiibadhi juu ya msimamo huo.

155 139

OLE WAKE KILA MZUSHI

][MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI

" kitabu ambacho ni mkusanyiko wa wa tafiti na risala za kielimu " zinazozungumzia misingi ya madhehebu ya Kiibadhi, kilichochapishwa na wizara ya elimu ya Oman katika juzuu mbili, chapa ya pili ya mwaka 1410 Hijiriyyah sawa na mwaka 1989 Miladiyyah na kuandikiwa utangulizi wake na Sayyid Faisal Ibn Ali Ibn Faisal, katika ukurasa wa 373: " .. ) : : : . : : "

"Kwa jina la Allah mwingi wa rehma mwenye kurehemu, neno la watu wa Oman limekuwa moja juu ya jambo moja na dini iliyonyooka.." Kisha wakasema: Mtu akiuliza: Kauli yenu ni ipi kuhusu Uthmani Ibn Affan? Tutamwambia: Yeye mbele ya waislamu yuko kwenye daraja ya Al-Baraa (Kuchukiwa, Kutukanwa na kuombewa laana na dua mbaya). Mtu akisema: mmepata wapi uwajibu wa kumfanyia Al-Baraa Uthman Ibn Affan na hali yalitangulia mapenzi kwake na ulisihi Uimamu wake pamoja na fadhila zake zinazojulikana katika Uislamu? Tutamwambia: Kupendana na kuchukiana ni faradhi mbili zilizomo kwenye kitabu cha Allah hakuna udhuru kwa watu kutozijua (faradhi hizo). Kisha akasema: " : : : : : : : : ". : ) : ( ) ( : " . ?"Watu wakisema: Mnasema nini kuhusu Ali Ibn Abi Twalib Tutawaambia: Ali Ibn Abu Twalib mbele za waislamu, yuko kwenye daraja ya Al-baraa (Kuchukiwa, Kutukanwa, kuombewa laana na dua
156 140

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

mbaya). Watu wakisema: Mnasema nini kuhusu Twalha Ibn Ubaidillahi na Zubair Ibn Al-Awwam? Tutawaambia: Na wao mbele za waislamu, wako katika daraja ya Al-Baraa (Kuchukiwa, Kutukanwa na kuombewa laana na dua mbaya). Mtu akisema: Je, mnasema nini kuhusu Hasan na Husein watoto wa Ali? Tutamwambia: Na wao pia kwa Waislamu wako katika daraja ya Al-Baraa (Kuchukiwa, Kutukanwa na kuombewa laana na dua mbaya).

Na mtu akisema; Mmetoa wapi uwajibu wa Al-Baraa (kuwachukia, kuwatukana na kuwaombea laana na dua mbaya) na hali wao ni watoto wa Fatima Binti wa Mtume swalla llaahu alayhi wa alihi wasallam? Tutamwambia: Tumewajibisha kwao kuwafanyia Al-Baraa (kuwachukia, kuwatukana na kuwaombea laana na dua mbaya), kwa sababu ya kuusalimisha Uimamu kwa Muawiyah Ibn Abi Sufyani. Na udugu wao na Mtume swalla llaahu alayhi wa alihi wasallam hautowasaidia kitu mbele ya Allah." Kisha wakamtaja Muawiyah Ibn Abi Sufyani, Abu Musa Al-Ash'ariy na Amru Ibn AlAasi wote hao wakawajumuisha kwenye hukumu moja tuliyotangulia kuitaja nayo si nyingine bali ni hukumu ya kwamba: Ni wajibu kwa kila Muislamu kuwachukia, kuwatukana na kuwaombea laana na dua mbaya! "Kisha akasema: Akisema msemaji; Mmepata wapi kauli ya kwamba nyinyi (Maibadhi) ndiyo mnastahiki kuwa katika haki kuliko watu wengine?" Akajibu kwa kuzitaja baadhi ya sababu kisha akahitimisha kwa kusema: "Na vile vile tumewakuta wanachuoni wa Kiislamu (Kiibadhi) ambao wao ni hoja mbele ya Mola wa viumbe wameafikiana juu ya kuwachukia, kuwatukana na kuwaombea laana na dua mbaya. Na maafikiano yao ni hoja, kwa hiyo ni wajibu wetu kuwakubalia na kuwafuata kwa yale waliyoyaitakidi, kwa kuwa wao ni hoja iliyo na nguvu, kwa sababu Mtume swalla llaahu alayhi wa alihi wasallam alisema: "Umma wangu hautokusanyika kwenye

upotevu" na maana ya Umati wake, ni wale waliomfuata na wakaishika njia yake bila ya
kumuhalifu. Si kila anayeswali, na anayefunga na akaukubali Uislamu anakuwa ni katika umati wake."! Zingatia! Maswahaba wote hao wakubwa, miongoni mwao wapo waliobashiriwa kuingia peponi na Bwana Mtume swalla llaahu alayhi wasallam, kama vile; Uthman Ibn Affan, Ali Ibn Abi Twalib, Twalha Ibn Ubaidillahi, Zubeir Ibn Awwam, Hasan Ibn Ali, Husein Ibn Ali na wengineo miongoni mwa Maswahaba watukufu wa Bwana Mtume swalla llaahu alayhi

157 141

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

waalihi wasallam kama vile; Muawiyah Ibn Abi Sufyani na Amru Ibn Al-Aasi, wote hao kwa Maibadhi ni watu wanaostahiki kutukanwa na kulaaniwa! Pamoja na kuwalaani mabwana hao, Maibadhi wanawaheshimu na kuwatukuza watu waovu, Khawaarij wa Nahrawaan na kuwaona wao ndio waliokuwa katika haki. Kwa ushahidi rejea fat'wa ya mwanachuoni Nuurud-Din As-Saalimiy tuliyoinukuu hapoa nyuma akidai kwamba Khawaariji wa Nahrawaani waliomuua Ali ndio waliokuwa katika haki.

MSIMAMO WA MAIBADHI KUHUSU MAIMAMU WA MADHEHEBU YA AHLU SUNNA Baada ya kukunukulia fatawa za Wanachuoni wakubwa wa Kiibadhi kuhusu Waislamu ambao si Ibadhi, sasa hebu tuzitazame fatawa zao kwa ufupi kuhusu Wanachuoni wetu wa madhehebu ya Ahlu Sunna. Je, Ibadhi wanawatazama vipi Wanachuoni hao? Kitabu kikubwa miongoni mwa vitabu vya Ibadhi kiitwacho 'Ad-Daliilu wal-Bur'hanu' () , kitabu cha Mnajimu, Sheikh wa ki-Ibadhi Abu Ya'quub Yusuf Ibn Ibrahim AlWarijalaniy, kitabu kilichochapishwa Oman mwaka 1403 Hijiriyya sawa na mwaka 1983 A.D. na kuhakikiwa na Sheikh Salim Ibn Hamad Al-Haarithiy kuna kauli hizi zifuatazo: Amesema Al-warjalaaniy katika mjeledi wa pili juzuu ya 3 ukurasa wa 43-45 alipokuwa akiisherehesha Hadithi ya Hudheifa, alipokuwa Bwana Mtume swalla llahu alayhi waalihi wasallam akitabiri kutokea kwa shari katika umma huu: " " "Ama hii shari ya mwisho iliyofungamanishwa na Maimamu waliopotea wenye kupoteza, ambao wamepotea na wanawapoteza wanaowafuata mpaka siku ya Qiyama, kuanzia zama za Mtume, zama za Maswahaba na zama za Taabiina, hao (Maimamu wapotevu) ni katika Taabii Taabiina (waliokuja baada ya wanafunzi wa Maswahaba) ambao ni; Imamu wa Hijaaz Malik Ibn Anas, Imamu wa Misri Laith Ibn Sa'd, Imamu wa Iraq Suf'yaan Thauriy, Imamu wa Shaam AlAwzaiy na kabla yao ni Imamu Abu Hanifa na katika kila jimbo kuna Imamu kuanzia Khurasaan hadi kufika nchi ya Spain". Kisha akasema tena katika ukurasa wa 128 katika kitabu hicho hicho, juzuu hiyo hiyo:

158 142

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

: " "... "Fahamu kuwa Al-Awzaiy ambaye kwake ulifikia ukomo wa Uimamu kwa watu wa Shaam, na katika wakati wake walikuwa Maimamu ni hawa wafuatao: Malik ni Imamu wa Hijaaz, Sufiyaan At-Thauriy ni Imamu Iraq, Laith Ibn Sa'd ni Imamu Misri na hawa walikuwa katika kundi la nne, kwa sababu kundi la kwanza lilikuwa ni Maswahaba, kundi la pili ni la Taabiina, kundi la tatu ni kundi la Taabii Taabiina na kundi la nne ni kundi la Maimamu, mpaka kwenye kundi aliloliishiria Mtume swalla llaahu alayhi wasallam wakati Hudheifa alipomuuliza." Akaitaja Hadithi hiyo mpaka mwisho wake kisha akasema: " : " . : ". : "Ndio, hao ni Maimamu wapotevu, wamekaa katika milango ya Jahannam1 Wanalingania kwenye hiyo Jahannam, kila atakayewaitikia watamuingiza humo (katika Jahannam)." Kisha akaitaja sababu iliyomfanya kuwahukumu Wanachuoni hawa kuwa wanalingania Motoni akasema: "Kwa sababu Wanachuoni hawa wamezitaja Hadithi hizi ambazo ndani yake kuna kumfananisha Allah, (kama vile Hadithi za) Kuonekana Allah (na Hadithi) nyinginezo (zinazozungumzia Sifa za Allah, Maimamu hawa) wakasema: 'Zipitisheni (Hadithi hizo) kama zilivyokuja (bila ya kuzifanyia Ta'wiil)."!!! Mwisho wa kunukuu. Hayo ndiyo maneno ya Wanachuoni wa Ibadhi dhidi ya wanachuoni wa kiislamu wa madhehebu ya Ahlu Sunna wal-Jamaa. Mimi nilijua Zani imewashukia hao Wanachuoni waitwao wa Mawahabi peke yao kama anavyodhihirisha Juma Mazrui na Khalfani Tiwani! Kumbe zani imewashukia hadi Maimamu wakubwa wa Ahlu Sunna, kama; Imamu Abu Hanifa, Imamu Malik, Imamu Al-Awzaiy, Imamu Sufiyaan At-thauriy, Imamu Laith Ibn Sa'd na Maimamu wote walioko mashariki hadi magharibi ya nchi za Kiislamu wanaoitakidi kuwa Allah ataonekana!!! Na sababu iliyowapelekea Maibadhi kuwahukumu hawa kina Abu Hanifa na Malik kuwa ni wapotevu, wenye kupoteza watu na ni walinganizi wa Motoni, ni madai ya kwamba wao wanamfananisha Allah na viumbe kwa kuwa wamezipokea Hadithi zinazosema kuwa Allah ataonekana kwa macho huko Akhera!!! Mbona kina nyinyi kina Juma Tumbaku hii mnaificha? Mnajifanya mnarusha makombora yenu nyuma ya ukuta, kwa kuwashambulia Wanachuoni wa Kiislamu kwa kudai kuwa ni

159 143

OLE WAKE KILA MZUSHI

[MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI]

Mawahabi, Mahanbali, Hashawiyya, Mujassima, Mushabbiha.Kumbe lengo lenu ni mpaka hawa kina Maalik na Shaafiy!? Ili nisije nikaumaliza uhondo huu, mimi hapa sina la kusema, nitasema sana Inshaallaah katika kitabu chetu "Khawaarij katika sura yao ya hakika". Ninamuomba Allah anipe msaada wake niweze kukikamilisha. Aamiin.

NINI MAANA YA KUITUKANA DINI YA KIIBADHI? Kama tulivyoona hapo nyuma, wanachuoni wa Kiibadhi wanasema; mtu yeyote atakayeitukana dini ya Ibadhi na kuisema vibaya mtu huyo anastahiki kuuwawa! Je wanakusudia nini wanaposema hivyo? Swali hili linajibiwa na mwanachuoni wao Muhammad Yusuf At'fiishiy kwenye kitabu chake "Sharhun-Niil wa Shifaul-Aliil ) ( , juzuu ya 17 ukurasa wa 608 kwa kusema: ( " ( ] [ ) ".... ) ( ) ( "Mtu yeyote atakayekusudia (kuwakosoa) kwa jambo lolote ambalo wanaliitakidi watu wa daawa (Maibadhi) na wakatofautiana na watu wengine kwenye jambo hilo, kama vile ukale wa majina ya Allah na sifa zake, kupinga kwao kuwa (Majina na Sifa) ni zenye kuzidi kwenye dhati ya Allah, kupinga kuonekana kwa Allah -Sub'haanah- huko akhera.." Kisha akayataja mambo ambayo Maibadhi wanayapinga na wanatofautiana na watu wengine. Mtu akisema: Maibadhi wamekosea katika itikadi yao ya kukanusha kuonekana Allah akhera, mtu huyo damu yake ni halali! Mtu akisema kwamba: Maibadhi wamekosea kwa kuitakidi kuwa Qur'ani ni kiumbe, mtu huyo damu yake ni halali. Mtu akisema kwamba: Maibadhi wamekosea kwa kuitakidi kuwa muislamu mwenye madhambi makubwa kama ataingia motoni hatoki tena, mtu huyo damu yake ni halali na anastahiki kuuawa. Na kama itashindikana kumuua kwa dhahiri, basi auawe hata kwa kumvizia kwa siri, kama alivyouliwa Khardalah! Na hiyo ndiyo Jihadi bora kuliko zote!!! Na hukumu hii imetiliwa nguvu pia na mwanachuoni wao mwengine aitwaye Abu Ya'qub Al-Warjalaaniy, katika kitabu chake "Ad-Daliilu Al-Burhaanu", juzuu ya 2 ukurasa wa 202. Je, mambo yakifikia hapa na sisi tusemeje? Hizi si ndio zile alama za Khawaariji alizozitaja Bwana Mtume swalla llaahu alayhi waalihi wasallam, kuwauwa waislamu na kuwaacha wenyekuabudu mizimu? Tafadhali ndugu Juma na unaoshirikiana nao katika kazi hii jibuni maswali haya wala msikwepe.
160 144

OLE WAKE KILA MZUSHI

][MAJIBU DHIDI YA MUIBADHI JUMA MAZRUI

161 145

OLE OLEWAKE WAKEKILA KILAMZUSHI MZUSHI

[MAJIBU ]] [MAJIBUDHIDI DHIDIYA YAMUIBADHI MUIBADHIJUMA JUMAMAZRUI MAZRUI

1. Sahihul-Bukhari 2. Sahihu Muslim 3. Sunanu Abi Daud As-Sijistaaniy

VITABU VYA MAREJEO

4. Jaamiu At-Tirmidhiy cha Abu Isa At-Tirmidhiy 5. Sunanu Ibn Maajah cha Ibn Maajah Al-Qazweiniy 6. Musnad ya Imamu Al-Bazaar 7. As-Sunan ya Abdullahi Ibn Imam Ahmad 8. Sharhu Sahihi Muslim ya Imamu An-Nawawiy 9. Hadyu Saari ya Al-Hafidh Ibn Hajar 10.Sharhu Usuuli Itiqaadi Ahli Sunna ya Al-Laalakaiy 11.Dhakhiiratul-Uqbaa Sharhul-Mujtabaa ya Al-Athyuubiy 12.Al-Maudhuaatu ya Ibnul-Jawiy 13.Irwaaul-Ghaliil ya Al-Albani 14.Silsilatu As-Sahiha Al-Albani 15.Silsilatu Ad-Dhaifa Al-Albani 16. Al-Uluwwu ya Imamu Ad-Dhahbiy 17.At-Tamhiid ya Ibn Abdil-Barri Al-Andalusi 18.Al-Ilaamu ya Imamu As-Sakhawiy 19.Taarekh Baghdaad ya Al-Khatib Al-Baghdaad 20.Siyaru Alaami An-Nubalai ya Imamu Ad-Dhahbiy 21.Al-Uquudu Ad-Durriyya ya Imamu Ibn Abdil-Haadi 22.Majmuu Fatawa ya Sheikhul-Islaami Ibn Taymiyya 23.Bughyatul-Murtaadi ya Ibn Taymiyya 24.As-Swaaiqul-Muhriqa ya Imamu Ibnul-Qayyim 25.Lisaanul-Mizaani ya Al-Hafidh Ibn Hajar Al-Asqalaaniy 26.Ad-Durarul-Kaamina ya Ibn Hajar Al-Asqalaaniy 27.Al-Bidaayatu wan-Nihaayah ya Imamu Ibn Kathiir 28.Tuhfatu An-Nudhaari ya Ibn Batuta 29.Ansaabul-Ashraaf ya Imamu Yaaqut Al-Hamawiy 30.At-Tankiil ya Imamu Al-Muallimiy Al-Yamaniy 31.Subhul-Ashaa ya Al-Qalqashandiy 32.Lubbul-Albaabi fiy Tahriirl-Ansaabi ya Imamu Suyuutwiy 33.Jalaaul-Ainayni ya Imamu Al-Alousiy 34.Sharhu Al-Asfahaaniyya cha Abu ishaaq Al-Isfarayiiniy 35.Majmuu Fatawa ya Sheikh Ibn Baz 36.Marifatu Uluumil-Hadithi- Imamu Ibn Swalaah 37.Al-Bahithul-Hathiithu Sheikh Ahmad Shaakir
161 161 146

OLE WAKE WAKE KILA KILA MZUSHI MZUSHI OLE

[MAJIBU DHIDI DHIDI YA YA MUIBADHI MUIBADHI JUMA JUMA MAZRUI MAZRUI] ] [MAJIBU

MIMI ABUL-FADHLI KASSIM IBN MAFUTA MAFUTA IBN KASSIM IBN IBN UTHMAN UTHMAN MIMI ABUL-FADHLI KASSIM IBN KASSIM 38.Nuzhatu An-Nadhari Al-Haafidh Ibn IBN Hajar NIKO TAYARI KUFANYA MIJADALA YA KIELIMU JUU YA MAUDHUI HII NA NA NIKO TAYARI KUFANYA MIJADALA YA KIELIMU JUU YA MAUDHUI HII 39.Tadriibu Ar-Raawiy Imamu Suyuutwiy NYINGINEZO KWA MASHARTI NITAKAYOYATAJA HAPO MBELE. NYINGINEZO KWA MASHARTI NITAKAYOYATAJA HAPO MBELE. 40.Kashfu At-Tadliis cha Abdu-Swamad Sharafud-Diin Ama suala la la Mubaahala, Mubaahala, pia hilo hilo niko niko tayari nalo, tena tena ninalianza ninalianza sasa sasa hivi hivi kwenye kwenye 41.Hayaatu Sheikhil-Albani cha Bahjatul-Baytaar Ama suala pia tayari nalo, kitabu changu hiki hiki kwa kwa kusema: EWE ALLAH ALLAH TEREMSHA TEREMSHA LAANA YAKO, 42.Kaukabatun min Aimmatil-Hudaa cha Sheikh AasimYAKO, Alkitabu changu kusema: EWE LAANA ADHABU ZAKO NA GHADHABU ZAKO JUU YA YULE MWENYE ITIKADI Qaryuutiy. ADHABU ZAKO NA GHADHABU ZAKO JUU YA YULE MWENYE ITIKADI MBOVU BAINA YETU SISI SISI AHLU AHLU SUNNA WAL-JAMAA TUNAOITWA MBOVU BAINA YETU SUNNA WAL-JAMAA TUNAOITWA 43.Quduum Kataibil-Jihaad cha sheikh Abdul-Aziiz Ar-Raajihiy MAWAHABI NA IBADHI WANAOJIITA AHLUL-HAQI WAL-ISTIQAAMA. Na MAWAHABI NA IBADHI WANAOJIITA AHLUL-HAQI WAL-ISTIQAAMA. Na kama kauli kauli hii hii haitoshi haitoshi nikihitajika nikihitajika kufanya kufanya Mubaahala Mubaahala sehemu sehemu yeyote yeyote wakati wakati wowote wowote kama

pia niko niko tayari. tayari. pia VITABU VYA IBADHI, SUFI NA SHIA JE NI NI KWELI KWELI KUKIMBIA KUKIMBIA MJADALA MJADALA NI NI SERA SERA YA YA KIWAHABI? KIWAHABI? JE 1. Al-Uquudu Ad-Durriyya, Saalim Ibn Hamad Al-Haarithiy Miongoni mwa mwa mambo mambo ya ya uongo uongo ambayo ambayo ndugu ndugu Juma Juma ameyajaza ameyajaza katika katika kitabu kitabu chake chake Miongoni 2. Maknuunul-Khazain wa Uyuunul-Maadin, Sheikh Musa Ibn Isa 'Fimbo ya ya Musa' Musa' mpaka mpaka kikaonekana kikaonekana kitabu kitabu chake chake kuwa kuwa ni ni kikubwa kikubwa cha cha kutisha, kutisha, ni ni suala suala 'Fimbo Al-Bishriy hili la la kukimbia mijadala. mijadala. Amesema Amesema Juma Juma katika katika ukurasa ukurasa wa wa 423: 423: hili 3. kukimbia Lubaabul-Aathari Sayyed Muhanna Ibn Khalifa Al-Busaidiy 4. Al-Jaamiul-Kabiir, Sheikh Said Ibn Bashiir As-Subhiy "KUKIMBIA MJADALA MJADALA NI NI SERA YA YA KIWAHABI "KUKIMBIA SERA KIWAHABI 5. Sharhu An-Nail, Sheikh Abdul-Aziz At-Thumainiy Sasa baada baada ya hayo, hayo, ndugu ndugu Mafuta nataka uelewe uelewe tena mambo mambo haya: haya: Kukimbia Kukimbia Sasa ya Mafuta nataka tena 6. Qawaaidul-Islaami Sheikh Twaahir Al-Jaitwaliy mijadala ndio ndio sera sera ya ya Kiwahabi, Kiwahabi, kwani kwani wanajijua wanajijua kwamba kwamba hawana hawana hoja, hoja, wanataka wanataka mijadala 7. Ad-Dahbul-Khaalis cha Qutbul-Aimma At-Fiishiy watu wawafuate wawafuate tu tu katika katika itikadi itikadi zao zao za za kumfananisha kumfananisha Allah Allah na na binaadamu, binaadamu, bila bila watu 8. Ad-Dhiyaau cha Abul-Mundhir As-Swahaariy hata ya kuzijadili hoja zao." hata ya kuzijadili hoja zao." 9. Bayaanu As-SharI cha Abul-Fadhli Isa Ibn Nuuriy MAJIBU YETU MAJIBU YETU 10.Maalimud-Din cha Sheikh Saalim Ibn Hamad Al-Haarithiy Mtu yeyote anayezijua tabia za Ahlu Sunna wal-Jamaa, hao ambao ambao wazushi wazushi wanawaita Mtu yeyote anayezijua tabia za Ahlu Sunna wal-Jamaa, hao 11.Bahjatul-Anwaari Sharhu Anwaaril-Uquul cha wanawaita Sheikh kwa jina jina la la Mawahabi, Mawahabi, hatasita hatasita hata hata kidogo kidogo kuyakadhibisha kuyakadhibisha maneno maneno haya haya ya ya ndugu ndugu Juma Juma kwa Nuurudi-Din As-Saalimiy Mazrui na kuyaita kuwa ni maneno ya uongo yaliyojaa chuki. Mazrui na kuyaita kuwa ni maneno ya uongo yaliyojaa chuki. 12.Ad-Daliilu wal-Burhanu Sheikh Abu katika Yaqub Ibn Takriban Waislamu wote wote hapa Afrika Afrika ya ya cha Mashariki, wanaoishi mijiYusuf mbali mbali mbali Takriban Waislamu hapa Mashariki, wanaoishi katika miji mbali Ibrahim Al-Warijalaniy kama vile; vile; Dar Dar es es Salaam, Salaam, Tanga, Tanga, Unguja, Unguja, Pemba, Pemba, Mombasa, Mombasa, Malindi, Malindi, Lamu Lamu na na kama 13.At-Twuufanul-Jaarif Al-Qannubi kwengineko ni mashahidi juu ya mijadala mingi iliyojiri na inayojiri kila uchao baina yao kwengineko ni mashahidi juu ya mijadala mingi iliyojiri na inayojiri kila uchao baina yao na 14.As-Saiful-Haadi hao waitwao waitwao Mawahabi Mawahabi na na Waislamu Waislamu wa madhehebu madhehebu mengine, mengine, hasa hasa wafausi wafausi wa wa cha Al-Qannubi na hao wa madhehebu za ki-Sufi, ki-Sufi, juucha ya kadhia kadhia mbali mbali za kidini. kidini. Sina Sina shaka shaka kuwa kuwa jambo jambo hili hili madhehebu za juu ya mbali za 15.Fimbo ya Musa Jumambali Mohd Mazrui hata ndugu Juma Juma naye naye analifahamu. analifahamu. cha Khalfani Tiwani hata ndugu 16.Al-Ajwibatul-Muskita Kama huukumbuki huukumbuki mjadala mjadala uliofanyika uliofanyika kule kule KengejaKengeja- Pemba Pemba baina baina ya ya hao hao Mawahabi Mawahabi na na Kama 17.Ansaari Sunna Vituko na Vitakuro cha Khalfani Tiwani Masufi juu juu ya ya kadhia kadhia za za mwezi? mwezi? Je, Je, huukumbuki huukumbuki hata hata ule ule mjadala mjadala wa wa mwaka mwaka 1991 1991 Masufi 18.Al-Mijhar cha Tiwani ulioitishwa na na Rais Rais mtaafu mtaafu wa wa serekali serekali ya ya mapinduzi mapinduzi ya ya Zanzibar Zanzibar Dr. Dr. Salmin Salmin Amour Amour Juma Juma ulioitishwa 19.Tanaaqudhaatul-Albani cha Sagaaf kule Unguja? Unguja? Mjadala Mjadala huo huo uliofanyika uliofanyika baina baina ya ya waislamu waislamu wa wa madhehebu madhehebu ya ya Ahlu Ahlu Sunna Sunna kule 20.Haqul-Yaqiin Muhammad Baaqir Al-Majlisiy wal-Jamaa na Masufi Masufi wa wa madhehebu madhehebu ya Ash'ariyya. Ash'ariyya. wal-Jamaa na ya 21.Jalaaul-Uyuun Al-Majlisiy Mwisho ninakukumbusha mjadala mjadala uliofanyika uliofanyika mwaka mwaka huu huu huko huko shamba shamba ya ya KizimkaziKizimkaziMwisho ninakukumbusha Kusini Unguja baina baina ya ya wafuasi wa wa madhehebu madhehebu ya Salaf Swaalih Swaalih (Ahlu (Ahlu Sunna wal-Jamaa) wal-Jamaa) 22.Al-Anwaru An-Numaaniyya cha Nimatullahi Al-Jazairiy Kusini Unguja wafuasi ya Salaf Sunna na watetezi watetezi wa wa bid'a bid'a ya ya maulidi maulidi wakiiwakilisha wakiiwakilisha Afisi Afisi ya ya Mufti Mufti wa wa Zanzibar. Zanzibar. Na Na mjadala mjadala na huo haukuwa wakubahatisha na kukurupuka, bali ulipangwa kwa taratibu za kiofisi na huo haukuwa wakubahatisha na kukurupuka, bali ulipangwa kwa taratibu za kiofisi na
19 19 147

You might also like